Ndugu Tomnson, Uta nisamehe bure. Sipendaki sauti ya huyo mtangazaji wenu wa sauti sawa inayo hingoe ndani ya mbegeti. Tokea nizaliwe sija sikia sauti kama hii kwenye mtangazaji.
Amani ya YESU KRISTO iwe nanti ! MUNGU Ali mteuwa DAUDI kwasababu maalumu, nasi COSTA-MUTAMBA leo ana sikika ndivyo sifi zina Peperushwa ulaya yote na njama zina undwa , nasi tuombe msahada kwa mzee wetu YESU KRISTO amfunike COSTA na amjaze ujasiri na nguvu kama alivyo fanya kwa DAUDI
Hacheni mchezo Na nchi yetu , Mobutu alikua kibaraka alitawala miaka 32 bila mafanikio yoyote,kabila mnyarwanda alitawala miaka 18 Na Sisi wakongomani hatutaki uchaguzi tena maana felix anatufaa sn Na atatuvusha katika Haya mateso fatshi beton ❤️🇨🇩❤️🫡
Jambo mtangazaji mpendwa tunakufwata 5 5 kutoka bukavu sud-kivu. Mimi naomba mu 2028 fatshi béton abaki président n'a Costa mutamba kama abaki kama ministre wa justice, mu 2033 mutamba anachaguliwa kama raïs wa Congo.
Vyema kabisa jina la MUNGU ribarikiwe saaaaaana kwa kutupatiya Papa Mutaamba 🙏🙏🙏🙏courage muheshimiwa chapa kazi Mr MUTAAMBA ubarikiwe baba .
Uchambuzi nzuri sana, udps wakishikilia hilo itakuwa vyema sana, uchambuzi wa watu wazma.
Mungu akurinde Raisi wetu Felix na pia Mungu akurinde Mr Mutamba .🙏🤍
Uko mbali Sana na congo ndugu yangu Eli
Magufuli, muhutu wa Tanzania. Nilimupenda sana nikiwa muhutu wa Kongo.
Namupenda sana mutambamba.
Atatupeleka mahali pazuri kabisa.
Huyu jamaa Costa Mutamba ninamuelewa saana na nchi inahitaji kijana kama huyu.
Ndugu Tomnson,
Uta nisamehe bure.
Sipendaki sauti ya huyo mtangazaji wenu wa sauti sawa inayo hingoe ndani ya mbegeti.
Tokea nizaliwe sija sikia sauti kama hii kwenye mtangazaji.
Mpeni sifa anaye stahili sifa
Naitwa LAX MAN from TZD tupo pamoja
Nimependa uchambuzi huu lakini hiyo sauti hapana
Asante kwa utabiri huo.
Baba Nini amefanya kabisa tungali naona vitu kawaida. Afanyanye kazi tumu samini ila kwa sasa hatuja ona kitu
Amani ya YESU KRISTO iwe nanti ! MUNGU Ali mteuwa DAUDI kwasababu maalumu, nasi COSTA-MUTAMBA leo ana sikika ndivyo sifi zina Peperushwa ulaya yote na njama zina undwa , nasi tuombe msahada kwa mzee wetu YESU KRISTO amfunike COSTA na amjaze ujasiri na nguvu kama alivyo fanya kwa DAUDI
Demoklasia haijawai na haitowai kuleta maendeleo yakweli africa sanasana kuwawa
Pia mimi sipendake hii sauti hatakadogo inamalizaka tamaa yakufatilia mupaka mwisho
Ila hii sauti imekaaje jaman inakera sana mbona
Sipenda haka kasauti
Ako kasauti sikapendaki wa congoma tuwe na,acha michezo
Kweli kasauti kenyewe kanaudhi hadi anacho kisema haki pâti uzito
Bongo yenu kabisa.
Sauti djema kabisa,
Sauti ya kulamucha wajinga busingizi na impact kubua sana.
⚠️⚠️⚠️
Achane na ujinga wa ndungu.
Hacheni mchezo Na nchi yetu , Mobutu alikua kibaraka alitawala miaka 32 bila mafanikio yoyote,kabila mnyarwanda alitawala miaka 18 Na Sisi wakongomani hatutaki uchaguzi tena maana felix anatufaa sn Na atatuvusha katika Haya mateso fatshi beton ❤️🇨🇩❤️🫡
Tshilombo? Aturudishiye kwanza Rutshuru na Bunagana! Yeye ni mukorofi. Aliuzisha inchi. Tshilombo Bizimungu viva? Viva, viva, viva!
Baba umetembeya Congo ili uhak8kishe mpaka kutabbiria vitu ambavyo bado kuona matokeo ya ku fanya tumu sami .
Hivi mchambuzi unafikiri congo inaongozwa na mawazo ya wakongomani?
Hata Mimi sikapendaki yani kana fanana bangi tu
Shurani kwa mampya mu tangazaji
Jambo mtangazaji mpendwa tunakufwata 5 5 kutoka bukavu sud-kivu. Mimi naomba mu 2028 fatshi béton abaki président n'a Costa mutamba kama abaki kama ministre wa justice, mu 2033 mutamba anachaguliwa kama raïs wa Congo.
Na mu information munakuwa bumatanda?tuache michezo.
WA congoman mpeni ushirikiano.
Mimi Nina mwaminiya
𝑺𝒂𝒖𝒕𝒊 𝒉𝒊𝒊 𝒉𝒂𝒊𝒌𝒐 𝒗𝒊𝒛𝒖𝒓𝒊 𝒃𝒘𝒂𝒏𝒂 𝑻𝒉𝒐𝒎𝒔𝒐𝒏.