Wapendwa Mshukuruni Mungu kwa neema ya Uimbaji mliyonayo. Mshikeni sana Kristo. Songeni mbele. Huwezi kujua kazi hiyo ilivyo njema na wengi tunabarikiwa. JONAS ALFRED.
Nmshukuru Mungu sana kuniza hapo Duluti. Bado mnaendelea kunipa malezi ya kiroho popote nilipo. Machozi ya furaha yamenitoka kukumbuka nyakati nzuri tulizokuwa nazo hapo Tengeru.
Wapendwa katika Bwana wetu Yesu aliye Hai Hongereni sana kwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuimba.
Hongereni.kwa.kanzi.ya.mungu
Hongereni sana kwa utumishi WATUMISHI WA MUNGU
Wapendwa Mshukuruni Mungu kwa neema ya Uimbaji mliyonayo. Mshikeni sana Kristo. Songeni mbele. Huwezi kujua kazi hiyo ilivyo njema na wengi tunabarikiwa. JONAS ALFRED.
Nmshukuru Mungu sana kuniza hapo Duluti. Bado mnaendelea kunipa malezi ya kiroho popote nilipo. Machozi ya furaha yamenitoka kukumbuka nyakati nzuri tulizokuwa nazo hapo Tengeru.
Ni wimbo namba ngapi katika Tumwabudu Mungu wetu
Mnanibariki mno. Hongereni
Kwaya gani