Hehehe 🤣🤣🤣 Nakumbuka kijana alivyoniambia"wewe siyo mulembo sana lakini nitakuwowa kwa sababu una roho nzuri".Nilimuacha, ..and it was very dramatic...,,he didn't believe.
Ila akumbuke sisi wanawake tunapenda kudanganywa angemsifia tu nazani Ata uyo mwanamke atojisikia vizuri na atakua kashapunguza asilimia fulani katika moyo wa uyo mwanamke kama amempenda mtu basi ulichompendea ndio uwo uzuri wake kwahiyo tuelewane kwamba Ata kama mwanamke anajijua yeye si mrembo ukimwambia mrembo uwa a nafurahia Ata mwanamke ni mrembo ukimwambia sio mrembo Ata kama anajijua yeye ni mrembo atachukia sisi wanawake tunapenda kusifiwa Ata mkeo usipomsifiasifia siku akikutana na kijana anamsifia aisee unaweza kusalitiwa Ata kama una pesa za aje kwahiyo wanaume muwe makini na sisi msituchukulie poa sisi ni viumbe tunaopenda sifa
It's ridiculous 🥺, indeed.Siyo kwamba wanawake tumezoea kuongopewa hapana, The beauty is the eyes of the beholder,kwahiyo hataki kumsifia sababu gani!mi nadhani mwanaume huyo ana inferiority Fulani ndo sababu Kaamua kuua confidence ya mrembo wa watu. Laiti tungepata nafasi ya kumuuliza mrembo huyo kwamba na yeye kampendea nini huyo mwanaume maana na wanawake nao Wana vigezo vilevile 🤔. Asituchoshe!🥱🥱🥱🥱.kama vipi angekaa kimya Tu.
Mbona jamaa hajakosea popote.Ni kweli hata biblia ilimsema Raheli kuwa ni mzuri lakini Leah alikuwa na chongo ndio maana YAKOBO alifanya kazi kwa mjomba wake Laban miaka Saba Ili amuoe Raheli.Cha ajabu alibadilishiwa mke akapewa Leah kwasababu desturi Yao ilikuwa ni haiwezekani mtoto wa kike mdogo aolewe kabla mkubwa wake hajaolewa kwahiyo ilimlazimu YAKOBO kufanya Tena kazi miaka Saba mingine jumla ikawa 14 Ili amuoe Rachel na kweli akamuoa Rachel ambaye ndio alikuwa chaguo lake.Kaka yuko sawa kwamba wanawake tunazidiana.Huyo dada ukimpanga na Cleopatra yule malkia tunayemsomaga kwenye vitabu vya historia hawezi mfikia.Au TU tumlinganishe na baby sky wa kaka yetu Fredrick Bundala mbona huyo dada anapigwa mbali Sana🤣🤣🤣🙌
He said the truth. If most men could be as honest.
kaongea ukweli kunawarembo kumzidi nawenye akili kumzidi ila kamchaguwa yeye
Nilichojifunza hapa ni kwamba uongo unapendwa sana kuliko ukweli!!
Jamaa hajaandika makosa, kwani duniani kote hakuna mwanaume ambae ana ana mwanamuke mzuri ao mwenye akiki kuliko wote.
Mbona jamaa yuko sawa tu sioni makosa yake tatizo watu wanapenda kuongopewa tu
Wapumbavu tu ndio wanamkosoa lakin hajakosea chochote kabisa
Kaandika vizuri Sana kunakitu kwenye maandishi ndani yake nimemuelewa hakuna bola zaidi ya mwingine
Tunazidiana kwa kila nyanja na hakuna aliemzidi mwenzake haya ndio maajabu ya alietuumba
For me he is so right take me as I am
He is an honest man. Bad thing people want to hear what they wanna hear. And all they want is lies. She's beautiful but not most beautiful 👌
Mh
Who came up with the standard of beauty? Were all beautiful each in their own ways.
He is right by the way
😀😀😀😀😀🤣🤣sasa kakosea wapi yeye anaempenda ndo kaongea ivyo wao from no where unaponda 2 jmn
Hii dunia inawapumbavu wengi kuliko Wenye Akili zaidi So sishangai walimwengu Kumshangaa uyu jamaa nini kaandika.
Fact
Hehehe 🤣🤣🤣
Nakumbuka kijana alivyoniambia"wewe siyo mulembo sana lakini nitakuwowa kwa sababu una roho nzuri".Nilimuacha, ..and it was very dramatic...,,he didn't believe.
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🙌🙌
🤣🤣🤣
Jamaa kaongea ukweli 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
But amesema tu ukweli waja hawapendi ukweli
Mjuba kajiripua😂😂😂😂😂
Ila akumbuke sisi wanawake tunapenda kudanganywa angemsifia tu nazani Ata uyo mwanamke atojisikia vizuri na atakua kashapunguza asilimia fulani katika moyo wa uyo mwanamke kama amempenda mtu basi ulichompendea ndio uwo uzuri wake kwahiyo tuelewane kwamba Ata kama mwanamke anajijua yeye si mrembo ukimwambia mrembo uwa a nafurahia Ata mwanamke ni mrembo ukimwambia sio mrembo Ata kama anajijua yeye ni mrembo atachukia sisi wanawake tunapenda kusifiwa Ata mkeo usipomsifiasifia siku akikutana na kijana anamsifia aisee unaweza kusalitiwa Ata kama una pesa za aje kwahiyo wanaume muwe makini na sisi msituchukulie poa sisi ni viumbe tunaopenda sifa
I'm so proud of him 🤗 mi nimchana ila nimependa san alicho kifanya ,co's sipendi kudanganya😊
But she's beautiful everyone has her own beautiful it's not jus a out this man his so rude 💔 and hi not proud of her girlfriend 💔💔💔💔💔💔💔💔💔
Iyo ilibd ibak iwe siri yake sio kusema hazaran baharia mwenzetu kafel kinoma
Sns please,
Just check
An bring it up
#wajakoyah
Lookalike
The kenyan
Presidential
Contestant
It's ridiculous 🥺, indeed.Siyo kwamba wanawake tumezoea kuongopewa hapana,
The beauty is the eyes of the beholder,kwahiyo hataki kumsifia sababu gani!mi nadhani mwanaume huyo ana inferiority Fulani ndo sababu Kaamua kuua confidence ya mrembo wa watu.
Laiti tungepata nafasi ya kumuuliza mrembo huyo kwamba na yeye kampendea nini huyo mwanaume maana na wanawake nao Wana vigezo vilevile 🤔.
Asituchoshe!🥱🥱🥱🥱.kama vipi angekaa kimya Tu.
That’s true
Kaandika point
Hapa mwendo wa uongo tu 😄😄
Mmh
Mbona jamaa hajakosea popote.Ni kweli hata biblia ilimsema Raheli kuwa ni mzuri lakini Leah alikuwa na chongo ndio maana YAKOBO alifanya kazi kwa mjomba wake Laban miaka Saba Ili amuoe Raheli.Cha ajabu alibadilishiwa mke akapewa Leah kwasababu desturi Yao ilikuwa ni haiwezekani mtoto wa kike mdogo aolewe kabla mkubwa wake hajaolewa kwahiyo ilimlazimu YAKOBO kufanya Tena kazi miaka Saba mingine jumla ikawa 14 Ili amuoe Rachel na kweli akamuoa Rachel ambaye ndio alikuwa chaguo lake.Kaka yuko sawa kwamba wanawake tunazidiana.Huyo dada ukimpanga na Cleopatra yule malkia tunayemsomaga kwenye vitabu vya historia hawezi mfikia.Au TU tumlinganishe na baby sky wa kaka yetu Fredrick Bundala mbona huyo dada anapigwa mbali Sana🤣🤣🤣🙌
Hajakosea hata kidogo wapuuzi watamuatak
😔
🔥🔥🔥🔥
uyu kaka akili zake azina akili.
Wewe njo hauna akili
Is ridiculous
This is worse than the PANDEMIC 🤮🤮🤮