CCM imekununua kwa shilingi ngapi? lisikie jibu la Mtatiro akihojiwa na Azam TV
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- CCM imekununua kwa shilingi ngapi? Ni moja ya maswali aliyoulizwa Mtatiro, haya hapa majibu yake
Mmoja ya wakuu na mwanachama mashuhuri zaidi wa Chama wa Wananchi, CUF, Julius Mtatiro, alitangaza siku ya Jumamosi kwamba amejitoa katika chama hicho na kuamua kujiunga na CCM. Leo amezungumza na Azam TV na kuweka bayana “mbivu na mbichi.’
Mtatiro alichukua uamuzi huo akiwa katika nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya uongozi ya chama hicho chini ya Maalim Seif Sharif Hamad.
Wakati anatangaza uamuzi huo alitaja sababu kadha, moja ikiwa ni kuwatumikia waanchi tofauti na angekuwepo CUF, nimezungumza naye katika mahojiano maalum.
Charls unafurahisha kwa masuali yako ni kweli wewe ni mmoja kati ya wachache sana katika Tanzania . Ukweli ni silaha katika kila nyanja ya maisha yetu. Hongera.
Bakari Mngazija
Charles uko vizur sana kuuliza maswali
Je na masuala ya watu kupotea na wengine Kukutwa kwenye fukwe za Bahari ni yamekwisha? Au watuhumiwa wamepatikana?
Mungu atujalie watanzania na Tanzania yetuuu.
Azam nawakubali sanaaa
Swali la mwisho jibu limeonyesha utata. Unaposema chama kikipitisha jambo unakwenda kuliongelea kwa mujibu wa chama (this means wananchi mnaotakiwa kuwatumikia wapo out of equation for that time, kwahiyo wanaweza kudanganywa tu as to benefit your political party, au unaweza sema ambacho deep inside hukiamini lakini utafanya nini sababu unatakiwa uwakilishe chama…) #Politics
Un points
Ok
Mmmhhh!! Sura tuu inaonyesha haupo sawa
Kwann usifanye maendeleo ukiwa cafu Na Mkuu kashasema maendeleo hayana chama?
Charles Up Vizuri sana, yani Swali fupi ila linamchukua jamaa muda kujibu.
the guy is right
Duh.....siasa za njaa hizi ni shida sana
njaa
Saf bro
Mtatilo njaa inakusumbua,Mungu anakuona
nlikua Namuona Mtatiro Wa Maana Baada ya Kufika Bei Nimemdharau Sana Uyo Mbwa Mshenzi.
Mungu tupe nguvu, MUNGU tizama Tanzania, tunaenda wapi ee Mungu??
Wakati wa uchaguzi kina lowasa na wengine waliotoka CCM walinunuliwa na wao?
Bange mbaya sana mtatiro
Kama uliaga bac much respect kwako coz kuhama sehemu kisha ukaaga majirani ni jambo jema hata ukikutana nao njiani hawata kuchukia. Kuhamia chama yoyote ni haki ya mtu yoyote ila kwa wenye kutafakari siasa watakuona hauna msimamo wa kweli coz ni ww juzi tu ulilaani sanaaa serikali hiii hata miezi haijapita leo waisifu utafikiri inaongozwa ni malaika hhhhhh wanasiasa nyie Mungu awaona.
Safi kuhama chama ni democracy na Haki yako kikatiba asiyependa akanyeeeeee....
from now onwards sitaipenda tena siasa ya kibongo...upuuzi mtupu
usicheze na njaa bhana, inaweza kukupeleka popote pale. ndo kilicho mkuta
william kivulenge 100%
Njaaaaaaa
Political is a business like other business that uses policies to get their archivement
Atatudanganya sisi tu ila ukweli anao mwenyewe Mimi nasema huyo ni mnafik na atakwenda chomwa ameshapoteza watu wengi alishawapotosha
Me nilijua we ni mwanasiasa imara sana tangu mwanzo!! Ila sasa nimejua kwamba ( Usimwamini Mtu)..🏌🏽♂️
noel bryson Hakuna mwanasiasa anaefanya Siasa pasipo na pesa Siasa ni kazi tu kama zingine, ni kama katoka kampuni moja kahamia kungine, kama chars Hilary ulivyotoka BBC, kuhamia Azam, mtatiro uko sahihi hakuna aliechangia karo yako SHULE ni wazazi wako tu. Hongera Sana
Fursa, safi!
Godfrey Mbwambo uko sahihi kabisa.
Kwa msioelewa sanaa ya kIvita, Mtatiro angekuwa mtu mbaya kwa CUF, angebaki CUF kisha aitumikie CCM akiwa CUF...
Uko sahihi Mtatiro.. nakuunga Mkono N.a. ninaamini CCM watakutumia vizuri CHIN YA JEMBE JPM
we mwongo bana!!!,,,,,,,,,,wanasiasa wa Tanzania hawaaminiki pumbavu!!!!
Mtatiro nimekuelewa ,naamini umechukua uamuzi sahihi kutokana na kile unachokiamani ,na hiyo ni haki yako ya kikakatiba.Niwaombe wale wanaokubeza na kukutukana wakuache ukatekeleze wajibu wako wa kikatiba,kwani hata RED CROSS, na Madaktari wasio na mipaka wanapinga vita ,lakini wakati wa vita wana shiriki kwa kuwatibu majeruhi wa pande zote vitani ,na kwa kufanya hivyo ,wanaokoa maisha ambayo wasingeyaokoa kama wangepinga vita ile huku wakiwa ,,wanapiga kelele wakiwa majumbani,.Naamini hawa wanaokutukana wanaweza kuwa ni majeruhi katikati ya vita ,na wewe ni RED CROSS,AU DAKTARI usiye na mpaka ambaye unaenda kuokoa maisha yao katikati ya vita na kwa sababu wa namajeraha wataona thamani yako mwisho wa vita.Kuwa mweledi na mwaminifu na Mungu atakutangulia Mtatiro.
Wewe sema tu ukweli kuwa njaa imekuingia kichwani ukaona bora ukatafute cheo kama cha kafulila. Acha kutukana chama kilicho kutowa matongotongo utapata laana bora uondoke kimya.
Yaani kama kina martin luther Nyerere, nkrumah, mandela wangekuwa na akili KM zetu nafikiri ukombozi mpaka leo ungekuwa bado
Ongera kka
Mm mwenyewwe nimecheka sn
Azam two, rusheni matangazo live maana Chanel nyingine hazionekani
Kama kwake hana maendeleo.ataweza kuleta maendeleo.kwa watanzani zaidi y milion 50.
weee uliisha tukana sana hakuna chance kuwa mpole tu
Huyu mwandishi wa habarivni mzuri sanaa
Jamaa mnafiki kweli
Njaa mbaya
Mmhhh mbona muhongo sana ina maana CCM walistuka na walikuwa hawajui chochote duuuh uhongo huo kaongope milembe wanaweza kukuelewa
Umbongo wako hauko sawa, ww ni kigeugeu
Mbona umekonda sana Mura?!. Kweli hukuwa na jinsi aisee!
na hata hivyo unachelewa sana.
Njaa tuu, itakua hana hela huyu.
hunalolote ushapewa mlungula kwani.siwewe uliesema.ccm.naserikali kwaujumla wananunua.madiwan nawabunge.sasa 2taaminije.kua hujanunuliwa?
MASWALI MENGINE BHANA HAYANA TIJA UR WELCOME NDG ITATIRO
Mtangazaji uko vizur hukwepeshi
Njaa imekuondoa CUF, acha kudanganya umma. Nawashauri CCM wasiwaamini watu kama hao.
I hate politics, I hate politicians......
Ata sura ishageuka ni dalili za unafiki
bakar ali
nimecheka sana,hata sura imebadilika
ivi ninyi mnaponda hamjui maana ya chaguo ccm ni chaguo lake kama nyny manavochagua wake wengine mbwiiru lakini mmewapenda alllllaaaaaaaaaaaa
Moja kwa moja ili uweze kushiriki kikamilifu??????
umenunuliwa shingapi? jibu
jiamini mwenyewe mm siwezi kkuamini tena.
Mpinzani Wa Kweli Amebaki Mbowe na Tundulissu Na Chadema Yenyewe
Njaaa bwana
Huyu jamaaa anamswali hadi Raha😁😁
Ujasiri wote kwisha. Ongea yako tu ni ya kinafiki. Taarifa za wewe kuhamia CCM zilishavuja hata kabla hujaongea na waandishi wa habari.
Kala milioni mia Tatu cash na ubalozi kaahidiwa wacha aende ndo maisha IPO siku tutafika inshallah
Ali Khalfan Alikuwepo nanyi lakini hakuwa wakwenu. Angelikuwa wa kwenu angeliendelea kubaki kwenu. Kama ni msomaji mzuri wa magazeti. Soma gazeti la mwananchi la Jmos 09.5.2015 ISSN 0856-7573 Na.5401. Uk 28,29... Utamjua Julius Mtatiro ni nani na wajibu wake ni upi. Hana njaa kama watoa maoni wengi wasemavyo. Kila jambo na majira yake.Ninaamini ktk hilo.
Ali Khalfan kuwa upinzani sio kazi nyepesi. hao kabila la wandengeleko siku zote awaaminiki mtulia yuko wapi
Aliwah kusema wanachama wananunuliwa kwa vipande vya sh, je yeye amenunuliwa kwa vipande vya Dora ngap?
Njaa inasumbua tumbo la mtatilo
Alikuwepo nyerere Akipigania haki Uhuru na umoja na bado hakuwa Amepeleka watanzania wanapo takiwa kuwepo Utakuwa wewe na kauli zako za kinafiki
Fata njaa yako
Fata ahida zako
Fata maisha yako
Tanzania itakuwepo tu wote mtapita hata mfanyaje Hakuna mwenye kuishi miaka 60 mbele
Tunaamini ipo siku atakuja kiongozi mwadilifu atakaye tatua shida za watanzania kama mzazi anavyo tatua shida za watoto aliyo wazaa mwenyewe
Raid asimpe cheo hiyo jamaa, ameletwa ccm na njaa, ccm inawatu wengi wenye uwezo wa uongozi zaidi yake
Mtatiro nyamaza tu!! Maana unatia kichefuchefu
njaa mbaya jamani
😀😀😀😀wewe ni matatiro hatukujua kama unanjaa kiasihichi niaibu
kwahyo angepata ubunge angejiuzulu tu na uchaguz ungerudiwa na jimbo lingerudi kwa ccm uchaguz wa marudio
Hakuna mkate mgumu mbele yachai hhh njaa mbaya sana subir upate utezi wako baba
Kwanini mtu akiomba kuhamia chama fulani huwa hakataliwi?
Njaa mbaya sana kesho utakua mkuu wa wilaya njaa njaaa njaaa njaaa njaaa njaaa njaaaa loooooo hata wewe!
Njaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa banaaaa
Hivi mbona sisiagi wanasiasa wa kimarekani wakihama vyama vyao...kunani bongo.....
Huyu ukikanae mahali ukamuomba kitu Fulani kwa utaratibu atakupa.
Ni njaa tatizo
Karibu CCM huku hatuna matatizo utakayokaa nayo.
Ila wanasiasa wa tz asiewajua atawauliza ..hakuna lolote zaidi ya njaa
Nae alikuwa kiongoz sasa kwanin akimbie..
Mwee elimu yetu na wasomi wetu bora uwe mbumbumbu!!!
Tanzania hakuna Upinzani, njaa za wasaka Tonge tu! CCM haiwanunui ila wanajioeleka wenyewe sababu hawakuwa wapinzani tokea mwanzo ni wasaka tonge tu
Napata shida, Maneno yote yale yenye msimamo Wa MTU anaejua anachokitaka hasa kuhusu haki za wanyonge yalikuwa maneno tu?
Kiapo cha mwenye njaaaa hakidumu..nadhan ndio muhimu kujifunzaa hilo
mpinzani wa kweli nliyebak n mm tu
Mbona ulisema wengine walinunuliwa tunakuamini vp juu ya hilo!!!!!!!!??????????
Nimemtowa thamani buibui uyu yumeamgaika naye sana leo amenda kikeni tuwache wanaume tuko powa
karibu nyumbani kaka wewe sio jembe,wewe nimpini hasa uko vizuri ccm ndio chama sahihi kwa wakati tulionao,upo sahihi.
Mumuache aingie apendapo ccm msimkatae
pesa bwana
Tulikuwa tunajua fika
Ha ha ha ha ha huyoni ndina
haya bhana hameni tu kisanga kitaonekana
Wasalimie
Hana lolote
Wewe sio kati ya wanaume mtatiro bwana mwanaume akimbii matatzo anakabiliana nayo wewe sawa na wakina shilole
Nyinyinyinyi mnaohama hayaa
Huna lolote tamaaa 2
Prince Makale kwaiyo unataka kutuambia lowassa na sumaye wana tamaa pia?maana nao wana tamaa pia
Chizi huyo
Bora utapewa uwaziri
Mhhh!!!ulijiunga na siasa utendendewe na CUF au uitende Cuf!! inakuweje mwanamume kupenda mazngira yaliyo andaliwa badala kutaandaa mwenyewe?et waenda ccm kwa kuwa ndo kuna fursa ya kuongea,kwa nini usipambane ili upande wenu na nyie kama oposistion kupata fursa ya kutoa ushaur au misimamo yenu!! How a man can a ma by being a woman?
Wamekununua shingapi unatia aibu mtatiro
Mtatiro amefanya maamuzi mazuri ila mazungumzo yake hayavutii kumwamini wanaccm tujiridhishe kwanza na huyu MTU sina historia yake Kwa kina ispokuwa sijamridhika najua mtanielewa fatilia majibu yake