HUKMU YA MUME ASIYYEWEZA TENDO LA NDOA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 51

  • @maryamabdalla7557
    @maryamabdalla7557 Рік тому +12

    Sheikh Izzudin kwake napata ilmu napia nafurahi sanaa.... ALLAH akujaze heri

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 Рік тому +9

    Allah akueke umri thawiil sheikh langu na akujaalie khatima njema

  • @themagadir
    @themagadir Рік тому +6

    Nice way of explaining wallahi lugha ya kistaarabu and making it funny njia nzuri kufikisha ujumbe

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Рік тому +11

    Ila izudin jamani 🤣🤣😂😂mungu akuweke,

  • @GHOSTWORKER19
    @GHOSTWORKER19 Рік тому +8

    Straight forward and to the point. Hivo ndio inafaa.

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 Рік тому

      Wazo lako zuri ila pia inabidi kupatikane ufafanuzi wa kiasi ili watu wafahamu vizuri ndoa sio kitu cha mchezo wabilahi Tawfiq

  • @halimaabdi3125
    @halimaabdi3125 Рік тому +7

    Ma SHA Allah

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Рік тому +4

    MA SHA ALLAH
    HAPO UMEJIBU VILIVYO USTADH JAZAKA ALLAH KHAIR.

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 Рік тому +3

    MashaAllah 🥰

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 Рік тому +5

    😀😀😀 raha ya kumskiza sheikh Izudin

  • @mkenyahalisi1888
    @mkenyahalisi1888 Рік тому +5

    On point sheikh

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Рік тому +3

    Shukraan sheikh

  • @YAHYAMAALIK
    @YAHYAMAALIK Рік тому +6

    Shukran shekh

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Рік тому +3

    Tunaka mashekh
    mtueleze Hukum ya watu wanaowatukaba Maswahaba na wanaowaunga mkono
    nini hukum yao

  • @mohammedmohammed-id3we
    @mohammedmohammed-id3we Рік тому

    Shukran sheikh Azadiin.elimu fii...

  • @raajtz9861
    @raajtz9861 18 днів тому

    😅😅 mashaalah

  • @sesilialaga5403
    @sesilialaga5403 10 місяців тому

    Jamani anae jua hilijambo anisaidie mume wangu nimgonjwa Sasa mwaka tendolandoa hakuna nahaniudumii mimi nifanjeje Sasa mpakaichonachojitaidi kukitafuta hukitaka anunulie madawa naruhusiwa kuomba taraka kisheria.

  • @feisal6592
    @feisal6592 Рік тому +2

    Ishallah busu nimuhimu sana

  • @idrisjames9392
    @idrisjames9392 Рік тому +1

    Mashaallah

  • @yusuphabdullah8790
    @yusuphabdullah8790 Рік тому +4

    Inshaallah

  • @kadiriosmam
    @kadiriosmam Рік тому

    Asalam aleikum warakhmatullah sheikh ungetufundisha jinsi ya kupata madawa za hivi shida.Wengi tuna umia.

  • @abdillahimohammed3544
    @abdillahimohammed3544 Рік тому +3

    Lazima ya semwe tuchanue sheikh

  • @jumakhamis5053
    @jumakhamis5053 Рік тому +3

    Kama mtu hajawahi kufanya icho kitendo utamuulizaje anaweza tendo kwa mda gani .ndio anataka kuoa sasa au ndio mara ya kwanza kuolewa yuko bikra?

  • @znzmawaidh8702
    @znzmawaidh8702 Рік тому

    Mashaallah sheikh Allah akuzidishie elimu

  • @halimaabdi3125
    @halimaabdi3125 Рік тому +4

    Kweli kabisa

  • @abdallahbrek1698
    @abdallahbrek1698 Рік тому

    Haya mas'ala kama ni katika kuelezana tu basi ni sawa lakini ikiwa ni katika sharia za dini naomba Aya kwa hayo usemayo na kwamba faskhi ni lazima shekhe.

  • @sadhiyaiman6038
    @sadhiyaiman6038 Рік тому

    Kwa bahati mbaya wangu alidanganya akasema ataweza akasema anaweza nikavumilia kisha akanipa talaka

  • @Worldunite
    @Worldunite Рік тому

    Tendo la ndoa unalinganishaje na urefu wa sura za Qur'an?

  • @kizadjumaakbar-rk9cb
    @kizadjumaakbar-rk9cb Рік тому +1

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuhu.
    Ikiwa binti mwenyewe ameridhia kuishi na mwanamme asiye na nguvu za kiume hil ndoa vipi?

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Рік тому +1

      walekum salam . kama binti ameridhia haina shida wala hamna tatizo ndoa inaendelea kama kawaida .

    • @ramadhanitwahili6837
      @ramadhanitwahili6837 Рік тому

      Ndoa ipo hapo shekhe siamelidhia mwenyewe kaka.

  • @Worldunite
    @Worldunite Рік тому

    Au unaficha udhaifu ulio nao?

  • @ironshykh
    @ironshykh Рік тому

    😂😂😂MaAshAllah

  • @rashidmaiyo-zt5ll
    @rashidmaiyo-zt5ll Рік тому

    Je yafaa kusuka dreadlocks baada ya kufungua saumu kama yule anayesukwa n mwanamke ikiwa mm n mwanamme

  • @sheylamunah4670
    @sheylamunah4670 Рік тому +3

    😅😅😅😅😅😅

  • @mohammadissa7706
    @mohammadissa7706 Рік тому +3

    🤣😂🤣

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 Рік тому

    😃 😀 😄

  • @aymanmeery5011
    @aymanmeery5011 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @habibiswaleh1849
    @habibiswaleh1849 Рік тому

    😂

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 Рік тому +1

    NDILO MUJUALO.. JANABA... NDOA.. KUWATANA...

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  Рік тому +8

      tuombee Dua namengine tuyajuwe

    • @matanohassan9667
      @matanohassan9667 Рік тому +2

      Asante kaka kuelewa kwamba fikihi ndio tujualo na kila mtu asiye juwa mfahamishe ajue ndio tujualo ili kila mtu ashike upande wake

    • @fatmaali3838
      @fatmaali3838 Рік тому +5

      Na ww wakaribishwa utupe ya kwako tuilimike

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Рік тому +2

      Masha Allah SHEIKH Kila mtu afikishe kile ana jua kwa mwengine

    • @husseinabdul7948
      @husseinabdul7948 Рік тому +1

      Some time nyinyi mnatumwa au !? mwenzio anawahelimisha watu wye usha kuja na jaziba