Nakumbuka mtiahani wangu wa form four nikiwa nimejiandaa vya kutosha nikaamua nipate motivation nikaweka Wimbo huu Trust huo ndio mtiani pekee nkapata A
Si migazeti mingine inalaani ukiwa mtulivu, Nilichogundua mimi kumbe inataka iuzeee🤔🤔🤔 Hii naitoa live na ninataka mjifunze (Sasa hivi) Zamani magazeti jamaniii weeeee😂😂😂😂😂😂ukikaa vibaya tu.., kesho umetokea kwenye front page ya gazeti la udaku😅😅😂😂😂😂
2024 bado naisikiliza hii ngoma Bonge moja la nyimbo Big Up sana Sir Nature much respect..
Anaesikiliza ngoma hii 2023 agonge like
Kibla A.k.a Nature
2024
Nimuache demu wangu eti kisa amesema musa..musa si kama "Paka" akiona kitu ananusa😅
Album ya ugali miaka 21 sasa.....enzi hizo..bado iko safi.
Hapa naisikiliza ni 29-6-2023
Nakumbuka mtiahani wangu wa form four nikiwa nimejiandaa vya kutosha nikaamua nipate motivation nikaweka Wimbo huu
Trust huo ndio mtiani pekee nkapata A
😀😀😀😀✌️
Wako kama wangu kwanini umezee mate
Old tupe ngoma ya Tonya ndoa bhna,tunakutegemea sana ktk mambo hyaa,
14/2/2024 naisikiliza
Mwenzenu leo mim nimenunuliwa chen ya dhahab na kila j2 tunaenda kumuona Muumin. Daaa ila Nature
😄
😂😂😂😂😂
Enzi hizo pale Radio Free Africa
Wako kama wangu kwanin umezee mate
Hii Albam ya Ugali ilisumbua sana mpk sasa ni balaa
Nature ngoma kali sana sisiwaenzihizo
Wako kama wangu kwanin umeezemate
Tabia hazilingani mbinguni moto wa kijani
Nice 🥰🔥🔥🔥❤🇸🇦🇰🇪
Respect Juma nature
Musa Kama paka akiona kitu ananusa
Classic track
Tutasakana na mapanga cku tukichoka 2022
Hehehe
Miso misond
27.12.2023
2002 hiyo kwa msiojua
Hapana mkuu
2002 ni sahihi
Kaka juma muda hunalusu wangu
Dulla mashine mshabiki wako tmk
2024
Acha pombe
Mbna Hamjiandiki nyinyi mnafata dada zetu....😂😂
😄
Kujiandika wapi mkuu
@@muhasatv9245 sikiliza sekunde ya 0.56 Nature anawaambia Wahandishi wa Magazeti mbona hawajiandiki kama wanafuata dada zetu....
Si migazeti mingine inalaani ukiwa mtulivu,
Nilichogundua mimi kumbe inataka iuzeee🤔🤔🤔 Hii naitoa live na ninataka mjifunze (Sasa hivi)
Zamani magazeti jamaniii weeeee😂😂😂😂😂😂ukikaa vibaya tu.., kesho umetokea kwenye front page ya gazeti la udaku😅😅😂😂😂😂