Wawoooooo Cuma mutamboni Wadauuuuuu mukuyeeeeeeD'Oen katukumbuka Ongela Baba Ilatuomba Mawindo jizani isimuliwe n'a Oen awo Felx niombi kama shambikitu nisamehewe kama ntakua nimekoseya mutufulahishe kama kawayida yenu🤲🤲🤲🤲🤲twende kazi n'a Jino kwa Jino kaziyenu Fulaha yetu💪💪💪💪💪Courge💐💐💐💐
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂piga keleleeeeeeeeeee weweeeeeeeeeeeee kila sik mi nasema hakuna kama Smix hii ndio namb moja africa sio bongo tu hapn director nyuma ya mic 🎤 mim nyuma ya kiti chako🚶♀️mdogo mdogo tunasonga
Hii simulizi ni nzuri sana Ila nimeapa mpaka nimalize kusikiliza watatu wa mwisho ndio nitaendelea nayo muwe na usikivu mwema wapendwa katika simulizi mix jambo lingine mawindo gizani isimuliwe na Felix Mwenda FM au D Oen màmbo ya pori kwa pori kuchinjana kupigana utampaje mwanamke asimlie
Mm sitak unafiki leo oen anajua kusmlia ila hamalizagi smliz zake na akimaliza kwa binde sasa hivi ht nikiona smliz zake naogopa kusikiliza maana pk uanze kusahau utam wa simliz ndio anakumalizia
Shida sio Oen maan yey analetew kazi anasimulia shida ipo kwa wenye SIMULIZ zao wanaweka huko kweny SMIXAPP watu wanunue sisi amabo hatuna pesa tuwe wapole tu tunaletewa ila kwa kusuasua
🤔🤔Hapn makosa si ya oen ila wandish wenyew wa story ndio wanachelewesha oen yy haandiki story yy ni msimuliaj so ukiona story haikumaliziwa jua aloandika huwenda ana mambo mengn anafanya au bado anaandika na tukumbuke kuandika story hd watu waikubali si jambo jepes my dear kwa hiyo kuna muda tunatakiwa tuwe wavumilivu unaona kam asali haitiw kidole huwenda edgar bado anaandika au ishaandikwa na inaandaliwa ili ww uipate na ulambe asali😋😋😋
AlhamduliLLah at long last Jino Kwa Jino
Shukran Sana Simulizi Mix Msimulizi Director Oen na Mwandishi wetu Kaichi M Mussa be blessed
Waauuh director Oen ametukumbuka njooni wadau
Wawoooooo Cuma mutamboni Wadauuuuuu mukuyeeeeeeD'Oen katukumbuka Ongela Baba Ilatuomba Mawindo jizani isimuliwe n'a Oen awo Felx niombi kama shambikitu nisamehewe kama ntakua nimekoseya mutufulahishe kama kawayida yenu🤲🤲🤲🤲🤲twende kazi n'a Jino kwa Jino kaziyenu Fulaha yetu💪💪💪💪💪Courge💐💐💐💐
Waooooo leo mmetufulaisha mashallah
Wow asanti kwa ngoma
Wooouuw ♥️♥️♥️🎉🎉🎉 hatimae .
Simulizi yangu pendwa kabisa ❤❤Nilimmiss sana Ajent Kai ndani ya simulizi hii🤸🤸
Asante jmn 🙏🙏🎉🎉🎉🎉 maan tulimic balaaa🔥🔥🔥🔥
Waau hatimae tumeletewa kitu roho inapenda🙏
Director Oen tumalizie the last three please 🙏
Ndani ya muda weweee
🔥👍
🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂piga keleleeeeeeeeeee weweeeeeeeeeeeee kila sik mi nasema hakuna kama Smix hii ndio namb moja africa sio bongo tu hapn director nyuma ya mic 🎤 mim nyuma ya kiti chako🚶♀️mdogo mdogo tunasonga
Tunaomba mawindo gizani isimuliwe na sauti nzito ya kiume itanoga sana please
Kiukweli wadada watusimilie love strories izi kazi felix mwenda na mzee D Oen
Tupe basi mbirimbiri jamani ifanye gukawiya upe mojamoja?kazinjema💪💪💪💪💚💛💚💛💚💛
Thanks director for not disappointing us ..pia watatu wa mwisho naisubiri tu..
Waoooooh🥰🥰🥰
Naipenda Sana
🔥🔥🔥👌
Ikulu ya 'Parashio veredi,'
Mh sio Kwa majina hayo jamani!!!
❤❤❤
Jamani leo siku njema kwangu kusikiya simulizi yangu pendwa ❤❤❤❤bado asali nayo na hisubiri kwa hamu kubwa
Hote ni watu wetu ila kuwe na anaye zidi mwenzake tu anjenti ni kichwa nyayo za paka apana kuchezea🎉🎉
Habari vipi kuhusu asali haitiwi kidole msimu wa pili
Niliisahau hii SIMULIZ jamn
Km hii nishasahau ht ilikuaje
Aduni changa lamachoo dadek zao ...khai mathayo wotewako sawa halafu wamezaa mtoto anaitwaa ngesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hatari Huyu jamaa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii simulizi ni nzuri sana Ila nimeapa mpaka nimalize kusikiliza watatu wa mwisho ndio nitaendelea nayo muwe na usikivu mwema wapendwa katika simulizi mix jambo lingine mawindo gizani isimuliwe na Felix Mwenda FM au D Oen màmbo ya pori kwa pori kuchinjana kupigana utampaje mwanamke asimlie
😂😂😂 Ndio lazima irudiwe na wanaume itapendeza
Kweli asee
Mm sitak unafiki leo oen anajua kusmlia ila hamalizagi smliz zake na akimaliza kwa binde sasa hivi ht nikiona smliz zake naogopa kusikiliza maana pk uanze kusahau utam wa simliz ndio anakumalizia
Shida sio Oen maan yey analetew kazi anasimulia shida ipo kwa wenye SIMULIZ zao wanaweka huko kweny SMIXAPP watu wanunue sisi amabo hatuna pesa tuwe wapole tu tunaletewa ila kwa kusuasua
🤔🤔Hapn makosa si ya oen ila wandish wenyew wa story ndio wanachelewesha oen yy haandiki story yy ni msimuliaj so ukiona story haikumaliziwa jua aloandika huwenda ana mambo mengn anafanya au bado anaandika na tukumbuke kuandika story hd watu waikubali si jambo jepes my dear kwa hiyo kuna muda tunatakiwa tuwe wavumilivu unaona kam asali haitiw kidole huwenda edgar bado anaandika au ishaandikwa na inaandaliwa ili ww uipate na ulambe asali😋😋😋
Kuna simulizi zinaachwa njiani sijui kwa nn asali haitiwi kidole the last three gobole la urithi tunaomba mwendelezo tafadhali 😢😢
Zishatok mam ni pesa Yako tu 😅😅sisi wa huku tuwe tu wapole Hadi watakapo tukumbuka😢😢