Ila kiukwel mm Co shabiki wa popote lkn h baba ananikela sanaa alafu story zke uongo mwing,,,,,post yke ya juz ndo nimemdharau sanaa,,,,anajipendekeza kwa nguvu kwa kajala kujifanya km wameongea kaongo kambwa hyu,,,kwa kwel me machawa woye nawaelewa lkn Co hyu bwege
Af huyu ding'ano point yake kwenye interview zote anataka aforce konde kushindana na mondi.......af anajishtukiaaa anasemaa ila mondi ashapitwa na harmo
Love 🔥 from 🇨🇩❤️ harmonize tz
Hata machawa wawe mia jeshiii ndo fimbo Yao anawachapa tuuu🙏🙏🙏
🤣🤣
Jeshiiiiii on 🔥🔥🔥
Ila kiukwel mm Co shabiki wa popote lkn h baba ananikela sanaa alafu story zke uongo mwing,,,,,post yke ya juz ndo nimemdharau sanaa,,,,anajipendekeza kwa nguvu kwa kajala kujifanya km wameongea kaongo kambwa hyu,,,kwa kwel me machawa woye nawaelewa lkn Co hyu bwege
😁😁
From Rwanda 🇷🇼
Mwanzo sikua namwelewa Dingano. Lakin saivi NAMWELEWA SANA MDOG WANGU!!!!👏👏👏
Nyadundo ni jina la ki'LUO hapa kenya;inamaana..."mtu mfupi"🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hivi huyu mpumbavu anaakili kwel toka lini samaki wakalimwa🤣🤣🤣🤣senge kweli
Sa mwanza c ndo wanalima samak
kajifunze co unatukana
Samaki wanalimwa ni kilimo kama unavyoona mkulima wa mahindi pamoja na ufugaji yote kilimo usikalili rudi shule najuwa ulitoroka
Ndio maana tulisema msikilize mwalim ww ukachora dawati
Hamonize habari ya mujini unaongea kweli kabisa
Harmo,namkubali 100/100
Harmonize ndio habari ya mjini
Haipingw
Jeshiiiiiiiii 💥🐘anawatesa machawa
H baba satulie aachane na mambo ya uchawa,jitu lizima linaongea utumbo tuu.pumbavuu H mama.
Jeshiiiiii tembo mnyama teacher fire fire 🔥🔥🔥🔥
Have always maintained that harmonize is the epitome of success n he is proving it. Love from nakuru Kenya. Sportent tv is watching
Wee unaweza uchawa.safi sana uongezwe mshahara jamani😂😂😂😂
Waambie tu maana akina baba levo akina mwijaku machawa bora wametulia sembuse huyu mama dingano wape facts kiukweli tukubali tukatae hamonize yupo juu
.mtu mmoja anawagalagaza machawa 100.
Saf sana Ding'ano kwa kumchana ukwer h.baba maana yule snitch sana
H Mama Meneja ndo kiboko yako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani mimi nakusikiliza wewe tu Menej’🇹🇿🇺🇸😅😅😅😅😅eti utalala vipi nampezi wako😂😂😂
Safiii sana meneja 💪💪💪
Thanks brother 🙏
Harmo ni muti wamatunda ndo Mana wanamupiga mawe
H mama hamuwezijeshiii geng
H maman,Hana lolote
H mama ni chawa zeeeeeee
Loshapotea njiaa h mama anajipendekeza wala hatakiwi
👌👌
🤣🤣maisha haya noma
Natokea mwanza kwel h baba ni dalil wa magari hana k2 unafiki ndo hbri yake kwanza anashinda kwa waganga so poa kumptza harmonize
Harmonize
Meneja DIN'GANO habari nyengine🤣,endelea kuwanyoosha🤣,naww muuliza mswala unafurahisha sana🤣maana hayo maneno yako na unavyochochea!au kupaliliyaa🤣
😍
Uyu mxee mgonganishi sanaaaa
Af huyu ding'ano point yake kwenye interview zote anataka aforce konde kushindana na mondi.......af anajishtukiaaa anasemaa ila mondi ashapitwa na harmo
Ndingano mjinga wewe
Meneja kaongea fact
Pakulala hana hapa mjini chawa zee
Huyu chawa wa konde amechoka njaa sio nzuri
Humjui Ding'ano wewe... tulia awapakatishe machawa, wapakatwe vizuri ..
From Rwanda 🇷🇼