MAREKANI IMESHINDWA KUWALINDA WA ISRAEL NI WAKATI WA PALESTINA KUJIKOMBOWA INSHAALLH

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 18

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 2 місяці тому

    Mzee umeongea vizuri sana! Umechambua vizuri sana! Iran sasa ina nguvu kubwa kijeshi na tayari wana makombora ya nyuklia. Marekani ikijaribu tu kuishambulia jibu litakalotokea hapo ulimwengu utashangaa!

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 2 місяці тому

    Shukran Sheikhe wetu nakufatilia kutoka Qatar

  • @mdmohiuddin6488
    @mdmohiuddin6488 2 місяці тому

    Allah akubarik sheikh wetu from Canada

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 2 місяці тому

    Waleykum Salam warahmatullah wabarakatuh from 🇴🇲

  • @NganziSalimu
    @NganziSalimu 2 місяці тому +1

    Ahsantum

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 2 місяці тому

    Kweli kabisa sheikh kurwa shauri

  • @ArafatAbdullahAwadh
    @ArafatAbdullahAwadh 2 місяці тому

    MaashaAllah shekh

  • @MussaBakil
    @MussaBakil 2 місяці тому +2

    Hakuna kiongozi mwema wa malekani wote wezio ulaya hawana ujanja kwa waa frika na kwa walabu tukiacha unafiki ulaya wata tupigia magoti ipo siku vituku vyetu vitashisalama

  • @NickieMaina
    @NickieMaina 2 місяці тому

    Sheikh naomba ikiwezekana uwe unaandaa video kama nne kwa siku kuhusu vita vinavyoendelea video Moja haitoshi na tunakupenda sana

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 2 місяці тому

    na bado hao mayahudi wapigwe vzr kabisa juu wamezidi kuuwa wenzao

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 2 місяці тому

    Sasa tumemjua muuaji! Muuaji ni Natanyahu!

  • @ChachaMotte
    @ChachaMotte 2 місяці тому

    Mzee acha unafiki Israeli taifa la ahadi ili Israel itawanyike mungu mpaka apende juwa kuwa Iran nyuma yake kuna mrusi

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 2 місяці тому

    Ukimbana sana paka na akiona hana jinsi hugeuka kua chui mwenye nguvu! Anaweza kuruka na kukurarua usoni! Ni hatari sana! Iran imebanwa sana kwa vikwazo na Sasa imekuwa na nguvu kama chui! Sasa ina nguvu kubwa kijeshi na teknolojia!

  • @MOHAMEDSHARIFF-o4n
    @MOHAMEDSHARIFF-o4n 2 місяці тому +1

    Mzee wangu hiyo kauli ya kuwaambia watu israel ndio anapigana ni propaganda anapigana hiyo vita ni marekani,uingereza na nato waambie watu wajue hao ndio wanapeleka jeshi na silaha

  • @JohnKaliadi
    @JohnKaliadi 2 місяці тому

    Wafrika sudani wanapigana mpaka sasa je irani imewasaidia au sababu ni waafrika,

    • @KikwaleRashid
      @KikwaleRashid 2 місяці тому

      We muafrica ndio ukawasaidie wezako

  • @JohnKaliadi
    @JohnKaliadi 2 місяці тому

    Ukiandikiwa utumwa utakua mtumwa tu,wafrika tutabaki kilalamika,hao tunao watetea je wanatusamini sisi wa afrika,huyo comen anawajua shia wezake tu,.sisi tunawapenda je wao wanatupenda wafrika.,,,, unaongea ukweli kuhusu hao ,ila wafrika tunatambuliwa