LISIKIE TU! VUMBI LA KIBONDO, WENYE WILAYA YAO WAMEFUNGUKA FAIDA ZAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 124

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 5 років тому +6

    Ukweli mkoa wa kigoma naupenda xana maana hauna njaa pia mazao yanaiva kwa sana, big up kigoma,

  • @stanjr1125
    @stanjr1125 6 років тому +53

    Kibondo hoyeeee.....kama unaikubali kb gonga like twende sawa.

  • @amankachira
    @amankachira 6 років тому +16

    Sweet home nitafanya fujo mikoa tofauti tofauti lakini mwisho wasiku lazima nitue home

  • @ladislausmilagiro9087
    @ladislausmilagiro9087 6 років тому +5

    Ngo kayengeyenge Eeeee...! Ndakila ngende kumlabha. Karibuni Kasulu.👏🏿 Umulimyi ngo ntachagulîmbuto...👏🏿👏🏿👏🏿

    • @alexntahiraja2974
      @alexntahiraja2974 2 роки тому

      Mwimbaji wa nyimbo kayengeyenge anaitwa Christophe Matata. Anatokea kwenye inchi jirani ya Burundi. Na kwasababu lugha ya kiha na kirundi vina ukaribu sana, waha na warundi wanaelewana bila mkalimani. Mimi niliishi Tanzania nikiwa mkimbizi hadi mwaka 2005. Nilipenda sana lugha ya kiha. Cha kuchekesha shetani kwa kiha anaitwa kilanga. Na kilanga alikuwa mungu wa warundi wakati wa mababu.

  • @festomishita3303
    @festomishita3303 6 років тому +6

    Home sweet home ..... tuliho muhila iwachu ntanoma bhagabho mweee nikudya ibhiharage.....

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 5 років тому

      Kigoma ewe kigoma leka tutigite wishavu ameneke huko ndo k wetu bhana

    • @jameschamenda8787
      @jameschamenda8787 3 роки тому

      Tulikumwe chane ebhne wachu

  • @hitchhikers-m1i
    @hitchhikers-m1i 6 років тому +7

    Nimewakubali sababu hakuna njaa.... Kama na wewe umewaelewa tupia like apa twende sawa

  • @swaummihungo2269
    @swaummihungo2269 3 роки тому +1

    Kama unapenda hm kibondoo weka like Twende home

  • @kiangotv3329
    @kiangotv3329 6 років тому +25

    KAMA NA WEWE UNAJUA WATU WA KIGOMA KWA UBISHI GONGA LIKE.......MTABISHANA MPKA KESHO

  • @osbertkagoma5877
    @osbertkagoma5877 6 років тому +10

    Pazuri kwetu huko. Ntibhoshobhola kulimimyumbati

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 6 років тому +2

    Kibondo Safiii! Ahsante Sana.

  • @rebeccaevaristo3863
    @rebeccaevaristo3863 4 роки тому +2

    Kwetu kibondo,Kumshindwi ila wazaza wangu walihamia Kilimanjaro miaka ya 1989 mpaka sasa,,ila napapenda mnooo Kibondo.

  • @zubedamrombo8792
    @zubedamrombo8792 6 років тому +6

    Hatar jomon mmh cyo kwa wekundu huo but nimepapenda 😁

  • @zabronndoroba8215
    @zabronndoroba8215 6 років тому +8

    uzuri Wa hapo kibondo wanawake hawakatai wanaume nakavuvuuuuuuuu

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 5 років тому +1

      Zabron Ndoroba “karibu kibondo ila FAHAMU kwamba UKIMWI UPO” kuna bango hapo linasemeka hivyo

  • @jonyojaote6589
    @jonyojaote6589 6 років тому +5

    This is very good if food is available to eat and for sale,now the government should consider the place and construct a modern market for selling food and tarmac the road.

  • @felisterlutambi9064
    @felisterlutambi9064 6 років тому +12

    Daah nakumbka enzi zile nasoma uko full kula mihogooo

    • @Mibwego_online
      @Mibwego_online 6 років тому

      FELISTER LUTAMBI
      shule ipi.umesoma ferister0766772056

    • @felisterlutambi9064
      @felisterlutambi9064 6 років тому

      @@Mibwego_online
      Nimesoma shule moja inaitwa mkugwa secondary

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 6 років тому

      🙈🙈🤣🤣🤣

    • @vaestkusten6041
      @vaestkusten6041 4 роки тому +1

      @@felisterlutambi9064 Ayyyye, mimi nilikua mkimbizi Mkugwa, from 2000 until 2002, been living in Sweden ever since. But sitasahau kwenye nilitoka!

    • @MaryMary-df7eb
      @MaryMary-df7eb 4 роки тому +1

      @@vaestkusten6041 mimi nilikua kibondo 2009 kabla ya kwenda canada

  • @swaummihungo2269
    @swaummihungo2269 3 роки тому +1

    Weuweeeeee nyumban mix xanah homer sooon

  • @mwantumuthobias5091
    @mwantumuthobias5091 4 роки тому +1

    Umetisha

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 6 років тому +2

    Mbona wimbo wakwetu burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @danielelwin1778
      @danielelwin1778 6 років тому

      The Boss Lady IPUPA kwahiyo unatakaje?

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 6 років тому

      @@danielelwin1778 unibebe mgongoni kaka acha roho yakuchi wewe

    • @WAZIRISINAHERA
      @WAZIRISINAHERA 10 місяців тому

      Tunaupenda

  • @Regnard999
    @Regnard999 4 роки тому +1

    NAIPENDA KIBONDO MY HOMELAND,, MUNGU IBARIKI KIBONDO.

    • @GSELgodoni
      @GSELgodoni Рік тому

      Iko vizuri bwana,kibondo,kifura,Kakonko,kasanda,kabingo etc

  • @danielelwin1778
    @danielelwin1778 6 років тому +3

    waha ndio wanaongoza kwa ubishi nchi hii ,kama hutaki pasuka

  • @firdausabdullah6315
    @firdausabdullah6315 6 років тому +2

    Ma sha allah

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 6 років тому +8

    NAPENDA LAFUZI YA WATU WA KIGOMA SANA
    TUKO PAMOJA SANA

  • @ladislausmilagiro9087
    @ladislausmilagiro9087 6 років тому

    Abhantu bhakundîbhikogwa..!👏🏿👏🏿👏🏿

  • @frankraphael3765
    @frankraphael3765 3 роки тому

    Namuona jokel kaka jambaz

  • @eyasitiayubu6271
    @eyasitiayubu6271 3 роки тому

    Kayengee yengeee

  • @husnamohamed8690
    @husnamohamed8690 5 років тому +1

    asante xana miladyayo

  • @andersonbinige7789
    @andersonbinige7789 4 роки тому

    I'am home boy from kibondo KIGOMA ndahakunda change muhila

  • @pastoryconrad6795
    @pastoryconrad6795 5 років тому +1

    Watuwekee lami kwetu hapo mjini kibondo. Kanyamahela.

  • @jennifermrope1577
    @jennifermrope1577 6 років тому +3

    Subtitle ziusike kwenye watu kama hao wanao ongea kiluga me sjaelewa ata kmoja alicho zungumza uyo mze kwa luga ya kwao😩😩😩Fanyia kaz iloooh Ayo

  • @bernakajoro4083
    @bernakajoro4083 4 роки тому

    Ndo muhila,serikali ijitahidi Sana kurekebisha miundo mbinu,itakuwa juu zaidi ya hapo kibondo kwa maendeleo ya taifa.

  • @janetchiza3795
    @janetchiza3795 4 роки тому

    Mepamis sana home kwetyuuuuuuuuuuuuu

  • @Lova_artist
    @Lova_artist 3 роки тому +1

    Leka dutigite, , , kibondo kitahana kwetu

  • @venancefredrick549
    @venancefredrick549 3 роки тому

    Ooh jaman pamenikuza

  • @bakarirashidi684
    @bakarirashidi684 2 роки тому

    Safi mambo mazur

  • @sarahmuna5503
    @sarahmuna5503 6 років тому +2

    home sweet home

  • @pheninhojr5875
    @pheninhojr5875 4 роки тому

    Hommieeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eledinamartin7258
    @eledinamartin7258 3 роки тому

    Biturana kibondo niho mhila tulashashe chane nmepamis kweri

  • @IbrahimuSadock
    @IbrahimuSadock 6 місяців тому

    iwachu umuhila. halabheleye

  • @barakachambala9890
    @barakachambala9890 5 років тому

    MILLAD AYO. KUNA MTU UMEMSAHAU. MIKE T. TUNAHITAJI KUJUA YUKO WAPI, ANAFANYA NINI, MBONA KIMYA SANA, NGOMA YAKE MPYA NI IPI. NK

  • @simonbukuru1201
    @simonbukuru1201 5 років тому

    daah nimemis huko kwel kibondo

  • @Team_njiapanda
    @Team_njiapanda 3 роки тому

    aaaaaa awooote

  • @adilikanyoni303
    @adilikanyoni303 5 років тому +1

    Nyumban kwetu pazur

  • @doyjack95jack39
    @doyjack95jack39 6 років тому

    daah ivo vyakula mpk rahaaa

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 6 років тому

    Iyo kweli mwisho wa reli

  • @josej9888
    @josej9888 6 років тому +8

    Asilimia kubwa yawatu wakigoma wanatoka Burundi Rwanda nacongo, wazawa niwachache.

    • @ramadhanrajab7604
      @ramadhanrajab7604 6 років тому +1

      J. JOSE acha usenge we unauwakika gn

    • @danielbikora3357
      @danielbikora3357 6 років тому

      Are u sure that is humiliation and violence, do u have evidence

    • @randvirvr882
      @randvirvr882 6 років тому

      Kwaiyo ww umetoka wapi baba yako tumempokea alafu ww unaongea

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 6 років тому

      Wewe hujitambui unachochea ubaguzi wa ukabila je wewe baba yako alikwambia alitokea wapi?

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 6 років тому +2

      Nikweli bro gonga like twende mwana wane 🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @felixmuzambele9031
    @felixmuzambele9031 6 років тому

    Imuhilaaa

  • @hydanadolf8311
    @hydanadolf8311 6 років тому

    Kibondo ya Leo kweli cyo ya kipindi cha nyumaaa

  • @Danny-yl8xi
    @Danny-yl8xi 6 років тому

    daaa, millard ayo hatarrr

  • @rossmaryphases8509
    @rossmaryphases8509 2 роки тому

    Nymbn kgm ila kibondo siwez ishi Mara 100 kasul ndo pazur

    • @deboramawazo-cq6dq
      @deboramawazo-cq6dq 7 місяців тому

      Acha.kwan umelazimishwa kama sio kihele hele chako kulopoka tu

  • @lyseniyurukundo6935
    @lyseniyurukundo6935 4 роки тому

    Yurabumva. Markani

  • @kajjd40
    @kajjd40 5 років тому

    vp funza wameisha uko 😀😀😀😀😀😀

  • @evelinachristopher1336
    @evelinachristopher1336 4 роки тому

    Hooooome

  • @dismasathanas8997
    @dismasathanas8997 6 років тому

    Kailibu na wilaya ya buhigwe

  • @azizalazri1283
    @azizalazri1283 6 років тому

    Majanga uo ugali wamuogoo tuu mumeniachaa mdomo wazii mee sio kwaweusii uo

  • @kasianlinus4996
    @kasianlinus4996 6 років тому

    Barbara hakuna hadi adivencha wamedoma kupitanjiahiyo kuja dare saalam

  • @MaryMary-df7eb
    @MaryMary-df7eb 4 роки тому

    Kibondo..mara ya mwisho mwaka 2009 dah pazuri

  • @gadielnkuye7559
    @gadielnkuye7559 4 роки тому

    Kumbe kibondo ni ka mujii aisee na ishiaga kasulu tu safarii ntafika uko

  • @barakamarmo8104
    @barakamarmo8104 6 років тому

    Kwa sumu na ubishi ni hatari sn!!😀😀😀

  • @ydisotzmusickilistofa5203
    @ydisotzmusickilistofa5203 5 років тому

    Amagambo yadyosheee

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 5 років тому

    Umeonaee.

  • @maryamomary5479
    @maryamomary5479 6 років тому

    Huyoo mzee anaongeaje kikabilaaa Kati anajua Anaonekana na watu wa makabila tofaut tutafsirien asiii jaman hata sisi tukijue kibondoo

    • @adrammadega5489
      @adrammadega5489 6 років тому

      Unataka nikufundishe! Kiha

    • @maryamomary5479
      @maryamomary5479 6 років тому

      @@adrammadega5489 itapendezaa zaid ukinifundishaa

    • @adrammadega5489
      @adrammadega5489 6 років тому

      @maryam nikufndishie hapa hapa au private mfano whatsapp txt za kawaida 0624400002

  • @dismasathanas8997
    @dismasathanas8997 6 років тому

    Nenda na buhigwe

  • @hermanwabike2734
    @hermanwabike2734 6 років тому

    Vumbi sasa, duuu!!!

  • @joakmtangawizi3033
    @joakmtangawizi3033 6 років тому

    Ubishi sasa ndio shida

  • @NonoNono-qp3zu
    @NonoNono-qp3zu 6 років тому +2

    Wanaume wa kigoma wanatomba hao jmn kama ww ni mvivu usije ukakutana nae atakunyoosha ukimbie chupi mkononi

    • @janetrevocatus9586
      @janetrevocatus9586 5 років тому

      Mtangazaji rudi shule kajifunze SILABI L na R zinatofauti

  • @kasianlinus4996
    @kasianlinus4996 6 років тому

    Barabara hakuna

  • @uriaamani7968
    @uriaamani7968 5 років тому

    mhoza

  • @egnonemes7008
    @egnonemes7008 6 років тому

    Naikubali.

  • @nicholausmanyanda8344
    @nicholausmanyanda8344 5 років тому

    Nchi jirani

  • @tuliahussen7229
    @tuliahussen7229 6 років тому

    unyibhukije muhila

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Рік тому

    Budunzu niho muhila

  • @nyandwiziyada6451
    @nyandwiziyada6451 4 роки тому

    Nyumbani

  • @karimmkejina980
    @karimmkejina980 4 роки тому

    Kumbe ndio maana wakija dar hawarudi huko kwao cjui kama Tanzania huko

  • @RAUNATION
    @RAUNATION 6 років тому +1

    Yemwe mulakose

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 5 років тому

    Jaman nyumban

  • @happynassboniface2749
    @happynassboniface2749 5 років тому

    daaah jaman pamoja sana wanakibondo wenzangu,tulihamweee

  • @tonykizzy6179
    @tonykizzy6179 4 роки тому

    Duh!! So poa

  • @maryamomary5479
    @maryamomary5479 6 років тому

    Sasaaa watu wotee mnaongea kibondoo sisi tunawaelewajee lakiniiii kwann mnakua hivoo nyie wakibondoooo

    • @dinahbasemera4672
      @dinahbasemera4672 6 років тому

      ndo uzuri wa Tz,angalau wameongea kwa kiswa...kongea kikwao,ni poa tu,ni kujivunia asili yao..ukija kwetu Bukoba je.kkkkk.lol

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 5 років тому

    Hahahaaaa