SABI part 10- New African Movie | 2024 Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- SABI part 10- New African Movie | 2024 Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo Studios UA-cam Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios UA-cam channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#sabipart9 #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2024movies #adamleo #adamleobongomovie
Namim leo sijachelewa jaman naombeni like zangu kwaajili ya kaka Adam
Asante endelea kuenjoy
ndio hio like yangu
Kama unafatilia Adam kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪njooni tumpe huyu jamaa ujio huku Kenya haswa Mjini Nairobi aje kafanyie shooting yake huku awe mwenyeji wetu
Shukrani sana
Apo n saw kabisa
Toweni like kwajili ya bro Adam leo ,azidi kutuburudisha kwa movie zake 😂😂🎉❤❤❤ like👍👍👍👍👍
Shukrani
Wow, wakwanza leo naombeni likes zenu jamani
Endelea kuenjoy
Uwo ujinga Adam hizi tumeztazama wapi mpaka hizo tuje watsp huna mana ww
Usilolijua ni sawa na USIKU WA KIZA🙏🏻
Season tam nataman nione kitakachomkuta Adam.ila sis wengine atupo Tz tunawaombea kwamungu mzidikupanda
Amen
Sasa,Soweto kajua Sabi ana uhusiano na Kado na Jumanne.
Adam kajua Siri kuwa Kado ana uhusiano na Sabi Kwa mjibu wa mazungumzo ya Sabi na Soweto,Jaza pia kashajua Kado yupo,Adam kashatok na Chumu kimapenzi,Cheto kamtaka Jumanne,
Sasa vita vinanukia huko Kwa akina Sabi manake Jaza kampaleka Kado,Mjombake Sabi pia ana Siri ya ujauzito wa Sabi,Sasa hapa ni moto
Moto si kidogoooo
Good job, ila ninaswali inamaan umu hamtazirusha tena mpk m2 azilipie whatsapp?
Shukrani kupata muendelezo wa Episode ya 11-13 wasiliana nami kwa Whatsapp number +255652393960
Ebu ambae haja subscribe hafanye hvyo mbiooo...amuogopi kitu cha 10 kimeletwa bureee maana kaona kilio chenu amuuziwi tenaaaaaa😅😅😅😅
Hahahahaha
@@AdamLeoStudios 🤣🤣🤣
Sasa hapo kweny afu tano hapo😂😂😂😂😂😂nyie Adam acha kuntesa mtoto wa hillary
Poleee😂😂😂
hili swala la kununua epside kwa 5000 mtaniwiya radhi lakin pameishia patamu sna 😂
😂😂😂nishakuwia ladhii
Adam Adam Adam nimekuita mara tatu litakukuta jambo wewe.
😂😂
Adam Adam Adam nimekuita mara tatu litakukuta jambo wewe.
😂😂
Kaka adamu kwa nini unatuuzia hizo zilizobakia jmn wengine hatuna uwezo
Jikwamue kidogo na sisi tupate
Kwa hiyo adam hizo 3 zipo tayri?? Yaan nikilipia nazipata kwa wakti ??
Yah! Tuwasiliane 0652393960 whatsapp
Chado nae anatafuta mpenzi wake je atampata na akimpata Sabi nn kitaendelea
Sijui itakuajee
Soweto amekuwa jia panda hajuwi. Aende wapi sabi nae anamimba je soweto ata kubali kuowa mke ana mimba
Ngoja tuonee
Hizo episode zingine ziletwe tu UA-cam tuwatch.... Si Bado UA-cam inalipa
Kazi mpya zinakuja!
MNAZINGUWA MNAUZAJE SS MALIZEN MOVIE IYO
Fuata maelekezo boss
Kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai,bro Adam ushakata utepe na mtoto wa kijijini jiji sasa ushahanza kulijua 😂. Tele mbele ya green snake guest 😂.
Nomaaa
Hahahahaha......😁😁😁jaman mbavu zangu nimecheka hapo Soweto alivomjibu kado kuhusu ugali wa muhogo et huku utauona live 🤗
Hahaha acha kabisa
Bro Adam leo umenibamba mungu awainue na awape nguvu kubwa kwenye mafanikio yenu by naitwa Deejey Khan from Kenya but naependa kufatilia tamthilia zenu mpaka sasa niko naiangalia SABI naniko Ep 10
Asante sana sana!
Kado uskubal huy atakufanya mbaya m hata smwamn
Umeona eh
Tuendelee kusapport kaz zake jamn ili asiache kutupostia huku UA-cam 😂🎉
Shukrani
Nauonaga Facebook. 😮😮
Huku utauona live 😳😳😳
Hahaha na huko live kweliii
@@AdamLeoStudios mungu akubarki coz unalenga zaidi kuelimish broo ila usimwache chumu pliz owa pic hiyo
Hiyo kusema tununue elfu 5 hapo ndio umeharibu wakati tangu mwanzo tumefatilia na MB zetu Adam fikiria Hilo usipoteze fans
Fans wa kweli hawapotei dada! Wewe fuatilia utagundua hilo!
Adam keshakula mzigo amtaki tena chumu😅😅😅😅wanaitwa WANAUMEE RESPECT THEM😂😂
Hahaha jamaniii
@@AdamLeoStudios 😃😃
Tupe next part jamani
Sawa
Adam adam ulikula tunda eden eeeh hya pmbna na kaz zako nzri nikikufuatlia nikiwa saudi❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asante
Kado, anauliza ugali wa muogo ndio ule mweusi ? Soweto unaujua kumbe ? Kado nauonaga Facebook, soweto hapa utauona live.
Nomaa
Kaka Adam Kichupa kimejaa sio kinaitaji kupunguzwa😂😂😂😂😂
Oya acha kabisa😂😂😂
Hapo Sasa kwene ukweli huo wa Sabi kwa jumanne
Eeeish imekua fire,,, then itakuaje kuzipata kwa wenye tuko outside the country 🤔
Nicheki whatsapp nikupe muendelezo +255652393960 whatsapp
Adam usitudanganye hukutegemea Kama yupo hvy kwamba umemkuta bkr sy kweli hkn bkr wa hvy asie hata na uoga afu katoka mkavu😂😂😂
Hahha jamani ulitaka atoke anachechemeaa😂😂😂😂
Ex wa soeto ana hasira..had ameamua kumpeleka kado iliakaya vuruge vizur😂😂❤
Yaani acha kabisa
My movie❤ wathing from Burundi❤❤
Thanks
Duh bando lenyewe kulipata mtihani bado na Eftano ya kulipia Sabi tena Aaa ndo mwisho wangu kwaheri but niliienjoy Sana kuingalia Sabi
Shukrani sana na karibu tena
Adam mshenzi kweli icho kichupa kijae alfu iwe kidogo apo kaka uko muongo😂😂😂
Hahaha jamanii
Daaah kaka Adam kichupa kimejaa waaah mdada ushamkula navunamtoloka 😂😂kweli hata mm nipeni like zangu wanaompenda adam
Endelea ku enjoy
Gusema ukweli huyu mpenzi wa Adam ni mzuri hata Mimi Nishaa feel in love with her😂😂
Eti eh😂😂
Mtakaolipia mtaniadisia hali yangu ngumu bando lenyew kwa mwaka mala moja naeka inipite ty😢😢
Pole
Soweto ana wivu 😂😂😂
Saanaa
Hahahahaha adam anataka kidogo tu kichupa kimejaa litakukuta jambo shauri zako sema na upwiru wako pia j4 mboga mpya iko mbele yakotumia furusa.
Hahahah umeona eh
Mfano mm nikija kununua iyo episode ya 11 mpk 13 alafu mm nikaja kui upload youtube nitakuwa nafanya makosa maana mm nitakuwa wa kwanza
Ulipoishia kuwaza sisi tulianzia kuwaza hapo mkuu!
Nilicho gunduwa Adam ndie anaedhani shabiki zake hivyo mimi Nita zidi kuwa shabiki wa adamuleo rk nimuhimi 😂🎉
Asanteni kwa support yako
Ila wangoni hata kwenye muvi hamuwezi kuvumilia kuona mwanamke bila kumlala🤣🤣🤣🤣adam mngoni 😁😁😁😁
Niache mieee😂😂😂
Bro mm nipo kwako bega kwa bega na ninakuombea kwa MUNGU uzudi kuwa wajuu mpaka kimataifa siku zote nawapenda sana Team ADAMU LEO wote 🥰🥰🥰 napatikana ZAMBIA LUSAKA🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Shukrani sana
Adam hakika ww umeshika nafasi ya kanumba yan hadi silali nafatilia move zako hadi nihakikishe nimemaliza duh kaka fanya mpango wa episode 11 leo
Episode ya 11 ipo tayari mbona
Waaah kwetu 🇰🇪 huwa tunasema kwa sabi Leo kimeumana. Basi adam usitueke sana pt 11 i come haraka faster.
Karibu whatsapp kwa muendelezo +255652393960
@@AdamLeoStudios sawa kabisa
Tuleteeni 11 tuone segere linavochezwa mana hii ya moto moto ukisikia kujichanganya ndo huku sasa 😂😂😂sabi shwaaaaaaaa
Unge iposte ya mwishw wengine tuna fatilia kwanjia ya mutandao wa you tub hatuna mativ
Hii haipo kwenye Tv
Hii game kali sana na final bado hatujafikia toka semi kwaio bro tutengeneze part 11 na 12 hapo ndio final itachezwa.
Zipo tyr kuipata njoo whatsapp +255652393960
@@AdamLeoStudios sawa bro wajua tuko mbali sana hila twapenda vitu vikali vya kutuliwaza kama hivi,tuko nje ya nchi uhaibuni (Gulf )
Mmh...Adam una haraka wewe mh had vichakan unataka kidogo tu🫣😜🤗
Jamaniiii
Adam una mapanja ma zuri 😋
Jamani dah😂😂
😢😢😢😢daah uko mbele sijui itakuwaje jaman Adam ndo hutuwekei tena hapa
Muendelezo njoo whatsapp +255652393960
Huko kununua kwako ni mtihan japo nimeipenda sana bas nitaishia hiiii itakuwa c rizki kuona hizo episod nyengine
Pole
🤣🤣🤣🤣🤣Ugali amezowea kuuona Facebook huku atauona live 😂😂😂nimecheka vbaya
Hahaha acha kabisa
@@AdamLeoStudios 😁😁😁Kweli
Ugali wa muhogo ndio ule mweusii eee nauonaga face book aaa huku utauona live huyu jamaa achekesha
Hahah acha kabisa
Ni nzuri na ndio yaisha haraka sana...si muisongeshe mbele kiasi🙁
Ukitaka muendelezo njoo whatsapp +255652393960
adam ulimpa salam zangu kado? naw nakusalimiy from burundi
Yah anakusalimia pia
Adam mbona hivi??.tuma namba besi tununue hio part ingine
0766135528 jina Adam Leo
Ila haifiki mbinguni kaka kidada Cha watu umekila mzigo afu dah unakikimbia kweli ayo
Hahaha
Mmbeya wakupeleka watu kapatikan hatak ata kulaza damu😅😅😅😅
Umeonaa eh
Na huyu kado nae angejua amekalbishwa na adui mwenzake mume mwenzie atamuua
Sijui itakuajee
Adamu ana kaumalayaaa😅😅😅 et kidgo tu kichupa kimejaaaa
Hahaha jamaniii
Adam tamsilia ni Zurich sana ila unachelewa kuitowa
Shukrani
Kuna huyu jamaa amefika kijini hajui hata kitongoji hata moja eti anamtafuta binti mmoja jina yke sabi
Ahahahha yaani
😂😂😂Ugali wa muogo uku utauwaona live😂😂😂😂
Hahaha umeona eh
Unahamu tena porini 😂😂😂😂😂
😂😂😂acha kabisa
Kumekucha sabi kula chuma iko🎉🎉🎉🎉🎉
Nomaa😂😂😂
mm naona huyu jamaa anastari tuzo ya uigizaji bora au nyinyi mnaonaje wenzangu?
Shukrani sana kaka
😂😂😂😂yaani sema kimeuma hapo sabi hautoboi😂
Umeona wh
Jumanne. Amepewa dawa ya utajiri je ni kweli na nini kita mkuta jumanne
Ngoja tuonee
Aaa kaka Adam hebu tuletee mambo bwana mbona wataka kutunyima raha tena
Karibu whatsapp +255652393960
Kimeumana…Adam uko makini kupata taarifa😂😂😂
Sanaaa 😂😂
Mbona fupi alafu tamu aaahhhh isingeisha jamani😢
Haijaisha muendelezo njoo whatsapp 0652393960
Ahwiii sabi umelikologa utalinywa
Umeona eh
Mm nikiwa inchi za kiarabu na furahia movie za kaka adam
Asante
Sabi ameya kanyaga. Sasa ukweli utajulikana
Kayakanyaga vibaya mno
Ila adam utarogwa vibaya na chum.
Hahaha jamani😂😂
baada ya adamu jumanne amecheza vizuri sna ktk hii move
Shukrani sanaa
Adam kichupa kitakuponza😅
Yaani naliona hilo🙏🙏
Aa sabi makosa , cado yuko mdaani anasongea songea
Yaani
jaman next plus much love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jinsi ya kupata muendelezo wa Sabi episode 11-13 tuwasiliane kwa Whatsapp number +255652393960
Sasa kichupa chepesi na hatokuona tena
Hahaha jamaniii
Ila adam ww una kaacha kachumu kalivo kazur hivi
Nakaacha😂😂😂
Huyu jamaa ndio mshamba wakijiji
Umeona eh
Wakwanza naombeni likes
🙏🏻🙏🏻
Adam usimuoe huyo mdada...
Hahaha nimuache eh
Mmmmh...Adam jaman utam umeishia pazur aise daaah
Endelea ku enjoy
Hii ni kama ibada, kudoz @Adamleo
Thanks
Adam. Alipata alikuwa anakitaka.
Ngoja tuone ya mbele
Kaka adam sisi ambao hatupo Tanzania utawezaje kupata vipande vilivyobaki😢😢😢
Shukrani kupata muendelezo wa Episode ya 11-13 wasiliana nami kwa Whatsapp number +255652393960
Kazi nzur sana na wochi nikiwa kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰
Endelea ku enjoy
Yaani Kila mtu kinamramba😂
Umeona eh
Eeeh maendelezi mazuri sanaa adamuu🎉 .wakenya wenzangu naombeni likes.😊
Shukrani kupata muendelezo wa Episode ya 11-13 wasiliana nami kwa Whatsapp number +255652393960
😂😂😂iyo sapliz sasa
Nomaaa
Kaka adam nakupenda sana ❤❤
Asante nakupenda pia
Hii nayo nikali kama pilipili 🎉
Asante
Adamu 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naan
Siopoa adam naipenda sana
Shukrani