Swahilipot in Mombasa //Let's Explore Mombasa foods Together

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 21

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Місяць тому +2

    Mashallah ❤

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 Місяць тому +1

    Manshallah rukia ❤❤❤❤❤

  • @KK-ygh
    @KK-ygh Місяць тому +1

    You review of likoni mall was quite memorable.🎉

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  Місяць тому

      Noo I didn’t mayb my sister

  • @maggiekanyoi
    @maggiekanyoi Місяць тому +2

    ❤❤❤❤

  • @SummymaddyMaddy
    @SummymaddyMaddy Місяць тому +1

    Ushafika Mombasa ndugu yngu

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  Місяць тому

      Ndio emergency ilitokea tukarudi msa haraka

  • @shamzone388
    @shamzone388 Місяць тому +1

    Enjoy habibty ndio life kwa babu chondochondo

  • @SummymaddyMaddy
    @SummymaddyMaddy Місяць тому +1

    Mombasa raha

  • @HashimMohamed-ku8mg
    @HashimMohamed-ku8mg Місяць тому

    Subhaanallah!Yani lyf ya mtu na fmly yake anaiweka Kwa mitandao kisa ni views na comments?amesahau hasad na kijicho

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia  Місяць тому

      Shukran kwa comments yako …

    • @HashimMohamed-ku8mg
      @HashimMohamed-ku8mg Місяць тому +1

      Ww ni Dadangu ima mkubwa wangu au mdogo nakusihi jitoe katika mtandao watu wengi wamepatwa na balaa kupitia mitandao
      Zishukuru neema za Allah alizokupa Kwa kuzitumia Kwa ajili yake afya alokupa watoto na fmly Kwa ulokupa wangapi wazitamani?
      Hivyo vyakula unavonunua na mavazi kuna mtu atamani na Hana uwezo ww Allah kakupa hivi wavianika mtandaoni
      Sehemu unazoenda na mambo unayofanya watu wajue kisha ufaidike na nn?sio Kila mtu apenda mazuri yako ccta watu wahusudiwa na wanapatwa na vijicho wakapozea Kila kitu na wakawa hata wagonjwa
      Allah Atuongoze sote In Shaa Allah

  • @husseinjongo7588
    @husseinjongo7588 Місяць тому

    Hiyo gari ni toyota Ractis??

  • @nayef3903
    @nayef3903 Місяць тому

    Hapo ni country government office na governor wa mombasa