KIMENUKA : DOGO ASLAY NA NANDY KUSHTAKIWA ZANZIBAR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 гру 2024

КОМЕНТАРІ •

  • @faithmutho6400
    @faithmutho6400 6 років тому

    Wivuuuuuu wacheni watoto wajiinue,,,,, inaonekana vyuma vimekaza 😏😏😏

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 6 років тому

    Ahhh baada ya kutafta misala mkasali mnalilia nyimbo,,izo njaaa tuuu,,na kwa Allah ivyo ivyo mkalilie nyimbo

  • @mussakizingiti3552
    @mussakizingiti3552 6 років тому +4

    njaa mbaya sana

  • @maryammajid3213
    @maryammajid3213 6 років тому +5

    Acheni njaa hizo wazee wazima hamna ishuu wakati katubiyeni tena bado mnashuulika na mambo ya dunia mmeboa kweli nyinyi mnatia aibu Zanzibar na wazanzibar hawako hv mnachefua kweli

  • @mwanaulu5995
    @mwanaulu5995 6 років тому

    Hizo ndizo nyimbo halisi za kizanzibar bwana,zimejaa marashi huchoki kizisikiliza,na bado watakopi sana tu.

  • @naimaali2275
    @naimaali2275 6 років тому

    Jaaa t huyo mzeee

  • @edsonsign9441
    @edsonsign9441 6 років тому

    njaaaaa! jamani wazee ninyi.

  • @bintimohammedrashidrashid5027
    @bintimohammedrashidrashid5027 6 років тому +5

    Wivu huo hamtaki kuona watoto wa watu wakifanikiwa hivi hiyo nyimbo utazikwa nayo kwani?ati hutaki ipigwe pahala popote haya basi mi nasikiza kwangu vizuri sana njoo unishtaki pia mimi nyokoo

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 6 років тому

      kwahiyo wasidai haki zao wasanii wa sasa watunge zao

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 6 років тому +2

    Duh amakweli vyuma vimekaza, wazee nama barkashia wanajikongoja kumlilia #ASLAY.. hahaha
    Amani na usalama, na Haki iwe...

  • @PatriciaErasto
    @PatriciaErasto 6 років тому

    Hamuwatendei hak hao vijana,roho za kwann hata hofu ya mungu,mmmmh

  • @evasamndel3244
    @evasamndel3244 6 років тому

    njaaaa sasa

  • @annkoside3547
    @annkoside3547 6 років тому +1

    Acheni kuzingua watu yani nyimbo zenu zisipigwe mpaka mote ruhusa haya basi we unaona inawezekana? Mrudieni Mungu acheni kuwaonea wivu madogo

  • @rashidseif6103
    @rashidseif6103 6 років тому

    Ni kweli mkuu wasanii watanganyika wanaziharubu nyimbo za wasanii wa zanzibar, sasa kama wao ni wasanii kweli kwa nn hawabuni za kwao. Wapigwe faini kubwa hao machogo.

  • @lailahaillallah4020
    @lailahaillallah4020 6 років тому +1

    Atariiii.jamaniii....

  • @rahimarajab4306
    @rahimarajab4306 6 років тому

    Lkn. Sitayariii wameshaendaaaa hukoo

  • @sugarhatimaliamiji7439
    @sugarhatimaliamiji7439 6 років тому

    Mnaowatukana Hawa wazee Kua wamrudie mungu washakua watu wazima. Basi mjue kumrudia mungungu vizuri ukiwa na nguvu zako Kama nyie mnaoropokwa mungu yupo kila siku tumia nguvu zako kumuabudu mungu sio uzeeni

  • @maryambailakhunani3360
    @maryambailakhunani3360 6 років тому

    Mtumeeeeee... Jamani tujifunze kuombaa

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji 6 років тому

    Sawa sawa kama rahisi kutunga nyimbo si mtunge zenu bana

  • @richardmashauri5277
    @richardmashauri5277 6 років тому

    kama nyimbo hivi zilizoigwa zina copyright then bc wafikishwe mahakamani ila kama hazina copyright no one has the right to judge o sue them...

  • @marggymele3101
    @marggymele3101 6 років тому +2

    Upuzi tu si mushukuru ata tumeisikia wachawi nyinyi hamtaki watoto wafanikiwe munataka wavute unga

  • @64aaa
    @64aaa 6 років тому +1

    Tamaaa tu. Mtachotewa amna wasiwasi tuliza boll maalim

  • @fafumaawadh8098
    @fafumaawadh8098 6 років тому +6

    kaswalini huko wazee wazima bado mwapenda dunia

  • @mountcholo7039
    @mountcholo7039 6 років тому

    Kweli ukifuata sheria Aslay amekosea inabidi aende tu

  • @dharesfadhil2236
    @dharesfadhil2236 6 років тому +2

    Aaaa wanawenu hao wainueni msiwaadhibu.

  • @khalfanmkumba5009
    @khalfanmkumba5009 6 років тому

    kwn c walienda ama?

  • @leonidamukandala5058
    @leonidamukandala5058 6 років тому +1

    Sasa kumbe angalau waliomba rithaa mi nilifikiri walianza kuimba tu!

  • @usaambassador2460
    @usaambassador2460 6 років тому

    Acha zako mze

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 6 років тому +3

    yan hampendi mafanikio ya mtu aslay sinmtoto wenu wazee wengine mushazeeka subrin sku zenu badara utubie ww wataka kura dunia achen hizo

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 6 років тому

    Walipe ndio kwani mtu yeyote yule hakubali kwailo

  • @reinaphilbert9465
    @reinaphilbert9465 6 років тому +6

    Sema mnataka ela njaa zimewazidia ish

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 6 років тому

      njaa wasidai haki yao acha ujinga

    • @hamadeddy60
      @hamadeddy60 6 років тому

      Reina Philbert hawa wazee njaa tu

  • @jackkangero6418
    @jackkangero6418 6 років тому +2

    kii?!! wazee wazima badala mfanyage ibada mnakua kama watoto, mnatak hela tuu

  • @janethgatoni5981
    @janethgatoni5981 6 років тому

    Kama kuna watu awataki maendelewo na awo. Libaba lizima kwa mtoto daaah pesa izi nimbaya

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour9459 6 років тому

    NJAA MBAYA

  • @gladvictory3044
    @gladvictory3044 6 років тому +1

    sa kama kaimba tu mbona hakusema aje kwenu kwan hajui yeye acheni izo

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 6 років тому +3

    Wapuuzi hao,walipe.

  • @stellapaullo4513
    @stellapaullo4513 6 років тому

    mhhhhhhhhhhh wivu tu

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 років тому

    Dhuluma sio nzuri hata km utaemdhulumu sio muislamu.Dogo alistahili kuomba ridhaa kwa wahusika kabla ya kutoa wimbo huo.

  • @emanuelmadilo9398
    @emanuelmadilo9398 6 років тому +1

    wanahak ya kulilia haki zao lakn wameniboa kusema wimbo umeharibiwa

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 років тому +1

    Kumbe wamepewa hela kwa sasa asley na nandy.wameingiza hela nyingi waongee yaishe

  • @mwasitihatibu9691
    @mwasitihatibu9691 6 років тому

    umeonaeee Ally Rashid watu sio waelewa,ona hata Diamond alivyo imba nyimbo ya saida karoli alienda kwanza kukubaliana nae kilakitu kinasheria zake bwana sio mnachonga tu

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 6 років тому +1

    Duuuh wasameheni jaman

  • @hamzanamoto7953
    @hamzanamoto7953 6 років тому +1

    mm naona watu hamjawaelewa hawa wazee hawana shidah ila kwann wasiwafuate na kuwaomba na hao akina asly kwann wasitunge kutumia vichwa vyao

  • @allyhamad7999
    @allyhamad7999 6 років тому +8

    Mi naona watu hawajawaelewa hao wazee. Wakulaumiwa ni Hao walioiga. Ilitakiwa wakawaombe kisha wapate ridhaa ya wamiliki wa wimbo huo kabla ya kuuimba. Yani Kisheria. Na huo ndio UADILIFU, Sio kutoka ukacopy kitu cha mwenzio then ukarudi kwake baadae. SIO KATIKA MUZIKI TU, NI KILA NYANJA KATIKA MAISHA. UADILIFU NI MUHIMU.

    • @ruusaid2217
      @ruusaid2217 6 років тому

      dah

    • @minaahelmendhyr8907
      @minaahelmendhyr8907 6 років тому

      ally rashid swadakta

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 6 років тому

      tatizo wanaambiwa sera zibadilishwe kwa maana ya kushirikishw zaidi wadau wote na hapa mashabiki wafahamishwe au bhasi kuzijua angalau kwa kiasi ili vitu kama hivi watu wavione kabla ya kutamkwa kwa hoja na sio kishabiki na kimapenzi na wasanii.,vitu vingi bongo ni watu wa afisi tu wanvyo peke yao na hata wanaofahamu ni % ndogo ambao nao labd ni wale wa karibu na hizo afisi na kuwafikia ila kwa sekta hii wawe makini zaidi

    • @beatricekarisa7145
      @beatricekarisa7145 6 років тому

      Huyu mzee yuko sawa kabisa kisheria ni makosa

  • @ommy6663
    @ommy6663 6 років тому

    Wamekosea.....

  • @shakavevo7276
    @shakavevo7276 6 років тому

    wazee vyuma vimekaza mnataka pesa tu

  • @wilbertmutagwaba3233
    @wilbertmutagwaba3233 6 років тому

    wazee nyimbo zenu zimesaulika vijana wanarudisha nyie mnapaniniki acheni zogo.

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 6 років тому

    Nawala sio njaa iyo ndoilivo kwamana sidii CD ya kasida tuu ukitolesha nilazima ulipe fidia je leo ilo tena mkome sana kusema ninjaa iyo sio njaa kwani walijua kua km sio sheria nandio wakenda kumfata muhusika wakike

  • @azizakatsutsu7493
    @azizakatsutsu7493 6 років тому

    badala ya wazee hawa kuwainua vijana wadogo wanataka kuwavuruka chini soo sad. Tanzania yajulikana kwa ustaarabu na ukarimi. aibu sana

  • @nasrimchopa678
    @nasrimchopa678 6 років тому +2

    Bongo bhana yaani watu wake cjui wako vip mbona nje zinapigwa nyimbo zinarudiwa kila kukicha pesa haziwezi watosha wote.

  • @mwanasioneric8592
    @mwanasioneric8592 6 років тому

    We ishia bodaa wacha watoto waimbe

  • @asmabintikiwashatz9321
    @asmabintikiwashatz9321 6 років тому

    llaana ww baba kipi unatafuta sura zaiislam unafuata ujinga hujui nyimbo niharamu mrudie mungu

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 6 років тому +1

    Duuuuuh kweli hii Tanzania bahati mbaya wivu huo unawasumbua pamoja na njaa sasa si wameshaenda kwa bibi au ajawapa

  • @princeuzieri4548
    @princeuzieri4548 6 років тому +2

    Hahahha ao wazee vep tena hiyo njaa tuu

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 6 років тому

    😆😆😆😆Vyuma vimekaza

  • @ramadhaniathumanimlenge6641
    @ramadhaniathumanimlenge6641 6 років тому

    Ukweli utabaki kua ukweli wimbo ni wao wala hakulazimisha wakina aslay waurudie ndiyo walipe pesa kila upande

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 6 років тому

    BONGO BAHATI MBAYA

  • @dyinaoulo3082
    @dyinaoulo3082 6 років тому

    Mwachee aslay yatima anajitafutia

  • @saidyhassan7806
    @saidyhassan7806 6 років тому

    watunge zaoooooooo

  • @biommy6700
    @biommy6700 6 років тому +1

    Mmmmh husda izo.....njaa zenu semeni nazo

  • @joycemwenyeho8434
    @joycemwenyeho8434 6 років тому

    duuuuuh nishida

  • @zyanahabil5525
    @zyanahabil5525 6 років тому

    Hivi nyinyi kinachowauma nini au hiyo hela

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 6 років тому

    Nyie wazee hivi mmeyamaliza majukumu ya nyumban mwenu au!? Af kma wameiharibu nyimbo wangepataje mamilion!!? Muone kwanza..miwani kama docta Wa mkojo

  • @lwimikolameck697
    @lwimikolameck697 6 років тому

    njaa mbaya sana c mkalime karafuu

  • @تتالىلاىةة
    @تتالىلاىةة 6 років тому +1

    Acheni wivu wazee pesa walizo pata kwenye nyimbo ndio ziliwama nyoo vunjeni bata mkauze ...

  • @mariyammgeni3122
    @mariyammgeni3122 6 років тому

    mim sioni kam kuna kibaya walichokifanya katika wimbo wao ispokua wanawaenzi na wanawakumbuka sana waimbaj wa zamani

  • @dyinaoulo3082
    @dyinaoulo3082 6 років тому

    Mzeee was mavuzii wachana na aslay. Ulaaaniweee

  • @jebace
    @jebace 6 років тому

    njaaa bana mbaya Sana,vyuma vimekaza jamani

  • @edobilaly5220
    @edobilaly5220 6 років тому

    Wakauxhe wazee hao

  • @mwinyiothman5106
    @mwinyiothman5106 6 років тому

    Kwani Huyo Nandy na aslay wana hela si wrote tu maskin kama ww unaelalamika

  • @bosslady8152
    @bosslady8152 6 років тому +3

    Nyooooo😷😷

  • @naimaali2275
    @naimaali2275 6 років тому

    Km anajua sheria haswa iyo sio cheria njaaa tu na yeyr

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 6 років тому

    Lakini kwakweli ni lini watu watakomaa watu wazima mwajua hakuna kazi mbona msiwaache vijana watafute riziki ni bora waimbe kuliko wajiusishe na vitu ambavyo havivai hata ulipwe hela kapi haitakurithisha,ww mzee acha mambo ya kitoto style up. FROM KENYA.

  • @stanydizzy480
    @stanydizzy480 6 років тому

    Ni haki hizi ni kazi za watu eti

  • @naimaali2275
    @naimaali2275 6 років тому

    Munajitia aibu nyinyi wew mzee katafute mswala uswali wacha ubinafs

  • @Rastamuslim
    @Rastamuslim 6 років тому

    njaaa iyooooo kudadek rudini kwa mungu nyie maku

  • @hamisihussein9851
    @hamisihussein9851 6 років тому

    Wazee wananjaa

  • @shabanclement6062
    @shabanclement6062 6 років тому

    Acheni njaa, pumbavu

  • @hakimugarincha
    @hakimugarincha 6 років тому

    njaaa tuuu izo wazeee wazima amuna haya

  • @ellynassari9066
    @ellynassari9066 6 років тому

    Mtawapelekaje nandy na aslay kituoni nyie
    Hiyo n wivu tu kwanza
    Hao wazee sio wamiliki wa iyo nyimbo mmiliki ni uyo Bibi chakushangaza yy hajaongea kinachowauma hao wazee ni aslay na nandy kupata pesa kuliko wao mwanzoni yaan watanzania bhna
    Ivi mbona wenzetu wanaimba nyimbo za wenzao na hautoskia ayo majungu ndio maana hatuwez endelea kwa sababu ya ubinafsi wiiiiiii

  • @zwinsalhabsu264
    @zwinsalhabsu264 6 років тому

    Hovyooo njaa hiyo

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 6 років тому +2

    Izo njaa tu na uchawi wa roho

  • @bonnysure7690
    @bonnysure7690 6 років тому

    Huyu Aslay kaanza kuharibu sasa

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung7300 6 років тому

    Duh

  • @ramsonndege589
    @ramsonndege589 6 років тому

    Wazee wananipa mawazo mjue

  • @halimahydari9222
    @halimahydari9222 6 років тому

    Wapeni adabu shenzi ao

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 6 років тому

    Bana hao waigaji mpige mpunga mrefu.

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows 6 років тому

    Hahahaha njaa mbaya jamn wazee wazima aibu hawaoni kazi bado kufukuziana na mambo ya kidunia

  • @othumansola2356
    @othumansola2356 6 років тому

    hizo njaaa ty

  • @mwajabually5404
    @mwajabually5404 6 років тому

    Waelewane wawaachie vijana sasa
    mbona umri umewatupa mkono

  • @jamilayusufu659
    @jamilayusufu659 6 років тому

    Ilo nalo neno

  • @matildapius5842
    @matildapius5842 6 років тому

    Izo n njaa tu

  • @mariamhadija7236
    @mariamhadija7236 6 років тому

    😩😩😩😩ukisikia mchawi hatoki mbali nikweli 😈😈😈😈

  • @sheillahchisika8414
    @sheillahchisika8414 6 років тому

    We mjinga unasema huku si kenya kwani Tanzania kwa mungu? msenge wewe njoo nikufunze adabu.

  • @mahmadougronkjaer8316
    @mahmadougronkjaer8316 6 років тому +1

    hahahahaaa eti wamekharibu kabisa

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 6 років тому

    Zee jingine lile limejiegesha kwenye kona kma limebanwa Na haja

  • @masoudihaji5656
    @masoudihaji5656 6 років тому +6

    Wew mzeekamaumanjaa kalime mapembeee achazako

  • @stafordmyamba2861
    @stafordmyamba2861 6 років тому +3

    Mnanjaa tu hela nyie

  • @georgeworkuerope1368
    @georgeworkuerope1368 6 років тому

    hapo wazee wetu kosa lipo wapi nyie mmepumzika hao kama wajukuu zenu wakiwa enzi ni kosa maana ya kale ni dhahabu Sijaona kosa.

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 років тому

    Jasho la mtu haliliwi salbalkher hakuletwa kwenu nyie kwa kila mja aliyeletwa duniani wivu wann sote tunapita jaman kila kukicha maovu hamuendelei hata niufukara tu umewajaa.

  • @humudiali5863
    @humudiali5863 6 років тому

    kama mnasema nyimbo zenu zimeharibiwa mbona watu hawatafuti zenu wakaskiliza??? mujue zenu zishapitwa na wakati (mbaya) hapo mnapaswa kuwapongezwa sio kuleta lawama.

    • @frankjully5457
      @frankjully5457 6 років тому

      ziwe mbaya ni zao kwanini wachukuliwe haki zao acha ujinga