MZEE MASATU: YANGA ANAANZIA KAJAMBA NANI CLUB BINGWA !!! | KISAYANSI SIMBA YUPO GROUP STAGE.
Вставка
- Опубліковано 10 лип 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - Спорт
❤❤❤Simba nguvu moja❤❤❤
Mzee masatu shikamo mzee wangu
Yanga wanajifanya wakubwa kumbe wanaanzia hatua ya awali cku zote cmba atabakuwa cmba hawez kuwa paka japo wanafanana
Sawa mkubwa
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mzee Masatu nakukubali mno❤️❤️❤️
Mzee Masatu unajua utani hora sana
ww mzee,Chawa Sana.Tunawasubili tr 8.
Mkubwa anaonekana sio mbaka muulizane
Kweli matatu simba mzee si anachezea tu bakiza maneno mzee masatu
Kwenye kombe la luzaaa
Unaota alinacha mzeeee unaongea kishabik poleeee sana
WACHEZAJI WAZINGULIWE KWA ALBADIRI ATAKAE JARIBU KUWAROGA AFE TU
Mzee masatu utatuharibia watabadilisha mganga hao
Shabiki maandazi
Hapo ndipo mpokosea ongelea timu Yako lpo kwenye kundi lakike yanga lpo champion llgi
Yani watu hawajuagi tu ila kiukweli hatua za awali huku Kuna faida sana mechi 4 hz unaingiza mbinu vizur tu za kufanya makundi yawe Bora kwako sema watu wao wanaona km ujinga lkn ni faida sana
Nikweli hatua ya awali ila sio luzer
Huyu mzee akili kisoda
Shirikisho 😂😂😂
😂😂😂
KAJAMBA NANI
Tusi kubwa hilo, Injinia anasikia na Gamondi.
Masatu uko levo gani?au shirikisho
Nyie watangazaji hao wasemaji Watu wazimà wapewe wazee wenzao.
Muwakilishi wa Wanainchi yupo Mzee Mpili.
Hebu mualiki akumbane NAO hao wanaokaa ktk nyumba za kupanga
Huyu mzee hua ndiye wakwanza kulalamika team ikianza kupoteza
kajamba nani utopolo
Simba atabak shilikisho, yanga ataanza awal kimataifa
Huyo masatu aombe sana kizazi chake kisafwate akili zake😢
Haya tuambie Kati ya Simba na Yanga nani mkubwa CAF tupe na ushaidi ili tuone wewe na huyo mzee nan watoto wake wasifuate akili zake
Masatu makina magumu tunajaribu kuroga majina yanapotea Sasa safar hii cjui tutafanyaje
Mbona huyu mtangazaji ni kama vile anavi nasaba vya Lomalisa fc? Kwani anajaribu kuwa tetea wachezaji wa Timu Lomalisa fc kuhusu umri wao
Yanga ni ndogo hata wajaze mizee na Azam watapigwa kama Ngoma na hata wagosi wa kaya
Simba hata wakibebwa hawafiki popote kimataifa nakumbuka ligi ya mabingwa afrika walipitishwa hivyo hivyo lakini hata robo hawakifika zilikua mechi kadhaa robo nusu na fainali.
Yanga yako iliishia hatua gani?
Wakati mwingine mambo mengine hata ukimpa mwehu anaweza kukupa jibu,Kolo ni mkubwa akiwa wapi? Huko lazima aonekane mkubwa yuko na nani huko,kweli timu iko kundi moja na Uhamiaji ya Zanzibar bado unatamba Masatu ni bado bikira huyo apelekwe jando
Hii msg sijui umeandikiwa?? Chukua SM yako bro, msimamo wa Caf ranking Simba WA ngp Vs Chura?? Ukiachana na shirikisho 😂😂
Simba kutofanya vizuri mwaka huu haimanishi kama Simba imekua mbovu hili ni jambo na msimu tuu
Hata angekuwa club Bingwa asingeanzia Matopeni
Mzee simba ni mkubwa aliyedumaa. Miaka mingi harefuki, robo unacheza mara ngapi?? Halafu maneno yenu ndio yanayowaroga. Sasa msimu unaanza na mmeshaingia kwenye mfumo wa kuiongelea yanga. Endeleeni mimi yangu macho na masikio.
Vyura acheni Nongwa...SImba mkubwa Utopolo ni KAJAMBA NANI😅