Hemedy PHD - Nitaoa Hamisa Mobetto, nikiwa na miaka 45 / Wema Sepetu, niache niishi. Part 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 150

  • @edwardboaz5572
    @edwardboaz5572 4 місяці тому +1

    Rudi nyumbaniiiiiii haaaaaaa bonge la ngoma🔥🔥🔥🔥

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 2 роки тому +6

    Nilikupenda tangia enzi za mzee mwajuto sharo baro nilikuwa mdogo Sana na nitaendelea kukupenda mungu Akupe mri mfrfu ishallh

  • @khadjaiddlis283
    @khadjaiddlis283 2 роки тому +36

    Kila mwanadamu anakiogopa kifo nakwakuwa twaogopa na huwa kinakuja hafla kikubwa tujiandae kwa safari hakuna kingine tuombe toba ili tuwe salama inshaallah

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 роки тому +11

    in the world of music, I really like your music, it has never bored me.utafikiri nakwambiaga hisiya zangu ndiyo uimbe big up bro you are the best one 👌👌👌👌👌

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 роки тому +6

    Jamani hemed mungu akupe miaka Mia,🙏🙏nakupendaga Sana nakumbuka ukiwa ndogo pale kinondoni nikiwa kwa mama jofrey,mama yako atafurah ukifunga ndoa🙏🙏

  • @munam7104
    @munam7104 2 роки тому +7

    Wewe ni kijana wakislam wataka kuzini mpa ufikishe miaka 45 mungu akuongoze

  • @shakren427
    @shakren427 2 роки тому +2

    mjinga kweli huyu kaka utazani si muisilam.yani kuliko akose starehe bora amkose mwenyezi mungu

  • @stevenalex360
    @stevenalex360 2 роки тому +7

    This guy man, I enjoy listening to. PHD

  • @rebeckyusuph8058
    @rebeckyusuph8058 2 роки тому +11

    Hemedy mwanaume wa ndoto zangu huyu jamani nilimpenda Sana kipindi nakuwa

    • @rahelihaule1621
      @rahelihaule1621 Рік тому +2

      🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸😂😂😂

  • @juliemukovi1239
    @juliemukovi1239 2 роки тому +2

    Big salute from DR CONGO 🇨🇩🇨🇩

  • @princessbim6096
    @princessbim6096 2 роки тому +9

    Unaogopa kufa na kuoa kuzini inabidi pia uache ili uwe mtu mzuri

  • @millymack1370
    @millymack1370 2 роки тому +6

    He's so fckin real..what u see is what you get.i like his honesty.

  • @rehemabajuta3084
    @rehemabajuta3084 2 роки тому +7

    Hemedi nimeoupenda bure mungu akubariki saana akupe haja ya moyo wako

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 2 роки тому +1

    Phd..nakuelewa sana...kujiamin nimcngi wa mafanikio🤝🤝🤝

  • @alira3080
    @alira3080 2 роки тому +7

    Unaogopa KUFA unaishi na wanawake unazini nao hiyo unaichukuliaje......?

    • @vickyngoma4638
      @vickyngoma4638 2 роки тому

      Mungu atusaidie wote na kutusamehe na atupe huruma yake

  • @mrjagenmuuz5704
    @mrjagenmuuz5704 2 роки тому +5

    Zınaa tuu ndounaendekezaa ndomana unaogopa kufa

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 2 роки тому +8

    Kwaiyo bado unawaza kuzini Adi miaka 45duu mtiani akili azijakua bado ngono zinambeba mda

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 роки тому +11

    Unaogopa kufa wakati unataka kuendeleza zinaa 24/7. Unakataaje ndoa na unaona kuishi kizanaa ni bora😂

  • @abouassifmabrouk8110
    @abouassifmabrouk8110 2 роки тому +18

    Acha zinaa wewe mtoto wa kiislam tafuta mke uoe eti nitaoa nikiwa na miaka 45 unajua miaka uliopangiwa kuishi wewe Ya Rabbi tuongoze njia ilionyooka na utujaalie mwisho mwema 🙏

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 2 роки тому +7

    Huyu mkka anatamaa yakuishi kiila kukicha hawazi kesho yake anaogopa kifo kwa sabbu zake mana dah ameuchezea cna ujana wake na afya yake mungu mpe unri abadilike kama aombavyo yani atoshrke

  • @DolloMite-pt9yv
    @DolloMite-pt9yv 11 місяців тому

    Love since lil days

  • @moussababanla399
    @moussababanla399 2 роки тому +7

    MWAMPOSA 🦅🔥🙌

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 роки тому +3

    Ukiwa na hofu na kifo uta ishi kwa ku muokopa na ku acha mabaya

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex433 2 роки тому +1

    45 Kwaiyo had sasa unacbr zinaa ila jua kuna kifo tu bro🔥🔥

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 2 роки тому +2

    Astaghafirullah muislam unaogopa kufa instead ufanye ibada na uache uzinzi

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 2 роки тому +6

    Watoto ni blessing lakini sio kuzi na kupata watoto kupitia zina halafu tunasema watoto ni blessing. Unaogopa kufa kwa jili ya nini uichi mda mrefu iliuendelea kuzaa watoto wa zina. Kufa tuta kufa

    • @zawadimfangavo9677
      @zawadimfangavo9677 2 роки тому

      Hakuna mtoto wa haramu kumbuka ilo dada Kila mtoto nisawa siku zote watoto ni baraka tele

    • @switbebyshaheen630
      @switbebyshaheen630 2 роки тому

      ​@@zawadimfangavo9677 watoto wa haram wako km hao wa hemedi waliozaliwa nje ya ndoa na kiislam hata haisabiki kama ni baba yao

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 роки тому

      @@switbebyshaheen630 kwahiyo wanakua hawana baba au

  • @biubwamohd6089
    @biubwamohd6089 2 роки тому

    Unamaasi ndio mna unaogopa kufa. Mtu akiwa karibu namunguwako hutaogofa kufa nikwambia kuwa karibu namolawako hutaogopakufa halafu pia unaimani lkn imezibwa nachembechembe zamaasi ndiomana imezibwa haijitokezi kwahiyo hujachelewa acha ujana mungu atakusimamia.ukifika huko mngu akuridhie tumche allah dunia sikitu starehe zamda tu

  • @sabrasohal7748
    @sabrasohal7748 2 роки тому +2

    superstar yupi jamani dah

  • @khayratsultan8812
    @khayratsultan8812 2 роки тому +2

    Kama unaogopa kufa basi wacha zinaa

  • @edwardboaz5572
    @edwardboaz5572 4 місяці тому

    Nina picha nmepiga na hemed nkipostig wananisumbua wadada sana yan niwape no yake wakat mm mwenyewe sina😂

  • @robathcarlos8068
    @robathcarlos8068 2 роки тому +3

    Kwamaisha ya Sasa jamaa mshamba anajipamba Sana

  • @nehemajoy2539
    @nehemajoy2539 2 роки тому

    Love hemed bwana he's handsome man

  • @damio_2679
    @damio_2679 2 роки тому +4

    Wooi dis nigga give best answerin interviews

  • @jbmsz2532
    @jbmsz2532 2 роки тому +10

    Unyama ni mwingi sana, ✊ nakubali sana the MVP 🙌love from 🇧🇮

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  2 роки тому +4

      Pamoja sana 👍 enjoy

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 2 роки тому +1

    I deal with those....hahaha fala kweli jamaaaa😂😂😂

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 роки тому +3

    BINADAMU NI WAWILI WAWILI NIKIKUONA HUKUMBUKA MY X BOYFRIEND ILA NIKITAPIKA HUWA SIRUDI KURAMBA MATAPIKO. ANYWAY BIG UP HEMEDI 🇰🇪🇨🇿

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 роки тому

    Mtangazaji anakupa raha ya kumsilikiza

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 2 роки тому +2

    Mimi sijui hata nyimbo zako lkn series na movie nazielewa km zote

    • @riosingingandmore8224
      @riosingingandmore8224 2 роки тому +1

      Ray sikiliza Moja Carolina usikie mziki wake anajua kuimba kuliko kuigiza

    • @rehemaothman2200
      @rehemaothman2200 2 роки тому

      @@riosingingandmore8224 poa ntadownload nimsikize

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 2 роки тому +12

    Hapana HEMMED SIYO HANDSOME KIIVO RANGI TU INAMBEBA

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 роки тому +4

      Kwaivo unahisi uzuri ni rangi?

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 роки тому +2

      @@BigZhumbe Kwakweli 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

    • @zuhurazabiir3769
      @zuhurazabiir3769 2 роки тому

      Kweli kbs weupe unambeba

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 2 роки тому +1

      @@zuhurazabiir3769 Swali lilikua weupe ni uzuri??

    • @zuhurazabiir3769
      @zuhurazabiir3769 2 роки тому +1

      @@BigZhumbe uweupe unamstiri mtu anakuwa na mvuto lkn ukiwa mweusi halafu una sura mbaya huwezi kuonekana

  • @derricksimbeye5717
    @derricksimbeye5717 2 роки тому +2

    The MVP the king 👑 him self noma sana bro

  • @janenachalwe8150
    @janenachalwe8150 2 роки тому +1

    Ommy nakukubali sana bro

  • @ahmedialy7355
    @ahmedialy7355 2 роки тому

    Low profile nimeipenda iyo

  • @elizabethachi3049
    @elizabethachi3049 2 роки тому +2

    Achen ushamba hemed hajichubui ni kamera labda nimweuoe mno zaidi ya sana

    • @Zahrazahra-ue7bp
      @Zahrazahra-ue7bp 2 роки тому

      Kamera iyo imbadirishe rangi mikono braun uso manjano urisikia waapi?

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 2 роки тому +1

      @@Zahrazahra-ue7bp kama vp na ninyi mjichubue muone kama mtakuwa kama yeye

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 роки тому +6

    Nikivuwa miwani warembo wanasema Aiiiii papiiiii😂😂😂😂...... Jmn mwamposa ana misifa....!!!!

  • @multazramazan4665
    @multazramazan4665 2 роки тому +8

    The mvp half main half king of interviews 🙏🙏

  • @esthycashofficial1293
    @esthycashofficial1293 2 роки тому

    Lil ommy ww pia umeanza kuweka captions zauongo 🙄🙄

  • @faridithomas4859
    @faridithomas4859 2 роки тому +1

    Mtoto wa kiafrica akijichubia haimanishi anaukimbia uafrica

  • @giftkhaleed2301
    @giftkhaleed2301 2 роки тому +4

    The king🤴❤️‍🔥

  • @musason1680
    @musason1680 2 роки тому +3

    Huyu jamaa c alisema mwaka kesho anashusha chuma

  • @sharonhappiness2735
    @sharonhappiness2735 2 роки тому +1

    Pappy ❣️❣️

  • @beatricesamila5407
    @beatricesamila5407 2 роки тому +1

    Saidiii aiiiiiii

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 2 роки тому +3

    Una flirt sio float kizungu mingi sana phd

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 2 роки тому +2

    Ukienda kumuoa nipeleke.sanduku lataulo mana hayo maji ya mchina mh

  • @aliysaid2232
    @aliysaid2232 2 роки тому

    💯

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 роки тому +3

    Unaogopa kufa na kufunga ndoa. Huogopi kuzini.? Na huyo utakae muoa ana kazi. Sbb una wtt wengi wa nje ya ndoa.

  • @saidanassoro7885
    @saidanassoro7885 2 роки тому +2

    Muslim kuogopa ndoa kufa wajib

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому +5

    Unaogopa kufa wakati unajisifu kuwa ww ni Malaya, utakufa tu sababu ww ni Malaya!

  • @goldenjunior_tz
    @goldenjunior_tz 2 роки тому +3

    My brother PAPI 🌟

  • @esa_traveller
    @esa_traveller 2 роки тому +1

    @lilOmmy una mashavu makubwa 😳 😂😂😂😂 big up mapodicastyyyyyyy 💥

  • @kabulapatrick2765
    @kabulapatrick2765 2 роки тому

    kuimba unajua

  • @christinaluganga64
    @christinaluganga64 2 роки тому

    Kaka nakubali sana MVP

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 2 роки тому

    Huyo anajichibua mikono yake ni meusi

  • @Lavieestbelle123-c6e
    @Lavieestbelle123-c6e 2 роки тому +4

    Lil ommy unajua saana Mzee baba

  • @hazrathassan1134
    @hazrathassan1134 2 роки тому

    Jiandae na safar bac usiuze sura tu.......kifo huja ghafla

  • @hopeharrison6883
    @hopeharrison6883 2 роки тому

    Hemed ni Hiv positive

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 роки тому

      Eh😂🙌

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Рік тому

      Hata kama hizo ni personal issue zawatu unaonekana wewe ni limbukeni sana shem on you

  • @sagreymduda6569
    @sagreymduda6569 2 роки тому

    He is like me i fear so much n death

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 2 роки тому +4

    He is dreaming... unless you have cash to maintain hamissa

  • @safinacliford4043
    @safinacliford4043 2 роки тому

    Unamashauzi mengi bhana mpaka unaboa

  • @shamomar629
    @shamomar629 2 роки тому

    Hajichubui ni camera angle tu

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 2 роки тому +4

    Kuogopa kufa ni ishara ya kuwa uende njia sawa sio kufanya hayo haya kusaidi uki fika mbele ya mngu uta muambiya nini bora lekeya kwa mngu

  • @mohamedihamisi292
    @mohamedihamisi292 Рік тому

    😂😂😂PHD Kama ulikuwa una mawazo au mipango ya kwenda U. S. A futa maana umetamka wazi wazi unamkubali adui yao mkubwa Osama Bin laden

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 2 роки тому +2

    Léo umeongeya 💋💋hadi nimependa,Léo huna mapepe

  • @kalebyhennry6598
    @kalebyhennry6598 2 роки тому +1

    Wabongo mafalasana kwahiyo mnaosema kajichubua kachubua mpaka kichwa maboya knoma oyaaaa phd mnyama unyaman mwanangu sanaaaaa

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 роки тому +2

    Safi

  • @hawahawa6132
    @hawahawa6132 2 роки тому

    S vingeeeza navyo

  • @hubimogela9167
    @hubimogela9167 2 роки тому +2

    Wananijuaaa💥💥💥

  • @MfizoCrypto
    @MfizoCrypto 2 роки тому +6

    Mahusiano ni uzinifu

  • @williamniragira1257
    @williamniragira1257 2 роки тому +6

    Mvp u got my respect brother 👌🇺🇸

  • @issufomussa5227
    @issufomussa5227 2 роки тому +2

    Unyama

  • @zakialashku2549
    @zakialashku2549 2 роки тому

    big IQ.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 роки тому +4

    Mwamposa Saidi aiiiiiii 😂😂😂

  • @supershopdubaifalis6249
    @supershopdubaifalis6249 2 роки тому +4

    Duuu!unatisha mz baba the🇧🇮

  • @maryamrashid8499
    @maryamrashid8499 2 роки тому +4

    Acha kujichubua USO mweupe mikono baibui

    • @zuhurazabiir3769
      @zuhurazabiir3769 2 роки тому

      Kbs 😂

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 2 роки тому +1

      Hajichubui huyo anakaa mda mwingi kwenye AC , hapigwi na jua wala sio mtu wa mizunguko mingi ya kutembea tembea kwa miguu ,, so ipo ivyo my

    • @aliysaid2232
      @aliysaid2232 2 роки тому

      Hmn sure yke iyo

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 2 роки тому

      @@aisharamadhani1948
      mambo

  • @joynnko8997
    @joynnko8997 2 роки тому

    Kumbe anajichubua

  • @zehe449
    @zehe449 2 роки тому

    5

    • @jacklinekema6698
      @jacklinekema6698 Рік тому

      Mnavyomfikiria nitofauti huyu Kaka ni mtu mwenye huruma Sana anaupendo anajua kujali anaelewa Nini anafanya nawala hajichubui kwanza anahofu na mungu ❤️

  • @kimzymamy6594
    @kimzymamy6594 2 роки тому +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @filkeysharo982
    @filkeysharo982 2 роки тому +4

    King nakubali bro 🇿🇦🎤

  • @mshamandamngu3108
    @mshamandamngu3108 2 роки тому

    Jamn hajichubuwi poda hizo

  • @royalprince4321
    @royalprince4321 2 роки тому

    Uyu jamaaas

  • @ibrahimsuleiman7061
    @ibrahimsuleiman7061 2 роки тому

    So sick of love song

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 2 роки тому +1

    Video imevuja Diamond wakiwa na Harmonize
    ua-cam.com/video/gOE5XPQnUYg/v-deo.html

  • @thelyrics5165
    @thelyrics5165 2 роки тому

    Video ya hemedy akiwa na ua-cam.com/video/T8ss1wOaBAQ/v-deo.html

  • @djbless6201
    @djbless6201 2 роки тому +2

    😂😂😂

  • @kanghanhankang1440
    @kanghanhankang1440 2 роки тому

    Mtoto mzur san ivi asili yake wapi hyo jamaa wapi🤣🤣🤣

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 роки тому +2

    Mchafu tuu huyu, mapozi meengii 😒

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 2 роки тому

    Mjinga anasifa uyu🤣🤣🤣