MKE WA MWL NYERERE AFURAHIA UCHAGUZI WA CHADEMA,,ASEMA UMEFANYIKA VIZURI""

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 42

  • @AlexMhechela
    @AlexMhechela 8 днів тому +2

    Hongera lissu kwa ushindi, tunahitaji kuona kazi nzuri.

  • @DausonShensherwa
    @DausonShensherwa День тому

    Mama malia nyerere uko vzr hongera sana kwa kuwa mkweri

  • @MkuuKimaro
    @MkuuKimaro День тому

    Asante bibi

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 9 днів тому +2

    Hakika huyu mama Mungu azidi kumpa miaka mingi zaidi ya hiyo aliyonayo. Mungu anahitaji watenda haki sana.

  • @DiiLaisa-m4r
    @DiiLaisa-m4r 7 днів тому

    Tunashukuru mama wetu wataifa kusapoti chandema tuombe mungu atupe ushindi

  • @simitaban4913
    @simitaban4913 9 днів тому +1

    Mungu azidi kukulinda mama Maria Nyerere kwa ukweli kuhusu uchaguzi kwa Chadema, Ccm wajifunze demosia kama Chadema

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z 10 днів тому +5

    Namuombea maisha malefu adi abaki amembaliki lisu akichaguliwa uraisi

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo День тому

    Mama mwema mpenda haki

  • @AndrewChilua
    @AndrewChilua 10 днів тому +8

    AKSANTE mama MARIA Nyerere

  • @FaustinChilino
    @FaustinChilino 3 дні тому

    Sawasawa kamanda pambana mwamba

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 7 днів тому +1

    Hongera hongera Chadema. Hiyo ndiyo Demokrasia halisi. CCM mhuuu! Hata kama mmemtaka Samia si mngemshimdanisha na mtu dhafu basi. Nyerere angekuwa hair angerudisha kadi take walahi

  • @SilvesterKazimoto-yk7hp
    @SilvesterKazimoto-yk7hp 21 годину тому

    Uishi miaka mingi bibi yetu

  • @BARAKAKinana-n4y
    @BARAKAKinana-n4y 9 днів тому +3

    hongera sana bibi yangu maria Nyerere maana ww ni mama wataifa hili muombee kija wako tundu lissu awe mtu wa Haki awe mtu wa kuwajenga watu na vyama mbalimbali yote ikiwepo ccm wajifuze Haki kwa shadema Ameni bibi yangu maria miaka uliyo nayo 93 ni mishashe nakuomba kwa mungu upate miaka 1005

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 5 днів тому

    We mwandishi unakeraga ongea alichi sema sio kububujika kama vile mama nyererer hajulikani

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 10 днів тому +1

    Mungu ni mwema

  • @JuliasMsongole-c5k
    @JuliasMsongole-c5k 10 днів тому +6

    Bibi maria nyerere hongera ajuza wetu ni miaka 93 unayo kama sikosei,lakini Bado upo vizuri kimawazo

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 10 днів тому

      mama Maria ameamua kuwa mama wa Taifa badala ya mama wa ccm. ni aibu kuwaona akina Kikwete hata baada ya kustaafu urais bado wanaendelea kuvaa mashati ya kijani badala ya kuwa stateman

    • @KaseMwaliyoyo-mb3wp
      @KaseMwaliyoyo-mb3wp 9 днів тому

      Amina ubarikiwe mama yetu

  • @AmosMTUNDI-y7y
    @AmosMTUNDI-y7y 9 днів тому

    Mungu amlinde mama huyo ndiye mama wa taifa hili sio samia kumwita mama,samia ni rais sio mama.

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 10 днів тому +2

    Bibi anampenda Lissu kitambo kipindi cha Juwe aliendaga kulala kwao hivyo bibi anapenda watu wa haki Mungu ibariki Tz

  • @ElizabethJulius-s6i
    @ElizabethJulius-s6i 9 днів тому

    MUNGU awe fimbo yako ktka utendaji wote,wa watanzania daima tetea Haki kemea maovu,na Amani kuidumisha.Hongrra Mheshimiwa TUNDU LISU ,Amen.

  • @jacksonshira786
    @jacksonshira786 9 днів тому

    Mama sianajua

  • @GiboKaminyoge
    @GiboKaminyoge 8 днів тому

  • @maheitumdintunya2928
    @maheitumdintunya2928 7 днів тому

    naomba usimwite mwalimu nyerere huyo mwasisi wa uhuru kunahadhi yake anapaswa kuitwa

  • @evancemichael5489
    @evancemichael5489 10 днів тому +1

    Unarefusha maneno yasiyo na umuhimu. Go straight to the point

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 8 днів тому

    Serikali imeshindwa kumpongeza lisu Kwa ushindi

  • @siphaholelaholela6956
    @siphaholelaholela6956 10 днів тому +1

    Mbona unarudiarudia sana

  • @PascalMuzungu
    @PascalMuzungu 10 днів тому

    Sawa

  • @GambasonLuselegasi
    @GambasonLuselegasi 10 днів тому +1

    Unarudiarudia maneno nenda direct

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 10 днів тому +1

    Unajilamba lamba sna

  • @ChristerKok
    @ChristerKok 9 днів тому

    Hatukosagi cha kusema kids liko wapi kumshukuru mama Maria,mama huyu ni mama wote.

  • @molelakibasa7135
    @molelakibasa7135 10 днів тому

    Maelezo na porojo ni meeengi mno kabla ya kutupatia habari yenyewe.

  • @MussaMussamsanu
    @MussaMussamsanu 10 днів тому

    Unatumalizia Bando kwa kurudia rudia maneno kama uandishi wenyewe ndio huo afadhali uache maana matmizi ya bando ni makubwa bila ya sababu.

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 10 днів тому

    Bando linaisha twende kwenye point kelele kibaooo 😂

  • @matanokitwana3249
    @matanokitwana3249 9 днів тому

    Baada ya kueleza furaha ya mamake mzazi anaeleza furaha mamake makongoro ugonjwa wa radhi ndio huo

  • @LeahMgunda-l8c
    @LeahMgunda-l8c 10 днів тому

    Unardia nini.

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 10 днів тому +2

    Hivi watanzania mnadhani kwanini tundu alinusurika! Uliwahi kusikia au kuona mtu amepona baada ya kupigwa risasi 2 tu!!?

    • @ZaidAKissinza
      @ZaidAKissinza 10 днів тому

      Ni kweli Mchungaji, hata wale madaktari waliokuwa wanamtibu walisema hatujawahi kumtibu mtu aliepigwa risasi nyingi hivi halafu akapona, Mimi pia naona Mungu ana kusudi lake

  • @selemanimlingi9853
    @selemanimlingi9853 10 днів тому +1

    Huyo ndo mwenye ccm Yao, Hawa wengine wenye fisiem

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 10 днів тому

      Wewe mwenyewe yupo alivunja baraza la wazee na kuwaambia wana Kiherehere.

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 10 днів тому

    Wewe muongo, mbona asionekane mwenyewe akizungumza hayo unayomsemea? Acha kutumalizia salio, kanjanja wewe

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 10 днів тому

      wewe hujui kitu kinaitwa X na hiyo ni account ya madaraka nyerere.