Mwarobaini wa upungufu wa sukari wapatikana, Uingereza waja kuwekeza kiwanda kikubwa cha sukari

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024
  • Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Kampuni ya Sukari Kilombero Sugar, Balozi Ami Mpungwe amesema, uamuzi wa wawekezaji kampuni ya Uingereza, Associate British Sugar kuja kuwekeza nchini Tanzania, ni kielelezo sahihi cha imani waliyonayo katika mazingira ya uwekezaji huku akiiomba serikali na taasisi husika, kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji hasa katika uzalishaji wa sukari nchini.

КОМЕНТАРІ • 5

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 Рік тому +3

    Tanzanian ndio ndio nchi pekee duniani ambayo viwanda hata vikiwa vingi mahitaji ya bidhaa hayakidhi mahitaji na hao wenyewe ndio wanaongoza kuficha bidhaa ili vitu vipande bei sion kama vina umuhimu sana pumbuvu kabisa

  • @alfredibrahim7085
    @alfredibrahim7085 8 місяців тому +1

    Uwekezaji unakua lkn wafanyakazi wa viwanda malipo yao ni unyonyaji mtupu

  • @hemeddaud618
    @hemeddaud618 2 роки тому

    Let’s go samia

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 2 роки тому

    Yes

  • @ismailferouzferouz6774
    @ismailferouzferouz6774 Рік тому

    Ok