UTABIRI MZITO! NABII MWASUMBI Ataja MSHINDI wa URAIS Mwaka Huu, "NILIKUWA Kwenye MAOMBI ya SIKU 30"
Вставка
- Опубліковано 15 сер 2020
- UTABIRI MZITO! NABII MWASUMBI Ataja MSHINDI wa URAIS Mwaka Huu, "NILIKUWA Kwenye MAOMBI ya SIKU 30"
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Nabii mungu aendelee kukutumia, mi nampenda Sana Magufuli
Kiukweli unabii huu ni timilifu. Mungu awabariki watanzania.
Mungu akubariki na kongamano lote pia
Mungu nimtakatifu sana wewe nikada wachama ccm nimawazo yako watu wanalia amebaka serikar zamita mungu gan watu wametekwa anatumia nguv kupola baazi yamajimbo mungu hanadhuruma mungu hapendi unyanyasaji ninamashaka naunabiwako
Amina
Nabii Wa ccm mi Wa chadema nimeoteshwa NA mungu
Hakuna wanyonge Tanzania maana tumeambiwa kinyonge hakitaingia. Ufunuo umeandika wazi
Na iwe hivyo
Watu wa Mungu mnakwama wapi? Kwa nini msihubiri neno la Mungu. Hivi huko kanisani siku hizi hakuna waumini?
Naona siku sio nyingi zijazo sadaka zitatozwa kodi kusudi manabii wajikite kwenye neno sahihi la Mungu. Maana imeandikwa ya Kaisari mpe Kaisari
Nimecheka unashauri kodi iwe asilimia ngapi?
Sasa Mbona Nabii anaegamia upande mmoja?
Mko wngi kama nyiny mngekuwa mnajishuulisah na biashala mngejuwa ali ilivyokuwa ngumu lia nyie sababu mnategemea sadaka endeleen ila siku ynu moja tu
Kweli Magufuli ni chaguo la Mungu
Yesu ndiye mungu Wa kuabudiwa 1timotheo3:16,warumi 9:5,Isaya 9:6,Yohana 14:7___,Yohana 5:45-47,aminini yesu ndiye mungu Wa kuabudiwa ,Amen.
Yesu kaumbwa ni nabii vipi atakuumba wewe mungu ndio muumba pekee kuitwa mungu
Mwakasege ametufundisha kuiombea nchi nyakati zote ndivyo navyofanya namwamini Mungu
Utapata aibu mambo yatakapoenda tofauti, Yaani inaonyesha wazi we Chama cha kijani, Msingizie Roho wa MUNGU kumbe unatimiza ukada wa Chama, Hakuna MUNGU hapo, ni mtazamo wako tu
Ww kama nan mpaka uwoteshwa na mungu kama c mashaitani
WASHA KUPOTOSHA WATU KAKOBE KATABILI MLEMA GWAJIMA KATABILI RUWASA WACHA HAYO UNATAFUTA KK HAKUNA MUTU WA MUNGU WOTE WAJA WA MUNGU
Hhhhhhhhhhhh yani sahivi manabii kama waganga ni kama vile unaenda kwa mganga anakisia anakuambia mkeo ndo anakuroga alafu ukicheki ujaow wala hun mchumba akuna lolote ushaona upepo magu lazima apite at a Mimi nawza kutabiri acha unafk mmekuwa wanafk sanah
Magufuli ni Raid WA maino makuu ya Mungu.
WATUMISHI WA MUNGU HAWARUHUSIWI KUHUBIRI SIASA
INAKUWAJE UNAKIUKA MAADILI YA NCHI YETU???????
Tp
Watu watawadharau.
Wahubiri wrote mliopewa maono aemeni bila kuchoka kwakumseneavhuyu Raid magufuli..Nchi itqfanyika maajabu makuu yakiuxhumi.
Wew mtumishi kweli au .mnajiraulisha nyie .mnafanya jina la yesu kristo litukanywe
Unamaliza bando acha siasa
Pumbavu mkubwa wewe mungu na wewe mwizi wapi
Agalia watu watakubatua
Michembe hiyo
Wewe ni haujitambui unasaka kula
Usituletee upuuzi wako nenda kahubiri kanisani waombaji ni wengi
Huo ujinga wapelekee nymbn kwako
Acha unafiki kwani atujui tunajua akuna mwingine
Manabii wa africa asilimia 99 hawawezi kutabiri upinzani kwa sababu huwa picha zina ungua. Ni mmoja alie mtabiria upinzani mwaka huu. Na alimtabiria huyo mpinzani hana wazo hata kidogo alisema huyu akikubari kugombea huyo ndo raisi
Mtakuja kupata aibu na utabir wenu uwo
Unabii umetimia
Mda wa michembe
Njaa shida sana ,Mungu atusaidie na Tulehemu.
Mmesha anza why?
Mnatumia Mungu vibaya!!!m
Mbona majanga mengine hamsemiiii!!!????
Lissu atatuuza we
Tulia utapewa ubunge
muongo kabisa Nabii wa uongo MIUNGU MWENYEZI AKUKEMEE MUNGU NI MUNGU WA HAKI
Njaa ni mbaya sana
CCM haipenwi Tanzania maana imekimbilia kuwa na miradi mikubwa sana na kuwasahau walipa kodi. Watu wanalipa kodi kubwa sana lakini hakuna mrejesho kwa Wananchi. Hebu fikiria viwanda vingi sana Tanzania havifanyi kazi hawa watu wanaosindikiza misafara ya wagombea kungekuwa na ajira za viwandani misafara ingepata wapi watu. Magufuli miradi kama Ndege, reli za umeme, Fly over ingesubiri kwanza afufue viwanda vijana wapate ajira. Kule India hadi leo wabunge wao wanatumia bajaji, treni zao ni za kawaida tu lakini angalia ukiingia kwenye maduka ya dawa hapa Tanzania dawa nyingi na bidhaa nyingi zinazalishwa India. Mawazo ya Magufuli ni mazuri sana lakini anatakiwa aongoze nchi zenye vipato sio Tanzania. Unanchukulia kodi ya 100,000 kwa mwezi Mtanzania anaepata kipato cha dola moja kwa siku unategemea awe na maisha ya aina gani. Wafanya biashara wamefilisika, Wafanyakazi wamefukuzwa kazi bila kupata masilahi yao, Wana Siasa wanatekwa, Wanapigwa, Wanauwawa, Wanafunguliwa kesi zisizo za msingi jambo ambalo limekera sana Watanzania. Mbaya kabisa Serekali inalitumia jeshi la Polisi ambalo kisheria lilitakiwa lenyewe ndio linalinda Wananchi na Mali zao. Lissu anayajua haya yote na atayasema sana wakati wa Kampeni zake kwa kuwa amefanya kazi za sheria. Watu wanafunguliwa kesi mbaya zisizo na ushahidi wowote na wamejazana magerezani. Mbaya kabisa ile kodi inayokusanywa inaenda kuwalisha watu magerezani ambao mda wao mwingi wanafungiwa tu. Tanzania kipindi hiki cha Magufuli miji imeharibika sana. Hakuna biashara sehemu nyingi zimefungwa na watu hawana fedha za kujikimu kabisa. Watanzania wamekuwa waoga wa kuuliza au kutoa ushauri maana ukijifanya unajua kuhoji unatumiwa na CCM na Serekali yake watu "WASIOJULIKANA"
Hivi kumbe humu Kuna watu matopolo, aache kunua ndege, kujenga bwawa la umeme eti atengeza ajira hivi huyu mtu us anasikiliza hutuba za jpm? Hivi utaweka viwanda kea Bei hi ya umeme ambayo walitengeza mafisadi waliopita
@@habibabandru9174 nashangaa sana pia; yaani rais anafanya kazi namna hii watu hawaoni,?
Hujui unalolisema,viwanda bila umeme wa kudumu haiwezekani ndio maana Jpm anakazania bwawa la mwl Nyerere liishe ndio utaona ajira zinatafuta watu sio watu kutafuta ajira.Wawekezaji wanaangalia Infrastructure wewe Chadema upepo
Ugopeni Mungu wasiojulikana walitengeneza cdm
Upo chooni unahara nini
Hivi wewe darasa la saba ulifika kweli?
Tanzania ina wagonjwa wa Akili wengi sana,Hivi unapotabiri vitu jiulize na vityu vingine kama tume iko sawasawa?na je vyama vyote vina haki sawa katika nchi hii?
Hakuna Matanzania ambaye hamkubali Tundu Antipasi Lissu tatizo watu wengi wanawaogopa watu wasiojulikana ambao wako wengi sana wamezagaa nchi nzima. Baada ya Magufuli kuingia madarakani aliwafukuza Wafanyakazi 15,008 kwa visingizio vya kuwa na vyeti feki. Badae aliwaajiri "WATU WASIOJULIKANA" takribani idadi hiyo hiyo wengi wao wakiwa vijana wa Kabila lake la KISUKUMA kutoka Kanda ya Ziwa. Hivi kati ya Magufuli na Tundu Lissu nani ni rafiki wa karibu na mnaowaita "MABEBERU". Magufuli anaechukua mikopo na misaada kutoka nje au Tundu Lissu aliepigwa risasi akapelekwa Kenya hajijui na Ubelijiji baada ya kupata nafuu. Serekali ya Magufuli ilijipambanua kuzungumzia "USHOGA" mpaka Makonda akazuiliwa kusafiri kuingia nchi kama Marekani. Walipokaribia kukosa misaada toka Marekani wakafunga midomo na kupokea fedha hizo eti za kuwajengea Wasichana shule na nyumba za kulala. Leo hii wanamgeuzia Tundu Lissu kibao wanamwambia arudi kwa MABEBERU ilihali wakijua yeye ni Mzaliwa wa SINGIDA.
Hujui unachozungumza maskini wa mungu.
Ole wenu mabaii wa uwongo
Manabii wa uongo wanatafuta kiki
Kongole ntumishi WA Mungu. RAIA huyu siwakawaida anevuviwa Roho WA Mungu ( spiritually intelligence) Niwachache wayajuayo mambo ya Rihoni.
maneno yako mengi kuliko unabi sichatupime nihayetu
Unatafuta rasilimali watu,huna lolote
Mtachimwa moto siku ya mwisho
Mtu akikwambia kwa ametabiri jpm hatashinda mwangalie mara mbilimbili
Hata mngepingaje JPM hamtamweza ni kiboko ya mabeberu dunia nzima wanajua.Ngoja aje apate Nobel Prize halafu tuone mnasemaje.Mnavyozidi kumpinga ndio mnadhihirisha ujinga wenu wa kibeberu.
Huyo ndo atakua nabii wa kweli maana hawa wengine wanaangalia vitu virahis tu amvavyo hata mim naweza sema, lakin yule atakae enda tofauti na hawa watafutia matumbo huyo ndio mwenyew, Prophet yoa are supposed to be unique,.sio kwa sabab fulan kasema basi na wew unasema, we ushaona Maaskof wa kikatolik wanaropoka hovyohovyo kama hao wa madhehebu
@@festoluhwago287 Hahaaa nipe raha mie
Hamna unabii, anataka lakitu kadogo
Unaongea Nini wewe
Wewe ni wale manabiii wapumbavu wanaofanya mambo wasitumwa na mungu.