Hyo ni JELA lkn kibongo bongo hyo ni Apartment inayopatikana UPANGA,jengo zuri kabisa Hilo yan ukimpeleka mfungwa wa kibongo hapo kitambi kitaota kabsa maana heka heka za jela za kibongo so pw yan mfungwa anapata nafasi ya kucheza basket kuinjoy life,kibongo bongo mashamba Yakima karbu ni kwenda kulima😂😂😂😂
Noma saaana B,LEVO😅😂
ingekuwa bongo unarekodi gereza ungekiona chamtema kuni
Chukua na ushoga
Ile usimame eneo la gereza tu utakula kipigo kuliko mtuhumiwa wa ugaid
Unafaa SANA kuwa chawa .Baba levo Hana mpinzani kiukweli.
Hata mashemeji wanaliwaga kaa Kwa kutulia🤣🤣🤣
Bwege baba levo😂 kizungu aujuii
Usitubane kwenye screen weken full screen na hii nembo ya katkt town big up
UNGEMUONA PDIDDY UNGEUA MZEE BABA
Ndugu yako wewe sio sis
Umetumwa na mond wew ukamuangalie shemeji ako...
Nimecheka mpaka bas
😅😅😅😅😅
Wewe n makalio ya mama ako
😂😂😂😂😂😂
Wewe utakua ni choko
Eti mjomba😂wenu😂uyo ni shemeji letu...naona Mondi kakupa visita umpelekee Peee mla ndogo😂za wasaniii wenye tamaaa ya kupata upesiii😂
Tulia anakutaman kinoma wew na kishundu yako😂😂
Mbona MWIJAKU alikuwa haporomoti kampuni zilizompeleka . kweli mwijaku alikua boya.
Mwijaku si kiazi
Ungekuwa mnjee p diddy asingekuacha
Unamuumiza boss wako ukimzungumzia shemejiyako p diddy
Wafungwa wa mariakani wana enjoy kweli jela kati kati ya mjini
Utapakwa futa wecheka cheka tu😂
Huyo mchiz kamwaga ndio anasubir wana waje kumchukua
Hyo ni JELA lkn kibongo bongo hyo ni Apartment inayopatikana UPANGA,jengo zuri kabisa Hilo yan ukimpeleka mfungwa wa kibongo hapo kitambi kitaota kabsa maana heka heka za jela za kibongo so pw yan mfungwa anapata nafasi ya kucheza basket kuinjoy life,kibongo bongo mashamba Yakima karbu ni kwenda kulima😂😂😂😂
Vip umetumwa upeleke salaam kwa shemeji yako nini😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂kwa baba yake maana mond ni mama yke
Nenda na ww ukapakwe mafuta
Mnachuki na mwijaku mmemfatlia mkaona hataji kampun zilizompeleka,acheni wivu mwijaku baba lao
Ungetengenezea kipande Cha ngoma yako apo kilamtu angeptak kuiona iyo ngoma ilikusud alione Hilo gereza
Wa Tanzania 🇹🇿 amna aibu kabisa mngali nyuma sana
Wee kenge una maanisha nini?
We uko mbele?
We ndo umekuw na upepi kuliko mwijaku
didi izedea😅😅
7media logo haonekani vizuri on UA-cam channel yenu background weka rangine
Sawa Boss
Babalevoo we nijembee chawa waukeelii
Linaitwa metropolitan
Mpe hi shemej wa taifa
Nidugu yunu lazima mkamuone
Umeenda kumuona shemeji yako
anaomba imuone ungeshonwa umoumo
Uritaka muone shemeji yako manahata wewe angalia futa ritakugeukia
Pumbafu inaweza ikakugarim iyo caméra zinakutazama kila kona apo ulipo we leta kiki za kijinga tu
marekan hakuna uwo ushamba 😅
acha mambo yk ya kijinga una akili kama za kitoto