Kauli ya Ali kamwe amesema Kagera ni team pekee ndo haijafungwa na yanga,we Oruma acha kuzungusha maneno,kauli zenu zote kuiponda yanga hata huoni aibu kusema FEI kumfananisha na Aziz we huongelei mpira mpuuzi chuki dhidi ya yanga.
😂😂😂mliomuona oruma alivyomind his own business kipnd uyo wa kofia abduzaka anasema kuhus aziz ki ni mm tu ama kuna mwingine😂😂😂oruma akuna mtu alishagaongea fei ajui mpira ata sisi yanga uongo uo sema maneno aliyokua anaongea ndo tulikua atutaki ila wanaojua mpira awakusema fei ajui uache unafiki
Azizi ana vitu vingi sana mbali na magoli na assist zake, amewezesha yanga kufika robo fainali CAF, amewezesha timu yake ya taifa kuingia robo fainali, Fei hana hata moja
Kauli ya Ali kamwe amesema Kagera ni team pekee ndo haijafungwa na yanga,we Oruma acha kuzungusha maneno,kauli zenu zote kuiponda yanga hata huoni aibu kusema FEI kumfananisha na Aziz we huongelei mpira mpuuzi chuki dhidi ya yanga.
Halina akili hili jamaaa silipendi kama nn
Hawa wanatengeneza kik story ya chama na pacome now kimya wamedandia Sasa aziz duh
Kocha tigana namkubali sana huyu mwamba hana unafiki kama hao wengine
😂😂😂mliomuona oruma alivyomind his own business kipnd uyo wa kofia abduzaka anasema kuhus aziz ki ni mm tu ama kuna mwingine😂😂😂oruma akuna mtu alishagaongea fei ajui mpira ata sisi yanga uongo uo sema maneno aliyokua anaongea ndo tulikua atutaki ila wanaojua mpira awakusema fei ajui uache unafiki
Kipa aliyeachwa na Aziz K ni Diara Msheri na 😢😢
Wa cost azizi ajamfunga
FEI TOTOOOOO
Kama ametoka kwenye mbio za ubingwa anakuwaje MVP sasa
Hata ukifuatilia magoli ya Azizi sio ya kuokota okota,hata wanavyomkaba Aziz na FEI tofauti Aziz wanamkamia mno
Duhhhhh
Kwanini wanamkamia?
Hujui kwann,ni mchezaji Bora
Azizi ana vitu vingi sana mbali na magoli na assist zake, amewezesha yanga kufika robo fainali CAF, amewezesha timu yake ya taifa kuingia robo fainali, Fei hana hata moja
Nani amevielewa vigezo vya Oruma?😂😂😂 kazi tunayo kwa wachambuzi wetu. Kwamba fans base ni kigezo😂
😂😂😂😂😂
Aziz Ki haina ubishi
Kabisa
Huruma mi huwa simuelewagi.umeulizwa swali unazunguka zunguka tu.
Aaaaah feitoto .ndio mshindi
Azzi k❤
Aziz 🫡💛