Jinsi ya Kubadili miche ya Parachichi za Asili kuwa za kisasa. "Budding"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • ✍️Jifunze hatua kwa hatua, jinsi ya "Kubadi" Miche ya parachichi ya asili kuwa ya Miche ya kisasa.
    ✍️Hatua ya awali kuotesha miche fuatilia somo hili👇👇👇 • Jinsi ya Kubadili mich...

КОМЕНТАРІ • 166

  • @fredrickleoni283
    @fredrickleoni283 6 місяців тому +2

    nashkuru sana naomba kuuliza ivo vikonyo huwa vinauzwa au vinapatikana vp boss

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Vinatoka ktk miti y parachichi iliyozaa. Iwe ya kisasa so inabid uongee na watu mwenye iyo miti,, AU waweza nunua kwa ao

  • @MbuaPatlick-x1q
    @MbuaPatlick-x1q Місяць тому +1

    Nashukulu san kwa talasa lak nirikua nauliza iyo gundi niyavip

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Місяць тому

      Ni ya karatasi kama vifuko ya kuwekea karanga

  • @KelvinBoniphase
    @KelvinBoniphase 2 роки тому +2

    Shukrani sana KWA elimu

  • @user-rr3ov4rd8t
    @user-rr3ov4rd8t 9 місяців тому +1

    Mungu awabariki sana kwa elimu zuri .swali karatasi unafubika kwa muda gani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Ndani ya wiki 2/3 yaan majani mapya yanapo Anza kuchipua

  • @yahyagonga
    @yahyagonga 8 місяців тому +1

    Ahsante Kwa elimu hii Naomba kuuliza kwamba nikitumia mparachichi uliokomaa WA kienyeji wenye uzazi mzuri unaweza kuleta mavuno mazuri?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 місяців тому +1

      Ila uukate Kisha ubadi

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu 2 місяці тому +1

    Napataje vikonyo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 місяці тому

      Upo wapi ndugu tuone ni Nani aliyekaribu nawe akutumie kiurahisi

  • @rukamirwaanthony4226
    @rukamirwaanthony4226 Рік тому +1

    Nimeipenda . Naomba kujifunza jinsi ya kuzalisha vikonyo vya mibuni

  • @rogasianmarandu3332
    @rogasianmarandu3332 Рік тому +1

    Mungu awabariki sana kwa elimu mnayotupa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Amina ndugu. Na we pia

  • @paulotarimo1800
    @paulotarimo1800 Рік тому +1

    Safi nlikuwa sijui

  • @jadilimasambo732
    @jadilimasambo732 3 роки тому +1

    Safi sana kwa elimu yenu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Pa1 ndugu Barikiwa🙏🙏🙏

  • @user-wh6eq4db4l
    @user-wh6eq4db4l 6 місяців тому +1

    Je unaweza kubadisha na mparashishi wowote naomba jibu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Lazima kikonyo kitoke kwa parachichi za kisasa

  • @user-wh6eq4db4l
    @user-wh6eq4db4l 6 місяців тому +1

    Naomba mutupe elimu ya kuotesha epuli mana hutujuwi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Ok noted ✍️👍🤝

  • @zainabgwao9648
    @zainabgwao9648 2 роки тому +1

    Ntapataje hivyo vikonyo?? Hongera sana nimependa Mungu akubariki

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Tuwasiliane. +255765467484 wasap

  • @pitsonkatule
    @pitsonkatule Рік тому +1

    Asante mkuu

  • @jonathansikanyika434
    @jonathansikanyika434 2 роки тому +1

    Nashukulu sana kwa some he ninaweza kabadi miti wowote ili mladi unazaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Ni kweli ndugu. Barikiwa pia🙏🙏

  • @VeronicaTimoth-pw5jt
    @VeronicaTimoth-pw5jt Рік тому +1

    Inawezekan kubadi miparachichi ya kienyeji kwa mche wa kienyiji mwingine?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому +1

      No hiwezekani ndugu apo hautapata mabadiliko maana LENGO la kubadi ni kubali mche toka kienyeji hadi kisasa

  • @ibrahimabdallah6237
    @ibrahimabdallah6237 Рік тому +1

    Asante sana ijapo nimechelewa kuiona ila nilitaka kujua unatumia gundi yeyote aw?💪💪🙏

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Solotep nyeupe laini ivi

  • @emanuelymwalutoro-xe9yd
    @emanuelymwalutoro-xe9yd 10 місяців тому +1

    Da kak kilimo hiki nimekipend san. Je nawez kupat mich ya kununua angalau 10 tu nianz nayo iyo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 місяців тому

      Karibu sana tuwekeze ndugu. Miche ipo mingi Sana. Kwani upo wapi? Na unataka kupanda wapi

  • @user-wo5gp1xo5m
    @user-wo5gp1xo5m 5 місяців тому +1

    naomba bei ya vifaa vyote vya kupandikizia na bei zake kwenye maduka ya pembejeo

  • @Steve-oh6mu
    @Steve-oh6mu Рік тому +1

    Nilazima kukata kikonyo kwenyemti ambao umesha toa matunda.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Tena uwe umezaa zaidi ya Mara 2

  • @user-bp4mj3lj4p
    @user-bp4mj3lj4p 9 місяців тому +1

    BAADA ya kufunika vimfuko unatakiwa kuvitoa BAADA ya muda Gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Mara vioteo vipya vikianza ni kama wiki mbili ivi

  • @zanzibareasy-ih9oc
    @zanzibareasy-ih9oc Рік тому

    Ok sawa tumefaidika

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Tupo pamoja ndugu 🙏🏿 ✍️

  • @ndizindeleti761
    @ndizindeleti761 4 місяці тому +1

    Njia hii unaweza kutumia hata kwenye miembe?

  • @user-wh6eq4db4l
    @user-wh6eq4db4l 6 місяців тому +1

    Je mm nikitaka miche ninaweza kuyapata mm nipo zanzibari

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Una mtu Dar? Ili tutume hadi Dar

  • @MaulidySalum
    @MaulidySalum 3 місяці тому +1

    Mm naishi mkoa wa pwan nalipenda hilo zao je linalimika

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 місяці тому

      Kama zanzibar wanalima tunaamini Ata uko inawezekana

  • @SurprisedArcade-rf7hs
    @SurprisedArcade-rf7hs 7 місяців тому +1

    Nilikuwa na shida na namba ili tuwasiliane zaidi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 місяців тому

      OK tutakutumia

  • @bornifacesilomba2648
    @bornifacesilomba2648 3 роки тому +1

    Hivyo vikonyo mlivyounganishia mmechukuwa kwenye mti wa mparachichi wa kisasa au wa kawaida?

  • @user-rd6lz4oh1i
    @user-rd6lz4oh1i 5 місяців тому +1

    Mwezii wa kubadii ni mwez wa ngapii

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Ni muda wote. Kama ni kiangazi hakikisha Una mwagia maji na kutengeneza kivuli

  • @happiedalus9735
    @happiedalus9735 8 місяців тому +1

    Yanazaa baada ya mda gani

  • @hamiskigwerere5047
    @hamiskigwerere5047 3 роки тому +1

    Ni utaalamu mzuri ASANTE

  • @davidchotimbao2003
    @davidchotimbao2003 Рік тому +1

    Vikonyo havitakiwi kukaa muda gani baada ya kukatwa?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Kama vikitunzwa vizuri HADI wiki ukaa

  • @goldtvtz2739
    @goldtvtz2739 2 роки тому +1

    Je Kama umeshapanda ya kienyeji ,ila bado michanga unaweza kuichange shambani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Ndyo hatua za kubadi ivyo ivyo

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 2 роки тому +1

    Safi Sana...je ! Kimfuko Cha juu utakitoa baada ya muda gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Mara mche utakapo anza kutoa majani mapya

  • @user-pn6rp6ld6q
    @user-pn6rp6ld6q Рік тому +1

    Je ni lazima kutumia soltepu tuu, hakuna njia mbadala

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Ni kutumia vifuko ivyo ivyo waweza fungia

  • @enelymwakyoma3285
    @enelymwakyoma3285 6 місяців тому

    Je kama nikitumia mbegu ya mparachichi wa kisasa kuotesha je unaweza kuwa ni mti pia wa na ukatoa parachichi za kisasa ?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Unaweza. Japo hutajua ni mbegu ya Aina gani yaan kwa shamba kubwa ni vizuri tu uje kubadi baadae uwe na uhakika ni Aina gani y mbegu husika.

  • @JohnMagesse-sz2uy
    @JohnMagesse-sz2uy Рік тому +1

    Nashukuru nimefurahi naomba ni ya cm kwa mawasilino

  • @wilihardkimario
    @wilihardkimario 6 місяців тому +1

    Mche mmoja shilingi ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 місяців тому

      Tsh elf 3 hadi 5 utegemea na ukubwa wake

  • @SuleymaniMwamwasi
    @SuleymaniMwamwasi 4 місяці тому +1

    Vikonyo vya kuunganisha vina patikana wapi

  • @ireneoulanga9107
    @ireneoulanga9107 2 роки тому +1

    Vikonjo vinatolewa kwenye unaozaa, je uwe umezaa miaka mingapi,?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Angalau miaka miwili

  • @johnmwale7896
    @johnmwale7896 Рік тому +1

    Ukivalisha mfuko huo wa juu ili kuzuia maji yasiguse kidonda, huo mfuko utachukua muda gani ili utolewe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому +1

      Jani jipya linapoanza tu kuota

  • @sarunimollel6306
    @sarunimollel6306 2 роки тому +1

    Kaka nashukuru kwa Somo lako ila changamoto ninayopata Mimi nilishawahi kubading hivyo lakini mwishoe sikufanikiwa Miche hiyo ilikauka naomba ushauri nifanyaje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому +1

      Vikonyo vyako havikua poa. Pia mbolea chini ya ardhi yaani pale viriba vinapokaa au ule udongo wa kuweka kw viriba unatakiwa uchanganye nabolea. Pia yawezekana ukufunga vizur kwenye kiungo chako🙏🤝

  • @alexbayonga4911
    @alexbayonga4911 2 роки тому +1

    Naweza fanya budding kwa mparachichi amabao haujatoa matunda na kupata matokeo mazur ?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Yes inawezekana ndugu

  • @mildredchonya2224
    @mildredchonya2224 5 місяців тому +1

    Napataje miche? Niko dodoma

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Tuwasiliane tu wasap +255765467484

  • @agreymwainyekule1123
    @agreymwainyekule1123 2 роки тому +1

    Napataje soltep na inauzwaje maana huku iringa ni changamoto

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Maduka ya pembejeo utapata

  • @floraminja8688
    @floraminja8688 2 роки тому

    Nimeipenda uyo staili , nimeitesha parachichi la kienyeji je naweza kuunganisha tawi la parachichi linaloza la kawaida? Naomba jibu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Ndyo unachukua vikonyo na una badi

  • @sostenkamate939
    @sostenkamate939 2 роки тому +2

    Nashukuru kwa elimu hiyo swali ni je hivyo vifuko na hiyo gundi vinapatikana wapi?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Madukani ya kawaida japo ilipigwa marufuku na serikali 🙏😀 ni ile ya kuuzia karanga

    • @lameckmvungi9683
      @lameckmvungi9683 2 роки тому +1

      je kwenye nailoni sikutatoa jasho?? siitaozesha hichokikonyo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Hapana ndugu ndani ya wiki mbili mche kuanza kuota tunatoa

  • @godblessmangi9039
    @godblessmangi9039 3 роки тому +1

    Nimejifunza kitu japo duh inatakiwa subira na kujituma kwa bidii kwa hiki kilimo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Ni kweli kabisa🤝🤝🤝

  • @dewelamily2602
    @dewelamily2602 2 роки тому +1

    Kuwatika mapeke kwanza kwenye udongo kuna tatizo lolote?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Hapana ndugu itakua vizur tu🙏

  • @Ibrahim-gs5sq
    @Ibrahim-gs5sq Рік тому +1

    Inachukua muda gani baada y mche kuota hadi kufayiwa budding?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Utegemea na Hali ya hewa lakini ni miezi 2

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Рік тому +1

    Wapi hapo ili nifuate miche ya parachichi zao zinavutia.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Tukuyu iyo ipo ya kutosha bei poa sana tu Kaz ni kwako ndugu yaani wewe ni kwenda kupanda tu

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 Рік тому

      @@AGALUSTV nitaifuatilia

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 Рік тому +1

      @@AGALUSTV Kuna mdogo wangu Mbeya nimuelekezeje ili afike huko kunichukulia

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Sawa ndugu +wasap +255765467484 upo wapi kwani ili tuone usafiri itakuaje

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 Рік тому

      @@AGALUSTV Mimi nipo Morogoro Kilombero Sugar-Ruaha

  • @joycegalamanya7535
    @joycegalamanya7535 Рік тому +1

    Hyo gundi uliyofungia inatolewa baada ya muda gan?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Hadi shambani mti ukiwa umeshika vizuri yaani kuota majani mapya

  • @charlesngumbi5834
    @charlesngumbi5834 Рік тому +1

    Unapata wapi hizo gundi za kuunganishia hiyo Miche?

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 2 роки тому +1

    Habari mm nina miti nimepanda leo ni mwaka wa tatu je naweza kufanya bading

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Unaweza unakata matawi yote ya juu na kuweka vikonyo vya kisasa/ budding🙏

  • @zainabgwao9648
    @zainabgwao9648 2 роки тому +1

    Mbona hutoi no yako ya simu tunakupataje??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      OK nakupa ndugu kama una shida ambayo haiwez kutatuliwa kwa kuandika apa basi namba utapata🙏🙏🤝

  • @humphreykessy1978
    @humphreykessy1978 3 роки тому +2

    Mifuko yakufunikia baada ya kuunga inatolewa baada ya siku au muda gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Viotea vya majani vya kwanza kabisa yaani kw juu pale vikianza tu kuota unatoa mifuko. Ndani ya wiki 3 hadi 4 hutegemea na hali y unyevu nyevu miche yako🙏🙏

  • @rashidissa5887
    @rashidissa5887 2 роки тому +1

    Wa Zanzibar tutapataje Miche?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Upo wpi unatumiwa tu

  • @elinamilyamuya3277
    @elinamilyamuya3277 2 роки тому +1

    Je? Naweza kubad mtu WA papai.
    Hatakama nimkubwa kiasiflani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Ncha ya pencil kama ya parachichi tu

  • @PaulJohnJames
    @PaulJohnJames 10 місяців тому

    Namna ya kupata hizo parachichi za kisasa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 місяців тому

      Nini Miche au MATUNDA yake

  • @agreymwainyekule1123
    @agreymwainyekule1123 2 роки тому +1

    Au ina jina tofauti na soltep?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Iyo iyo au dundi nyeupe solo tep

  • @ernestmangula5255
    @ernestmangula5255 2 роки тому +1

    Unapo funika mifuko hiyo mmea unapataje chakula chake mtalamu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Majani ya nakua Bado vikonyo havina majani kwa hiyo haina shida baada tu Jani kuanza tunatoa Miche

  • @josephkalunju8564
    @josephkalunju8564 2 роки тому +1

    Navipi inachukua mdagni kuaza kutoa mtunda

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 2 роки тому +1

    Mko wapi ,tunapata je Miche yenu tukiwa njombe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Tupo mbeya miche unatumiwa🙏🙏

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 2 роки тому +1

      @@AGALUSTV hapo zipo gharama za usafiri kutokea mby Hadi makambako pengine Hadi shamba nitawatafuta Kwa maelekezo zaidi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Ok karibu

  • @zainabgwao9648
    @zainabgwao9648 2 роки тому +1

    Ntapataje hivyo vikonyo??

  • @akyoobaraka9582
    @akyoobaraka9582 3 роки тому +1

    Gundi tunatoa lini?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Majani mapya yakichanganya yaaani mche ukamilike kabisa tayar kw kupeleka shambani

  • @maryalbert566
    @maryalbert566 3 роки тому

    Huo mti ukishatoa matunda ukala halafu ukaotesha llile kokwa ukaota huo mti utazaa Matunda

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Utazaa bila shida 🙏🙏 tunafanya hivyo kwani hatuna uhakika kama mbegu zote ni za kisasa zingine ni za kienyeji kw iyo tunabadi kw yote tu

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Рік тому +1

    Hakuna picha

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Unahitaji?

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 Рік тому +1

      @@AGALUSTV Sana mngoni/mndendeule mwenzangu Luambano

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Aaaaaah 😀 😀 hiii imeeeendaaa

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 Рік тому

      ​@@AGALUSTVHapa sasa inaenda sawaa si upitie chanel yangu pia bana

  • @husseinwahid9755
    @husseinwahid9755 3 роки тому +1

    Kwanini mpalachichi ukiupanda mkubwa kam futi 4 .unakufa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Tuzidi kufuatilia sababu za sayansi kwa nini 🙏🙏

    • @raphaelikisaka3259
      @raphaelikisaka3259 Рік тому +1

      Mnapatkana. Wapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Dar, mbeya ,Kagera ,Moro pia

  • @emanuelpakia6943
    @emanuelpakia6943 3 роки тому +1

    Hiyo mimea baada ya kupandikizwa inachukua mda gani kuzaa parachichi

  • @musaallyson6666
    @musaallyson6666 3 роки тому +1

    Vp kuhs kanda ya ziwa miparachch ming haistaw kwa nn

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому +1

      Naomba tuzid. Kuchunguza au tufanye utafit ni kwa nini

    • @lodiulomi3686
      @lodiulomi3686 3 роки тому +1

      Nahitaji miche naomba namba ya simu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 роки тому

      Upo wapi

  • @user-te4cp5mh7z
    @user-te4cp5mh7z 2 роки тому +2

    𝐒𝐡𝐮𝐤𝐫𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐨 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐮🙏🤝

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому +1

      Barikiwa🙏🙏