SHILINGI Ep 03

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Subscribe kufuatilia tamthilia ya Shilingi kuanzia Mwanzo ha Mwisho katika Channel hii.
    Comment kutuambia unachofikiria.
    Share na wenziyo wajue tuanze mwendo Episode zaidi ya moja kwa siku
    Like kuonyesha Love
    Mazuri mengi yanakuja Soon

КОМЕНТАРІ • 101

  • @user-ts8xz8kh7u
    @user-ts8xz8kh7u 5 місяців тому +2

    Amazing, watching from Kenya.

  • @jamesmutali4356
    @jamesmutali4356 3 місяці тому

    watching from butali chegulo ward malava kaunti ndogo

  • @BiisheBugao
    @BiisheBugao Рік тому +4

    Mapema ndio best movie nzuri sana nawapenda mno

  • @user-uw3ri7qt4l
    @user-uw3ri7qt4l 10 місяців тому +3

    Nmeikubali

  • @AbeidOmar-xc5nl
    @AbeidOmar-xc5nl Рік тому +3

    Madebe kk hii filamu nzuri Sanaa kaza msuli

  • @IsmailMadrelya
    @IsmailMadrelya Рік тому +3

    😂😂😂et bint yako hajajifungua mtoto,,Doctor we ni mnaa sana

  • @jamesmutali4356
    @jamesmutali4356 3 місяці тому

    jaymoh mtoto wa shamgaz live from timbito malava kenya

  • @user-rz9uf2xx1x
    @user-rz9uf2xx1x 2 місяці тому

    Ndio nimefaulu kutegeneza sim😢yangu ilikua mbovu😢wenzangu mlimaliza etiee😮

  • @biommy6700
    @biommy6700 Рік тому +3

    Nzuri iyoo can't wait next aisee

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 Рік тому +3

    Shilingi noma sanaaa😂😂😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Рік тому +2

    Hongeren sana madebe hujawahi kosea kazi mzr sana❤❤❤❤

  • @hadijamwakare5713
    @hadijamwakare5713 Рік тому +2

    Hongera sanaa move nzuri ❤❤❤

  • @maburudani1234
    @maburudani1234 Рік тому +2

    Nammiss mzee jengua😂😂😂😂❤❤❤❤❤😊

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Рік тому +1

      Hata sijuwi kwanini vitu vizuri havidumu😢😢😢😢

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Рік тому +3

    Mungu akurehemu mzee jengua we still love u

  • @fatimafatuma4848
    @fatimafatuma4848 Рік тому +1

    ❤❤ nawapenda sana

  • @kavulumay9460
    @kavulumay9460 Рік тому +1

    Nimeikubali🙌🙌🙌

  • @OmmyManengelu
    @OmmyManengelu 4 місяці тому

    Hongera. Sana. Broo. Ww. Ndio. Kanumba. Namba. 2

  • @user-sv6zy3hc8o
    @user-sv6zy3hc8o Рік тому +3

    Jamani fungafunga katokea wapi tena mbona mwanikosha mie uwiiiii

  • @user-cm4iu7ow1y
    @user-cm4iu7ow1y Рік тому +1

    Nzuri sana,tuomba muendelezo

  • @yasmeen3429
    @yasmeen3429 Рік тому +2

    Hongereni sana wazee ❤❤❤

  • @Emanueljanuary
    @Emanueljanuary 3 місяці тому

    Mnazingua sana mbona mmeifungia kudownlod sasa ndio pigo gani

  • @Aneduu254
    @Aneduu254 Рік тому +3

    Maskini kuoa Kwa tajiri aki Dunia ni dhuhala😢😢😢

  • @yusufmsaa5693
    @yusufmsaa5693 Рік тому +2

    Piga kazi bro yani wewe ongeza kila wakati vipande vijae uku

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 4 місяці тому

    Munvi nzr san hongeleni

  • @johnurio1900
    @johnurio1900 Рік тому +1

    Huyu dada ndio auchukulii serious

  • @mbembefilms5379
    @mbembefilms5379 Рік тому +1

    Kaz nzurii sanaaa

  • @aminamwanzala2183
    @aminamwanzala2183 Рік тому +2

    Wooow 🥰🥰😘

  • @ancillarneema
    @ancillarneema Рік тому +2

    Jaman nachanganyikiwa aky uyu Mzee funga funga si alikufa jaman

  • @maurinenarotso2193
    @maurinenarotso2193 Рік тому +1

    Nimeipenda sana next plzzzzz

  • @user-ko4in4uy1u
    @user-ko4in4uy1u 11 місяців тому

    Yanii Hiyi Movie inaniumiza. loho Yangu Kbx 😭😭😭😭😭 Muna Nikumbusha Mbari Sana Kbx Eeeeeee Mungu Wangu Nataka Papayangu Umupe Maishaa Marefuu

  • @user-bm4jq4qz2u
    @user-bm4jq4qz2u Рік тому +1

    Hii nayo ni hatar

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-zk7ms8qj2x
    @user-zk7ms8qj2x Рік тому +1

    Nimeipenda

  • @samsonbaruani865
    @samsonbaruani865 Рік тому +2

    Madebe hajawahi kuniangusha hata kidogo

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Рік тому +1

    Mzee jengua kz zako zidum milele❤❤❤❤

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 Рік тому +1

    Na jengua yupo kumbe ni ya muda mrefu

  • @hassanabdul7141
    @hassanabdul7141 Рік тому +1

    Mmefeli sehemu moja2 hamjaweka sehem ya kudownroad

  • @afriexpertfashion3584
    @afriexpertfashion3584 4 місяці тому

    Hey hili ni bonge la movie na pia nimependa quality ya video wanayo tumia management wanitafute niwaunge mkono

  • @ancillarneema
    @ancillarneema Рік тому +1

    Santha wee wakwanza npen like zote plz...asanten wahusika movie tamuuuuuuu🤸🤸🤸

    • @Farthun
      @Farthun Рік тому

      😂😂😂😂😂😂😂 Mashaallah hongera zako

    • @Farthun
      @Farthun Рік тому

      Asante dj kwamuendelezo

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Рік тому +1

      😂😂😂😂😂

  • @Farthun
    @Farthun Рік тому +3

    Ila wazazi wengine hawatendi haki kwa watoto wao 😢😢😢😢

  • @user-dg4es1nl7u
    @user-dg4es1nl7u 11 місяців тому

    Ndo matatizo haya asa maana kuoa kwamtu tajil hahaha ndo hvy

  • @user-qn5vo1sy3p
    @user-qn5vo1sy3p 11 місяців тому

    ❤❤❤🎉🎉

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Рік тому +1

    Acheni nitafute hela jamani nazijua dharau kama huna kipato sasa hapo madebe angekuwa na hela hata kama kasaliti angepewa tasrifa

  • @saidhamisi8986
    @saidhamisi8986 Рік тому +2

    ❤❤❤❤❤❤🎉

  • @ngova12345
    @ngova12345 Місяць тому

    Nmi

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 Рік тому +1

    Nice madebe

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Рік тому +1

    Uyu drtk anaboa ss kusema ajajifungu mtt ndo nn nilishtuka nikajua kajifungua jiwe

  • @mulundi
    @mulundi Рік тому

    Yan iyi kitu noma inabamba kibabe lkn miwakwanza t nyipen like zangu nikauze

  • @jumaantony8087
    @jumaantony8087 Рік тому

    mjini vp leo hàmtuonyeshi mbn

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 Рік тому +2

    Mtu alietoka kujifungua hawezi kuita kwa nguvu wala kuwa na nguvu ivo😂

  • @zulfayusra8747
    @zulfayusra8747 Рік тому +1

    Mzee funga funga amerudi tna jamani

  • @SeifMkaranga-sv6ss
    @SeifMkaranga-sv6ss Рік тому +3

    Madebe tunaihitaji mkwaju muendelezo wake

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Рік тому +1

    Jamani muosha magari sio mtu?

  • @alistowilly
    @alistowilly Рік тому +1

    Huyu mzee bado yupo?au nimdogo wake

  • @user-qn5vo1sy3p
    @user-qn5vo1sy3p 11 місяців тому

    Sawa

  • @ancillarneema
    @ancillarneema Рік тому +2

    Sasa mtoto unapeleka wp madebe😂😂😂

  • @user-ii7tl7ns4z
    @user-ii7tl7ns4z Рік тому

    Jaman madebe umenikosha mno mm

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Рік тому +1

    😂😂😂😂😂jmn

  • @tunumussa945
    @tunumussa945 Рік тому +1

    4 ep

  • @rozakita7506
    @rozakita7506 Рік тому +1

    ❤❤❤❤

  • @BiisheBugao
    @BiisheBugao Рік тому +2

    Next episode plzz yani inabamba ajabu 💋👌👌

  • @mfukojr
    @mfukojr Рік тому +1

    Rip mzee we2

  • @zena6203
    @zena6203 Рік тому

    Hospital zingine nikubwa ilazakishambaaaa tu

  • @rizikikazi3221
    @rizikikazi3221 Рік тому

    Funga funga si ni marehemu

    • @abdihamzah
      @abdihamzah  Рік тому

      Mungu ailaze roho yake mahala pema. Hii ilikuwa moja ya kazi zake za mwisho

  • @oscaroscar2555
    @oscaroscar2555 Рік тому +1

    Mali yamasikini ni mtoto na mali ya tajili ni pesa kunautofaut mkubwa sana yan ni kuta mbiliaziwez kuingiliana mpaka dunia inaisha😭😭😭😭😭🙏🙏

  • @user-dv5gc7jt5n
    @user-dv5gc7jt5n Рік тому

    Catamusikyawakabo

  • @alistowilly
    @alistowilly Рік тому

    Mbona alishafariki

  • @nailaty
    @nailaty Рік тому

    Kwani hii movie ni marudio au huu mzee jengua si alisha fariki?

    • @winniembodze5378
      @winniembodze5378 Рік тому

      Apo ndo sielw 😂

    • @babycappuccinocappuccino
      @babycappuccinocappuccino Рік тому

      Hizi movie zinakuwaga za muda zinalushwa kwenye tv uko baadae ndo wezi wanaiba wanaleta youtube na sis tunaona mana wakilusha pale pale za moto moto wanashtakiwa na wenye movie zao so ukiona mtu alikufa na yupo hapa usishtuke

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Рік тому

    Kmb mchezo aliucheza baba

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Рік тому

    Kwa kuiba mtoto umefanya Movie kua ya hovyo ukweli usemwe hakuna mwenye maisha ya hivyo akaenda mtoa mtoto kwenye raha akamleta kwenye shida Dam n Dam lazima wakutafute wakikua..!! Ww sio Mtunzi Mzuri n sifa unapewa 👎👎

    • @mamasalhat
      @mamasalhat 11 місяців тому

      Kwa kukosoa Tu mupo vzr sasa wachanganyikiwe VP wakati wanajua alio muiba mtoto ni Baba mtu sasa wamsake VP na polisi juhudi unaziona ebu acheni kukosoa ebu chezeni nyie move zenu tuone

  • @Wanyuztz
    @Wanyuztz Рік тому +2

    😂😂😂apa kwanza ncheke binti Ako hajajifungua mtoto

    • @epmarkchami2536
      @epmarkchami2536 Рік тому

      Ata me nicheke kwanza bint yako ajajifu ngua mtt kajifungua mapacha

    • @NicodemusKithi-xe7mg
      @NicodemusKithi-xe7mg Рік тому

      Big up madebe💯🔥🔥🔥natizama kutoka Gulf..

    • @fatumabakari2640
      @fatumabakari2640 11 місяців тому

      ​@@NicodemusKithi-xe7mgSI wengine tuna rudia tu tuliona kwa sinema zetu

  • @maburudani1234
    @maburudani1234 Рік тому +1

    ❤❤❤🎉🎉

  • @Aneduu254
    @Aneduu254 Рік тому

    Maskini kuoa Kwa tajiri aki Dunia ni dhuhala😢😢😢