NIKKI MBISHI AVUNJA UKIMYA/ AZICHAMBUA LABEL ZA MUZIKI/ 'WANABABAISHA'/ TUNATAKA HELA/ KATIBA MPYA
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- #STORYANDRHYMES #NIKKIMBISHI #HarounTambwe
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Nakukubali sana Nikki mbishi unajitambua unajijua sana mdogo wangu
Napenda sana hyo background sound. InaSound kama 'Playboy' song in quite a Slow temple...Production ya Kipindi ni Konyo sana🔥🔥
Ningumu Kumpata mc wa bongo ana knowledge zaidi ya unju...hupati the realest mc ....da genius
Unju ni moja Kati ya ma mcs wenye knowledge
Nikimsikiliza Unju na gain vtu vingi I appeiciate bro!
Damu ya mara nakukubali sana Nikki mbishi
One of the best of all time
Greatest of all time Dr Unju bin Unuq🎶🎵🎵🎵✊💪
Super GENIUS
🎉 nkubali mbishi nakuelewa sana blo
Real talk Unju
Mwanangu we noma
Icon,, huyu mkal ipo siku atajua kuwa huku kitaa anatema knowledge yafaa awe na Hip hop College au free class yake ili tupate wakina unju wengi dunia ya realities iwepo,,,
Nikimskilizaga unju huwa natenga muda kabisa🔥🔥🔥
Anae hoji katsha Sana
Salute Nikki mbish
Mwanamdhiki unjuu bin unuki 💥💥
Power II nimefurah kuisikia tena hap!
Jamaa sijawah kuchoka ngoma zke wala interview zke
Respect
Wasanii wengi wanatoa Ep Unju yeye anatoaga mix tap na album.
Ila cha muhimu watu wajue interview ya Nikki mbishi ni Lp hisiyochosha kusikiliza.
NAJUA,MASHABAKIK WA WCB MLISHAKIMBIA TOKA DAKIKA YA 5,YA INTERVIEW..
😂😂😂
Upeo Mdg haha
amini kaka yAni bongo bado
yani ungekua u s a unge kua kama shon p bu camp
Nce mamen nakubari sana unju mbish 🙏🙏🙏
Kweli kabisa
UNJU🔥🔥
Unjuuuuuu
Iyo biti kali
Mtu hatry cn ✊🏿
Mwenye misingi ya hip-hop na misingi yake lazima awe na fundisho kama Nikki
Media nyingi za kibongo zimejaa mashoga, wambea n.k shida sana😢
Wasaniii wa hip-hop ni watu wa kuwaharia vzuri sana
Mtu hatry cn
Unju
kipindi kizuri lakini umetumia muda mwingi sana kumuuliza maisha yake kuliko albam yake so sometime muulize kuhusu contents za kila nyimbo humo ndan na kuona vionjo na vibes kipindi anaandaa kazi hiyo
Unju bin unuki baba malcom
UNJU kigu
😎😎💯💯💪💪💪
Wasafi wame changia kuua hip hop tanzania
One of the only realest mo*fakaz in a game... I think I'm blessed to be part of this era to witness Unju Bin Unuki Era.. no cap, no bullshit, no fuckin doubt this dawg got his own shine 🌄
Og
Unju
💯💥✌️
Kichwa
rangi nyingi mno
Baba marcom ,,,,,
Jamaa anaspit shule
Kumbe Adam ni kikosi kazi
Hatutaki ushauri wa bure Nikki mbishi bratha ni mbishi riri
Mhhhhh huyu ndo maana wenge alimchana mpaka akanyosha mikono
Unakazwa
@@nikkimbishiunju2402 🤣🤣🤣🤣🙌
Mkoa wa MARA hakunaga Fara
Harakati ndio zetu acheni hao machawa waendelee kupotosha vijana dawa yao ipo jikoni