Na AZAM FC Ni Ubingwa wenu Wa ngapi huu??.Ujinga tu ongelea Gundu lenu Sio Ubingwa Wa wanaume wenzio.Tengenezeni Timu ACHENI uswahili Na ubaguzi wenu hapo Azam.
Sawa sio mabogwa mara 30 haya tuambie 😂 n mabigwa mara ngp😂...? Bongo unafiki sana yanga inagika mara 25 hadi mara 29 mnakubali n mabigwa leo kafka mara 30 et hmn huo ubigwa wa 30 hahahah
Et team kubwa na Bora Azam n team kubwa ya wp team Bora ya wap 🤪 weee kolo acha kujifarij kwa huyu lopokaj limekaa na wivu tu huyu nd alisema derby ya smba vs yanga ilikuwa mbovu ajawah kuona dab mbv Kama hii
ZAKA ZA SIMBA umia sana Tena umia sanaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Bado sana utaumia kuliko, maana mmejaribu kutuchangia mtu na shangazi yake lakini mmekula bakora kama kawaida. 🤣🤣🤣🤣🤣 ZAKA ZA SIMBAAAA
Nilikuwa nafikiria sana kwann Azam wanafeli kumbe wanaongozwa na watu ambao hawana akili.zaka anachofeli ni kutokujua Ile ligi ambayo anasema ilikufa ndio imerudi Sasa kama walikuwa wanahesabia na ubingwa Muungano hiyo idadi ndio inatakiwa kutolewa sio ya mashindano ambayo yapo.haijalishi bingwa wa bara alikuwa anashiriki mashindano Gani lkn ndio alikuwa bingwa sasa.mbona hesabu ndogo sana hizi kiongozi wa timu kubwa anashindwaje kuchanganua?
Zaka anasema Yanga wanajipa takwinu, ni kweli kuwa Yanga ndo wanajipa takwinu. Zaka ana historia kuliko Kibaden au Sunday. Punguza wivu kwa Yanga Zaka,
Kwani sasa hivi pamoja na kuitwa TPLB (Tanzania Premier League Board- Bodi ya Ligi kuu Tanzania) Je, TPLB inajumuisha kuendesha na ligi ya Zanzibar? Jibu ni hapana… basi waache Yanga wahesabu na ule ubingwa wa bara pekee wa kipindi hicho cha zamani sababu ni ukweli wao ndio waliokuwa mabingwa wa bara wakati huo na mpaka sasa bado ligi wanayocheza Yanga ni ligi ya Bara kwa timu za bara kama ilivyo huo ubingwa wa zamani wa bara unaoukataa. Kwanini wasihesabie? Hoja ya kwamba kulikuwa na ligi ya muungano ni hoja dhaifu, haiondoi kwamba Yanga alikuwa bingwa wa bara. Mwaka huu 2024 ligi ya muungano imerudi na Simba ndio mabingwa mbona haujakaa ubingwa wa Yanga wa mwaka huu 2024 kwenye hesabu zako?
Huyo Zakazakazi asisifiwe kwenye ujinga kama anahoji idadi ya ubingwa kwa yanga kuwa sio huo kwa ground anazo zitumia je mbona hahoji kwa simba hizo 22 maana zote zinahesabiwa kutoka ligi imeanza na washiriki ni hao hao. Hivi anadhani vipngozi wa simba ambao ndo mahasimu wa kubwa wa yanga wangekubali TFF watoe idadi takwimu za uongo. Pia ajue kuwa hao viongozi wa TFF ndo hao hao mashabiki wa simba na yanga.
R madrid ina vikombe vingap vya champions league au tuseme bado ana vikombe 8 maana vikombe vya nyuma haikuwa champions league ilavyote vinaesabika , iyo wivu kwa yangu 😂
Kwani TPLB ilisajiliwa mwaka gani kama chombo rasmi cha taifa la Tanzania ? Kwa vyovyote vile hilo unalosema Zaka haliondoi ukweli kwamba Yanga ndiye bingwa wa kihistoria iwe kwa mara 23 au 30 haina maana. Kama Yanga akiwa na 23 nyie wengine mtakuwa na ngapi ?
Kila kombe Lina hesabiwa kivyake yeye ndio kachanganya aweke mdahalo ni muelimishe vzr maana kama muungano wameweka yanga kachukuwa mara6 sambamba na Simba yy anaa galia kutambulika na cuf😂😂 hapo yanga wanasema wamechukuwa kombe la Bara ×30 Babu kipala anang'ang'ani kutambulika na cuf na fifa😂uzee shida sana aiseee😂😂
Samahani zaka mashindano ya muungano ni kutafuta mwakirishi ktk uwakiririshi wa caf ili ushiriki haya mpaka uwe bingwa wa nchi sasa hapo alifikije kama hakuwa bingwa hesabu tuu na kataa kuwa mwaka fulani hakuwa bingwa acha porojo dogo yanga ni bingwa mara 30 umetaka hutaki
Zaka uko vizur saaanaaa
Azam FC sio timu ya ushindanii. Ni yamatsngazo ya bidhaa za. Azam. Juisi. Ngano. Mikate
Matango pori
hana jipya huyu kolo wizard🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na AZAM FC Ni Ubingwa wenu Wa ngapi huu??.Ujinga tu ongelea Gundu lenu Sio Ubingwa Wa wanaume wenzio.Tengenezeni Timu ACHENI uswahili Na ubaguzi wenu hapo Azam.
Zaka 1919ulikuwepo au nawewe umekuwa kama semaji la CA f kutulisha matangopoli
Alikuwepo 1919
Wakati simba anachukua ubingwa mara nne mfurulizo mbona hukuyasema haya? Au yanga inakuuma sana kuchukua ubingwa
Huyo ni kolo,kwa hiyo lzm imuume
Kuna taifa stars, kuna zanzibar heroes, tueleze Zanzibar ni ya ngapi kwa viwango duniani na Afrika?.
Zaka umezaliwa mwakagani nampira ulianza kuufatilia mwakagani wacha kuwaongopea watoto wadogo wasioelewa
Kunasiku nilisema zaka nimmanyema mukabisha huyujama hajuwi istoriya yampira watanzania katokakongo atajuwaje mpira wa tz
Huyu jamaa ana hoja yenye mashiko sio hawo wengine ni mavuvuzela.
Hoja ipi
Unagwango wewe jamani
Chizi huyu aende TFF aka akaangalie Rekodi huyu kenge anajuwa nini
Sawa sio mabogwa mara 30 haya tuambie 😂 n mabigwa mara ngp😂...? Bongo unafiki sana yanga inagika mara 25 hadi mara 29 mnakubali n mabigwa leo kafka mara 30 et hmn huo ubigwa wa 30 hahahah
Unaumia ubingwa wa Yanga mara 30 ukiwa wapi?
Fungua kichwa chako sikilza mpaka mwisho judge halafu andika
Nd nlisha jaj alaf huyu n chawa 😂 Kama chawa limekaa kiwivu wivu Sana na YaNGa ypo kuongelea YaNGa vby
Zaka za kazi una akili sana,kweli ww ni ofisa habari wa timu kubwa na bora AZAM FC💪💪💪
Yani kumbe nyie kolozidad bana hamna akili kweli kama huyu na timu lake bovu duuuu kama sio 30 basi mara tatu hatrik kataa basi
Et team kubwa na Bora Azam n team kubwa ya wp team Bora ya wap 🤪 weee kolo acha kujifarij kwa huyu lopokaj limekaa na wivu tu huyu nd alisema derby ya smba vs yanga ilikuwa mbovu ajawah kuona dab mbv Kama hii
ZAKA ZA SIMBA umia sana Tena umia sanaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Bado sana utaumia kuliko, maana mmejaribu kutuchangia mtu na shangazi yake lakini mmekula bakora kama kawaida. 🤣🤣🤣🤣🤣 ZAKA ZA SIMBAAAA
Wewe mtoto hujui kitu fala wewewajuzi tu acha
PRINCE DUBE ALISEMA UKIIFUNGA SIMBA,KUNA WATU WANAUMIA KWENYE UONGOZI WA AZAM😂😂😂😂 SASA CHUKI ZA ZAKA ZA KAZI KWA YANGA ZINATEGUA KITENDAWILI!
Mtibwa alicheza na akashindwa kusafiri akafungiwa.acha kupotosha
We kima hsta kama ameshinda mara tatu wewe umeshinda mara ngapi pimbi sana wewe
Amna shida kaka zaka zakazi tufanye yanga ni bingwa mara tatu na ni bingwa pekee wa NBC PREMIER LEAGUE...Hii ni tatu bila
Azammarangapi ?
Mara moja pekee@@FundyDizaina-wi7lq
Tulieni utokwinyo shindano iingiee
Nilikuwa nafikiria sana kwann Azam wanafeli kumbe wanaongozwa na watu ambao hawana akili.zaka anachofeli ni kutokujua Ile ligi ambayo anasema ilikufa ndio imerudi Sasa kama walikuwa wanahesabia na ubingwa Muungano hiyo idadi ndio inatakiwa kutolewa sio ya mashindano ambayo yapo.haijalishi bingwa wa bara alikuwa anashiriki mashindano Gani lkn ndio alikuwa bingwa sasa.mbona hesabu ndogo sana hizi kiongozi wa timu kubwa anashindwaje kuchanganua?
Anachoongea kwa wewe uliye na D moja huwezi kuelewa kabsa.
Hana lolote huyo anawaza ubingwa wa yanga badala awaze wa azam
Kila nchi INA bingwa wa kiistoria mpaka Ulaya, mfumo wa uendeshaji haubadilishi kubeba kombe.
Acha ujinga ww kwani Zanzibar sio Tanzania?
baada yakuangalia timu yake ana jadili timu zingine ajiulize kwann anadugwa na timu yakina chasambi
Zaka anasema Yanga wanajipa takwinu, ni kweli kuwa Yanga ndo wanajipa takwinu. Zaka ana historia kuliko Kibaden au Sunday. Punguza wivu kwa Yanga Zaka,
MANENO MEEEENGI UTADHANI ANAJUA
Zaka za kazi,wewe ni mjinga tu.huna lolote,zaidi ya kutafuta ujiko.sema usemalo,Yanga wataendelea kukutesa sana !ngombe wa jembe.
Aendelee kukazana na hao Wala urojoooo na si kuifuatilia Yanga yetu
Mbona last year hawakusema ilipochukua trophy ya 29 ? Hili la 30 kelele zimekuwa kubwa
Alisema na aliandika, sema wewe hukusikia. Hata wewe ulitaka uongo ugundulike lini?
Mtakufa na Wivu
WEWE NI kolo
Uso mzito,moyo mgumu na akili zake mavi, DU Huyu msemaji wa Azam walimkuta wapi..
Huyu walimwokota
Acha ujinga inafafanua upuuzi tuuuu unaumia sana yanga kuwa bingwa kwan wewe timu yako imechukua mara ngap
Kila mtu ahesabu ubingwa wake
Wewe chaujinga ulitakiwa uwe mwigizaji kama mlinzi, akili kisoda
Kwani sasa hivi pamoja na kuitwa TPLB (Tanzania Premier League Board- Bodi ya Ligi kuu Tanzania) Je, TPLB inajumuisha kuendesha na ligi ya Zanzibar? Jibu ni hapana… basi waache Yanga wahesabu na ule ubingwa wa bara pekee wa kipindi hicho cha zamani sababu ni ukweli wao ndio waliokuwa mabingwa wa bara wakati huo na mpaka sasa bado ligi wanayocheza Yanga ni ligi ya Bara kwa timu za bara kama ilivyo huo ubingwa wa zamani wa bara unaoukataa. Kwanini wasihesabie? Hoja ya kwamba kulikuwa na ligi ya muungano ni hoja dhaifu, haiondoi kwamba Yanga alikuwa bingwa wa bara. Mwaka huu 2024 ligi ya muungano imerudi na Simba ndio mabingwa mbona haujakaa ubingwa wa Yanga wa mwaka huu 2024 kwenye hesabu zako?
kweli kabisa uzaka zakazi , kwani utopolo wao wanasemaje 😂😂???????ubingwa Mara 23 siyo 30
Huyo Zakazakazi asisifiwe kwenye ujinga kama anahoji idadi ya ubingwa kwa yanga kuwa sio huo kwa ground anazo zitumia je mbona hahoji kwa simba hizo 22 maana zote zinahesabiwa kutoka ligi imeanza na washiriki ni hao hao. Hivi anadhani vipngozi wa simba ambao ndo mahasimu wa kubwa wa yanga wangekubali TFF watoe idadi takwimu za uongo. Pia ajue kuwa hao viongozi wa TFF ndo hao hao mashabiki wa simba na yanga.
Kalewa Bangi huyo
R madrid ina vikombe vingap vya champions league au tuseme bado ana vikombe 8 maana vikombe vya nyuma haikuwa champions league ilavyote vinaesabika , iyo wivu kwa yangu 😂
Huyu kilaza hiyo hoja yake aipeleke TFF ndio wenye dha,mana ya mpira wetu na wao wanathibitisha hiyo mara 30
We Zaka ni fala mmoja tu..katafute kazi za kufanya mpira hufanani nao..una chuki na visasi visivoishi..kauze mikate na maandazi
huyu toka ale tatu na simba bado hajawa sawa
Naomba TU kama tukikutana nae fainali tumgonge Tena ili atuheshimu
Kaliwa na nguruwe fc 3
Halafu yapunguzwe yaje kwenu au
Umefilisika hoja
Sasa hiy itakusaidia nn ikiwa wew unakikomb kimoj t pumbu wew
Zaka usijishushie hadhi yako,Yanga ni bingwa Mara 30 ,acha maneno ya wivu.
Kwani TPLB ilisajiliwa mwaka gani kama chombo rasmi cha taifa la Tanzania ? Kwa vyovyote vile hilo unalosema Zaka haliondoi ukweli kwamba Yanga ndiye bingwa wa kihistoria iwe kwa mara 23 au 30 haina maana. Kama Yanga akiwa na 23 nyie wengine mtakuwa na ngapi ?
Kweli makolo watakuwa na mangapi?
Kutoka kuwania ubingwa Hadi kuwa mwanahistoria WA ubingwa
Ww zaka choko huna lolote
Wacha simba akupige 3
TATIZO LA KUCHELEWA KUZALIWA UKIWA MBISHI
Makolo akili visodaaaaa mnaumia kutoka wapi
Utokwinyooo wote hawajui mpiraaa"ni manyumbu fc
Zaka bado hujasema
UKIFIKA UMRI FULANI,KUNA BAADHI YA VITU LAZIMA UWACHE KUVUTA.
ZAKAZAKAZI USIKU ATAISALIT AZAM,HUYU NI YUDA ESKARIOTI
Acha upuuz wko unatumalizia bandle zetu mjinga wew! Ina maana wew na tff nan anajua records
Zaka acha ujinga
Nasmba anay mangp kama yanga ana23
Yanga kutojielewa TU uongo tu sio mala 30
Nawashauli azam mambo ya mpira achaneni nayo tu bakini kwenye uzamini na kuuza visimbuzi ngano na ice cream ila timu ya mpira vunjeni tu
Imewashinda
Kwani Azam nitimu au nikiwanda😅
Yanga ni figisu figisu kadi 2 nyekundi zikafutwa marefarii wamefungiwa figisu wachezaji kuhama figisu wamefungiwa hamna kusajiri figisu oooh mara 30 wamechukua kombe figisu kila kitu figisu
Endeleeni kutumia tu
Azam kichaka cha ndundu
Sasa hili linatakiwa uchambuzi zaidi naliwekewe printi kuna kizazi cha Leo hatuya jui hayo mwandishi wa habari karifikishe hilo
Kwa hy ni mabingwa Mara ngap
Kilaza
Huyu nyie amuoni kama kichwa chake Akiko sawa...
Huna data huwezi kumkosoa kwa lolote. Simba na yanga ni waongo waongo sana
Ni kweli sio ubingwa wa 30 Uko sawa kabisa ni Takwimu mbovu Tu zilizopo
Kila kombe Lina hesabiwa kivyake yeye ndio kachanganya aweke mdahalo ni muelimishe vzr maana kama muungano wameweka yanga kachukuwa mara6 sambamba na Simba yy anaa galia kutambulika na cuf😂😂 hapo yanga wanasema wamechukuwa kombe la Bara ×30 Babu kipala anang'ang'ani kutambulika na cuf na fifa😂uzee shida sana aiseee😂😂
Huyu jamaaa msenge shoga wa Azam
Chakula ya popati
Ww nimwehu
Ukweli unauma, hapo Sasa yanga watamtukana sana
Tutamtukana yy pamoja na ww.Kuma la mama yako
Hata LIVERPOOL makombe ya nyuma hawayatambui😂😂😂,safi sana zaka za kazi😊😊😊
Akili kama za Manchester United wanadhani Ligi ilianza wakati wa Premier League mwaka 1992😂🎉
Samahani zaka mashindano ya muungano ni kutafuta mwakirishi ktk uwakiririshi wa caf ili ushiriki haya mpaka uwe bingwa wa nchi sasa hapo alifikije kama hakuwa bingwa hesabu tuu na kataa kuwa mwaka fulani hakuwa bingwa acha porojo dogo yanga ni bingwa mara 30 umetaka hutaki
Sawa mzee Sasa Kwa Nini znz nao wanacheza club bingwa ya Africa inakuwaje
Bwegeeeeee huyooooooo.
Kumbe wewe zakazakazi ni mpumbavu sana. 1965-81 timu za visiwani zilikuwa zinashiriki? Nini tofauti ya TFF na ZFF?
HUJAWAHI KUIKUBALI YANGA TULIA MKUU HANGAIKA NA TIM YAKO WEWEE
Zaka ni shabiki lia lia wa simba, ataikubali vipi Yanga
Huyu hata huko azam kaenda kimaokoto tu lakini hili ni kolo Lialia ngurue fc lazima liikatae yanga
Naomba TFF wapeleke FIFA hilo pendekezo la kurekebisha haya makombe😂😂😂
Zungumzia ubovu wa azam fc yako. Acja ujonga mbwa wewe @zakazakazi
Duuu
Zaka zakazi 👏👏👏👏👏👏👏👏
Hii elimu vijana hawawezi wakakuelewa,especially mashabiki maandaz
Safi sana kuwanyoosha waandishi wambeya
Hakuna Dunia zote kaka ,Dunia ni Moja tu😊😊😊😊
Tuambie sasa mpaka sasa bingwa mara ngapi?
Zaka zakaz kaka unajua kuuongea nice
zaka umesema kweli hongera sana Mimi napenda Mtu anayesema ukweli yanga hutoa takwimu za uongo.
Tff hawalijui hilo? Unajua merging iliofanyika?
Matangapo pole
Zaka hana akili ni wivu tu anaionea gele yanga