UJUMBE KWA WANAWAKE MANABII/ OLE KWENU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 56

  • @sophiamarondo9665
    @sophiamarondo9665 Місяць тому +1

    Amen mjakazi

  • @marymwombe-pwonde1442
    @marymwombe-pwonde1442 3 місяці тому +3

    Nmekumiss sana dadangu lakini nashkuru tena . Nmepotelea kwa msiba wa dadangu alikuwa anakaukiwa damu kisha kaaga nami nina rhesus negative nawabeba wanangu kwa neema lakini nawazaa na operation wote na hawana tatizo lolote na hakuna mwenye amechukuwa damu yangu ya rhesus negative ... Though nina uoga kubeba ujauzito tena

  • @ShukuruDaudi-ue6in
    @ShukuruDaudi-ue6in 3 місяці тому +1

    Amina 🙏 MUNGU atuhurumiye sana na atusaidie 🙏🙏

  • @violetsinibagiye4123
    @violetsinibagiye4123 3 місяці тому +1

    Bwana Yesu asifiwe mujakazi wa bwana niko mugeni lakini unanibariki

  • @augenmagabila3081
    @augenmagabila3081 2 місяці тому +1

    Naomba kuuliza swali; ukiwa nabii unaona vitu vingi ambavyo Mungu anakuonyesha, je hiyo bag (siuji ni yako) ya brown yenye logo ya LV=Louis Vutton ambaye ni mwabudu shetani, kwanini manabii wengi wanazitumia hizo bag, sio bag tu sasa kuna magauni, mashuka, makoti, leso, nguo za ndani,n.k. Je inaruhusiwa kuvitumia na nabii vitu hivyo ikiwa wakristo wengi na wasio wakristo wanatumia bila kujua??? Nimeona manabii wengi ndyo wanatumia, ila wachungaji na baadhi ya maaskof sijawaona.

    • @dionisiamlowe6759
      @dionisiamlowe6759 2 місяці тому

      labda hajafunuliwa hizi logo za shetani ila ndio zimejaa Mungu atuponye maana ni milango ya kugandamiza watu wa MUNGU

  • @languages2015
    @languages2015 3 місяці тому +1

    Niombee neema ya maombi nimeshindwa kuomba. Kusoma neno, nataka nimpende yesu na ni mtumikie. Niombee kijana wangu awe na neema na kunyenyekea ma kuniona mamake.

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 3 місяці тому +1

    Jambo mtumishi nilikuwa naomba namba yako yasimu nijambo nataka nikuhulize

  • @chaleetch9394
    @chaleetch9394 3 місяці тому +1

    Amen asante kwa ujumbe mzuri wa Bwana.

  • @gladymtongolo2629
    @gladymtongolo2629 Місяць тому

    Uniombee

  • @GladysNakale
    @GladysNakale 3 місяці тому +1

    Amina ubarikiwe kwa mashauri mazuri sana sister Karen

  • @waleedbahar5275
    @waleedbahar5275 2 місяці тому +1

    Amen ubarikiwe Sana mjakazi wa mungu naomba unisaidie na maombi dada mtoto wangu anatumika ki uchawi

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei9007 3 місяці тому +2

    Naomba number yako mjakazi Keren

  • @EugénieMausa
    @EugénieMausa 3 місяці тому +1

    Amen.ubabarikiwa sana. Mungu aturehemu sana

  • @PacifiqueKiza-b1h
    @PacifiqueKiza-b1h 3 місяці тому +1

    Mungu tusaidie wanao

  • @DaHasha
    @DaHasha 3 місяці тому +2

    Amina

  • @LouiseEbengo
    @LouiseEbengo 3 місяці тому +1

    Amen ubarikiwe sister.

  • @sifakarulange
    @sifakarulange 3 місяці тому +1

    Amen

  • @elizamsemwa3161
    @elizamsemwa3161 3 місяці тому +1

    Kula mikate yenye hamira ni sawa??

  • @LidyaPeter-nl9bt
    @LidyaPeter-nl9bt 3 місяці тому +1

    amen

  • @abigaelnelly
    @abigaelnelly 3 місяці тому +1

    Amen

  • @NdanuMirrium
    @NdanuMirrium 3 місяці тому +1

    Amen

  • @fayreen
    @fayreen 3 місяці тому +1

    Shalom nina swali

  • @PacifiqueKiza-b1h
    @PacifiqueKiza-b1h 3 місяці тому +1

    BWANA asifiwe saaanaaaa

  • @marymusa8136
    @marymusa8136 3 місяці тому +1

    Amina

  • @PacifiqueKiza-b1h
    @PacifiqueKiza-b1h 3 місяці тому +1

    Hallelujah dada

  • @LouiseEbengo
    @LouiseEbengo 3 місяці тому +1

    Amen ubarikiwe sister.

  • @dayemukalai3427
    @dayemukalai3427 3 місяці тому +1

    Shalome shalome Ameeen Amen

  • @انيمحمد-ب9ن
    @انيمحمد-ب9ن 3 місяці тому +1

    Hi

  • @TheofridahChigumbi
    @TheofridahChigumbi 3 місяці тому +1

    Amen amen

  • @LUCYMOLLEL-s7j
    @LUCYMOLLEL-s7j 3 місяці тому +1

    Shalom Mjakazi wa Bwana YESU

  • @Deborah-xd5rw
    @Deborah-xd5rw 3 місяці тому +2

    Ubarikiwe

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 3 місяці тому

      Dada kareen Leo sauti ,,,,,, aki usituombe sadaka ,,,japo Kwa upendo wako, tukiwa nayo tutakupea , tukupe Cha mwilini, ,, nasi utupe Cha rohoni, na pia Iko Kwa maandiko, Kwa hivo sivibaya kuwabariki watu wa Mungu

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 3 місяці тому +1

    Barikiwa sana mjakazi wa Bwana Yesu