HARMONIZE AMJIBU KIUTU UZIMA MKUBWA FELLA KUSEMA HAMUWEZI DIAMOND PLATNUMZ
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #ProfessorJay #VanessaMdee #PaulMakonda #ProfessorJay #AyraStarr
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Sema saivi harmonize anaanza kua matured nimefatilia interview zake za hivi karibuni
Fela kwamajibuyake anaonekana. Kama mtoto kuliko Majibu ya harmonize
Anatamba uchawi
Nakukubali Sanaa hamo kweli mwanangu umekuwa
Nimependa majibu yako kaka ❤️❤️❤️
Mkubwa Fela ni mfano mzuri sana wa "HATA WAJINGA HUZEEKA"😢
One love kwa konde mnyama pamoja sana
Mkubwa fella usifanye mziki kimazoea, Diamond ameachwa mbali na wanamziki wengi kimziki kwa sasa, acha kujiinua ukweli unaonekana. Labda kifedha na uangalie miaka aliyonayo kwenye game. Amepitwa kubali usikubali
Kuna watu wengine ni wa zee lakini bado Akili Awana kma uyo mkubwa anatakiwa aombe akima kwa mungu Sana aache Roho mbaya
Respect Harmo kweli ushakua ,hongera kwa mtazamo wako mzuri
Nakubali
Unaakili mingi sana kaka.💪💪
Amejibu kikubwa Sana, mkubwa fela anatakiwa kuacha hizo tabia kwani zinajenga chuki
Hamor kwa Sasa ni mkubwa kwani majibu yake ni makubwa kuliko maswali kupitana ni swala la kawaida kwenye maisha hata akishuka mnasema bado yeye namba moja eti hashuki Hadi nice Mimi wewe Nani na unafanya Nini Cha ajabu kwa Sasa huo ni ushamba tuu umekujaa Sasa kwa taalifa yako mutatoa wait Kama mmesimama halafu tukuone utafanya Nini na dalili zimeanza kuonekana😅😅😅😅😅😅😅😅😁😁😁😁😭😁😁😁😁
Kondeboy number one.....bakhresa
Harmonize namuelewa Sana mkubwa yeye anataka tu kuwafanaya diamond na harmonize waendeleze bifu konde kamruka mbali,thank u konde
Harmonize unaakili sana unayo hekima
Sana❤❤❤
Harmonize kizazi zaidi
🇲🇿+🇹🇿 Ni Marafique
PERFECT SAY #HAALAND✌
U are very smart
Niseme tuh mimi ni mu congomani ila konde boy ana busara ,hekima na baraka za mwenyezi mungu ... uyo mondi ana bebwa sanaa na support nyingi kuliko harmo ila harmo ana pambana mwenyewe niseme tuh kwa mutu aliye na vision ya mbali ana ona ukubwa wa harmo
Nakukubali sana konde we ni mkali
Yessss success👊👊👊👊
This is so matured bro
Mtu mzima
Jmn mnapokua mnashabikia mziki kila mtu aw namapenz kwamwenzake lakin msitukanane hap mnajibu kile kilichoongelewa harmonize hajawah Sema kuw yeye anamzidi mtu ila yeye kaul yake anamshukulu mungu alipo harmonize atabaki kua kama yeye mondi mondi
mkubwa ameteleza apo aisee
Hawezi kumpita diamond labda afe dah Kuna viumbe vinakufuru lkn any way couz muziki unaweza amua which is which ilah tujifunze weka akiba ya maneno tusiendekeze ulimi sanq
Kujipendekeza huko kuzingatia maokoto" ataka ajibiwe aseme watoto wamkosea ishima, Mzee Kama huyu siwakumpa nafasii niwakumuacha tu! Ate tee Ugali wake 😂😂😂😂
Na jina lake lote hio la mkubwa fella majibu ya konde tu yamemdharaulisha
Nikweli sana jeshi
100 wewe ndo mwambaa uyoo mama fella ajielewii
Babu tale sio mungu aache usenge mungu akipenda wewe utashuka na daimondi wako atashuka
Mungu yupi unamsemea
Umeanza vzr lkn umeharibu kwenye kutukana tuu
Mungu na matusi juu
Fela anatetea ugali wake tu kiakili bado utoto sana
Harmonize anathubutu sana! Ila Kwa Mond bado nyie tusimfariji mtu...labda kwenye kuimba Yuko Bomba Ila kibiashara na kifemas katupwa mbaaali sana na Mond
0
Kwani hapo tunazungumzia mziki au biashara nyengine. Mbona unajichamganya
@@fatmafaki6163 vyote vinakwenda sambamba acha Kona....watu wanaimba ili kuburudisha na kufundisha! Lkn kubwa zaidi pesa mbele! Huwezi ukawa unabweeeka tu unafaisha watu halafu wewe una faidika kidogo sana! Huko kwa ulimwengu wa Sasa washavuka! Pesa mziki vyote sambamba
@@fatmafaki6163harakaharaka ya kujibu hiyo. Mashabiki wasiojua kuchambua hao achananao
MKUBWA ASHAMALIZA MONDI NI HATARI KWA USALAMA HASHINDANISHWI NA YEYOTE ila bado namkibali harmo pia
Hajui Kama yeye kakua jina tu mkubwa bt he still a young in thinking
Diamond ni mkubwa tu sn kwako na hilo unalijua vzur sn kwenye nafsi yako kwamba diamond ni mlima,ila m nakukubali tu kwenye ubishi wako wa kuendelea kujipata zaid ya hapo ulipofikia na matunda tunayaona cz had alikiba ushampita
Kwasababu ya ukubwa ndo mnyanyase watu ata mwalimu anazidiwa kimaisha na mwanafuzi au uoni acha kerere za izi
Yaelekea mafanikio ya huyu jamaa,yanawaumiza sana roho nyie binaadam wenye itikadi za kishoga.Au mlitaka asipate maendeleo?
Kwani harmo anakuhuzi nini wewe kwani diamond ni Mungu
@@wisdomgilen-zb1is tatizo we ni choko yan nishoga unayefirwa kbs na pili shule hujaenda na bado ubongo mbovu na ndiomaana umekosa kukielewa nilichokiandika hapo na kuona km nina chuki naye!hivyo siyo kosa lako bali ni kosa la mama ako aliyekuzalia kupitia kwenye tobo lake la kunyea mavi
Ramadhani uneanza vizurry. Lakini. Umemaliza vibaya. Usimkosee Mungu kwajil ya ushabiki. Wawasanii. Kitukizury dunian. Nikunyamaza kimia usibishane had matus ukammpashetani nafasi haya sasa umemtukania mama yake. Umefaidika nini. Mungu akurehemu. Suluu yaugomvi sio tusi nasiosuluisho lakutoa kinyongo rohoni. Nilikuwa napita Tu 🎉
Safi umejibu kwa hekma.kumbe BAdo upo kea game hekma yako.
Kweli harmo umekuwa kiakili.
Fela ziro
Kwa hali hii wasanii wanaojiita wakubwa lazima wachukie dogo hatali sana sasahv
Amemjibu kibabe sana
Kachanyikiwa huyo fela mtu mzima ama mawazo ya. Ajabu
Harmonize anajitambua
Kwa majibu ya Hamo maneno ya mkubwa hapo mkubwa nani ukubwa si kuota mvi ni busara
Riziki isikufanye ukufuru mungu.alafu wewe muslim unajua aya kweli au muslim jina
Kwani Kazi anayofanya haral au haram?
Sio fela mkubwa fala 😂😂
😂😂😂
Kiukwely unafaa kuwa msemaji wa wanamziki make unatenda sio maneno hongera dogo
Iyo ndo maana ya usanii acha ushamba
Hii Interview Jeshi Alifanya Akiwa Ajatoka Kwa Pusha.
Kama hujui siasa hamna kitu utaelewa hapa,inabidi uujue unafiki
Yaap dogo kaongea kikubwa sana! Akiacha bangi atakuwa vzur zaid
Liendekezeni Hilo kubwa fair
Mkubwa fela bn
Hapo alikua aja uta. Akili ilikuepo
Zima hovyo kweli, anaweza akawa mchawi kwanza mtu anaongea hivi🤣
Uyu asaiv naisi kapunguza kuvuta bangi aisee kawa harmonize OG sio yule wakujiita teacher konde 😂😂 blo ukiendelea ivi utafika mbali 😂😂😂
Iyo ina onesha kua mkubwa kapanic alafu Harmo yeye ime mgusa kimoyomoyo yuasema round lazma watoke mapovu watulie tu...😂😅
Kweli kabisaa 🤣🤣🤣🤣 bado hawajasema🤣🤣🤣
Mnafiki utamjua tu huyu dogo yy ndo anakuaga wakwanza kumshambulia Mondi kwenye nyimbo lakini kwenye interview anajifanya Mondi ndo mwenye matatizo
Bado hujasema shoga mmoja
Mziki ni biashara acha ujinga 😅😅
Hapana, kumbe wewe hufuatilii mziki. Diamond ndio alikuwa wa kwanza kumwimb mwenzie " NJOMBA MCHUMALI KACHINJA MING'OMBE" na Harmonize akaja na aidia ya " Huo ni ushamba tu"
Then, Diamond akaja na " wewe umekalia penzi uchwara sisi tunasaka pesa", Harmonize akaja na " Asake wa Tandale".
Sasa hapo nani anamuanzaga mwenzie?
Fally ipupa amesha sold out Arena 2006 na 11.25.2023 U ARENA
Mkubwa fala
Ata mondi amemchoka tu nivile ameamua kuficha iĺa uyo mzee ujinga tu
Mkubwa" Fela yuwafelii yy Ndo atakiwa vijana awaeke sawa kwa kutumia Hekima na Busara kauli zake zakuingea,Diamond hana mpinzani mpaka Afee yuwakosea hii wazii ni chuki binafsii hivi inamaana Mond hakuna anaemshinda kimziki Bongo nzima? Labda kwa Jina na vijipesa lakini mbona wako wasanii kibao tu! Hawafiki kimziki yani tukiacha utimu tuongee ukweli.
Mkubwa Fella amesema ukweli ambao wengi huwa hawapendi kuusikia. Bifu aliianzisha yeye alipotoka WCB maana hakutaka kulipa! Na alitegemea kuona label imekufa kwani alijiona anajua sana. Sasa Harmonize hana msanii hata mmoja anayemsimamia kwahiyo hawezi kamwe kua level ya Diamond hata waungane na Rayvanny 😂
Msaport mtu anae thubutu mlitaka mmcheke kama mavoko
@@agnesjohn9382 Diamond supported him ila ndo alimnyea kichwani. Inawezekana huyu hasaidiki kwa chochote hata ushauri na ndio maana umeona wasanii wake wote wamemshinda. Hana shukrani huyu ila akija kwenye media ndio anajifanya mtu mwema😏
@@esthermutabuzi4582 hayo ni maoni yako na wewe chukua wasanii uwatoe mwache kijana watu mavoko walimpoteza lavalava yuko wapi kila mtu na nyota yake babu
@@agnesjohn9382 Na wewe haya ni maoni yako ila huo ndio ukweli. Kwasasa Harmonize amebaki na label hewa isiyo na wasanii. Hata huyo Ibraah wewe umemsikia lini? Lava Lava ana nyimbo yake "Tuna Kikao" ambayo bado inasumbua clubs, Mavoko alijitoa mwenyewe na amepotea. Harmonize alianzisha bifu na WCB na sasa hajui jinsi ya kulimaliza. Acha ushabiki mandaz😏
@@esthermutabuzi4582 basi umeshinda wewe kwamba Harmonize hawezi chochote mpaka sasa hivi kashuka kimuziki amebaki kuwa ombaomba tu hana lolote mimi mshabiki maandazi nimekubaliana na wewe mshabiki chapati si ndio umefurahi sasa au bado unataka kunitukana karibu tajiri
YAANI LEO HARMONISE UMENIFURAHISHA MNO. KWANINI? UMEJIBU KWA HEKIMA KUBWA SANA MWANANGU. UMEKUA SASA, UMEPEVUKA... NILIKUWA NATAMANI UFIKIE UKOMAVU HUU..MABIFU BIFU YA NINI. NATAMANI HATA NIKUPIGIE SIMU NISEME HONGERA KWA HILI.
Ni kweli harmonize bado sana kwa diamond ukweli wauma 😅😅😅
Huyo harmonize ni mnafki sana anapenda kujiekti mbele za maiki kutia uruma kumbe hamna kitu mfano hili swali yeye alisema diamond akishakuwa na bifu na wewe basi walewatu wako wakaribu anakuwa na urafiki wao sasa hayo majib yarudishe kwenye swali alilourizwa ndoutaelewa😢
Yakupita kwa mkubwa ipige nyundo.
Mkubwa nakuunga mkono diamond kwa mziki Africa ni namba moja
Labda kwa upande wa mali, ila kimziki diamond ameishazidiwa na Harmonize.
Kweli
Kila mtu na Rizki yake.kwani ye Diamond alizaliwa mwenyewe, yupo overrated saaaana, hakuna mtu yeyote, ambae amefika hapo alipo, bila kupata msaada,? Na Konde boy, alishamlipa hizo milion 500+, so hakuna msaada tena,alilipia huduma, .Fella nae hakui, shida elimu, ndiyo
Usikonde marijuana wanasmoke wengi kikubwa fikra zako ndo zitakupa mwisho mwema.
Mnao comment unafk kuhs mond mnajchosha tu mond kashindkana
Ukiwa na akili timamu utakua timu konde lakn kama akili yako ni ya upinde lazma utakua upande wa daimond. Timu mateja
Hamo ana chuki za kisengeeee
😂😂😂😂
Hakuna cha akiliii apoooo ame jibuuu usatalabuu kwakuaa yeye kajibuu ilaa angee anza kusema yeye nazani lazima naee ange vulundaaa hapo ana jisafishaa kiufupii naee harmoo hana ni zamuu
Comment Yako imekumalizia akili wewe
𝙷𝚊𝚛𝚖𝚘𝚗𝚒𝚣𝚎 𝚒𝚜 𝚗𝚎𝚠 𝙺𝙸𝙽𝙶❤
Mnao comment unafk kuhs mond mnajchosha tu mond kashindkana