Huyu Ahmed Ally ndo Aliokuwa anapamba saana timu na UONGOZI asaivi ukweli unaonekana.... Laana ya Kumpeleka Albino Uwanjani kutaka kumdhalilisha Haji Manara.... Dhambi hii Alisema Manara itawatafuna........
Kinachomponza ndugu yangu AHMED ALLY. nikauli zake za LAZIMA. ALLAH KAMWAMBIA MTUME S.A.W.: USISEME NITAFANYA HIVI KESHO ILA USEME: (IN SHAA ALLAH). MUNGU AKIPENDA. DOGO USIWE UNASAHAU IN SHAA ALLAH. NA NENO LAZIMA LIONDOSHE KABISAA..
Inabidi utubu zambi zako kwa mola wako kwa kumkejeli mwenyezi mungu kupia kumbe chake Aziz ki kwakumuita mdomo wake kinyesi wallah mungu anakuona inshallah 🙏
Ahamed pole Sana kwakuwa wewe unaisemea timu lakini huko jikoni kunanini hata ukiongea kwa uzuri namna gani uzururi hauwezi kupatikana Kama uongozi hauko sawa😊😊😊
WaChezaji kutumika muda miaka mingi bila kujali kubadilisha wachezaji wala kupimzika ndio matokeo yameanvza kuonekana wachezaji wamechoka na wamevurugika kisaikolojia
Nimeamin kweliii Ahmed ally anaumia Sana Yan Hadi sura yake imekuwa ya upole sanaaa had namuonea huruma Sanaa semaji letu daaaaah MUNGU Akutie nguvuu Kaka duuuh😭😭😭
Kaka kaeni mtulie na muanze kuchambua wachezaji wapya Ili kuwasajili dilisha dogo, make hatuna mchezaji wakutokea benchi na akabadilisha mchezo halafu pia mabeki wetu wanajisahau mno mwambien kocha hilo
Ndoleo nasikia ukiongea kwa tune nzuri lkn vile ukiongeaga kwa maringo hata hupendezi unakua kama unaigiza tena maigizo mabaya,ukihojiwa uwe unaongea kama hivi inapendeza pia
Ni kweli baadhi ya wachezaji hawaoneshi kujituma. Muhammed Hussein, Kennedy Juma, Kapombe Che Fondo, Mzamiru na Kibu ndo wanaonekana wanaipambania timu. Fanteni maamuzi magumu
Matango pori jana unakumbuka uliropoka tena tusiwafananishe na vilabu vingine leo yako wapi magoli ya kurudisha furaha au ndiyo yaleyale afadhali ya jana
Simba hawatumii akili. Wanapanic haraka na kutaka bila kuwekeza na subira!! Katika miaka 2 wamekuwa wanafukuza makocha tu! Kwa trend hii sahauni ubingwa na Africa pia msahau. Mnaumu makocha tu na hata wachezaji mnaeatuhumu na rushwa! Timu mbovu bado! Wachezaji wana majeraha ya kulaumiwa, kufukuziwa makocha kujiona mayatima kwa kutokaa na kocha Moja pia kupoteza mara 2. Wachezaji hawana morale!
Kumbuka hii moroko walipo ikataa afrka waliona cha moto hivo na wew ulivosema yanga si leo yenu umeipata vizur hivo tumia mdomo wako vizur bado unasema mashabiki et wanapiga kelele huoni unawakosea
Ahmedy Ally, inabidi ukatubu kabisa hata kwakumuomba Azizi k kwamaneno oliyomtukanaga kwakuuita mdomo wake kinyes kabla ujafa ujaumbika mungu anazidi kuwalipa na juzi amewafumua huyo uliyemtukana
Huu ni upuuzi na sinema tu tunachezewa ... Maamuzi ya kumfukuza objective man ni kosa kubwa sana kwa stahili hii inayokuja ni aibu kubwa zaidi ya hii ...... Mungu atusaidie tu
daa ina uma sana Kira siku sisi waku zomewatu aya jama tare sita tume zika mtu reo kazimia mtu kwaiyo Kira siku sisi wami sibatu kwenu vipi muna zika Kama sisi aya jama
Sometimes kejeli sio nzuri sana huyu jamaa amejaa maneno mengi sana kejeli nyingi sana sasa haya ndio malipo anayoyapata hakuna kutafuta mchawi wala anaehujumu CLUB MUNGU IBARIKI YONG AFRICANS IFANYE POA KWENYE MASHINDANO YOTE YALIYO MBELE YETU
"YAAANI MPAKA MSEME",nadhani Manzoki atasaidia sana msimsahau dirisha dogo. Na bado,mtachambuliwa kama karanga,matokeo ya leo kweni ni muendelezo wa ANGUKO la Simba,haa haa haa haa,salamu zenu wana MWAKALOBO wooooooote !!,hee heee heeeee !
Kwa Simba jinsi ilivyo na uongozi huo hata muelete kocha gani hapo Simba hakuna kitakachoendelea tena kama ni kocha nabi Mungu amsaidie asije tu hapo Simba maana atakuja kushusha hadhi yake kwa makubwa aliofanya kwa klabu inayojielewa akapata aibu tu.
Sasa unataka afanye nn instead ndugu yangu, anayumba Barca na u GIANT wake Simba kidogo tu mnataka kila mtu avurugwe akili, mfariji ni mtu MUHIMU pia Ina maana ana ukomavu sio kama nyie mnachanganyikiwa Kam vile sio watu wazima
Mpira wa Tz uko hivyo tu kila mwaka. Sijaona shida. Tupambane na hali. Ila ubingwa tusahau, ile ya champion ndo kabisaaa hata makundi sidhani kama tutafika robo, itakuwa ngumu kwelikweli labda miujiza fulani hivi. Simba tumtangulize Mungu mbele.
Nazani sasa domo la kulopoka limeisha jifunze kuongea mpira siyo matusi na kujitapa hapa tena unadanganya eti mlejee kwa asilimia miamoja kweli utasema uongo mpaka aibu ikuumbue
Hawa wachezaji wasipewe mapumunziko wekeni kambni hao ikiwezekana wapewe gemu za kirafiki hata mbili mpaka tarehe 25 hayo yote mama rehemu humo kapombe mpishe israeli
Huyu Ahmed Ally ndo Aliokuwa anapamba saana timu na UONGOZI asaivi ukweli unaonekana....
Laana ya Kumpeleka Albino Uwanjani kutaka kumdhalilisha Haji Manara.... Dhambi hii Alisema Manara itawatafuna........
Shida sio mwalimuuuu, hamsajili quality players acheni janja janjaaaaa shuwainiii
Ata mwalimu hamna kitu yule
Kati ya watu wanaopitia wakati mgumu kipindi hiki ni Ahmed Ally pole kaka Bora sisi mashabiki duh
Mdomo na kejeri zake ndio malipo anayolipwa muda huu akome🤐🤫🤫🤫🤫
Ahmed Ally kaja kwenye wakati mgumu sana mpaka namuonea huruma
Naitwa kagumisa kwakweli sisi mashabiki wa Simba tunaumia Sana tunamtaka mugunda aludi boli litembee
Unamuonea huruma ulimuajr
Kinachomponza ndugu yangu AHMED ALLY.
nikauli zake za LAZIMA.
ALLAH KAMWAMBIA MTUME S.A.W.: USISEME NITAFANYA HIVI KESHO ILA USEME: (IN SHAA ALLAH).
MUNGU AKIPENDA.
DOGO USIWE UNASAHAU IN SHAA ALLAH.
NA NENO LAZIMA LIONDOSHE KABISAA..
Mrudisheni juma mgunda
Pole sana ahamed unapitia kipind kigum sana nakuonea huruma bora tu ya mm shabiki
huyu jamaa anajua kuzungumza mungu amzidishie
Pole sana semaji machezaji yamejichokea kama hayalagi
Inabidi utubu zambi zako kwa mola wako kwa kumkejeli mwenyezi mungu kupia kumbe chake Aziz ki kwakumuita mdomo wake kinyesi wallah mungu anakuona inshallah 🙏
Hii midomo inapozaga sana unamkashifu mtu kwa maumbile ya mungu Eti mpira
Alimkashifu wapi achen uongo
Heee kumbe alimwambia hivyooo mjinga kbs huyu
Midomo yao hawayaioni iko kaa mipupu ya ngombe
Kamandoulimtukana hivyo azizi umemtukana mungu aliyemuumba hivyo ndomana litimulenu halieleweki
Ahamed pole Sana kwakuwa wewe unaisemea timu lakini huko jikoni kunanini hata ukiongea kwa uzuri namna gani uzururi hauwezi kupatikana Kama uongozi hauko sawa😊😊😊
Mmakonde mwenzangu unapata shida sana kuizungumzia Simba nakuonea huruma sana Rudi nyumbani huko taabu
Jeuli yoote kwishaaaa mamaaeeee😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hiy nikaz yake acheni kelele
Itafika siku tuta ludi kwenye nafasi yetu
Nilitamani tufungwe ili tujue panapovuja!! Kumuondoa Robertinho ndio naumia zaidi maana hata mashindano ya Caf,hatuwezi kufanya vizuri!!
WAMEMUONEA TU ILI WAFICHE UKWELI.
WaChezaji kutumika muda miaka mingi bila kujali kubadilisha wachezaji wala kupimzika ndio matokeo yameanvza kuonekana wachezaji wamechoka na wamevurugika kisaikolojia
Nimeamin kweliii Ahmed ally anaumia Sana Yan Hadi sura yake imekuwa ya upole sanaaa had namuonea huruma Sanaa semaji letu daaaaah MUNGU Akutie nguvuu Kaka duuuh😭😭😭
😂 dua kwenye uharamu wa mpira
Pamoja saaana semaji wewe ni shujaaaa achana nao ao midomo Yao ni mirefu tuu kazi Bado
Tunaumia sana 😢🤔🤔😭😭😭😭😭
Hivi huyu ndio yule tunayemjua😂😂mbona kinyonge hivyooooo😅
Ungekuwa ww ungefnya nn
Bado ujasema na utasema😂😂😂
Pole semaji sote tupo kwenye wakati mgumu ila nakupongeza upo vizuri kikubwa tuangalie wapi tumejikwaa
HIYO KAULI YA TUANGALIE WAPI TUMEJIKWAA SIO LEO TOKEA MISIMU MIWILI ILIYOPITA UBINGWA TUUSAHAU TU.
Daah kumb ahmed alli mpole hv kwakwelii😃😃😃
Sura imejaa Aibu 😂😂😂
Ni dalili ya kuwa na akili we aibu huna
Et sura imejaa aibu😂👐
Jamaaa kapata nguvu ya kuongey leo baada ya kupata kipigo kikubwa
Kaka kaeni mtulie na muanze kuchambua wachezaji wapya Ili kuwasajili dilisha dogo, make hatuna mchezaji wakutokea benchi na akabadilisha mchezo halafu pia mabeki wetu wanajisahau mno mwambien kocha hilo
Wafanye tathmin kweli 🤓
Hersi anasema usajili wa dirisha dogo umekamilika bado dirisha dogo lenyewe wawekeee vifaa hadharanii
Ndoleo nasikia ukiongea kwa tune nzuri lkn vile ukiongeaga kwa maringo hata hupendezi unakua kama unaigiza tena maigizo mabaya,ukihojiwa uwe unaongea kama hivi inapendeza pia
Haaaaaaaaaaaaaa muungwana akivuliwa nguo uchutama chapu
Ni kweli baadhi ya wachezaji hawaoneshi kujituma. Muhammed Hussein, Kennedy Juma, Kapombe Che Fondo, Mzamiru na Kibu ndo wanaonekana wanaipambania timu. Fanteni maamuzi magumu
Matango pori jana unakumbuka uliropoka tena tusiwafananishe na vilabu vingine leo yako wapi magoli ya kurudisha furaha au ndiyo yaleyale afadhali ya jana
POLEA SANA SEMAJI LETU LA CAF MUNGU NI MWEMA ATATENDA
Tatizo unamdomo sana, unawaponza wenzako
KWA HIYO TUMESHA POTEZA POENTS 5 KATIKA MECHI 2 YALE YALE YA MISIMU MIWILI ILIOPITA SIMBA UBINGWA UTUUSAHAU MSIMU HUU NA STOP.
Hatuji uwanjani hadi wale wazee wawili yaani Mangungu aondoke
Nyoooko Mwemwe zote kumbe mpole
Ameddy alliy mlikosea Sana kumpa. Timu Dani na huyo matola.
Ilitakiwa na mumpe mugunda Leo tungeshinda mechi yaleo
Yaaani baaadooo
Mpaka msemeee😂😂
Simba hawatumii akili. Wanapanic haraka na kutaka bila kuwekeza na subira!! Katika miaka 2 wamekuwa wanafukuza makocha tu! Kwa trend hii sahauni ubingwa na Africa pia msahau. Mnaumu makocha tu na hata wachezaji mnaeatuhumu na rushwa! Timu mbovu bado! Wachezaji wana majeraha ya kulaumiwa, kufukuziwa makocha kujiona mayatima kwa kutokaa na kocha Moja pia kupoteza mara 2. Wachezaji hawana morale!
Kumbuka hii moroko walipo ikataa afrka waliona cha moto hivo na wew ulivosema yanga si leo yenu umeipata vizur hivo tumia mdomo wako vizur bado unasema mashabiki et wanapiga kelele huoni unawakosea
Ahmedy Ally, inabidi ukatubu kabisa hata kwakumuomba Azizi k kwamaneno oliyomtukanaga kwakuuita mdomo wake kinyes kabla ujafa ujaumbika mungu anazidi kuwalipa na juzi amewafumua huyo uliyemtukana
Mamamaaaeeeee nabado mtakandwa sana na mtadrooo sanaaaaa tuliwaambia minneeeeeeee mfululizooooooooooo
Ujinga kitu kibaya Sana..minne...how ...which...when
Msemaji umeongea vizuri kiukweli unaeleweka
Tabulileee laaah 😂😂😂😂😂
Rahaaaaaa
bado hawajasema na mpaka waseme
👋imekupa heshima ya kuongea kwa adabu
Ahmed umeelimika na umeadabika saana unajuwa namna ya kuzungumza sasa,kweli yanga ni darasa.
Leteni kocha atakayepunguza umri wa wachezaji
Sisi ndo tunaumia nyie mmeajiliwa na tunawalipa ss mnaumia nn mtuachie timu yetu
❤ Kaka nyakati ngumu san
Hadi kuangali camela unashindwa uache kjitapa mkubwa nmkubwa2
Simba kumfukuza mocha mmekosea Sana
Huu ni upuuzi na sinema tu tunachezewa ... Maamuzi ya kumfukuza objective man ni kosa kubwa sana kwa stahili hii inayokuja ni aibu kubwa zaidi ya hii ...... Mungu atusaidie tu
iyo ndio sura ya ahamed duh kumbe mpole ivi mie nawaonea uluma sana makol
Huruma kwako barô endelea kupambania tm has Irud kwenye kiwango chak tunaumia mashabik
TATIZO AHMED PUNGUZA MANENO UNASEMA MPAKA UNAVUKA MIPAKA TIZAMA LEO USO ULIVYOKUSHUKA
Simba inaboa sana mpka tunashidwa kwenda uswahilini tunaenda usiku wa wa nane na cm hatupokei namba ngeni kila mwaka ni maumivu
Kak mung azid kukup afya njem usiwaz wanao sem wacha wasem tyu ndiy rah ya utani we endelea na majukum yak
Msemaji hana hata uchungu anatabasamu,
Umekuwa mpole kama siyo wew mwenye kujigamba namadharau. Kwisha habari yako
Kumbe mnapenda wenyewe kupoteza kwa nini kama mgunda anauwezo mkamwacha mkawapa akinamatola
Inonga weka sabu malone benchi weka kennedy na h kazi kapombe nje weka mwenda chama nje weka chilunda Luis moses
Hakuna mkubwa kama simba aliotangulia katangulia
Huwa najiuliza hao wanaosimama nyuma ya mtu anaye hojiwa Huwa wanataka Nini? Maana Leo basi aina ya VOLVO liwaziba lakini wamejipenyeza hvyo hvyo
Yes, achana nao hao, piga kazi tu
daa ina uma sana Kira siku sisi waku zomewatu aya jama tare sita tume zika mtu reo kazimia mtu kwaiyo Kira siku sisi wami sibatu kwenu vipi muna zika Kama sisi aya jama
Sometimes kejeli sio nzuri sana huyu jamaa amejaa maneno mengi sana kejeli nyingi sana sasa haya ndio malipo anayoyapata hakuna kutafuta mchawi wala anaehujumu CLUB MUNGU IBARIKI YONG AFRICANS IFANYE POA KWENYE MASHINDANO YOTE YALIYO MBELE YETU
"YAAANI MPAKA MSEME",nadhani Manzoki atasaidia sana msimsahau dirisha dogo.
Na bado,mtachambuliwa kama karanga,matokeo ya leo kweni ni muendelezo wa ANGUKO la Simba,haa haa haa haa,salamu zenu wana MWAKALOBO wooooooote !!,hee heee heeeee !
NIPE ILE KITU NAMESA MESA MWENSAKE 😂😂😂😂
Kwa sasa wachezaji ndo majanga tupu wanakosaa umakini Wa kufumania nyavu wapigwe viboko woooteee
Hiyo ndo football mnatambaga sn
Mmebatisha tu lasisi ndio wakubwa wenu
Sasa kimoja ndio mnapiga midmo achen ushamb
Sura imekuparama 🦁🦁🦁🦁🦁🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa Simba jinsi ilivyo na uongozi huo hata muelete kocha gani hapo Simba hakuna kitakachoendelea tena kama ni kocha nabi Mungu amsaidie asije tu hapo Simba maana atakuja kushusha hadhi yake kwa makubwa aliofanya kwa klabu inayojielewa akapata aibu tu.
Huyu nae. Anapenda kutufarij
Sasa unataka afanye nn instead ndugu yangu, anayumba Barca na u GIANT wake Simba kidogo tu mnataka kila mtu avurugwe akili, mfariji ni mtu MUHIMU pia Ina maana ana ukomavu sio kama nyie mnachanganyikiwa Kam vile sio watu wazima
Huo ni upuuz ss tunataka viongoz wasepe hapo
Kiherehere chote kwishaaaaaa
Msemaji n kenge atamfata robert
Jamani Mimi sielewi inawezekana vipi timu kufanya vizuri wakati uongozi hauko sawa??
Sisi mashabiki wa simba tunamtaka mgunda au nabi au ibenge au mosemane
Mna Mia😄😄
Mbona makocha wazuri wapo wengi kuliko hao .....ila utulivu ndo unaohitajika tu
Pesa hamnaa
Duu watan wng pole jaman
Endeleeni kuwaendekeza chama saido mwalimu wenu Jana kawatoa mmenuna kwa kifupi wapo slow
Jamaaa anataka kulia kawa mpole kama maji😂😂😂😂😂😂😂
Wachezaji hawana morali kabisaaa,hii ni sheeda
Leo kinyonge saan vipi,kumbe una adabu hivi😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Ashamed ally wew tu ni muongo unawadanganya tyu mashabiki wa Simba ila wew ndo chanzo
Kumbe mashabiki wa simba mnapiga kelele. Haya sasa mshaambiwa, mnapiga kelele na kelele haziwashtui viongozi😹😹😹😂😂😂🙌🙌
Ali punguza kujigamba na vicheko vya dharau.
Fitness iko chini sana
Mpira wa Tz uko hivyo tu kila mwaka. Sijaona shida. Tupambane na hali. Ila ubingwa tusahau, ile ya champion ndo kabisaaa hata makundi sidhani kama tutafika robo, itakuwa ngumu kwelikweli labda miujiza fulani hivi. Simba tumtangulize Mungu mbele.
Nazani sasa domo la kulopoka limeisha jifunze kuongea mpira siyo matusi na kujitapa hapa tena unadanganya eti mlejee kwa asilimia miamoja kweli utasema uongo mpaka aibu ikuumbue
Comentiiiiiii Simba siwaon wameondoka na yule kocha mwehu nn
😂😂😂
Mechi inayofuata ni dhidi ya azam mnaweza poteza point zote 3 msipokuwa makini
Bahati yao mechi yao dhidi ya azam imesogezwa mbele mpk tarehe moja mwezi wa kwanza
Punguzeni mihemko
UKISIKIA MAJAMBAZI WAMEIBA MTAANI HALAFU VIRUNGU WANAPIGWA WAPITA NJIA NDIO HII 😂😂😂😂😂😂😂 TUNAIJUWA HIYO AHMED ALI FIKISHA UJUMBE KWA VIONGOZI
Msemaji tumepata shida anaponzwa na timu timuhili bovukwer limechoka😢😢
Sasa nyie kila siku ni wapi mmekosea na hamuoni mliokosea mnazimgua
KWELI BRO
Na kocha akija msimpangie wachezaji wa kucheza muacheni kocha afanye kazi yake
siyo poa simba munazinguwa san
Simba nguvu moja💪
Hapa ndio nauona ugumu wa kazi ya ally
Hawa wachezaji wasipewe mapumunziko wekeni kambni hao ikiwezekana wapewe gemu za kirafiki hata mbili mpaka tarehe 25 hayo yote mama rehemu humo kapombe mpishe israeli
Mliambiwa mmefika mlipofika Kwa utash wamarefa, sa tu inadhihirika et?
hahaa hii adabu cku zngne hua anaieka wap
Na imekuwa chupu chupu mlitakiaa mpigwe