MZEE MASATU: YANGA ANAANZIA KAJAMBA NANI CLUB BINGWA !!! | KISAYANSI SIMBA YUPO GROUP STAGE.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лип 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 41

  • @mankamanka7415
    @mankamanka7415 23 дні тому +2

    ❤❤❤Simba nguvu moja❤❤❤

  • @DavidChristino
    @DavidChristino 24 дні тому +4

    Mzee masatu shikamo mzee wangu

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 24 дні тому +9

    Yanga wanajifanya wakubwa kumbe wanaanzia hatua ya awali cku zote cmba atabakuwa cmba hawez kuwa paka japo wanafanana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 24 дні тому +5

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Amne_ggg6
    @Amne_ggg6 23 дні тому

    Mzee Masatu nakukubali mno❤️❤️❤️

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 17 днів тому

    Mzee Masatu unajua utani hora sana

  • @WilliamCharles-iq8ym
    @WilliamCharles-iq8ym 24 дні тому

    ww mzee,Chawa Sana.Tunawasubili tr 8.

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 24 дні тому +2

    Mkubwa anaonekana sio mbaka muulizane

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 24 дні тому

    Kweli matatu simba mzee si anachezea tu bakiza maneno mzee masatu

  • @RamadhanChembela-p9r
    @RamadhanChembela-p9r 24 дні тому

    Kwenye kombe la luzaaa

  • @gladnessmichael2459
    @gladnessmichael2459 24 дні тому

    Unaota alinacha mzeeee unaongea kishabik poleeee sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 24 дні тому +1

    WACHEZAJI WAZINGULIWE KWA ALBADIRI ATAKAE JARIBU KUWAROGA AFE TU

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi 24 дні тому

    Mzee masatu utatuharibia watabadilisha mganga hao

  • @JenniferMjie
    @JenniferMjie 24 дні тому

    Shabiki maandazi

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 24 дні тому

    Hapo ndipo mpokosea ongelea timu Yako lpo kwenye kundi lakike yanga lpo champion llgi

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammad 24 дні тому

    Yani watu hawajuagi tu ila kiukweli hatua za awali huku Kuna faida sana mechi 4 hz unaingiza mbinu vizur tu za kufanya makundi yawe Bora kwako sema watu wao wanaona km ujinga lkn ni faida sana

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 24 дні тому

    Nikweli hatua ya awali ila sio luzer

  • @abdulomari4932
    @abdulomari4932 24 дні тому

    Huyu mzee akili kisoda

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 24 дні тому

    Shirikisho 😂😂😂

  • @nasseraljahwri6310
    @nasseraljahwri6310 24 дні тому

    😂😂😂
    KAJAMBA NANI

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 24 дні тому

      Tusi kubwa hilo, Injinia anasikia na Gamondi.

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 17 днів тому

    Masatu uko levo gani?au shirikisho

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 24 дні тому

    Nyie watangazaji hao wasemaji Watu wazimà wapewe wazee wenzao.
    Muwakilishi wa Wanainchi yupo Mzee Mpili.
    Hebu mualiki akumbane NAO hao wanaokaa ktk nyumba za kupanga

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 24 дні тому

    Huyu mzee hua ndiye wakwanza kulalamika team ikianza kupoteza

  • @abdallahsaid4139
    @abdallahsaid4139 24 дні тому

    kajamba nani utopolo

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 24 дні тому

    Simba atabak shilikisho, yanga ataanza awal kimataifa

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 24 дні тому

    Huyo masatu aombe sana kizazi chake kisafwate akili zake😢

    • @bone102
      @bone102 24 дні тому

      Haya tuambie Kati ya Simba na Yanga nani mkubwa CAF tupe na ushaidi ili tuone wewe na huyo mzee nan watoto wake wasifuate akili zake

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 24 дні тому

    Masatu makina magumu tunajaribu kuroga majina yanapotea Sasa safar hii cjui tutafanyaje

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 21 день тому

    Mbona huyu mtangazaji ni kama vile anavi nasaba vya Lomalisa fc? Kwani anajaribu kuwa tetea wachezaji wa Timu Lomalisa fc kuhusu umri wao

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 24 дні тому

    Yanga ni ndogo hata wajaze mizee na Azam watapigwa kama Ngoma na hata wagosi wa kaya

  • @MauBonde
    @MauBonde 24 дні тому

    Simba hata wakibebwa hawafiki popote kimataifa nakumbuka ligi ya mabingwa afrika walipitishwa hivyo hivyo lakini hata robo hawakifika zilikua mechi kadhaa robo nusu na fainali.

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v 24 дні тому

    Wakati mwingine mambo mengine hata ukimpa mwehu anaweza kukupa jibu,Kolo ni mkubwa akiwa wapi? Huko lazima aonekane mkubwa yuko na nani huko,kweli timu iko kundi moja na Uhamiaji ya Zanzibar bado unatamba Masatu ni bado bikira huyo apelekwe jando

    • @nasseraljahwri6310
      @nasseraljahwri6310 24 дні тому

      Hii msg sijui umeandikiwa?? Chukua SM yako bro, msimamo wa Caf ranking Simba WA ngp Vs Chura?? Ukiachana na shirikisho 😂😂

    • @Khalidniya380
      @Khalidniya380 24 дні тому

      Simba kutofanya vizuri mwaka huu haimanishi kama Simba imekua mbovu hili ni jambo na msimu tuu

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 24 дні тому

      Hata angekuwa club Bingwa asingeanzia Matopeni

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 24 дні тому

    Mzee simba ni mkubwa aliyedumaa. Miaka mingi harefuki, robo unacheza mara ngapi?? Halafu maneno yenu ndio yanayowaroga. Sasa msimu unaanza na mmeshaingia kwenye mfumo wa kuiongelea yanga. Endeleeni mimi yangu macho na masikio.

    • @johnmwanja4476
      @johnmwanja4476 24 дні тому

      Vyura acheni Nongwa...SImba mkubwa Utopolo ni KAJAMBA NANI😅