Kila mwanadamu anakiogopa kifo nakwakuwa twaogopa na huwa kinakuja hafla kikubwa tujiandae kwa safari hakuna kingine tuombe toba ili tuwe salama inshaallah
in the world of music, I really like your music, it has never bored me.utafikiri nakwambiaga hisiya zangu ndiyo uimbe big up bro you are the best one 👌👌👌👌👌
Acha zinaa wewe mtoto wa kiislam tafuta mke uoe eti nitaoa nikiwa na miaka 45 unajua miaka uliopangiwa kuishi wewe Ya Rabbi tuongoze njia ilionyooka na utujaalie mwisho mwema 🙏
Huyu mkka anatamaa yakuishi kiila kukicha hawazi kesho yake anaogopa kifo kwa sabbu zake mana dah ameuchezea cna ujana wake na afya yake mungu mpe unri abadilike kama aombavyo yani atoshrke
Watoto ni blessing lakini sio kuzi na kupata watoto kupitia zina halafu tunasema watoto ni blessing. Unaogopa kufa kwa jili ya nini uichi mda mrefu iliuendelea kuzaa watoto wa zina. Kufa tuta kufa
Unamaasi ndio mna unaogopa kufa. Mtu akiwa karibu namunguwako hutaogofa kufa nikwambia kuwa karibu namolawako hutaogopakufa halafu pia unaimani lkn imezibwa nachembechembe zamaasi ndiomana imezibwa haijitokezi kwahiyo hujachelewa acha ujana mungu atakusimamia.ukifika huko mngu akuridhie tumche allah dunia sikitu starehe zamda tu
Mnavyomfikiria nitofauti huyu Kaka ni mtu mwenye huruma Sana anaupendo anajua kujali anaelewa Nini anafanya nawala hajichubui kwanza anahofu na mungu ❤️
Rudi nyumbaniiiiiii haaaaaaa bonge la ngoma🔥🔥🔥🔥
Nilikupenda tangia enzi za mzee mwajuto sharo baro nilikuwa mdogo Sana na nitaendelea kukupenda mungu Akupe mri mfrfu ishallh
Kila mwanadamu anakiogopa kifo nakwakuwa twaogopa na huwa kinakuja hafla kikubwa tujiandae kwa safari hakuna kingine tuombe toba ili tuwe salama inshaallah
in the world of music, I really like your music, it has never bored me.utafikiri nakwambiaga hisiya zangu ndiyo uimbe big up bro you are the best one 👌👌👌👌👌
Jamani hemed mungu akupe miaka Mia,🙏🙏nakupendaga Sana nakumbuka ukiwa ndogo pale kinondoni nikiwa kwa mama jofrey,mama yako atafurah ukifunga ndoa🙏🙏
Wewe ni kijana wakislam wataka kuzini mpa ufikishe miaka 45 mungu akuongoze
azin na,ww au
mjinga kweli huyu kaka utazani si muisilam.yani kuliko akose starehe bora amkose mwenyezi mungu
This guy man, I enjoy listening to. PHD
Hemedy mwanaume wa ndoto zangu huyu jamani nilimpenda Sana kipindi nakuwa
🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸😂😂😂
Big salute from DR CONGO 🇨🇩🇨🇩
Unaogopa kufa na kuoa kuzini inabidi pia uache ili uwe mtu mzuri
He's so fckin real..what u see is what you get.i like his honesty.
Hemedi nimeoupenda bure mungu akubariki saana akupe haja ya moyo wako
Phd..nakuelewa sana...kujiamin nimcngi wa mafanikio🤝🤝🤝
Unaogopa KUFA unaishi na wanawake unazini nao hiyo unaichukuliaje......?
Mungu atusaidie wote na kutusamehe na atupe huruma yake
Zınaa tuu ndounaendekezaa ndomana unaogopa kufa
Kwaiyo bado unawaza kuzini Adi miaka 45duu mtiani akili azijakua bado ngono zinambeba mda
Unaweza kuoa na ukaendelea kuzini tu kwaiyo Kila mtu anapanga maisha yake
..
Unaogopa kufa wakati unataka kuendeleza zinaa 24/7. Unakataaje ndoa na unaona kuishi kizanaa ni bora😂
Acha zinaa wewe mtoto wa kiislam tafuta mke uoe eti nitaoa nikiwa na miaka 45 unajua miaka uliopangiwa kuishi wewe Ya Rabbi tuongoze njia ilionyooka na utujaalie mwisho mwema 🙏
alafu anasema anaogopa kifooo hatareeee 🤣
Muombee Dua
Usimseme Bari muombee dua kama wewe umeweza kuoa basi ombea dua nayeye aoe kuoa sio jambo la kukurupuka
Ameen
Huyu mkka anatamaa yakuishi kiila kukicha hawazi kesho yake anaogopa kifo kwa sabbu zake mana dah ameuchezea cna ujana wake na afya yake mungu mpe unri abadilike kama aombavyo yani atoshrke
Love since lil days
MWAMPOSA 🦅🔥🙌
Ukiwa na hofu na kifo uta ishi kwa ku muokopa na ku acha mabaya
45 Kwaiyo had sasa unacbr zinaa ila jua kuna kifo tu bro🔥🔥
Astaghafirullah muislam unaogopa kufa instead ufanye ibada na uache uzinzi
Watoto ni blessing lakini sio kuzi na kupata watoto kupitia zina halafu tunasema watoto ni blessing. Unaogopa kufa kwa jili ya nini uichi mda mrefu iliuendelea kuzaa watoto wa zina. Kufa tuta kufa
Hakuna mtoto wa haramu kumbuka ilo dada Kila mtoto nisawa siku zote watoto ni baraka tele
@@zawadimfangavo9677 watoto wa haram wako km hao wa hemedi waliozaliwa nje ya ndoa na kiislam hata haisabiki kama ni baba yao
@@switbebyshaheen630 kwahiyo wanakua hawana baba au
Unamaasi ndio mna unaogopa kufa. Mtu akiwa karibu namunguwako hutaogofa kufa nikwambia kuwa karibu namolawako hutaogopakufa halafu pia unaimani lkn imezibwa nachembechembe zamaasi ndiomana imezibwa haijitokezi kwahiyo hujachelewa acha ujana mungu atakusimamia.ukifika huko mngu akuridhie tumche allah dunia sikitu starehe zamda tu
superstar yupi jamani dah
Kama unaogopa kufa basi wacha zinaa
Nina picha nmepiga na hemed nkipostig wananisumbua wadada sana yan niwape no yake wakat mm mwenyewe sina😂
Kwamaisha ya Sasa jamaa mshamba anajipamba Sana
Love hemed bwana he's handsome man
Wooi dis nigga give best answerin interviews
Unyama ni mwingi sana, ✊ nakubali sana the MVP 🙌love from 🇧🇮
Pamoja sana 👍 enjoy
I deal with those....hahaha fala kweli jamaaaa😂😂😂
BINADAMU NI WAWILI WAWILI NIKIKUONA HUKUMBUKA MY X BOYFRIEND ILA NIKITAPIKA HUWA SIRUDI KURAMBA MATAPIKO. ANYWAY BIG UP HEMEDI 🇰🇪🇨🇿
😂
Mtangazaji anakupa raha ya kumsilikiza
Mimi sijui hata nyimbo zako lkn series na movie nazielewa km zote
Ray sikiliza Moja Carolina usikie mziki wake anajua kuimba kuliko kuigiza
@@riosingingandmore8224 poa ntadownload nimsikize
Hapana HEMMED SIYO HANDSOME KIIVO RANGI TU INAMBEBA
Kwaivo unahisi uzuri ni rangi?
@@BigZhumbe Kwakweli 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Kweli kbs weupe unambeba
@@zuhurazabiir3769 Swali lilikua weupe ni uzuri??
@@BigZhumbe uweupe unamstiri mtu anakuwa na mvuto lkn ukiwa mweusi halafu una sura mbaya huwezi kuonekana
The MVP the king 👑 him self noma sana bro
Ommy nakukubali sana bro
Low profile nimeipenda iyo
Achen ushamba hemed hajichubui ni kamera labda nimweuoe mno zaidi ya sana
Kamera iyo imbadirishe rangi mikono braun uso manjano urisikia waapi?
@@Zahrazahra-ue7bp kama vp na ninyi mjichubue muone kama mtakuwa kama yeye
Nikivuwa miwani warembo wanasema Aiiiii papiiiii😂😂😂😂...... Jmn mwamposa ana misifa....!!!!
🤣papii Kama papiiii
The mvp half main half king of interviews 🙏🙏
Lil ommy ww pia umeanza kuweka captions zauongo 🙄🙄
Mtoto wa kiafrica akijichubia haimanishi anaukimbia uafrica
Kajichubua wap we nae
The king🤴❤️🔥
Huyu jamaa c alisema mwaka kesho anashusha chuma
😀😀😀
Pappy ❣️❣️
Saidiii aiiiiiii
Una flirt sio float kizungu mingi sana phd
Ukienda kumuoa nipeleke.sanduku lataulo mana hayo maji ya mchina mh
WIVU MBAYA BETTER U MIND YOUR OWN BUSSNES BADALA YA KUMALIZA BONGA POINT
💯
Unaogopa kufa na kufunga ndoa. Huogopi kuzini.? Na huyo utakae muoa ana kazi. Sbb una wtt wengi wa nje ya ndoa.
Muslim kuogopa ndoa kufa wajib
Unaogopa kufa wakati unajisifu kuwa ww ni Malaya, utakufa tu sababu ww ni Malaya!
😂🙈
Mtu yoyote atakufa ata ukiwa unamcha mungu
Ata ww utakuf
@@zuhurazabiir3769
mambo
My brother PAPI 🌟
@lilOmmy una mashavu makubwa 😳 😂😂😂😂 big up mapodicastyyyyyyy 💥
kuimba unajua
Kaka nakubali sana MVP
Huyo anajichibua mikono yake ni meusi
Lil ommy unajua saana Mzee baba
Anajuwa nini
@@yousramutwale2463 kuhoji mtu
@@yousramutwale2463 🤣🤣asa swal gan ili
Jiandae na safar bac usiuze sura tu.......kifo huja ghafla
Hemed ni Hiv positive
Eh😂🙌
Hata kama hizo ni personal issue zawatu unaonekana wewe ni limbukeni sana shem on you
He is like me i fear so much n death
He is dreaming... unless you have cash to maintain hamissa
Unamashauzi mengi bhana mpaka unaboa
Hajichubui ni camera angle tu
Kuogopa kufa ni ishara ya kuwa uende njia sawa sio kufanya hayo haya kusaidi uki fika mbele ya mngu uta muambiya nini bora lekeya kwa mngu
😂😂😂PHD Kama ulikuwa una mawazo au mipango ya kwenda U. S. A futa maana umetamka wazi wazi unamkubali adui yao mkubwa Osama Bin laden
Léo umeongeya 💋💋hadi nimependa,Léo huna mapepe
Wabongo mafalasana kwahiyo mnaosema kajichubua kachubua mpaka kichwa maboya knoma oyaaaa phd mnyama unyaman mwanangu sanaaaaa
Wivu tu unamsumbua
Safi
S vingeeeza navyo
Wananijuaaa💥💥💥
Mahusiano ni uzinifu
Na Udhinifu ni DHAMBI
Makubwa.
Mvp u got my respect brother 👌🇺🇸
Unyama
big IQ.
Mwamposa Saidi aiiiiiii 😂😂😂
Duuu!unatisha mz baba the🇧🇮
Thanks
Acha kujichubua USO mweupe mikono baibui
Kbs 😂
Hajichubui huyo anakaa mda mwingi kwenye AC , hapigwi na jua wala sio mtu wa mizunguko mingi ya kutembea tembea kwa miguu ,, so ipo ivyo my
Hmn sure yke iyo
@@aisharamadhani1948
mambo
Kumbe anajichubua
5
Mnavyomfikiria nitofauti huyu Kaka ni mtu mwenye huruma Sana anaupendo anajua kujali anaelewa Nini anafanya nawala hajichubui kwanza anahofu na mungu ❤️
🔥🔥🔥🔥🔥
King nakubali bro 🇿🇦🎤
Jamn hajichubuwi poda hizo
Uyu jamaaas
So sick of love song
Video imevuja Diamond wakiwa na Harmonize
ua-cam.com/video/gOE5XPQnUYg/v-deo.html
Video ya hemedy akiwa na ua-cam.com/video/T8ss1wOaBAQ/v-deo.html
😂😂😂
Mtoto mzur san ivi asili yake wapi hyo jamaa wapi🤣🤣🤣
Mchafu tuu huyu, mapozi meengii 😒
😂😂😂makasirikoooo
Mjinga anasifa uyu🤣🤣🤣