Aksanti sana Mutumishi Davista kwa kazi mugumu ! Mushuudizadji Aksanti sana nakutufundisha ! Mungu abariki vizazi vyenu ! Bwana Yesu apewe Sifa ! May God blessed this channel ! Merci beaucoup Davista ❤
Kaka Ahsante kwa simulizi nzuri ndefu inayoogopesha kujua kuwa ni jinsi gani mwanadamu wa kawaida tunayeishinaye anavyoweza kutumika vibaya na hao viumbe wa kuzimu kuharibu maisha ya binadamu wenzao na hata yao wenyewe. Wewe mwenyewe unajua madhara uliyoyapata kutokana na kazi ulizojiingiza kuzifanya. Nadhani pamoja na kuwa mpaka sasa sijui ulipataje wokovu wako, naona kabisa wakati unayafanya hayo yote ulidhani ulikuwa na nguvu za kumshinda Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni. Nashukuru sasa unaujua ukweli. Sasa Naomba nifahamishe hao madactari wanaofanya kazi za kuzimuni kama ulivyokuwa wewe sisi tunaweza kuwajua vipi. Na hivyo viungo ulivyokuwa unachukua kwake kukabidhi kwa hao watu wenu alikuwa anavitoa kwa watu wazima au waliokufa au waliokuwa wanakaribia kufa. Pia na yule mchungaji jamani Naomba niambie tunawezaje kuwatambua aina hii ya wachungaji ili tupate kuwaepuka. Tena niambiwe sisi binadamu watoto wa Mungu tunachansi yeyote ya kuingia peponi kama mambo yenyewe ndiyo haya honestly. Sasa angalia ni binadamu wangapi umewaangamiza wewe kaka jamani pamoja na familia yako yote. Mke wako yukowapi siku hizi na yule dada yako mchawi? Halafu mwisho kabisa sielewi kwa nini hukumuoa yule mwanamke mchawi aliyekuja kuomba mtoto kwako, ilikuwaje au wewe shughuli za kuoa ulizisahau. Natumaini hii simulizi itaishia kuzuri, AHSANTE
Miaka 15 ilioisha niliona movie ya naijeria ya hio kinyago watu walikua wanaombea mtu kanisani pepo lilitoka likaingia Kwa kichago tokea sikuhio nikiona vinyago vikiuzwa sina haja navyo
Kuna umuhimu tena wa kujenga spitali huyu jamaa ana dawa zote tena anatibu kwa dk tu sio spitali utibiwe kwa miezi nashauri spitali zote zivunjwe wagonjwa wote waende kwa huyu jamaa
Humu duniani kila mtu kuna pepo linalokufuatilia, lina uwezo wa kuvaa mwili wako, kuwa na sauti yako nk. Ukifa linabaki lenyewe na ndio hujulikana kama msimu, ila wewe kama wewe haupo
Aksanti sana Mutumishi Davista kwa kazi mugumu ! Mushuudizadji Aksanti sana nakutufundisha ! Mungu abariki vizazi vyenu ! Bwana Yesu apewe Sifa ! May God blessed this channel ! Merci beaucoup Davista ❤
Kaka Ahsante kwa simulizi nzuri ndefu inayoogopesha kujua kuwa ni jinsi gani mwanadamu wa kawaida tunayeishinaye anavyoweza kutumika vibaya na hao viumbe wa kuzimu kuharibu maisha ya binadamu wenzao na hata yao wenyewe. Wewe mwenyewe unajua madhara uliyoyapata kutokana na kazi ulizojiingiza kuzifanya. Nadhani pamoja na kuwa mpaka sasa sijui ulipataje wokovu wako, naona kabisa wakati unayafanya hayo yote ulidhani ulikuwa na nguvu za kumshinda Mwenyezi Mungu Baba wa Mbinguni. Nashukuru sasa unaujua ukweli. Sasa Naomba nifahamishe hao madactari wanaofanya kazi za kuzimuni kama ulivyokuwa wewe sisi tunaweza kuwajua vipi. Na hivyo viungo ulivyokuwa unachukua kwake kukabidhi kwa hao watu wenu alikuwa anavitoa kwa watu wazima au waliokufa au waliokuwa wanakaribia kufa. Pia na yule mchungaji jamani Naomba niambie tunawezaje kuwatambua aina hii ya wachungaji ili tupate kuwaepuka. Tena niambiwe sisi binadamu watoto wa Mungu tunachansi yeyote ya kuingia peponi kama mambo yenyewe ndiyo haya honestly.
Sasa angalia ni binadamu wangapi umewaangamiza wewe kaka jamani pamoja na familia yako yote. Mke wako yukowapi siku hizi na yule dada yako mchawi?
Halafu mwisho kabisa sielewi kwa nini hukumuoa yule mwanamke mchawi aliyekuja kuomba mtoto kwako, ilikuwaje au wewe shughuli za kuoa ulizisahau. Natumaini hii simulizi itaishia kuzuri, AHSANTE
Changamoto maswali ya msingi Kama hayo hayajibiwi.mimi nimeuliza hadi nimechoka
Miaka 15 ilioisha niliona movie ya naijeria ya hio kinyago watu walikua wanaombea mtu kanisani pepo lilitoka likaingia Kwa kichago tokea sikuhio nikiona vinyago vikiuzwa sina haja navyo
Nihatr sana haya mambo yakiza yanavitu vyaajabu ajabu
Asante sana kumbe " kila mganga ni mchawi"
Hapo kwenye mihuri kaka davistar naomba atufafanulie vizuri mihuri ni kule kuchangwa ana ni nn
Shokraan kwasomo lako tumejifunza kuhusu hawa waganga
Davista mfundishe mdogo wako Alawi ana maswali mengi. Hii story ingekuwa ni yy isingemalizika mwaka huu kwa maswali mengi..
Exactly
Du mpaka mwili wetu mnachuma dawa,hatari Sasa
Daah haya mambo,Mungu atusaidie
Nahi wavhungaji wachawi na 😮😮waganga wanakasirika sanaa
Kusema kweli ni kazi sana ku predict huyu jamaa alipona vipi.
I am the No. 1
Davista auna mbamba broo🎉🎉
Tupo ndani kujifunza zaidi siku mtaniona kwa mganga mniuwe sijawai na stokaa nikanyage
Tuko pamoja
Kama kawaaa
davista kama umemu autopilot mwamba anajisumulia mwenyewe tu apo maana hatukuoni
Mpaka mia kieleweke
Dawa yeusi ogopasana
Alafu huyo mama ni yupi ni huyo wa kuomba mtoto kwenye mzimu ama ni yupi
Kama una dawa zote kanini kuna spitali si uende muhimbili ukatibu wagonjwa ili upewe bajeti yote ya matibabu wew
Leo kaka yetu kachana nywele
😅
Loo kinyago kinapewa amri kinafata hii kubwa
Kuna umuhimu tena wa kujenga spitali huyu jamaa ana dawa zote tena anatibu kwa dk tu sio spitali utibiwe kwa miezi nashauri spitali zote zivunjwe wagonjwa wote waende kwa huyu jamaa
Wa 3 leo😂
😍😍
Loo.maiti kasha zikwa halafu ànaongea kweli hii stori uwongo umezidi
Inawezekan ndug yng mamb ya Giza yananguvu sana
Shida mnadakia story faatilien kwa makin utaelew tu mambo ya giza yanatisha sana
Bado huyu jamaa yetu ni mganga hadi saa hizi?
Inawekanaje mtu aliekufa akawa na kumbukumbu za kipindi akiwa hai?? Naomba atujibie ilo swali kaka
Humu duniani kila mtu kuna pepo linalokufuatilia, lina uwezo wa kuvaa mwili wako, kuwa na sauti yako nk.
Ukifa linabaki lenyewe na ndio hujulikana kama msimu, ila wewe kama wewe haupo
Namaanisha mzimu
@@mazikub5272 ahaaaa
😮 Ô "kinyago" is "statuette in french"..
Statue in English
🤔 samaani what's " kinyago "??
ni mask za usoni zile ila waswahili ata zile staue za mbao hiwa tunareffer as kinyago
@@NM-yl2uw❤aksanti sana