RAIS SAMIA ANATEUA MBAKA MAREHEMU | DKT.NCHIMBI ALITUMA ASKARI WANIKAMATE |MUNGU AMESEMA SAMIA HAFAI

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 56

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 20 днів тому +2

    Mimi ni mkristo sina tatizo na mtu yeyote kuingia kwenye siasa isipokuwa siungi mkono kutumia dini kama kichaka cha kutafuta ubunge. Maadili ya ukristo hayaruhusu mwanadamu mwenzako kumwita jini.

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 17 днів тому +1

    Kumbe unaongea na mungu sasa mbona unatumia nguvunyingi kuongea na mungu ni rafikiyako😅😅😅😅😅

  • @maspro6294
    @maspro6294 20 днів тому +2

    Mchungaji unaongea mpaka mdomo UNANUKA ukimaliza kubwaka kama mbwa koko ukapige mswaki

    • @user-jl5uh1xq9f
      @user-jl5uh1xq9f 16 днів тому

      Wewe mjinga Wacha kutukana watumishi shika adabu yako

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 20 днів тому

    Hivi unaongoza kabisa gani, maana naona sera mmeishiwa mnahangaika sana. Huyo Mungu gani unaeongea nae. Tafadhali usichange Maasikofu na mashehe kwa ujinga wako. Yaani mnatembea kusukilizia matokeo yaani Chama cha matukio nyie.

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 20 днів тому

    Asante asikofu wewe unakielewa, nchii hii tumeteseka miaka mingi sana, tumekuwa watumwa ndani ya nchi yetu, na maasikofu wengine wakuige wewe,

  • @BahatiMwampamba
    @BahatiMwampamba 18 днів тому

    Amen

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 20 днів тому

    Hata samia smkubali ila wwe una akili kabsa

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 17 днів тому

    Mmmmh mungu yupi huyooo

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285 18 днів тому

    Unaongea ukweli mchungaji

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 20 днів тому

    Yesu alisema mtawatambua Kwa matendo yako. Wewe ungekuwa wa kweli ungekosoa mabaya lakini wewe unatetea tumbo. Alama ya Jembe na nyundo unaikosoa kipumbavu. Watu wa maana kama Makonda ulimsema vibaya wakati Kwa matendo anayoonyesha yanawapa watu matumaini kuliko porojo zako. Unadhalilisha maaskofu wa maana

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 18 днів тому

    HAKUNAGA MAISHA MEPESI DUNIANI!! UKIWA NA PESA UNAWEZA USINYWE CHAI YENYE SUKARI!

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 17 днів тому

    Hata magufuti aliteuwa marehemu mbona mlikaa kinyma tu,

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 18 днів тому

    Je ni jambo jema kuuza rasilimali za tanganyika

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 20 днів тому

    Hivi unavyodhurula. KANISA vipi huna wahumini

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 18 днів тому

    Wacha mambo yako😂😂😂😂

  • @stephenletta8985
    @stephenletta8985 20 днів тому

    Ana hoja zinazohitaji majibu.

  • @AsifiweChaula-sq8bw
    @AsifiweChaula-sq8bw 18 днів тому

    Mchungaji wasaidie wauminu wako kuuona ufalume wa mungu ,usimchanganye mungu na siasa ,mungu hajawahikuongea na mchungaji mwenye michanganyo,ukitaka chagua moja kuwa mwanasiasa au mchungaji

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 18 днів тому

      mchungaji awasaidie nini waumini wake wanataka kula na maisha bora na hawayapati??hakuna tofauti kati ya dini na siasa mchungaji kama mtanzania mwingine anaweza kutoa maoni yake kuhusu siasa najua angekuwa kwy mkutano wa ccm usingepiga kelele

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 20 днів тому

    Wewe huna uwezo wa kuongea na mungu kwa ucha Mingus gani uliokua nao wewe njaaa inakusumbua na utapata aibu 2025 ccm itashinda kwa kushindo sijui utasemaje ccm ikishinda?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 18 днів тому

    Nyundo inatupiga kichwani jembe linatuchimbia kaburi

  • @user-xz9cm8yk6h
    @user-xz9cm8yk6h 20 днів тому

    Hakuna mchungaj hapa ww n mwana siasa na ni kibaraka

  • @DanifordNtilatwa-zk8qs
    @DanifordNtilatwa-zk8qs 18 днів тому

    Imeenda

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 20 днів тому

    Na nyie mnaowasikiliza hao hivi ni kweli rais Haja fanya jambo Jema hata moja kafanya mabaya matupu ?akili za kuambiwa changanyeni zenu wenzenu hao wanatafuta Viwazi ili wapate pesa lakini kusema kwamba watashinda uchaguzi 2025 hiyo ni ndoto ya Mchana hicho chama Tu kinawashinda ogonvi kila siku je ukiwapa nchi mhuuu mana haijulikani hapo rais stakes Nani makamo atakuwa nani waziri mkuu atakuwa Nani

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 16 днів тому

    Kifo kimeumbwa

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 20 днів тому +1

    Nasema Tanzania tuna mizigo ! Huyu askofu ni mzigo. Kwa chadema ! Na msipoangalia atakigawa chama

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 18 днів тому

      mzigo anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 18 днів тому

    Wewe unajiita askofu hicho cheo kakupa nani kibaka wewe

  • @huseninchasi
    @huseninchasi 18 днів тому

    Nasikitika sana sizani kama ni mtumishi huyu jina lake ni mchungaji mbuzi

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 18 днів тому

      ni mchungaji mzuri aliyekataa unafiki na kuzungumza ukweli

    • @huseninchasi
      @huseninchasi 18 днів тому

      Hapana hatufiki mbinguni kwa hali hiii

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 20 днів тому +1

    Maneno nimaneno tu .Ungeachwa ndani mpaka sasa akili ikujiye .Mungu wako shetani .Askofu gani mjinga wewe

    • @SeverinMagwaya
      @SeverinMagwaya 20 днів тому

      jibu hoja, je, Kuna umakini kiwango gani serikalini hadi anateuliwa marehemu na anatangazwa?
      Ukweli ukweli ukweli x 1000, je hatuitaki kweli?

    • @SeverinMagwaya
      @SeverinMagwaya 20 днів тому

      Mbona Gwajima anaongeaga pumba ni askofu gani yule?

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 20 днів тому

      Clement huyo mjinga haswaaa Mama Samia atashinda kwa kishindo

    • @andrewkissava9184
      @andrewkissava9184 20 днів тому

      Clemeni na magreti ni wapumbavu na wajinga

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 20 днів тому

      @@andrewkissava9184 Mpumbavu mwenyewe Ccm hamuiwezi kamwe Chadema ikichukua dola njoo nitakupa zawadi ya ajabu hatushindani na wasaka tonge tu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 20 днів тому +1

    Huwezi kitu Ccm itashinda kwa kishindo nyie kuleni ruzuku tu

    • @hakiyangu
      @hakiyangu 19 днів тому +1

      Hakika tutachelewa sana kama hata msema kweli anaonekana mbaya

  • @barakalukeha6184
    @barakalukeha6184 20 днів тому

    Wewe sio pasta unamamboyako acha kumkashifu mungu ktk mamboyako

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po 20 днів тому +1

    YAANI WW NDIO PUMBA KABISA TANGAZA SERA USIMSEMA MTU WATANZANIA HAWAPO HIVYO BADILIKA

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 18 днів тому +1

      ni pumba anapohoji kuhusu mkataba wa bandari na ufisadi unaoendelea ndani ya seriakli ya Samia

    • @RamaKimbeu-tw4po
      @RamaKimbeu-tw4po 18 днів тому +1

      MBONA HAHOJI KATIBA YA WENYEKUWEKA MWENYEKITI UKOMO MPAKA UMAUMAUTI WAKE.TOA BOLT KWENYE JICHO LAKO NDIPO UONE KIBANZI KWENYEJICHO LA MWEZAKO

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 18 днів тому

    HiyonihIbu

  • @user-cu2zc1cj6r
    @user-cu2zc1cj6r 20 днів тому +1

    Pumbavu

    • @SeverinMagwaya
      @SeverinMagwaya 20 днів тому +1

      jibu hoja, ikiwa anayo yaongea si sahihi! matusi ya Nini?

  • @dominickrukokelwa1284
    @dominickrukokelwa1284 20 днів тому +1

    Jembe ni silaha??!!
    Nyundo ni silaha??!!

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 День тому

      Karne hii alama za nyundo na jembe zimepitwa na wakati.

  • @mamboleotv1
    @mamboleotv1 20 днів тому

    Duh siasa na Dini kipi kianze Dini au soas

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 20 днів тому

    Sijawahi kuona mchangaji mjinga na mpumbavu mkubwa wewe mnafiki ndio sifa ya uasikofu labda ukasimamie msshoga km chama chenu kilivyo

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 20 днів тому

      Kama kweli unakemea Ushoga, anza kukemea walimu wa madrasa ambao kila uchao.unasikia Mwl fulani wa madrasa fulani mahakamani kwa kulawiti wanafunzi kadhaa

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 20 днів тому

    Nyundo na jembe ni vitendea kazi

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 20 днів тому

    Chadema wamekosa sela ni ujinga mtupu uchochezi dini na siasa wapinawapi

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 20 днів тому +1

      Wee ni zaidi ya PUNGUANI. Mbona haujahoji.Askofu Gwsjima ambaye ni Mbunge, yeye hachanganyi dini na siasa??