ASKOFU MOSES KULOLA MUHUMINI UKIONA MCHUNGAJI AKEMEI DHAMBI AMA HILO KANISA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 32

  • @sarahpetro4418
    @sarahpetro4418 4 роки тому +10

    Barikiwa sana SYLAs TV kutuletea mahubiri ya baba yetu moses kulola nabarikiwa sana na ujumbe wake hakika unagusa mtendo ya kila mmoja

  • @rahabusanga1559
    @rahabusanga1559 4 роки тому +11

    haya ndo maubiri tunayohitaji katika kipindi hiki,asante YESU kwa neno hili

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 4 роки тому +3

    jamani Silass tv niwatie moyo tuko pamoja sana.nafatilia na napenda sana mafundisho haya ya dr.kulola.naombeni muendelee kurusha bila kuchoka kuna watu tunapona mwili na Roho.hii ni injili pekee haipatikan popote tena.ilihubiriwa ikaokoa na mpaka leo inaendelea kuokoa kwa sauti hii.Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu kwa kutujali.mmewekewa taji mbinguni.

  • @justinaninga135
    @justinaninga135 4 роки тому +1

    Nabarikiwa Sana mtumishi na mafundisho yako

  • @ruthmwasomola3907
    @ruthmwasomola3907 4 роки тому +2

    Uyu mungu wetu afananishwi nanadamu yeye nimukusana

  • @rechomethod8288
    @rechomethod8288 3 роки тому

    Ameni baba Moses kulola, muhubili haya yananibadirusha Sana barikiwa baba,

  • @jaredkaingu6733
    @jaredkaingu6733 2 роки тому

    Pia mim nabarikiwa sana katika mahubiri yake mtumishi huyu, Mungu ni mwema.

  • @selinamrikaria6143
    @selinamrikaria6143 2 роки тому

    Nabarikiwa sana

  • @faidakatana9190
    @faidakatana9190 4 роки тому +2

    Mungumwema

  • @Mroni5451
    @Mroni5451 Рік тому +1

    Ole wangu nisihihubiri injili

  • @CHRISTINAMBWAMBO-ww1py
    @CHRISTINAMBWAMBO-ww1py Рік тому

    Umetwaliwa lakini kazi ya mungu ulioifanya inatenda kazi hata sasa mana tunaponywa na kubadilishwa kupitia mahubiri haya.

  • @kamarajoshua8719
    @kamarajoshua8719 2 роки тому

    Amen

  • @gabrielcosmas3906
    @gabrielcosmas3906 2 роки тому

    Ninataman Roho wa mungu asimame ili wahubiri wengine Kama DR kulola wainuliwe.

  • @daviddenis3626
    @daviddenis3626 4 роки тому +2

    Amina

  • @salomeandrea944
    @salomeandrea944 4 роки тому +2

    Balikiwa sana baba rip

  • @issacklamson8246
    @issacklamson8246 Рік тому

    Neno halis la MUNGU

  • @issacklamson8246
    @issacklamson8246 Рік тому

    Eeeeeeeh unihurumieee

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 4 роки тому +5

    Mungu tunaomba utupe wahubiri Wa namna hii.

    • @pastorgodsonjohn8562
      @pastorgodsonjohn8562 4 роки тому +1

      Ni wewe

    • @eliasndabahinyuye5400
      @eliasndabahinyuye5400 4 роки тому

      Nsia Massawe mungu akubariki

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 4 роки тому

      Tafuta namna wewe ndio uwe mhubiri wa aina hiyo, wewe uwe sababu ya baraka ya wengine. Yaani umtafute Mungu kiwango cha kuwa kama kulola, INAWEZEKANA mimi ni mmoja kati ya watu wanaotafuta sura hiyo.

    • @yustomlay1786
      @yustomlay1786 4 роки тому

      Mahubri ya kujiandaa na ufalme wa Mungu

  • @seifhamadi7895
    @seifhamadi7895 4 роки тому +1

    Hakika neno hili limenigusa sana

  • @petersobay2128
    @petersobay2128 4 роки тому +3

    Hatutasahau injili yake imenyooka

  • @ruthmwasomola3907
    @ruthmwasomola3907 4 роки тому

    Mungu atuhurumie kwahuruma yake

  • @issacklamson8246
    @issacklamson8246 Рік тому

    Eer

  • @luciasospeter6897
    @luciasospeter6897 4 роки тому +2

    Babu mahubiri yako natamani watumishi wangefuata nyayo zako

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 4 роки тому

      Ndugu yaani kwa maisha ya sasa unatakiwa wewe ndio uinuke kuanza kuyaishi haya kwa nguvu zote hasa kwa njia ya MAOMBI MENGI kila siku (uombe angalau masaa mawili) na hapo ndipo utaweza kubadilika, nje na hapo haiwezekani ndugu.

  • @glorymadumba3431
    @glorymadumba3431 3 роки тому

    Naomba nitumie kwenye wasapu 0679598210

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 3 роки тому

    Amen

  • @lugendodaniel5266
    @lugendodaniel5266 2 роки тому

    Amina