Abdukiba: Zuchu mtaamu sana, Napenda anavofanya! Nilitaka kum-hug Diamond akakataa! Part 3
Вставка
- Опубліковано 27 лют 2024
- Tazama full interview ya Abdukiba afunguka kukutana na Zuchu LIVE, Awaongelea Wasafi!
Subscribe, Like, Comment & Share! - Розваги
Zuchu ana heshima mno,adabu, mtiifu, msikivu,mkarimu, mcheshi, mchapakazi, ana jalii na akili ndio maana watu wengi wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda sana, diamond awe makini sana tena awe mtulivu mno na zuchu wake maana wapo watu wengi wanasubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli, maana huyu sio mtu wa kwanza kumsifia zuchu hadi barnaba classic aliwai kumsifia zuchu balaa hadi ali kiba alishawai kumpa sifa, wanawake kwa wanaume ndani ya wcb, maboss wa diamond, mpaka madairecka na madansa wake anaofanya nao kazi huwa wanamsifia mno zuchu wakidai ni mtu mmoja mwenye roho safi sana pia hana mambo mwengi yupo peace mno hana baya mtoto wa watu
Well spoken, binti wa watu hana tamaa na ana mapenzi ya dhati
Nikweli kabisa Wana mzarau kwanje ila diamond atulie akiacha tu wanamchukua
Nampenda zuu pia
Abdu unaongea vizuri❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Una ongeya point kabisa
Na kweli zuchu ni mdogo lakini ana akili sana. Anajitambua mno. Inawezekana mama yake amemfunda kwa sababu mama yake anajua hizi industry vizuri sana.
Simba... Zuu ameenda😊
😂😂😂😂😂😂 daimond achunge zuchu ataenda we hivi nionavyon😂😂
Zuchu ni mkarimu,mcheshi, ana heshima,anajali,ana upendo, mchapakazi mtiifu ndio maana watu wote wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda mno, kweli diamond awe makini sana maana walimwengu wanamsubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli
Simba, cheza tu Zuchu ataenda
Safi sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂abiria achunga mzigo wake
Abdul 🥂
Abdu🔥🔥🔥🔥
Huku🔥🔥
❤❤❤❤
Good
Kba mondi akiachiyatu basi watuwengi wanategezatu simba amuachetu zuchu wanafikawa namuchukuwa
😅😅😅😂😂😂
😂
Ili Upewi ngoma uogopi🤷🏽♂️🤷🏽♂️🤷🏽♂️