Daaa baria wetu mungu hakusame zambi zote hii ni kwajiri ya mabaria waishiao south Africa bado tuko nawe we love you jack simela rest peace m south Africa jah
@@doyjack95jack39unaposema jagwa unazungumzia kundi huyu ni jack simela waliunda band ya jagwa music band pamoja na akina juma mpogo wote ni marehem kwasasa
Ndio mana ukaitwa mnanda vinanda vyake vinaleta hisia na msisimko flan ukivitegea sikio kwa umakini sana kama vinaleta maumivu flani hivi moyoni.. R I P Jack Simela
Nataka mtu apost video ya wasanii pendwa tz( kina mondi, kiba , hormo na wengine) akiwachezesha wazungu na kuwaimbisha tena wakiwa wamejaa ukumbi namna hii. Hawa watu wanatakiwa wapewe heshima yao
Hii nyimbo munguakiendelea kunipa uhai ladhima niulidie niufanyie caver
Mziki wa asili ndio huu sasa, huwezi kuukuta popote pale duniani zaidi ya Tanzania 🇹🇿 R.I.P Jack Simela
Jack simela ni yupi hapo
@@Mdurufuhuyo soloist
@@Mdurufuuyo anayeimba
Kizur hkidumu dogo jack sharobaro kanumba nk
HUU NDIO MZIKI HALISIA WA KITANZANIA.... TANZANIAN MUSIC IS VERY ATTRACTIVE
R.I.p Jack Simelaa Tanzania to the world
I just love Eem Jagwa music i'm proud to be Tanzania
ijagwa is best nature music of Tanzania. i like so much this music.
Daaa baria wetu mungu hakusame zambi zote hii ni kwajiri ya mabaria waishiao south Africa bado tuko nawe we love you jack simela rest peace m south Africa jah
Hatari sana 😭 R.i.p home boy, Kino nyamala aminia
Mziki wao unanipa sana hisia za nyumbani kwetu Tanzania
Jhoevic Donatenkova ndio ameshafariki leo
@@doyjack95jack39 wazungu sio wanafki kabixaa
Dah! Xna tyuu mwamba jack pumzka kwa amani
Sana
Unajua kuucheza mziki wenyewe
Jamani huu mziki wetu uliishia wap tz ingezangazw sana kptia huu mzki
nawakubali sana jagwa mnapiga mambo ya asili tuko pamoja
Daaah Mungu akulaze Maala pema Jack simela Daah inauma Sana kila nikiona hi video nakumbuka Sana🙏😔😥😫
Allah akusamehe ulipo kosea tulikupenda sana unajua mziki jagwa imepata wakat mgumu sana Allah awasameh mlipokosea.
Daaah mungu akupungu adhabu ya kaburi good song unanikumbusha mbali sana navyosikiliza jagwa😭😭😭
Wazungu wanacheza ww nani mpaka usiimbe from 🇹🇿🇹🇿
Nakwambia Jaguar ni nomaa mafundii
Maisha ni mazuri na Mziki wa nyumbani....Nabaki Afrika, nabaki Tanzania siku zote.
09/12/2018 IT'S AN ACCEDENT TOOK OUR TRANDITIONAL ARTIST...JACK SIMELA...R.I.P...FROM TANZANIA SORROW
Npo darasa la 3
Ooh sorry
2024 still 💥
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 rip jack simela dah rip juma mpogo maisha ni mafupi Sana 😭😭😭😭😭😭 today 2023
Peak. The human spirit in living form. Greatful.
Hawa jamaa nawakubali sana...hasa wanayoipaisha nchi yetu ugenini.....kuna kitu serikali inatakiwa kufanya katika mziki huu
Godfrey Ngowi Ndio ameshafariki leo Jagwa daah Rip
@@doyjack95jack39unaposema jagwa unazungumzia kundi huyu ni jack simela waliunda band ya jagwa music band pamoja na akina juma mpogo wote ni marehem kwasasa
Love you jagwa music, live band its real cool,,,,,,, nice performance
Hamisi Matondo, imetulia sanaaaa
This is just amazing,it looks like such fun.
Nimekumbuka tz
nawakubali sana mimi wabongo wenzangu
Rip to the front man of the band🙏🏽..died in december 2018🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Dogo jack
Fuuuck rest in power🖤🖤🖤🕊
Jagwa mnakimbiza hata wcb wakasome...mziki wa uswazi aminia cheki mizungu mnavyo irusha aminia jagwa music tanzania stand-up..@sekunde master..
Pamoja sana wazee wa kazi..hii ndo culture yetu ya uswazi..mmetisha👏🏾👌🏾
Patrick Mathias ameshakufa
Incredible uwezo
Hapa Canada wanaupenda sana huu music
Ndio mana ukaitwa mnanda vinanda vyake vinaleta hisia na msisimko flan ukivitegea sikio kwa umakini sana kama vinaleta maumivu flani hivi moyoni.. R I P Jack Simela
Respect sana 😢😢tuta kuku mbuka daima❤❤❤
R.I.P Simela mwamba wa kinanda,,M/Mungu amekuhitaji hakuna namna
Duuuh, aliumwa??
Mwamba nlikuwa namuelewa sana R.I.P jack.
inanikumbusha mbali hizi nyimbo only in Tanzania
Nakubali nakubaliiii 2018 still watching
Jagwaaaaa❤❤❤❤
2023.... mziki mziki jagwa..R I p.. Jack simera..😭😭😭😭😭
Daah huundio mzikiwangu halisi....
R.i.p. mwamba
Mpaka Leo 2022 nasklza jagwa music. Mchirku mzk alisia Tanzania flavour za nyumban
mzuka amazing music
Amazing!!
Daah umeondoka ndio unakumbukwa ....inasikitisha sana tulishindwa kumpatia heshima yake yungali hai.
Good msg bro
KBS bro
Kweli kabisa kabisa
ni kweli ila sasa kipindi hicho wote ndio tulikuwa tumeingia mjini Daresalaam,tunapambania, anyway Mungu ailaze roho yake peponi
Natokwa na machozi nikicheki hii video R.I.P Jack Simela
Rest In Peace 😭
Mjinga awez kuelewa mzik wetu (stupid does not understand this muzic) waoooo big up jagwa
REST IN PEACE JACK SIMELA
Mziki mzuri mafanikio kwao ilikua ndoto wamepigwa sana pesa hawa watu
Rip Jack simela tutakukumbka daima
huu ndio mzk wetu
Kweli kabisa
Udongo umezaa wengi😢😢
Maad! Prague is looking forward
Jamani Mungu😢😢😢
😭😭😭tutakukumbuka milele
Amazing
Yaani nailudia adi laaa
Jagwa mzika❤ 2:12
Looks Fun.
Jack simela pumzka kwa amani my brother 😭🤲namungu akulaze maahali pema peponi amee🙏 Jack simela king music 🔥R.I.P
R.I.p bro# baba dulla
Wanawakilisha uswazi
Mziki mtamu Sana, kuna haja ya kujenga kumbukumbu yake
R.I.P MUNGU AMPE KAUL THABITI
Mchiriku makini sana
mziki makin sana
this real music from Tanzania. more life my people, keep going my people
R.I.p jack simela
Dah raha sana
Namuona salehe akipiga vigoma mtoto wa kawe daah mchiriku ulimpeleka ulaya
Rip simela
Asili yetu tanzania
2020
Baba dura hohoho ninoma
Vyanyumbani vizur hadi raha
Baba dulllah oooooooooh
R.i.p jack
Aiseee ni noma
mie ni pale 4.16 mpaka 4.30 weeeee
Yes Rasta R.I.P simela
RIP
Jack simela
R.I.P Dogo Jack Simela,Daaah very Sad
R.I.P. Jack simella jagwa itabaki kuwa jagwa
daa yani hapa nipo nyumbani kabisaaa....daaaa nayakosa mambo haya huku EUROPE hakuna...
Umeonaa heeh tulio mbali tunapitwa
Jack Simela...
hakika kila nafsi itaonja mauti...
Haina Kutiri tiri wanangu kazeni tuuu
Baba dulla ohhhhhj
good
🥰🥰
Mziki mtamu huu
Nataka mtu apost video ya wasanii pendwa tz( kina mondi, kiba , hormo na wengine) akiwachezesha wazungu na kuwaimbisha tena wakiwa wamejaa ukumbi namna hii. Hawa watu wanatakiwa wapewe heshima yao
R.i.p dogojack
Ha ha haaaa mpaka wazungu wanaimba
r I p fogo jack
Baba gora sijakuona kwenye jukwaa
2019_6
Christopher
jmn uwiii adi midadi
Aysha Ommy naipataje hii nyimbo ya hawa watu jmn
😭😭😭😭😭😭😭😭
Rip
2018
nice
Ama ukwenda
HUKUMA
jack simela ndo yupi apo