SITAMANI KWENDA CCM WALA KUACHA ACT WAZALENDO | KAULI YA MAZRUI KWA RAIS DKT HUSSEIN MWINYI
Вставка
- Опубліковано 2 жов 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Background sounds is annoying😢, please reduce it or remove
Kikeke mtangazaji no 1 in Africa
Ni jambo jema ila kwangu kuna walakini, mzigo unarudi kwa wananchi, nchi ndogo ubadhurifu mkubwa, hatukuhitaji private sectors
Kiswahili nibora zaidi katika kufikisha ujumbe kwa jamii
Kweni kabisa mazur me nakuunga mkono. Siasa ina nafasi yake but kwenye maendeleo. Zuri lipewe haki yke. Mazur unafanya kazi uzur na unaleta umakini ktk kazi kuleta mapinduzi ya sector .
PRIVATE SECTOR WANAHITAJI USIMAMIZI WA HALI YA JUU VINGINEVYO UBADHIRIFU UTAKUWEPO.
Kikike sauti ya background inakera bora usiweke inaharibu
Is it live streaming au 😂😂😂
👑👑👑👑👑 media
Hapa ni nyumbani
Ni jambo jema ila kwangu kuna walakini, mzigo unarudi kwa wananchi, nchi ndogo ubadhurifu mkubwa, hatukuhitaji private sectors
Hii media itakuwa kubwa sana kuliko nyingi zilizo tangulia wasafi atapigwa na chini😂
Kila media na sera zake. Kwa nini usiseme Azam itakuwa media kubwa
Background music ipo juu sana, kipindi kinakua kama sio official.. inakaa kama ni kipindi cha burudani kumbe ni kipindi cha kimaendeleo
Safi sana ila siku yengin jaribuni kupunguza kdg saut ya music ili tusikie vzr
Ni kweli background music ipo juu sana
Izohela ambazo zinatumika kumlipa private sector zingeweza kufanya mambomengine yakiuchumi
Private sector wawekeze kwaupande wao ili kuwe na ushindan kitaya private na government
🔥🔥🔥🔥🔥
Binafsi siridhishwi kuepo kwa private sector ispokua napenda serikali iweke umakin nautayar ktk uendeshaj wa shughuli zao
Mfano mafunzo yenye ufanisi , usimamili na uwajibikaji
Sekta ngumu sana nandomana ccm huwapa wapunzan
Lab imeshakufa Zanzibar, hakuna quality mgt yoyote kwa vipimo vinavyofanyika
Umezingua bro sikuizi mambo bambam
Wee jamaaa umetumwa uchocheye masuala yako unazunguruka hapo tu mara ukifukuzwa act ndio hajafukuzwa sasa mara ukiwa ccm ndio utanya kazi vizuri nenda wewe acheni uchawa mmekuwa hadi mende sahizi