Mfiwa Ana nguvu gani za kuimba jamani wangemzuiaga tu kwanza uzungu mwingi hakuna aliyeelewa Salama na master j wanasema ameimbe nje ya key . poleni Sana wafiwa
Pole mwanetu pole wazazi ma wote walioumia na Ndg Hawa! Mwanetu jipe moyo mkuu ,Kwani Safari Yako yamaisha haijaishia hapa,Wapo wakutia moyo lakini pia kunawanao kuumia zaidi bila kujali unalo pitia,Mtazame Mungu Anafaraja ya kweli bila unafiki !
Ohh, pole toto Mungu akupe uvumilivu,una talent ya muimba ukimaliza msiba kamata talent yako,poleni sana Jikite zaidi kumtafuta Mungu, maana shetani alowaxhukua wapendwa wako kwa siku Moja Bado yupo mawindoni, usipuuze Mwanangu❤😢😢
Daah viatu vyenu vikubwa sana wanangu ni Mungu peke yake atawapa faraja.nimelia mama Mungu afanye njia pasipo njia dah jamaniii.tusamehe Mungu tuhurumie baba Mungu.
@@salmamlokela1987 ibada ya mazishi ni kukamilisha taratibu tu za kiimani sababu hujui wakati wake wa mwisho alimaliza vipi na Mungu wake na binadamu hatupaswi kuhukumu sababu hiyo ni kazi ya Mungu ila uwezo wa kuingia au kutoingia mbinguni ni wa Mungu peke yake na mtu binafsi hakuna mtu wala kikundi cha watu kwa mbinu yoyote watayotumia wakabadilisha hatima yako wakati unaaga dunia.
Nadhani wale watatu wadada walioolewa walishatoka mikononi wa wazazi Kwa desturi zetu za kiafrika maamuzi ya wapi wazikwe yanakuwa ya waume zao, yule Moja ni WA kiume maamuzi azikwe wapi ni ya baba yake mzazi na wanandugu hayo ni mawazo yang
Wenzetu wa dini jiran mnazingua sana uzungu mwingii mtu umefiwa si utulie jaman lazima uimbe mbele za watuu sijapendaaaa
Mh,kwamba kiswahili hajui?
Mfiwa had kaweza kuweka ua kichwani akuna Cha uchungu hapo msiba haujamkolea vizuri huyo Pengine marehemu wameacha Mali anajua uhakika upo.
😳😳😳😳😳😳
Jamani mbona sns walisema ni ndugu 4
Nimesoma coment tu jmn hivi nikwli haya
Kuimba ni sehem ya kuombeleza😢pole baby mtambue kuimba ni sehem yakuomboleza
Hata maandiko yanasapoti hilo.
Kweli kabisa hata zamani wazee wetu walikua wakiomboleza kwa kuimba
Kuna mda uchungu ukizidi inabidi uimbe..pole sana baby girl..Kristo awe faraja yako
Pole binti yangu you are so beautiful and God is here for you so great Dota nakupenda sana
💔💔Ama kweli kuwa ba pesa raha sana 😢😢
Mi siwez jaman
Pole Sana Mungu akutie nguvu mwaya utashinda
Uzungu mwingi jaman hd tunapoteza uhalisia..
Poleni wafiwa. Mungu awatetee katika yote
Jina unalotumia na sentence yako hata havifanani tafuta hela uache majungu
@@sporastica7174Nimecheka kama mazuri 😂😂😂
Mbona english ni official language ya nchi pamoja na kiswahili
Kiatu cha Binti ukipewa huwezi kukivaa chagueni maneno
Mwombe Mungu Akusamehe.., hujui uchungu alionao huyu binti ndo maana unaongea tu. Hiyo tanzaniayouthempower mbona hai-reflect unachoongea????
Mungu baba mpe amani binti huyu katika jina la Yesu, Amen!
Wanapewaga kuimbavya nini si wakae tu jamani mchezo kufiwa jamani tena na mama bado hajaimba asubiri muda ukienda ataimba vzuri akiwa peke yake
Wewe kama nani mbwa wewe msiba ni tukio binafsi wewe unatoa maelezo ya nini ifanyike ili iweje? Subiria ufe utoe utaratibu msiba wako uendeshweje
Huyu ni mtoto wa Dr Norah sio wa Sia
Unepata na nguvu ya kuimba ,naumeondokewa na watu muhimu hivyo,nimetepeta kwa kweli
Pole toto ila ungeimba kiswahili ingependeza zaidi huu uzungu zungu tuwaachie wenyewe wazungu
huyu mtoto kakulia south africa mama yake akiwa masomoni na alikuwa akifanya kazi huko
Tusiwe wepesi waku judge vitu tusivyojua,
RIP jamani inaumiza mnooo
Anamuimbia mama yake marehemu sio wewe
Duuuh😭
Hivi kwanini hua wanawasumbua wafiwa hivi!😰😰😰 sasa kapewa kuimba ili !!!
Wakristo kuimba ni agizo kutoka kwa Mungu ndio maana wana nyimbo za maombolezo
@@mcback4384 kumbe ndo hivyo, nlikua sijui nikawa nashangaa tu na kuhisi wanawasumbua wafiwa.
Daaaaaaah inaumizaaaa pole binti yangu
Kwanza nguvu ya kuimba anaipata wapi mwenzetu?? Alafu hajavutia kabisa mana ni kama hajui ila pole mwaya 😢
Mmmh unaona anaigiza au. Kuna wakati nyamazeni tu. Msibani huwa hatuimbi? Asante binti kumuimbia mzazi wako
Kweli kabisa uwezi imba
She's strong ndio maana amemuomboleza mama ake hivo 💔💔💔 kikubwa ni message sio kujua kuimba
@@regnethmtemanyongo2237na nyimbo za maombolezo zina maana gani?
Mfiwa Ana nguvu gani za kuimba jamani wangemzuiaga tu kwanza uzungu mwingi hakuna aliyeelewa Salama na master j wanasema ameimbe nje ya key . poleni Sana wafiwa
Mungu anawajua wake ,mwachen patano lake na Mungu ww jitahid kuwa Wa kiroho thn useme wamxuie
Ujinga tu aimba nini sasa danga
Pole sana mtoto wetu kwa msiba huu mkubwa.Mungu mwema awafariji wafiwa wote
Nawaza tu alitunga saa ngap hizo verses au ilikuwa freestyle😢 Kweli ana Energy
Inawezekana ni moja ya wimbo mzaz wake alikua anaupenda
Hiko Kiswahili Kingereza ...?
Pole mwanetu pole wazazi ma wote walioumia na Ndg Hawa! Mwanetu jipe moyo mkuu ,Kwani Safari Yako yamaisha haijaishia hapa,Wapo wakutia moyo lakini pia kunawanao kuumia zaidi bila kujali unalo pitia,Mtazame Mungu Anafaraja ya kweli bila unafiki !
Pole sana mwanangu,Mungu mwaminifu you will be fine😭😭😭
Tokea nifunze niambiwe hua hatufi mwiili yetu ndio hurudi mavumbini
Pole sana baby lkn weee una uchungu usingeimba ungewaombea MUNGU tuu jamani mtoto mzuryyMUNGU Akupe nguvuu
Wengine kuimba ndo kupata relief. Nakumbuka alifariki baba yangu niliimba sana ila nikinyamaza tu nalia sana. Msiba sikia kwa mwingine
Nguvu za kuimba mi nazipata wapi? Jqman
Mbona una tuumiza masikio sijapenta 😔😔
Wewe mshenziiiii
Bora umeongea ww ndg nilitaka niongee nikasita😊
Ujapenta ee🤣🤣🤣🤣
@@adamhashim3352 ukaogopa kuchambwa🤣
Poleni sana sana bint pole mwanangu 😭😭😭😭
P
@@samariakwayamizuundugutisi5761😢
Sasa kwani nimsanii au alimtamani Nandi kwenye msiba wa maehemu Ruger?😊
Jamani wewe usitake tucheke mwenzio kamwimbia mama yake huenda mana yake walikua wana tabia ya kuimbiana nyimbo 😌
😂Mungu nisamehe nimecheka sio vizur wewe ujue
🤣
Walai niemecheka aixeee mungu naomba unisameheeee🙏
Pole sana mungu azd kukutia nguvu
Hongera ndugu yangu kwskupata nguvu za kuonesha shepu🤔😭😭😭 mxiba mkubwa waimba jaman🤔😭😭
nguvu ya kuimba kizungu kabisa
Ndio anachochikijua
Pole sana Binti yangu Mungu akujalie faraja ktk msiba huu.
Jamani mie nimepitwa na mengi kwani hao marehemu waliumwa au imekuwaje
Ajali
Ajari ya gari ndugu wanne wa familia moja wamekufa wote wanne!but kaka yao America juzi Moshi
Poleni sana wafiwa wote
Badala yakumuombea dua mama yake anamuimbia
Di ndo ujahili huo watavuna walichopanda
Ni agizo la MUNGU kufanya hivyo
Yeremia 7
Imba wimbo wa maombolezo katika maeneo yaliyo wazi.
Poleni sana
So sad!!!!!😥😥😥
👏👏👏
😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Poleni sana Mungu akawe mfariji wenu
Mungu awatetee
Mimi sielewi
Ohh, pole toto Mungu akupe uvumilivu,una talent ya muimba ukimaliza msiba kamata talent yako,poleni sana Jikite zaidi kumtafuta Mungu, maana shetani alowaxhukua wapendwa wako kwa siku Moja Bado yupo mawindoni, usipuuze Mwanangu❤😢😢
Kwan tuko malekan mmmmh mbwembwe nying sa uzungu wa nn
Pole sana kuisha bila mzazi hapa duniani kazi sana
Mhhh ???
Kwenye msiba pia bwebwe za kizungu jamani na walio kufa wote watanzania hakuna nyimbo ya kiswahili ya kuombeleza kwani
Kiswahili hainogi
Mhhh we naeee
😂😂😂😂😂😂nilijua maswali
Familia ya kizungu hiyo mwaya mm najiulizaga wanapataga wapi muda wakusuka vizur
Tafuta hela
Dah so sad😢
Poleni sana wafiwa wote. 😢
aloo
😊
Nyimbo nzuri
😢😢😢😢😢😢😢
umemba vizuri ila uzungu mwingi hauleti mvuto kwa sisi wabongo
Poleni, sana, r, i, p
Mashaka si madogo
Nenden shule mjue ngeli
Bora ungeimba hata kilugha chenu bint umepuyanga hata nmeacha kusikitika
Pole Kwa familia 😢😢
Polr mamy😢😢😢
Doooo 😭pole Sana 🙏rip
😢😢😢😢😢
😭😭😭😭😭😭😭
Pole mtoto mzuri. Ungeeimba kiswahili tungeelewa wote. Wengine tumesikia gitaa tu.
Nikweli anahisi nasie tunajua kama family yake😅
Amewaaga marehemu siyo yako
🤣
Kwani lazima aimbeeee
Anaomboleza
Ushawahiii kufiwa na mtu
Ndo hapoo
Daah viatu vyenu vikubwa sana wanangu ni Mungu peke yake atawapa faraja.nimelia mama Mungu afanye njia pasipo njia dah jamaniii.tusamehe Mungu tuhurumie baba Mungu.
Poleni sana 😢
Mungu awatie nguvu wafiwa
Wewe unaimba nini..muombee duwa
Mtu akishafariki haombewi
Hata aombe mpaka dunia iishe, ukurasa wake ulifungwa alipokata roho
@@beatricepallangyo2821 wote wale wale mtu akifa aombewi sasa mnawaitaga wachungaji wa nini..
@@mcback4384 bas kusingekuwa na ibada za mazishi kama mtu akifa hatakiwi kuombewa
@@salmamlokela1987 ibada ya mazishi ni kukamilisha taratibu tu za kiimani sababu hujui wakati wake wa mwisho alimaliza vipi na Mungu wake na binadamu hatupaswi kuhukumu sababu hiyo ni kazi ya Mungu ila uwezo wa kuingia au kutoingia mbinguni ni wa Mungu peke yake na mtu binafsi hakuna mtu wala kikundi cha watu kwa mbinu yoyote watayotumia wakabadilisha hatima yako wakati unaaga dunia.
Mtoto wa nani kati ya hao wadada watatu
Kwanini hawa wazikwe Dar na yule mmoja wamsafirishe moshi ??
Nikuuliza tu sio kwa ubaya
Labda sababu ni mwanamme na wakike waliolewa Kwa hiyo waume zao wanachagua maziko yawe wapi?
Nadhani wale watatu wadada walioolewa walishatoka mikononi wa wazazi Kwa desturi zetu za kiafrika maamuzi ya wapi wazikwe yanakuwa ya waume zao, yule Moja ni WA kiume maamuzi azikwe wapi ni ya baba yake mzazi na wanandugu hayo ni mawazo yang