Abdukiba: Zuchu mtaamu sana, Napenda anavofanya! Nilitaka kum-hug Diamond akakataa! Part 3

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 лют 2024
  • Tazama full interview ya Abdukiba afunguka kukutana na Zuchu LIVE, Awaongelea Wasafi!
    Subscribe, Like, Comment & Share!
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 22

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 3 місяці тому +11

    Zuchu ana heshima mno,adabu, mtiifu, msikivu,mkarimu, mcheshi, mchapakazi, ana jalii na akili ndio maana watu wengi wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda sana, diamond awe makini sana tena awe mtulivu mno na zuchu wake maana wapo watu wengi wanasubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli, maana huyu sio mtu wa kwanza kumsifia zuchu hadi barnaba classic aliwai kumsifia zuchu balaa hadi ali kiba alishawai kumpa sifa, wanawake kwa wanaume ndani ya wcb, maboss wa diamond, mpaka madairecka na madansa wake anaofanya nao kazi huwa wanamsifia mno zuchu wakidai ni mtu mmoja mwenye roho safi sana pia hana mambo mwengi yupo peace mno hana baya mtoto wa watu

    • @neemakalugila7674
      @neemakalugila7674 3 місяці тому +2

      Well spoken, binti wa watu hana tamaa na ana mapenzi ya dhati

    • @user-qr5bm9uy1s
      @user-qr5bm9uy1s 3 місяці тому

      Nikweli kabisa Wana mzarau kwanje ila diamond atulie akiacha tu wanamchukua

  • @leonidamachuru5960
    @leonidamachuru5960 3 місяці тому +2

    Nampenda zuu pia

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz 3 місяці тому +1

    Abdu unaongea vizuri❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-od2mc9ev6d
    @user-od2mc9ev6d 3 місяці тому +2

    Una ongeya point kabisa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 3 місяці тому +3

    Na kweli zuchu ni mdogo lakini ana akili sana. Anajitambua mno. Inawezekana mama yake amemfunda kwa sababu mama yake anajua hizi industry vizuri sana.

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas 3 місяці тому +2

    Simba... Zuu ameenda😊

  • @saumumasha-in2qw
    @saumumasha-in2qw 3 місяці тому +7

    😂😂😂😂😂😂 daimond achunge zuchu ataenda we hivi nionavyon😂😂

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 3 місяці тому

      Zuchu ni mkarimu,mcheshi, ana heshima,anajali,ana upendo, mchapakazi mtiifu ndio maana watu wote wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda mno, kweli diamond awe makini sana maana walimwengu wanamsubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 3 місяці тому +3

    Simba, cheza tu Zuchu ataenda

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 3 місяці тому +1

    Safi sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 3 місяці тому +3

    😂😂abiria achunga mzigo wake

  • @yuzmokmadaraka9321
    @yuzmokmadaraka9321 3 місяці тому +1

    Abdul 🥂

  • @HusinaKarama-ti9jm
    @HusinaKarama-ti9jm 3 місяці тому

    Abdu🔥🔥🔥🔥

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 3 місяці тому +1

    Huku🔥🔥

  • @EuniceNkunika-bk7gt
    @EuniceNkunika-bk7gt 3 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @user-mo6tf8ub4d
    @user-mo6tf8ub4d 2 місяці тому

    Good

  • @user-ol8zb9gd9f
    @user-ol8zb9gd9f Місяць тому

    Kba mondi akiachiyatu basi watuwengi wanategezatu simba amuachetu zuchu wanafikawa namuchukuwa

  • @user-qr5bm9uy1s
    @user-qr5bm9uy1s 3 місяці тому

    😅😅😅😂😂😂

  • @joseloveog
    @joseloveog 3 місяці тому +1

    😂

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 3 місяці тому

    Ili Upewi ngoma uogopi🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️