I hoped Magufuli could live to bury us, Jakaya Kikwete's touching eulogy

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • #RIPMagufuli
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

КОМЕНТАРІ • 38

  • @chrisnjoroge5232
    @chrisnjoroge5232 3 роки тому +8

    Jakaya kikwete congrats! That was an impeccable speech!I loved it ,it had the finese of a scholastic genius ! A send-off befitting a friend! Africa was touched by his sudden demise ,he showed selfless dedication to course , and we will forever appreciate him! Fare thee well JPM

    • @mauriciootis9746
      @mauriciootis9746 3 роки тому

      i know Im asking randomly but does someone know a trick to get back into an Instagram account?
      I was dumb lost my account password. I would love any assistance you can offer me!

    • @alonsorayan2195
      @alonsorayan2195 3 роки тому

      @Mauricio Otis Instablaster :)

    • @mauriciootis9746
      @mauriciootis9746 3 роки тому

      @Alonso Rayan Thanks so much for your reply. I got to the site thru google and im in the hacking process atm.
      Takes quite some time so I will reply here later when my account password hopefully is recovered.

    • @mauriciootis9746
      @mauriciootis9746 3 роки тому +1

      @Alonso Rayan It did the trick and I actually got access to my account again. Im so happy:D
      Thanks so much you really help me out!

    • @alonsorayan2195
      @alonsorayan2195 3 роки тому

      @Mauricio Otis no problem :D

  • @markntete8670
    @markntete8670 3 роки тому +4

    Excellent speech by jk.

  • @wilychars3010
    @wilychars3010 3 роки тому +5

    Best speech

  • @ngoxemanuel6909
    @ngoxemanuel6909 3 роки тому +8

    Jk ni kiongozi wangu boro wa kipindi chote the man of all people wanyonge, masikini, matajiri bila dini wala ukabila mungu akupe maisha marefu tuendelee kujivunia kuwa na kiongozi wa aina yako.

    • @HASASON
      @HASASON 3 роки тому +3

      Hakuna kipindi kulikua na ubaguzi mkubwa wa kidini kama kipindi chake, makanisa yalichomwa, wakristo waliuawa, migogoro ya nani achinje na maandamano ya kila siku wa Islam kuhamasisha vurugu, Utakua ulikuwa bado hujapata akili

    • @justinchacha1334
      @justinchacha1334 3 роки тому

      @@HASASON 😂😂😂subiri akifa mtamkumbuka kinoma

    • @hassanisadiki824
      @hassanisadiki824 3 роки тому

      @@HASASON acha upumbavu wewe Kwa akili ya kawaida unalilia kuchinja unadhani nyama zingepata soko na ikiwa Asilimia kubwa Tanzania waislamu ni wengi

    • @HASASON
      @HASASON 3 роки тому

      @@hassanisadiki824 waliokuwa wakililia kuchinja ni wa Islam na hiyo takwimu wa Islam wengi kakupa nani?

    • @hassanisadiki824
      @hassanisadiki824 3 роки тому

      @@HASASON kuhusu kuchinja hiyo ilikuwa inajulikana km waislm walikuwa ndio wanaochinja lkn baadae wakristo wakaingia kati wakasema haiwezekn waislam wachinje na Wakristo wasichinje nakumbuk palikuwa na mvutano mkubwa lakini Kikwete aliwaweka chini waka yamaliza na kuhusu kujua waislam wengi Faatilia Sensa zilizopita ndio utaamini ninacho kisema

  • @bonifaceoroko8295
    @bonifaceoroko8295 3 роки тому +2

    Asante kwa hotuba nzuri na sifa kwa rais marehemu magufuli

  • @mekikileo5702
    @mekikileo5702 3 роки тому +1

    Kwa kweli Raisi Magufuli kila mtu anamsemea vizuri sana kutoka moyoni duniani kote kwq sababu kuna watu ambao wakifa wao taifa litashangilia sana kwa sababu hakuna kitu wakichofanyia nchi ya Tanzania. Mungu ambariki sana raisi Magufuli ni shujaa wetu. Dr. MAGUFULI ALIPENDA WATOTO WOTE WA TANZANIA na siyo mtoto mmoja tu juu ya watoto milioni nyingi. Kitu kimoja kuhusu raisi kikwete hapendi unafiki kabisa na kwamba anaonekan anapenda kujisemea ukweli na inaonesha yanatoka rohoni

  • @dianamkita6571
    @dianamkita6571 3 роки тому +2

    Pole sana Mh..JK,,,hata Mimi sitasahau tar.17/3/21...Saa tano na nusu usiku...JPM umetuacha gafla mno...Mungu ndo anajua..

  • @salehengakonda1068
    @salehengakonda1068 3 роки тому +5

    "Tuepuke kuimba na kucheza ngoma ya adui"

  • @muhuradedan
    @muhuradedan 2 роки тому

    Wow Jakaya is 70?? Very good genes

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 3 роки тому +5

    We love you, Jakaya Kikwete

  • @innocentkulola4122
    @innocentkulola4122 3 роки тому +1

    This man....mmmmmh!!!! ...hapana

  • @CollinsAmabia
    @CollinsAmabia 7 місяців тому

    Hotuba yenye uzito wa kirafiki kweli,,poleni sana.

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 Рік тому

    Really....!?

  • @carentemu9141
    @carentemu9141 3 роки тому +1

    Sawa

  • @denniskoech8115
    @denniskoech8115 3 роки тому +3

    RIP magufuli

    • @AccurateAfrica
      @AccurateAfrica 3 роки тому +1

      @Gene Corda Damn! I tried to hack your account but it didn't work.

  • @mekikileo5702
    @mekikileo5702 3 роки тому

    Kweli hatutasahau tarehe 17 mwezi wa 3. yaani wauwaji wa raisi wetu walijiona wameshinda kumbe ndiyo kwanza wamezaliwa magufuli wengi. Pole sana kwa kushtushwa na taarifa hii. Tusaidie kuwatafuta wahusika waliotukosea watanzania kwa kwa sababu ya ubinafsi wao.

  • @davidmunyuikaburu291
    @davidmunyuikaburu291 2 роки тому

    HAZEEKI

  • @michaelkamendu2453
    @michaelkamendu2453 2 роки тому

    Mheshimiwa shikamo

  • @mivunjoc.miyego1427
    @mivunjoc.miyego1427 3 роки тому

    huo ni unafiki mkubwa

  • @angewinou780
    @angewinou780 3 роки тому +3

    Si elewi chochote

    • @hassanmakame
      @hassanmakame 3 роки тому +1

      anaongea kichina hapo....hata mimi sielewi chochote

    • @aslamchannelonline3541
      @aslamchannelonline3541 3 роки тому +1

      vipi na umejibu na kiswahili.penda unacho kiskia mengine wachana nayo

  • @mekikileo5702
    @mekikileo5702 3 роки тому

    Kitu kingine wewe raisi kikwete unaipenda sana tanzania na haupendi wawekezaji wanaoinyonya nchi yetu na kile kitabu ulichokabidhi kilikuwa kin amajina mazuri sana ya watu amabao walipaswa waitumikie nchi kwa ufasaha . Ulionekana hukuwa kiongozi mbaya kwa sababu kweli hakutukanae hakuchagulii tusi. Tanzania nzima inajua saikoloji ya watu ilivyo...inaonekana kabisa ulikuwa unampenda sana. hata unavyoongea hapo inaonekan akabisa una huzuni nyingi sna na ule utani wako leo hauna kabisa. Yaani kabla ya tarehe 9 uamuzi wa watu wabaya walitudhumu. TumsingizieMungu au binadamu?