Thanks bro Lucas tumeingoja xn hii cku jmn hata km Roma kaondolewa nguvu me Nina Imani nguvu zake zitarudi na atakuwa Tanzania bila wasiwasi na familia yake wanaoamini Roma nguvu zake zitarudi gonga like tujuane ❤❤❤❤
😂❤❤(1) Edna huyuapa, Asante kaka lucas kazi nzuri sana,, nimeamini kweli aombae hupewa, edna aliomba kumpata mwanaume atakae mpeleka anavotaka namepewa. roma anatii kl utashiwake, hakka maombi🙏 nisirahaa. inge kuasio sirahaa roma agekua kavamia ktumbua bl kujali😂sikuamini kwaharakat za roma kutafuna vitumbua hyvo, et cha edna akaweze kujizuia. Had anakubwa namngum megi na shida,.tuko bamoja kaka lucas ad mwishooooo🌹🌹🌹🌹🌹🏃
Kak lucas kwel we kipaji umezaliwa nacho siyo wote wanawez kusimulia simulizi wakafafanuwa vizur kam unavyo fanya wew mung akupe afya njem na akutimizie hitaj la moyo wakoooo
Hawezi copy itabaki kuwa copy ila Orginal ni Orginal tu hata kama wakimutengeneza Roma wa fake hawezi kushinda Roma wa Orginal. Acha nisikilize japo kuwa Roho iko juju Roma kutolewa nguvu zake inauma sana
❤❤❤❤ iyi simurinz ninzur kwasababu musimuriaji arisimulia Kam left kwenye uwanj wamupir yaan kwakifup anaushawishi wakati analog simuria❤❤❤saan😂😂asante😂🎉🎉🎉
Imani yangu nikuwa Roma hajaishiwa nguvu ila nikupanda ngazi nyingine ya ya juu ili kuvizidi vituo vilivyokuwa nyumanyake na kupanda ngazi lazima miungu ikome hata Yanbuweno awatengeneze Roma mia bado kipondo atakipata kwani mitego yake wanayo ipanga wakiwa na Athena haitafaniliwa abadan Roma Tz lazima kuirudi
Aliziona Camera ila akajikuta ona sasa katengenezewa watuuuu waku mfanana... Roma atarudi na nguvu zake zita ongezeka zaidi... Roman ndiye mwambaaaa kwenye simulizi hiiii na mwambaaaa hafiiiii
Nahisi Roma hajapoteza nguvu ila nguvu zake zimeongezeka kushinda hiyo Miungu mingine ndiomana hawawezi kuona nguvu za Roma hapo Roma ameenda next Level yakijini nyingine kupitiliza nguvu za hiyo miungu ila Yambuweni ulaaniwe kwakuchukuwa Damu ya Roma sasa subilia uone kitakacho kukuta utajuta kuzaliwa 😂😂😂😂😂
Asante.mungu.kwa.sehemu.ya.33🙏🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks bro Lucas tumeingoja xn hii cku jmn hata km Roma kaondolewa nguvu me Nina Imani nguvu zake zitarudi na atakuwa Tanzania bila wasiwasi na familia yake wanaoamini Roma nguvu zake zitarudi gonga like tujuane ❤❤❤❤
@@EstherMlai tunaomba iwe hivo🙏
Munamuinea huruma, roma anapuzia mambo muhimu sana ona sasa damu yake ilichukuliwa bila kufahamu....masikini roma wa edna 😢
@@SusanNeema-re3hr Nina Imani nguvu zake zitarudi
@@EstherMlai usilie basi 😎
Team Roma kumekucha 🏃🏃🏃🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Nahic leo ndo utakuwa mwisho wangu kufatilia simulizi hii 😢😢😢😢
Hata kama nimechelewa lkn musininyime like kwa mashabiki wa kaka lucas lumbas twaa maua yk kk🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mpe na haya mauwa yangu 🌹🌹🌹
wa kwanza like yangu jmn hat kum t
Mungu Ni mwema tume kutana Tena waooooo
Wakwanza jamani like zenu hàpa❤❤❤❤
Mm wakwanza naombeni like zenu aka mchepuko wa mwamba roma 😂😂
❤
Inimekuja jamanii Asante Lukas 🎉🎉🎉🎉g
Wa kwanza Leo kuliko wote Kam umechelew gonga like hapa
@@ReginaJumanne ❤️❤️
❤❤❤❤@@TeklaNdekeja
@@TeklaNdekejaunatakiw uninunulie peps ya barid maan xo kwa kuwah huk 😏😏😏
Jmn roma wetu atakuwaje tena na maadui zetu nguvu zke itakuwj😢😢😢😢😢😢😢
Jamani hamuchelew 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
😂❤❤(1) Edna huyuapa, Asante kaka lucas kazi nzuri sana,, nimeamini kweli aombae hupewa, edna aliomba kumpata mwanaume atakae mpeleka anavotaka namepewa. roma anatii kl utashiwake, hakka maombi🙏 nisirahaa. inge kuasio sirahaa roma agekua kavamia ktumbua bl kujali😂sikuamini kwaharakat za roma kutafuna vitumbua hyvo, et cha edna akaweze kujizuia. Had anakubwa namngum megi na shida,.tuko bamoja kaka lucas ad mwishooooo🌹🌹🌹🌹🌹🏃
ᴺᵃᵐᵘᵒⁿᵃ ᵒⁿᵍᵉʳᵃ yake😅😅😅
@@Kellyperry947 hakika tumupogeze Edna shujaa👏
Mungu wamgu Roma tutafanyaje Bola Roma story sio feet
Tupo pamoja ❤❤❤❤
Mungu tusaidie sana Roma wetu na Edna nawapenda sana
Wanne🎉🎉🎉🎉
Naogopa kwa Roma kuondolewa nguvu zake jamani
😭😭kwaherini wapendwa nitarudi siku nguvu za Roma zikirudi byyyyy👋👋
😂😂acha woga walimuuwa na akarud sembuse nguvu zitarud tu
Em rudi apa😂😂😂😂😂😂
@@khadijahamisi6558 😂😂siwezi kuondoka kipenz ❤️❤️ mpaka kieleweke
@@hafsasaid9666 siwezi kuondoka kipenz 😂😂😂
Eti Roma katolewa nguvuu zake sasa itakuajee jaman 😥😥😥😥wacha tusikilizee
ᴿᵒᵐᵃ ⁿⁱ ʰᵃᵗᵃʳⁱ tulia😅😅😅
@@Kellyperry947 unatumia nguvu au cy 🤣🤣🤣🤣
Msikate tamaa jaman part34 ndio itakua 🔥🔥
Jamani yanibony amefanya yake
@@annahnyansiaboka451 lkn kapatiwaa onyoo na tenor
Leo nimekua wa 33 jamani nipeni like please 🙏 nimejitahidi
Amepanda level nyingine
Asante kaka Lucas Lumbasi ,hata kama nguvu za Roma zimetoleea Nina Imani zitarudi tu na washindi katika huu mtanange ni Roma na Edna❤❤❤
Nakupenda sana ❤❤❤
👍👍👍
Kama Roma kaondolewa nguvu zake sisikilizi tena Edna hii inamanisha Edna yupo hatarini.
Mimi Mwenyewe Staki Tenaa
Mmmh
Pia mim kama itakua ukweli basi ni basi ckilizi tena mm nitakupa mtu WA mwisho kuamin
@@aminasaid308 labda Roma itabidi apitie hiyo njia ili aende level nyingine.
❤❤❤
Inakuwaje jamani roma
Isee.pole.sna.roma.mungu.akufanyue.wepesi.familia.inakusubiri.mungu.akusaidie.ju.familia.yako.itakua.hatarini.
Roma jmm akipiga three some jmn itakuwa too much .
Mwamba wetu Roma itakuaje😢😢😢
Wakwnza Leo hatimae
Tulikuwa twasubiri kwa hamu
Lukasi sisi wasichana wa galf tunakupena sana
Sana maua yake Kwa lucasi lumbasi tunampenda Sana 🎉🎉🎉🎉❤️💖❤️💖❤️❤️❤️❤️💖💖💖❤️💖💖❤️❤️
ᴾᵃᵐᵒʲᵃ ᵗᵘ ˢᵃⁿᵃ❤🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
Mimi Na Hii Simulizi Ndo Basi Tenaa Labda Roma Arudiwe Na Nguvu Zake, Tofauti Na Hapo Staki Tenaa Edina Simulizi 😢😢😢😢😢
😂😂hata mm naondoka
Mhmm
Roma ni muungu mtu hawez kuferi kizembe hvo yeye kupindua baya kua zuri nzuri kua baya niktendo chamdat
✋✋✋
Tupo kka Lucas chukua 🎉🎉🎉
Asante
Waoooo❤❤
🎉🎉. 🎉🎉❤❤❤❤
Kak lucas kwel we kipaji umezaliwa nacho siyo wote wanawez kusimulia simulizi wakafafanuwa vizur kam unavyo fanya wew mung akupe afya njem na akutimizie hitaj la moyo wakoooo
@@ReginaBenjamin-ij2ec amina
Amin inshallah
Jamani watu wanakimbia kwelikweli Lucas unatisha
Ulaaniwe usingiz ila sijachelewa saana nmeamshwa na mood taaam la edna😢😢
Namba moja Leo likes please❤❤❤❤
Thanks brother Lukasi Lumbasi. God bless you.
Leo wa 17 hatimae
Jamani roma watu nn tana
Mashaal asant 48❤❤😂🎉🎉😢
Huyu mtunzi wahiisimulizi nampigia saluti kwani wazapewamaswali naukashindwa kuyajibu, kaka Lucas hongera kwakutuhadithia kwautulivu.
Mungu amfanyie wepesi Roma awe na nguvu zake
Nimeipenda
Duu loma wetu jamani mungu atamsaidia tu.hongela kaka ubalikiwe
Nlisubiri kwahamu
Me nawaza Tu huyo Roma feki asije kujifanya mume amzshamue edina😂😂 sijui itakuaje
Hawezi copy itabaki kuwa copy ila Orginal ni Orginal tu hata kama wakimutengeneza Roma wa fake hawezi kushinda Roma wa Orginal. Acha nisikilize japo kuwa Roho iko juju Roma kutolewa nguvu zake inauma sana
Jamani mm namwombea roma nguvu zake zirudi apambane na maadui zake huyu yangabwen alaaniwe kabisaa
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa mtizamo.wangu hii ni mbinu ya kumweka Roma kwenye levo nuiyngine
Bismillah ndo na anzaaa mi minah babe wake roman
😭😭 Inahuzunisha sana lakini roma wetu haezi kufa wala kupoteza nguvu zake
❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉
Masking shemeji yetu Roma jamani
Khaaa yanbwen kaziniiii😢😢😢 ngoja tuoneeeeee
❤❤❤❤ iyi simurinz ninzur kwasababu musimuriaji arisimulia Kam left kwenye uwanj wamupir yaan kwakifup anaushawishi wakati analog simuria❤❤❤saan😂😂asante😂🎉🎉🎉
Hata wazitoe nguvu zote kwa Roma mimi ninaimani atashinda to hii vita
Tupo 🎉🎉🎉🎉❤
jama roma wetu kivuruge wa edna ataponakweli acha twende wote
Mbona hivyo jamani loma😢
Me leo nimekuwa wa mwisho naombeni leki zenu jamani wapenzi
Jamani Roma nina imn ya kwamba nguvu zako zitarudi ili kuzidi kuwalinda watu woko
Sijui nani alitutuma tukatae kusoma physics tunavotumia nguvu kuelewan sasa vipengele vingne Kaz tunayo 😊😊😊😊
😂😂😂😂😂
@@MariahMariahmambo utakuw unanielekez vipengele vingne naona unacheka mwenzang 🤣🤣🤣🤣
🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤😂😂😂
Munira🎉❤
Kumbe hivi vinbunga huwa nimapigano yao ee sisi tukijua nikimbunga kumbe ugomvi wao tuu duu
Waooo♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹💃💃
😢😢😢😢😢
Mwamba Roma uzid kupata nguvu maan Bila Roma simulizi hainogi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
NAONA KAMA MDA HAUFIKI NAOMBA MUNGU ROMA AENDLEE KUWA KIJOGOO 😂❤❤❤❤❤❤
Edna pia imenogaa🎉❤
Mi sinthani kaa roma watakufa na nguvu zitamrudia tena
Mm yangu ni upepo ❤❤❤ zaidi
I mean upendo not upepo
Maskini roma maadui nikama whote maskini edina nampenda❤❤❤ sitaki ateseke
❤❤❤daah Roma jamani hatapona kweli atakuwa kweli na fahamu km alikuwa na familia tz daah❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Tuko pamoja lukasi mi nafuatilia
Jaman mm kiranja mkuu 🎉🎉 leo nimechelewa namba😂😂
Like
We Roman umeshindikanaaaaa
B
N
Roma kufa bado sana roma akifa na simulizi inaisha huyu mchina hawez mgombanisha roma atafeli tu
Imani yangu nikuwa Roma hajaishiwa nguvu ila nikupanda ngazi nyingine ya ya juu ili kuvizidi vituo vilivyokuwa nyumanyake na kupanda ngazi lazima miungu ikome hata Yanbuweno awatengeneze Roma mia bado kipondo atakipata kwani mitego yake wanayo ipanga wakiwa na Athena haitafaniliwa abadan Roma Tz lazima kuirudi
Aliziona Camera ila akajikuta ona sasa katengenezewa watuuuu waku mfanana... Roma atarudi na nguvu zake zita ongezeka zaidi... Roman ndiye mwambaaaa kwenye simulizi hiiii na mwambaaaa hafiiiii
Nahisi Roma hajapoteza nguvu ila nguvu zake zimeongezeka kushinda hiyo Miungu mingine ndiomana hawawezi kuona nguvu za Roma hapo Roma ameenda next Level yakijini nyingine kupitiliza nguvu za hiyo miungu ila Yambuweni ulaaniwe kwakuchukuwa Damu ya Roma sasa subilia uone kitakacho kukuta utajuta kuzaliwa 😂😂😂😂😂
Mimi mpaka nifike mlipo mtakuwa mmemaliza
❤❤❤❤❤❤
ROMA KASHAVUKA YUPO LEVO NYINGINE WAMOTO ZAIDI ANAGUVU ZAIDI YA MWANZO
Unbwen hutarudia huo ujinga ushamharibia roma sijui itakuajee.kizwee ushakufa naona huyo Mr lecture atakulipia kisasi rais asipomuua
Kama hauna D mbilii huwez elewaa hii simuliziii😢😢
yani kupotea sku mbili tu napata nmeachwa nyumba aki
Musijali timu roma staring hauwawi