In shaa ALLAH tujaaliwe kuufikia wakti salama salmin shukraan jazzakah ALLAHU kheir barakallahu feekum #riyadhtvonlineznz kwa juhudi munazo fanya za kutupa ilmu ya Dini yetu kupitia kwenu
SALAMUN ALAYKUM. ALLAH .NDIO TEGEMEO LETU. MTUME MUHAMMAD. S A W . AMEKWISHA TUTAHADHARISHA. TUMUOMBE ALLAH . ATUCHUKUE KABWA YA KUFIKA KWAKE. MTIHAN SI MDOGO. ALLAH AMSHINDE NA FITNA ZAKE.HIVI SASA KUNA ALAMA NYINGI ZA MWISHO WA DUNIA.ZIMEDHIHIRI DALILI NYINGI .NDOGONDOGO. ALLAH TUNAKUOMBA TUSTIRI NA FITNA ZAKE.MENGI TUNAYAONA . YALIYOTABIRIWA NA MTUKUFU WA DARJA. REHMA NA AMANI ZIMFIKIE YEYE NA AHLI ZAKE NA MASWAHABA ZAKE
SubhanaAllah mfano mzuri Mwana Chuoni kutoka Bara Asia kwa jina Abdulkadir Jeilani alikua taki Sana mchaMungu Sana wakati wake Sasa baada ya kufariki kwake Iblis kachukua nafasi hio hivi Sasa wengi wanataka usaidizi kwenye kaburi lake haswa kutoka Bara Asia Allah atuhifadhi
Jina "NEOM" limetokana na maneno mawili. Herufi tatu za kwanza kutoka kwa kwenye lugha ya Kigiriki NEO kumaanisha NEW ama "mpya". Herufi M ya mwisho ni kutoka kifupisho cha Mostaqbal, neno la Kiarabu linalomaanisha "siku za usoni" ama FUTURE
Assalaam aleykum warrahmatulullahi wabarrakatuh.. tusaidizane sheikh Wangu. Neno "NEOM "Maaana yake . Helufi Tatu za kwanza "Neo"Zina mana . yake asiri ya hili neno ""neo " ni kigiliki . Mana yake "" NEW " Helufi ya mwisho Ni "m" Maana yake ni "MUSTAQBAL"Asiri ya neno hili . Ni kiarabu.Maana yake ni " FUTURE " kwa ufupi # NEOM# = # NEW FUTURE #. Hapo sasa mtafika munaelewa walengwa ni wakina nani
Uwezi ona kwa ukiwa na moyo wa ushindan na kibul maana myahud 🇮🇱 yoyote na mkiristo ni walewale tu na kama utaitaji kujua ukweli bas tafuta ndani ya bibilia jina la mwenyezi mungu mfano sisi waisalamu mungu jina lake ni ()Allah() ()alrahman() je wakirsito jina la mungu ni nani??
Kuna masihi Isa bin Maryam( Yesu)mbali na Kuna masihi dajaal mbali Masihi inamaana nyingi kwa nnavyojua mie 1- mpakwa mafuta 2- mtu anayetembea duaniani kwa hafla Mara saivi unamona hapa Mara baadae umuona pale mfano saivi unamuona masihi nazareti baadae unamuona afrika Kwa nnavyojua mie ndo ivo
Masha Allahu sheikh,mwenyezi mungu akulipe kheri ❤
Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam Ahli zake na Maswahaba zake wote
In shaa ALLAH tujaaliwe kuufikia wakti salama salmin shukraan jazzakah ALLAHU kheir barakallahu feekum #riyadhtvonlineznz kwa juhudi munazo fanya za kutupa ilmu ya Dini yetu kupitia kwenu
SALAMUN ALAYKUM. ALLAH .NDIO TEGEMEO LETU. MTUME MUHAMMAD. S A W . AMEKWISHA TUTAHADHARISHA. TUMUOMBE ALLAH . ATUCHUKUE KABWA YA KUFIKA KWAKE. MTIHAN SI MDOGO. ALLAH AMSHINDE NA FITNA ZAKE.HIVI SASA KUNA ALAMA NYINGI ZA MWISHO WA DUNIA.ZIMEDHIHIRI DALILI NYINGI .NDOGONDOGO. ALLAH TUNAKUOMBA TUSTIRI NA FITNA ZAKE.MENGI TUNAYAONA . YALIYOTABIRIWA NA MTUKUFU WA DARJA. REHMA NA AMANI ZIMFIKIE YEYE NA AHLI ZAKE NA MASWAHABA ZAKE
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh SUBHANALLAH MWENYEZI MUNGU atuepushe na fitna ya masihi dajjal Amiin ya Rabbil Allamin 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Gut
SubhanaAllah mfano mzuri Mwana Chuoni kutoka Bara Asia kwa jina Abdulkadir Jeilani alikua taki Sana mchaMungu Sana wakati wake
Sasa baada ya kufariki kwake
Iblis kachukua nafasi hio hivi Sasa wengi wanataka usaidizi kwenye kaburi lake haswa kutoka Bara Asia
Allah atuhifadhi
Alla kashasema atachukua watuwake maalum hizo. ndiodalili za mwisho
Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA
Watakaobaki wengi nikujivuna kutaka ukubwa vyeo natushaona kilakitu tuombe allaatuvushe ktk nyakatihizi za mwisho
Allah tuzidi kumuomba atalinde na fitna zake masih ul dajjal . Eish , ni mtihan mkubwa
Usikoment chochotekama huelewikinachozungumzwa afadhali ukaekimya niborakulikokutukana watuwenyefaida kwawenye yakini
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Dajjal pia HABARI zake kwenye VITABU VYA Dini Nyingine pia
Isha allah
والاعياض بالله
Jina "NEOM" limetokana na maneno mawili. Herufi tatu za kwanza kutoka kwa kwenye lugha ya Kigiriki NEO kumaanisha NEW ama "mpya". Herufi M ya mwisho ni kutoka kifupisho cha Mostaqbal, neno la Kiarabu linalomaanisha "siku za usoni" ama FUTURE
Ishinawatu vizuri achamajivuno usijione ww borakuliko wenzako
Assalaam aleykum warrahmatulullahi wabarrakatuh.. tusaidizane sheikh Wangu. Neno "NEOM "Maaana yake . Helufi Tatu za kwanza "Neo"Zina mana . yake asiri ya hili neno ""neo " ni kigiliki . Mana yake "" NEW " Helufi ya mwisho Ni "m" Maana yake ni "MUSTAQBAL"Asiri ya neno hili . Ni kiarabu.Maana yake ni " FUTURE " kwa ufupi # NEOM# = # NEW FUTURE #. Hapo sasa mtafika munaelewa walengwa ni wakina nani
shukrani akhy
Mwakasege
Kamahujui au. Hufahamu usitukane masheghe yawezekana hujuihatakujitwaharisha halafuunawatukana mashe
Tuchukue madini hayokwamasheghe tuache ujuaji mwingi alopewakashapewa
Halafutusijidanyanye nahii dunia ni maisha mafupi sana
Mbona hii umeirudia? Lete mpya
Daah. Matangazo. Mbona.meng.alf.hayana.maadri.na.dn.
Ukiona huelewi sio yako
Mpenjah
Soteni maiti watarajiwa uwe unamali masikini sote tutakuwa chakula chaudongo fanyakiburi ufanyavyo tutakufa tu
Si kweli mbona wathiopia Kuna wayahudi
Uwezi ona kwa ukiwa na moyo wa ushindan na kibul maana myahud 🇮🇱 yoyote na mkiristo ni walewale tu na kama utaitaji kujua ukweli bas tafuta ndani ya bibilia jina la mwenyezi mungu mfano sisi waisalamu mungu jina lake ni ()Allah() ()alrahman() je wakirsito jina la mungu ni nani??
Heee mtihani huo
Hivi shekhe masih huyu unaemuongelea Ni tofauti na nabii Isa??Yan yesu au Ni nan uyo ???
Anayezungumziwa hapo ni masih ddajal na si masihi issa
Kuna masihi Isa bin Maryam( Yesu)mbali na Kuna masihi dajaal mbali
Masihi inamaana nyingi kwa nnavyojua mie
1- mpakwa mafuta
2- mtu anayetembea duaniani kwa hafla Mara saivi unamona hapa Mara baadae umuona pale mfano saivi unamuona masihi nazareti baadae unamuona afrika
Kwa nnavyojua mie ndo ivo
Wapi maandiko ww kafiri
Kafiri niwewe unaye kata kiuno kanisani et waabudu wafkiri kisho kiama kutakuwa na ndombolo?
Kafili wakwanzaniwewe mchochezi haramu wewe usoonavibayawewe unakosayakuwafundisha watu unaanzakulopoka
Ww bilisi umefata nini kwenye hii chanal mpa ukafikia kukoment tunashku Kwa kufatilia uislam utanyooka na kusjudu inshallah
Tena bilisi mkubwa mbwa huyu kafata Nini huku kafiri mkubwa huyu
Maluuni mmoja we.ww baki na ukafiri wko tu.utakiona
Vv CNBC ññ q FC CFP
Ww Saimon itakua ww ndokizazi cha Shetani mbwa ww Mungu akulani nakizazichako