Wewe ni raia wa kawaida. Usalama wako utapatakuwepo kama watanzania wengine na hautapatiwa special treatments. Huwezi kuimulu Serikali kukupa ulinzi tofauti na Watanzania wengine.
Kwanza umepona?? Kama umepona mshukuru Mungu, alafu utulie tu hukohuko ugenini ndoto za kuwa raisi wewe sahau tu hii nchi tayari ina raisi mteule kutoka kwa Mungu. Kwa sasa relax
VITUKO EXTRA, Ww kweli ni kituko na ushirikiano gani unaotaka ww kw uyo lissu kuwapa Jeshi la Polisi.? Ingali kesi ngapi za kuuliwa watu, kushambuliwa, kutekwa na wengin kutopatikana tena na hakuna kesi hata 1 ya aina iyo na hukum kutolewa bali utaambiwa ushahidi ama upelelezi haujakamilika mpaka lini.? Na chakushangaza kila kitu kiko wazi na kikubwa utaambia wahalifu waliotenda uovu uwo ni watu wasiojulikana ni majini ayo vipi.? Usalama wa mazingira unaotuzunguka ni muhim kw kila 1 wetu..
Upewe ulinzi na pilisi kama vile jeshi la polisi ni jeshi binafsi,watakulinda kama tunavyolindwa sisi kama ziada ya ulinzi makampuni ya ulinzi yapo mengi waajili wakulinde
MBONA UNAOGOPA SHEIKH, NJOO KUNA ILE KESI YAKO INAKUSUBIRI, NA WALEWALIO KUDHAMINI WAMEJITOA, SASA SIJUI UKIFIKA KIPI KITAFUATA,LAKN MAGUFULI KATUFANYIA MAKUBWA WEWE HUNGEWEZA,
Yaan wewe unatangaza polisi awajakuaakikishia usalama kwa kusudi kabisa Ili uje huku mtengeneze vitimbwi vyenu , mtengeneze muvi , mjiteke na kujivamia then mseme serikali imefanya hivyo TUNAWAJUA NYIE KWA KUCHEZA MUVIE TU , mwakyembe awakonside tu
Acha sinema.... Unatumalizia MB zetu....Umeondoka zamani ndugu yetu Huku sasa hivi hatuna muda kwa siasa za maigizo tunaona REALITY....na tumeridhika..... wala usihangaike..... Siasa hizi za mitandao mlitupata mwanzo tu nyie Kenge......
Laizer hajaomba ulinzi amesema Mungu ndiye mlinzi wake, police si ndiyo hao mnasema wanatumwa wakikuhakikishia halafu ukajikwaa bahati mbaya si utasema umevamiwa??? Wakati mwingine tukubali kushindwa kwenye ushindani siyo visingizio.
Lisu siasa za mbwembwe zimepitwa na wakati cc wa tz hatuhitaji maneno mengi kutoka kwa wanasiasa tumeshabadilika, we km unakuja njo cc tupo utatukuta bd tunapambana na kilimo biashara na mambo mengine. Sasa sijui unatuletea mbolea na pembejeo au unakuja kutulisha maneno tu. Uje na chochote bs. Hata mashati ya mtumba co mbaya.
Tundu Lissu unataka ulizi kwa watu ulio washutumu wametaka kukuuwa ..? Mbona sielewi ..? Na km unataka kweli kuwa Rais wa Tanzania kwanini ujaze fomu mbali njoo mwenyewe km kweli wewe mpigania haki kweli.
Ushauri wangu wew Baki tu huko vya bure vizuri umenoga hatari huku utakuja kuchaaaaa maana hakuna atakae kujari watu wote tupo bizeeeee na marndeleooo upo nyonyoo
Ulidai serikali kwa kutumia vyombo vyake vya usalama walitaka kukuua,leo unataka polisi haohao wakupatie ulinzi binafsi.. We baki huko huko ulaya,endelea kulamba matako wazungu..
Watu kama hawa ni wakupuuza tu maana wanatupotezea muda tu. Tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya na siyo mambo yasiyo na maana. Mtu mmoja tu kati ya watu milion 60 ndo atusumbue akili.
Wakati unaenda uko mbona haukuomba ulinzi, sasa unataka ulimzi wa nn? Kwa maana au nyingine UKO NISALAMA ZAIDI KULIKO NYUMBAN, kama ni hivo kaa uko uko usije uku penye machafuko. Pumbavu ww RAIS WA INCHI NIMAGUFULI TU.
Ila kusema kweri ata kama unatetea,sijui unademocrasia kichwani mwako we huna aibu yani,na kwa kuwa huna aibu wala huna hofu na unasema nn kwa wakati gani du,.
Kwani sisi wananchi tunalindeaje, hivyo ndivyo itakavyolindwa na wewe Kwa sababu wewe huna tofauti na Mimi , huna Cha ziada kitakachofanya serikari itoe walinzi wako kwako
Yaan na huo mdomo wako utafikiri meno yameng'oka pumzika sasa tumechoka na mbilinge zako umeponea chupu chupu ufe halafu bado hutulii mshukulu mungu umepona sasa ni wakati wako wa kutangaza injili ya bwana na sio uje kutupanda kichwani wanainchi...
Huyu jamaa kachanganyikiwa!unakandia polisi siku zote today,you want their protection!Vyakula vya kopo balaa mzee😂😂😂rudi kwenu ukalime!Mbowe hakupi nafasi mjomba,achana na CCM,shughuri ni ndani ya chama chako! By the way,ULISEMA HURUDI TZ WAKATI JPM BADO YUPO MADARAKANI!!!inakuaje????au unafikiri tumesahau? Ulaya bila kazi mjomba sio mchezo,tuachie sisi ma
Inaonakana kweli huna akili sawa sawa, yaani wewe uliwatuhumu kuwa wao ndio wahusika sasa huyo mtu anakuhakikishia vip usalama kama mwanzo alishindwa? Halafu kumbuka jeshi la polisi lina wajibu wa kumlinda kila raia wa Tanzania sio wewe pekee
@@andreamruma912 muda ukifka hakuna kuongopa lazima tumlinde kwa nguvu zetu serekali mwaka huu taubuka kwa maovu vijana tumlinde huyu mubeba maono wa mungu anafaa tumlinde vijana mpoo
Wewe usiwe boga kwasababu umeshindwa vita sasa unatangaza kurudi lakini usisahau uliyoyasema sisi tunayakumbuka magu juuu usiludi kwasababu magu atoshi kajaa tanzania yote inaonekana wazungu wamekuchoka ?sasa ujue tz is fr
Mmmhhh.......!!! Hamna anaekutaka huku shoga ww baki hukohuko kwa mashoga wenzako pumbavu zko..........Rais tunae anaejali Nchi yke na wananchi wke pia Mzee Magu mpka 2030
Huna jipya wewe kila siku munawakashifu jeshi la police na kusema kuwa police ni wa ccm wanatumika sasa unawataka wa nini au ndio ushatengeneza plan nyingine muwatie ubayaani? pamba na hali yako
Mnao comment matusi kumbukeni kuna kesho nobody is perfect kumbuka hata 2015 kunaaliyetegemewa kuwa yeye lakini haikuwa hivyo nawengi tulitawaliwa na fikra za flan kuwa atashinda hila haikuwa hivyo.Ushauri tu jaman hii nchi hitajengwa na nguvu zetu na uongozu ulio na haki yakumpa raia aweze kukosoa panapo staili kukosoa sio kuogopa kusema ukweli!!!!
Shikamoo Mhe "Tundu Lisu"Tumesha kudhamini mamilion ya wanachama halili wenye sifa za kikatiba na sheria katika kujaza fumu ya udhamin ya kugombea URAIS wa Tanzania, twambiye lini utawasili tuanze kuja jijini Dar na wafuasi wetu kwa ajili ya mapokezi ya kihistoria?...
Anahangaika tu huyo raisi wetu ni mmoja tu John pombe Joseph magufuli daima juu
Wewe ni raia wa kawaida. Usalama wako utapatakuwepo kama watanzania wengine na hautapatiwa special treatments. Huwezi kuimulu Serikali kukupa ulinzi tofauti na Watanzania wengine.
Kwanza umepona?? Kama umepona mshukuru Mungu, alafu utulie tu hukohuko ugenini ndoto za kuwa raisi wewe sahau tu hii nchi tayari ina raisi mteule kutoka kwa Mungu. Kwa sasa relax
Nani kakuhakikishia kuwa mungu amemteua au ni mungu mwenyewe?
@@duoxmasisa6529 ee
@@duoxmasisa6529 kila mamlaka iliyopo imetoka kwa Mungu
Ni sahihi kabisa Lisu Angetulia huko tu ugenini Hawezi kuja kupambana na Rais Atapotea kisiasa Bule Watanzania Tumemkubali Mh Magufuri
Aufanani kuwa raisi wewe tunakujuwa kibaraka
Kuwapa Ushirikiano polisi Hamtaki leo Unadai Ulinzi kwa Watu Hao hao Unaowashutumu kuwa Hawatendi hakiii....Akili za kuambiwa changanya na zakoo #JPM
Vituko ahasante san jibu latosha kabisaaa
Safi
VITUKO EXTRA, Ww kweli ni kituko na ushirikiano gani unaotaka ww kw uyo lissu kuwapa Jeshi la Polisi.? Ingali kesi ngapi za kuuliwa watu, kushambuliwa, kutekwa na wengin kutopatikana tena na hakuna kesi hata 1 ya aina iyo na hukum kutolewa bali utaambiwa ushahidi ama upelelezi haujakamilika mpaka lini.? Na chakushangaza kila kitu kiko wazi na kikubwa utaambia wahalifu waliotenda uovu uwo ni watu wasiojulikana ni majini ayo vipi.?
Usalama wa mazingira unaotuzunguka ni muhim kw kila 1 wetu..
@@chefwakitaakaithar2039 ila na ww pumba kweli gazeti lote Hilo umeandika utumbo mtupu
wanachukuliana wake wanavamiana wanapigana na kujeruhiana afu wana singizia serikali ..Washindwe sana Tanzania is here to exist and to prosper
Upewe ulinzi na pilisi kama vile jeshi la polisi ni jeshi binafsi,watakulinda kama tunavyolindwa sisi kama ziada ya ulinzi makampuni ya ulinzi yapo mengi waajili wakulinde
Braza hayo Makampuni ya binafsi ya Ulinzi yanatumia siraha gani Za kumkinga Lisu
MBONA UNAOGOPA SHEIKH, NJOO KUNA ILE KESI YAKO INAKUSUBIRI, NA WALEWALIO KUDHAMINI WAMEJITOA, SASA SIJUI UKIFIKA KIPI KITAFUATA,LAKN MAGUFULI KATUFANYIA MAKUBWA WEWE HUNGEWEZA,
Af ukute kuna watanzania wanaweza kumpigia kura huyu TUNDU ....
Magu piga kazi tuko nyuma yako kiboko ya mabeberu 🔝
Yaan wewe unatangaza polisi awajakuaakikishia usalama kwa kusudi kabisa
Ili uje huku mtengeneze vitimbwi vyenu , mtengeneze muvi , mjiteke na kujivamia then mseme serikali imefanya hivyo TUNAWAJUA NYIE KWA KUCHEZA MUVIE TU , mwakyembe awakonside tu
Kukuhakikishia kivipi kwani umesikia usalama haupo nchini mbona wawekezaji wanazidi kumiminika tu.
Acha sinema.... Unatumalizia MB zetu....Umeondoka zamani ndugu yetu Huku sasa hivi hatuna muda kwa siasa za maigizo tunaona REALITY....na tumeridhika..... wala usihangaike..... Siasa hizi za mitandao mlitupata mwanzo tu nyie Kenge......
Lisu ushafeliii banaa
Laizer hajaomba ulinzi amesema Mungu ndiye mlinzi wake, police si ndiyo hao mnasema wanatumwa wakikuhakikishia halafu ukajikwaa bahati mbaya si utasema umevamiwa??? Wakati mwingine tukubali kushindwa kwenye ushindani siyo visingizio.
Jamaa langu unajisumbua tyu utapoteza hela zako buree rais wetu Ni JPM
Hv kweli kabisa una uhakika wa kuchukua kiti Cha urahiisi Kaka!?.... ,🙄😆😆😆😆
Umepata udhamini usikhofu usalama utapatikana ikishindikana twende nikupeleke kwbabu ukapikwe vizuri kuhusu uswahili wakidunia dunia ipo kwenye vyumba vyawazee wetu kgm
du!!!!!!!!!!!
Mpaka ukafike nae huko Kaz imeishia njiani
Lisu siasa za mbwembwe zimepitwa na wakati cc wa tz hatuhitaji maneno mengi kutoka kwa wanasiasa tumeshabadilika, we km unakuja njo cc tupo utatukuta bd tunapambana na kilimo biashara na mambo mengine. Sasa sijui unatuletea mbolea na pembejeo au unakuja kutulisha maneno tu. Uje na chochote bs. Hata mashati ya mtumba co mbaya.
Tundu Lissu unataka ulizi kwa watu ulio washutumu wametaka kukuuwa ..? Mbona sielewi ..? Na km unataka kweli kuwa Rais wa Tanzania kwanini ujaze fomu mbali njoo mwenyewe km kweli wewe mpigania haki kweli.
Ushauri wangu wew Baki tu huko vya bure vizuri umenoga hatari huku utakuja kuchaaaaa maana hakuna atakae kujari watu wote tupo bizeeeee na marndeleooo upo nyonyoo
Ulidai serikali kwa kutumia vyombo vyake vya usalama walitaka kukuua,leo unataka polisi haohao wakupatie ulinzi binafsi..
We baki huko huko ulaya,endelea kulamba matako wazungu..
ulindwe kama nani fala tu kibaraka wa wazungu msenge ww
yaan ww ni special cases we jamaa mbona unajikweza sana eti "ulinzi"... Kwan una hofumita???
😆😆😆😆😆
Bora urudi wakumalize kabisaa bwege we
We Nani bwana wee had police wakuangalie na kulinda wewe tu bwana Kama utak kurud baki hukohuko upunguzi kitu police hawafanyi kazi hiyo
Watu kama hawa ni wakupuuza tu maana wanatupotezea muda tu.
Tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya na siyo mambo yasiyo na maana.
Mtu mmoja tu kati ya watu milion 60 ndo atusumbue akili.
Kalime alizeti singida mzee baba
Jamani watanzania wenzangu nawasii sana tusidanganyike kumchaguwa uyu mtu atatumaliza
Hamna kitu hapo
Njoo nitakulinda alafu nione nani sasa atakugusa nina fuko la mawe apa mishale mikuki,nikizidiwa nakutoa chambo🤣🤣
Sasa nzuri hiyo nami nitakusaidia
Umechelewa naniii
😆😆😆😆😆😆
😂😂😂😂
Ivany mungu anakuzoom ujuwe
Kwenda kule mnafikimkubwawewe
😂😂😂
Hongera kamanda nakuunga mkono
Njoo uone
Hiyo pesa ya nauli si bora kama huitaki ututumie mimi na mbowe tukafanye stock ya faru John tu
huyu hajielewagi kabisaaa...polisi wanalinda watu wote...unataka waache wakulinde wewe tu?acha uboya aisee
Kama unaogopa kuja tz kaa hukohuko hakuna hasara.
Wakati unaenda uko mbona haukuomba ulinzi, sasa unataka ulimzi wa nn? Kwa maana au nyingine UKO NISALAMA ZAIDI KULIKO NYUMBAN, kama ni hivo kaa uko uko usije uku penye machafuko. Pumbavu ww RAIS WA INCHI NIMAGUFULI TU.
JAMANI KUPOKELEWA KWA BARUA? HOW ABOUT DISPATCH
Ila kusema kweri ata kama unatetea,sijui unademocrasia kichwani mwako we huna aibu yani,na kwa kuwa huna aibu wala huna hofu na unasema nn kwa wakati gani du,.
Kwani sisi wananchi tunalindeaje, hivyo ndivyo itakavyolindwa na wewe
Kwa sababu wewe huna tofauti na Mimi , huna Cha ziada kitakachofanya serikari itoe walinzi wako kwako
Ayo Maneno tu Lisu huwezi kurudi TZ ulisema ukipona tu unarudi Leo umepona mbona bado huko huko tulia hacha kelele Magufuri Ametutosha sisi Watanzania
Hapo ulipo.unalindwa na nani?
Yaan na huo mdomo wako utafikiri meno yameng'oka pumzika sasa tumechoka na mbilinge zako umeponea chupu chupu ufe halafu bado hutulii mshukulu mungu umepona sasa ni wakati wako wa kutangaza injili ya bwana na sio uje kutupanda kichwani wanainchi...
Huyu jamaa kachanganyikiwa!unakandia polisi siku zote today,you want their protection!Vyakula vya kopo balaa mzee😂😂😂rudi kwenu ukalime!Mbowe hakupi nafasi mjomba,achana na CCM,shughuri ni ndani ya chama chako! By the way,ULISEMA HURUDI TZ WAKATI JPM BADO YUPO MADARAKANI!!!inakuaje????au unafikiri tumesahau? Ulaya bila kazi mjomba sio mchezo,tuachie sisi ma
Tuna kusibiria Sana mh lisu
Yani wewe uwe Rais haswaaa!! Wakat huo Magu anakuwa wapi? Pole mzee
polisi wakulinde kwa kipi ulichonacho we vipi bhna, achana nasisi
Mbavuu zng utazilipia
Duuuuuhhh nimekubali mwanaume, atuache kabisaaa huu wakati wa kazi hatutaki maneno
Lisu lud bana tukupe urais bana achana na hao chura wa mitandaoni sawa
hhhhhhh
Nasubiri kuona mdhamini ni nani, hofu iko kwako na ndugu zako na familia yako sio kwa wananchi.
Ww baki hukohuko utachoma nauli bure, Tanzania huna nafasi ya kuwa rais kwa namna yoyote ile☹️
Mpumbavu sana hyoooo
Mungu anaujua siri za kila mwanadamu hila Taifa lazima litetewe hata katika mataifa mengine si vema kutukana kiongozi wa taifa letu si jambo jema....
Anajishaua kama hana nia ya kugombea urais wala nini.anatafuata kiki uyu hana lolote.
Ccm oyeeee.
Tumeipenda wenyewe
2020magufuri asilimia zote mia mia
Matako we toka hapa
Yaani huyu ndugu sinema yake imeshapitwa na wakati.
We ulindwe Kama nani
Waooooh hzo pombe maguful peleken huko
Inaonakana kweli huna akili sawa sawa, yaani wewe uliwatuhumu kuwa wao ndio wahusika sasa huyo mtu anakuhakikishia vip usalama kama mwanzo alishindwa? Halafu kumbuka jeshi la polisi lina wajibu wa kumlinda kila raia wa Tanzania sio wewe pekee
Shetani mkumwa we jaribu ukuje Tanzania uone mjinga wewe
Utaendelea kusema hayo sisi wantaanzania harisi tunafanya maendeleo ya nchi yetu, hapa kwetu
Kama wewe ni mtanzania onyesha kitambulisho cha NIDA
Hana nida huyu
Hamna kitu hapo, ulindwe we nani? Wakati ulisema uwaamini Polisi, utalindwaje na watu usiowaamini
We kila ck unasema unakuja; kuja hauji c uje cc tumechoka kukuona kwenye chupa;. Njo bwna......!
Karibu sana vijana tupo tutajitolea kukulinda na kamwe hawatakungusa karibu sana
Nakubali
@@andreamruma912 muda ukifka hakuna kuongopa lazima tumlinde kwa nguvu zetu serekali mwaka huu taubuka kwa maovu vijana tumlinde huyu mubeba maono wa mungu anafaa tumlinde vijana mpoo
Wewe usiwe boga kwasababu umeshindwa vita sasa unatangaza kurudi lakini usisahau uliyoyasema sisi tunayakumbuka magu juuu usiludi kwasababu magu atoshi kajaa tanzania yote inaonekana wazungu wamekuchoka ?sasa ujue tz is fr
JINGA HILI UNATAKA UHAKIKISHIWE USALAMA GANI SASA WEWE KAMA UNAKUJA NJOO UISHI KAMA WANAVYOISHI RAIA WENGINE TANZANI MUACHE UOGA WA KUJITEKATEKA
Upatiwe ulinzi wa polisi we nani? Mbio za sakafuni......!
Aka Kajamaa kanaongea nini aka !!
Www yuko nje halafu unataka kungombea yurais? lini itarudi? hofu gani au matatizo gani unadhani utaapata
Hv na wewe unawaza kchwani mwako kabsa kuwa utaleta upnzani tz? Au unatafuta still ya kurudi tz karbu ila rais 2nae ambae hana mpinzani
anataka usalama upi mbona sis tupo hatujaguswana risasa wala korana pambavu zako
hahaaaa polic wetu wa nakazi za kufanya sio kukulinda ww tobaaaa njoo na wazung wako wajekukulinda
msomi asiekuwa naakili
Alokuchukulia fomu atakulinda, ulindwe wewe Rais? Acha uzwazwa mfa maji haishi kutapatapa
hahahahaa, subir ukiishiwa hela ya matumiz, utarudi mwenywe!
We nifala 2 hunalolote upatiwe ulizi we ninani peleka uxeng huko kaa hukohuko kam unaogopa na urais xahau
Mmmhhh.......!!! Hamna anaekutaka huku shoga ww baki hukohuko kwa mashoga wenzako pumbavu zko..........Rais tunae anaejali Nchi yke na wananchi wke pia Mzee Magu mpka 2030
Kwan unarud lin mkal 😇😇
ww sio mtanzania? kwanini onaomba ruhusa yakurudi kwako? sinyumbani? au ww sio mtanzania kama mimi,
Yani nilikuwa nakuheshim
Nakukuona una akili
Ila sasaivi hakika wewe nikiazi
Kiongozi gani mwoga, utamwongoza nani wewe
Huna jipya wewe kila siku munawakashifu jeshi la police na kusema kuwa police ni wa ccm wanatumika sasa unawataka wa nini au ndio ushatengeneza plan nyingine muwatie ubayaani? pamba na hali yako
ni haki yako ya kikatiba
Jilete weweee tunakusubir
We chizi nn
Cc
Mh
Wanabezwa,, leo unawaomba
Natamani uje mkali wetu
Jibu ni hv wewe upatiwe ulinzi ka nani?
Mnao comment matusi kumbukeni kuna kesho nobody is perfect kumbuka hata 2015 kunaaliyetegemewa kuwa yeye lakini haikuwa hivyo nawengi tulitawaliwa na fikra za flan kuwa atashinda hila haikuwa hivyo.Ushauri tu jaman hii nchi hitajengwa na nguvu zetu na uongozu ulio na haki yakumpa raia aweze kukosoa panapo staili kukosoa sio kuogopa kusema ukweli!!!!
@@zaidatuissa3018 ww na nani??? Mbn mm simhitaji???
@@ericksamwel1657 watanzania mamilioni tunamtaka na ni lazima arudi statehouse atake asitake, huyu kibaraka wa mabeberu atafute kazi ya kufanya
@@HASASON sawa
Shikamoo Mhe "Tundu Lisu"Tumesha kudhamini mamilion ya wanachama halili wenye sifa za kikatiba na sheria katika kujaza fumu ya udhamin ya kugombea URAIS wa Tanzania, twambiye lini utawasili tuanze kuja jijini Dar na wafuasi wetu kwa ajili ya mapokezi ya kihistoria?...
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 wacha kumkejeli mwenzako uwezi jua anaweza kua rais mungu yupo
😅😅😅😅 Hii inachekesha sana
Mwenyewe anajua unamchora tu
Halafu ninyi wapambenuksi ni janga
Jamaa langu unajisumbua tyu utapoteza hela zako buree rais wetu Ni JPM
Nimechekaje lol hahaha safi sana imekaa poa hii