Nmekumiss sana dadangu lakini nashkuru tena . Nmepotelea kwa msiba wa dadangu alikuwa anakaukiwa damu kisha kaaga nami nina rhesus negative nawabeba wanangu kwa neema lakini nawazaa na operation wote na hawana tatizo lolote na hakuna mwenye amechukuwa damu yangu ya rhesus negative ... Though nina uoga kubeba ujauzito tena
Naomba kuuliza swali; ukiwa nabii unaona vitu vingi ambavyo Mungu anakuonyesha, je hiyo bag (siuji ni yako) ya brown yenye logo ya LV=Louis Vutton ambaye ni mwabudu shetani, kwanini manabii wengi wanazitumia hizo bag, sio bag tu sasa kuna magauni, mashuka, makoti, leso, nguo za ndani,n.k. Je inaruhusiwa kuvitumia na nabii vitu hivyo ikiwa wakristo wengi na wasio wakristo wanatumia bila kujua??? Nimeona manabii wengi ndyo wanatumia, ila wachungaji na baadhi ya maaskof sijawaona.
Niombee neema ya maombi nimeshindwa kuomba. Kusoma neno, nataka nimpende yesu na ni mtumikie. Niombee kijana wangu awe na neema na kunyenyekea ma kuniona mamake.
Dada kareen Leo sauti ,,,,,, aki usituombe sadaka ,,,japo Kwa upendo wako, tukiwa nayo tutakupea , tukupe Cha mwilini, ,, nasi utupe Cha rohoni, na pia Iko Kwa maandiko, Kwa hivo sivibaya kuwabariki watu wa Mungu
Amen mjakazi
Nmekumiss sana dadangu lakini nashkuru tena . Nmepotelea kwa msiba wa dadangu alikuwa anakaukiwa damu kisha kaaga nami nina rhesus negative nawabeba wanangu kwa neema lakini nawazaa na operation wote na hawana tatizo lolote na hakuna mwenye amechukuwa damu yangu ya rhesus negative ... Though nina uoga kubeba ujauzito tena
Nashkuru sana kwa mafundisho haya sikuwai kuyaskia popote
Za Saha izi dada
Unaitaji msahada wa maombi ?
Kweli kabisa nahitaji maombi
@@marymwombe-pwonde1442Amen Amen dada Bwana apewe sifa
Yoooh Bwana akusaidie sana my dada
Amina 🙏 MUNGU atuhurumiye sana na atusaidie 🙏🙏
Amen amen mjakazi wa Bwana
Bwana Yesu asifiwe mujakazi wa bwana niko mugeni lakini unanibariki
AMEN AMEN karibu sana dadangu
Naomba kuuliza swali; ukiwa nabii unaona vitu vingi ambavyo Mungu anakuonyesha, je hiyo bag (siuji ni yako) ya brown yenye logo ya LV=Louis Vutton ambaye ni mwabudu shetani, kwanini manabii wengi wanazitumia hizo bag, sio bag tu sasa kuna magauni, mashuka, makoti, leso, nguo za ndani,n.k. Je inaruhusiwa kuvitumia na nabii vitu hivyo ikiwa wakristo wengi na wasio wakristo wanatumia bila kujua??? Nimeona manabii wengi ndyo wanatumia, ila wachungaji na baadhi ya maaskof sijawaona.
labda hajafunuliwa hizi logo za shetani ila ndio zimejaa Mungu atuponye maana ni milango ya kugandamiza watu wa MUNGU
Niombee neema ya maombi nimeshindwa kuomba. Kusoma neno, nataka nimpende yesu na ni mtumikie. Niombee kijana wangu awe na neema na kunyenyekea ma kuniona mamake.
Tutaomba Bwana wetu Yesu Kristo akuponye
Jambo mtumishi nilikuwa naomba namba yako yasimu nijambo nataka nikuhulize
Jambo sana ndio niko whatsApp
Amen asante kwa ujumbe mzuri wa Bwana.
AMEN AMEN sifa kwa Bwana
Uniombee
Amina ubarikiwe kwa mashauri mazuri sana sister Karen
@@GladysNakale AMEN AMEN ubarikiwe pia na Bwana
Amen ubarikiwe Sana mjakazi wa mungu naomba unisaidie na maombi dada mtoto wangu anatumika ki uchawi
AMEN AMEN, Bwana naitwa nani ili tuwe tunamuombea
@@NYIMBOZAROHOMTAKATIFU anaitwa Lilia kazungu
@@waleedbahar5275 AMEN AMEN tutaomba na Bwana atatenda
@@NYIMBOZAROHOMTAKATIFUAmen ubarikiwe ddngu
Naomba number yako mjakazi Keren
Amen.ubabarikiwa sana. Mungu aturehemu sana
AMEN AMEN
Mungu tusaidie wanao
Amina
Amen ubarikiwe sister.
Amen
Kula mikate yenye hamira ni sawa??
Nichukizo
amen
Amen
Amen
Shalom nina swali
Uliza Kabisa
BWANA asifiwe saaanaaaa
Amen amen
Amina
Hallelujah dada
Amen ubarikiwe sister.
Shalome shalome Ameeen Amen
Hi
Amen amen
Shalom Mjakazi wa Bwana YESU
@@LUCYMOLLEL-s7j Shalom shalom, Bwana Yesu asifiwe sana.
@@NYIMBOZAROHOMTAKATIFUAmen
Ubarikiwe
Dada kareen Leo sauti ,,,,,, aki usituombe sadaka ,,,japo Kwa upendo wako, tukiwa nayo tutakupea , tukupe Cha mwilini, ,, nasi utupe Cha rohoni, na pia Iko Kwa maandiko, Kwa hivo sivibaya kuwabariki watu wa Mungu
Barikiwa sana mjakazi wa Bwana Yesu
@@rowenalilie993 AMEN AMEN ubarikiwe pia na Bwana