SEHEMU YA 1: SHEIKH MUHAMMAD IDDI AMJIBU KASSIM MAFUTA, MAWAHABI HAWANA DHEHEBU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    UA-cam: / @babdeomiladu

КОМЕНТАРІ • 432

  • @YusufMatianyi1388
    @YusufMatianyi1388 7 місяців тому +2

    Shiekh letu Nakupenda Kupitiliza ,much love from Kenya ,Warekebishe mawahabi waache kupotosha umma .Allah Akuhifadhii na vitimbi vyiao in shaa Allah

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 9 місяців тому +20

    Shekh Muhammad idi usikae kimya muda mrefu . Tuna kupenda sana mwenyezi mungu akulipe, au refushe uhai wako katika kheri, akulipe na atulipe pepo ya juu aaamiin

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 9 місяців тому

      hawezi atakimbia mda si mrefu...

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      ​@@ayububakari9942akimbizwe na nani? Yani mawahabi mnajidanganya sana

    • @SugowFarah-up3db
      @SugowFarah-up3db 9 місяців тому +1

      Huyu ni asome kwanza ndipo aingie kwa ruduud

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      @@SugowFarah-up3db mawahabi ndo mkasome hamna mnachojua

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 9 місяців тому

      @@abiabi9353 we labda ndio umenunuliwa smart phone juzi tafuta mijadala kuhusu mwezi muandamo akijadiliana na Sheikh abulfadhli qaasim mafuta Allah amuhifadhi uone alivyokimbia AKIDAI AMEKATAZWA NA WAZEE WAKE !!

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 9 місяців тому +6

    شكرا لك وجزاك الله خيرا
    شيخنا الكريم

  • @user-kv8ot1we6m
    @user-kv8ot1we6m 5 місяців тому +1

    Mungu akulinde nakula baya

  • @user-zk3dt3us7j
    @user-zk3dt3us7j 8 місяців тому

    Alhmdulilah allaah akuifadhi zaidi shekhe abu idi kazi unayo fanya nikubwa twapaswa kukupongeza na kukuombeya saidi kwa allaah akuifadhi. unafanya hivyo kunusuru watu wasipotezwe nikazi kubwa sana allaah atakulipa. mimi ni mjukuku wa shekhe muhammad ayubu nimefundishwa kutoka kwa mwanafunzi aliye soma kwa shekhe muhammad ayubu.lazima nikupongeze na kukuombeya kwa allaah akuifadhi saidi.kazi unayo fanya nikubwa.allaah akuifadhi.na kila shari zote.

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 9 місяців тому +4

    Mwenyezi Mungu akupe Umri Mrefu Sheykh Muhammad Iddi

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w 9 місяців тому

    Asante sana sheikh wetu kazi yako ni nzuri sana yakupambana na mawahabi.kwa kweli wamemwaga damu za waislamu kuwagawanya waislamu na kuwaingiza katika shirki ya kuabudu miungu mitatu wakishikiana na mayahudi na waengeza.

  • @hassanmadodi5396
    @hassanmadodi5396 9 місяців тому

    Jamaa ananifurahisha sana, eti mawahabi walivyojipanga ipo siku watakuwa na muft wao na sikukuu yao.
    Maa shaAllah Hii inaonyesha ni namna gani haqi inavyo eleweka na inavyo kuwa juu na hii yote ni tawfiq ya Allah baada ya waislam kushajihishwa kusoma dini yao.

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 9 місяців тому +6

    Kutoka ndani ya moyo wangu
    Nampenda sana sheikh Muhammad abuu Idd

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 9 місяців тому

      kutoka moyoni simpendi kwa ajili "Allah"

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 9 місяців тому

      احبك الله الذي احببته فيه

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      ​@@ayububakari9942Sasa usipompenda wewe panya mmoja wakiwahabi ndiyo nini?

    • @noorululaatv8973
      @noorululaatv8973 9 місяців тому

      ​@@ayububakari9942
      KICHAAA WEWE

  • @noorululaatv8973
    @noorululaatv8973 9 місяців тому

    ALLAH AKUBAARIQ SANA ... MWLM UMEKAA KIMYA SANA KIASI KWAMBA MAWAHABI WAJIGAMBA UMESHINDWA

  • @user-zk3dt3us7j
    @user-zk3dt3us7j 8 місяців тому

    لا يؤمن احدكم حتى يكون هواه تبعا لما جاء ت به

  • @abuuhudhaifa5134
    @abuuhudhaifa5134 9 місяців тому

    Allah akujalie uendelee kujibu kwasababu watu wengi wasiojua sunna na bidaa wata bainikiwa na mambo mengi yalio zushwa ktk dini, na mawahabi nao wakibainisha basi sisi wanafunzi ambao tunajifunza dini yetu huwa tuna pata faida kwasababu yanaletwa majibu yenye nguvu kwadalili kutoka ktk Quran na sunna na ndicho tunacho kitaka

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 9 місяців тому +2

    Mwendelezo ßhekh

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 9 місяців тому +2

    Hzo hoja alijibiwa,anarudia tena,mwenzio sheikh sameer anatweta hukoo😂

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 9 місяців тому +3

    Wallahi nashukuru sana Allaaha, Huyu SHEKH WA kibid'a amezikubali jitihada za masafi

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      Hata ibilis ana jitihada

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 9 місяців тому

    Jazakallah

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 9 місяців тому +3

    ASANTE SHEIKH WATU WAMESOMA KWA MASHEIKH ZETU WAO WAMEKUA NA ILMU

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 9 місяців тому +4

    HAMNA CHA KUJIBU KWENYE MITANDAO NA NYIE SIO WATU WA KUITUMIKIA DINI.

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 9 місяців тому +5

    Uislamu hauna dhehebu, dhehebu la muislamu ni kufuata mtume s.a.w.

    • @AbdulmajidHyder
      @AbdulmajidHyder 9 місяців тому +3

      Utamfuataje kama sio hao wanazuoni?. Wamefanya juhudi kubwa mpaka Uislaam ukatufikia hapa tulipo. Kama sio wao.....

    • @ahmadSeif860
      @ahmadSeif860 9 місяців тому

      Ww Ata hujuwi dhehebu ni nini!

  • @abuuhudhaifa5134
    @abuuhudhaifa5134 9 місяців тому +1

    Lakini masufi mnatatiza Sana wafuasi wenu amejibiwa Shekhe lenu Alburhaaan mnalia kwamba "ooh anajibiwa hadi alie kufa" kwani nyinyi mkimsema vibaya ibn taimiyya mmesahau kua na yeye amekufa! Mizani yenu inapima vipi mbona hamna uadilifu,,,,, ndo mana mtaendelea kuwakosa vijana wengi ktk huo usufi wenu kwasababu watu welevu wanataka hoja na dalili sio porojo na michezo

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 9 місяців тому

    Jazaaka llahu shekh

  • @AbuwSuhaylahSalafiy
    @AbuwSuhaylahSalafiy 9 місяців тому +9

    Kwa hiyo Tofauti za ki FIQHI ni kuwagawa waislaamu? Yaani ulitaka watu wafuatane hata kwenye makosa kwa hiyo baba angu akiwa mtu wa Mawlid lazima na mimi niwe mtu wa Mawlid? Sasa ndo hoja gani hizo? Unaacha kuwabainisha ma Shia wanawatusi maswahaba kila kukicha, unakuja kuwazungumzia Salafiyuun? Harakati zako hazina afya ni kupoteza muda tu bora ukae darsa usomeshe hao unaowaita mawahabi wako busy kusomesha watu dini katika maraakiz zao ndio maana huoni UA-cam wakiwasha Cameras kuongea ongea bila issue maalum acha ushekhe wa matukio.

    • @abuumaisarah6595
      @abuumaisarah6595 9 місяців тому +2

      SHEIKH WA MCHONGO HUYO HHH

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 9 місяців тому +2

      @@abuumaisarah6595 Ana feli sana. Halafu kuna ma jahl wengi wanamsifia kwenye comments.

    • @user-bo1ew3xq6w
      @user-bo1ew3xq6w 9 місяців тому

      Kwani nyie mawahabi ikiwa kama kweli mpo sahihi sini sawa kama mtazungumzia kuusu hao maswahaba kutukanwa na watu watwarika kuzumzia maulid kuli kuwatusi wanachuoni na kuwaita makafiri.

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 9 місяців тому +1

      @@user-bo1ew3xq6w Mwanazuoni gani kaitwa Kaafiri?

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 9 місяців тому +2

      @@user-bo1ew3xq6w Na wewe unavyotuita ma Wahabi unajua unaponda kumbe unatukweza "Al-Wahhab" ni katika majina ya ALLAH.

  • @rajabubilalimakau8529
    @rajabubilalimakau8529 9 місяців тому +7

    Sababu za kujibu hoja zao umezibainisha vizuri sana Sheikh.

  • @SalimuAbdala-sg9cw
    @SalimuAbdala-sg9cw 9 місяців тому

    Mimi sijaona kiongozi tanzania hii. Ambaye nikiongozi mkuu wawaisilamu anawaunganisha waisilamu au kuwatetea waisilamu .

  • @mohdomar6760
    @mohdomar6760 9 місяців тому

    Allah akuzidishie sheikh letu

  • @aliyseif8114
    @aliyseif8114 9 місяців тому +2

    ماشاء الله تبارك الله. الله يعطيك العافيه

  • @HamidHilika-kq3xx
    @HamidHilika-kq3xx 9 місяців тому +2

    Allah akubarik sana shekhe na Allah akulipe kwa jitihada hii

  • @user-zx2yd4bl2x
    @user-zx2yd4bl2x 9 місяців тому +2

    KAZI UNAYO - LKN SUNA IKO PALE PALE

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 9 місяців тому +2

    Muhammad iddi kaka ,maulid yapo madhehebu Gani? Kama mawaHabi hawana madhehebu,

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      Hata kiongozi wenu kafiri ibn taymiyah pia anayakubali maulidi

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 9 місяців тому

      @@abiabi9353 weee jamaaa hiii dini,sio mpira usifanye hivo,usiseme hivo ,kama hujui kitu nyamaza,umekosea kaka ,usimkufurishe mtu.ni jambo kubwa,hiii dini ni taaluma ,

  • @abuuhudhayfah5108
    @abuuhudhayfah5108 9 місяців тому +3

    Ungejibu kwanza majibu uloulizwa, sasa naona umekuja kwa stayl nyingen

  • @user-kq8lk1cx8g
    @user-kq8lk1cx8g 8 місяців тому

    Maashaallhh

  • @ramadhanmbwana5718
    @ramadhanmbwana5718 9 місяців тому +2

    HII NI MUHIMU SANA MUHAMMAD IDI AMKIMBIA SHEKH KASIMU MAFUTA
    SIKILIZA HII HAPA ILI UPATE FAIDA ZAIDI NA UJUE KILICHO MKIMBIZA MUHAMMAD IDI
    ua-cam.com/video/NxsrfgsvPXw/v-deo.htmlsi=-Q-lTcDHz8rFok8H

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 9 місяців тому

    UNGENIVUTA KWENYE MAULID KAMA UNGESEMA WATAKA KUYAFUTA MAULID MAWAHABI TULIOACHIWA NA MTUME (S A W)LAKINI WASEMA TUMEACHIWA NA BABU ZETU NA MASHEIKH WETU INA MAANA MTUME HAKUFANYA ZIRO HAPO

  • @amirialimshamba9754
    @amirialimshamba9754 9 місяців тому +1

    SHEKHE ungeanzia asiliyao tangia kipindi cha mtume (saw) mtume aliwatabiri vipi na happy najidi alipotokea muanzilishi wao abdul wahab

  • @malengajuma2694
    @malengajuma2694 9 місяців тому +2

    Shukran sheikh,

  • @kagalihussein1959
    @kagalihussein1959 9 місяців тому +1

    Umeongea maneno chukuchuku bila Dalili...Elimu yako Ndogo Muhammad Eid

  • @WastarYoussuf-wb7fz
    @WastarYoussuf-wb7fz 9 місяців тому +5

    Uko sahihi sana Muhammad iddi

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 9 місяців тому +8

    Kweli kabisa shekhe wetu Allah atupe afya njema na nguvu ya kujibu hoja zao hatua kwa hatua.

    • @DonadiMwapule-he1je
      @DonadiMwapule-he1je 9 місяців тому +1

      Mshauri imara asiwe anarudi mambo aliyoshindwa kuyajibu
      Uko ulishindwa Iddy?

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 9 місяців тому

      mdanganyeni tu kwani alishakimbia hapo karudi sababu ya ushabiki wenu !!!

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      ​@@DonadiMwapule-he1jetupe mfano wa mambo aliyoshindwa.mawahabi kazi yao ni uongo tu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      ​@@ayububakari9942alikimbia wapi.hivi nyinyi mawahabi mnahoja za kumkimbiza mtu kweli.nyinyi ndo mna historia ya kujikojolea mkisha banwa

  • @shaabansheehabdallah8770
    @shaabansheehabdallah8770 9 місяців тому

    Alafu sheikh ukizungumzia uislamu toa uraia wako, uislamu hauna mipaka ya kiichi za kitwaut

  • @abuuuyaynah8801
    @abuuuyaynah8801 9 місяців тому +3

    Sina shaka akijibiwa majlis moja tuuuuu anakimbia

    • @ramygichero1016
      @ramygichero1016 9 місяців тому

      amna kitu mawahabi so watu wa maaana kabixa wanajionyesha sana

    • @user-zr2pn5uv8b
      @user-zr2pn5uv8b 9 місяців тому

      huyu kichwa ngumu sana kujibu maswali hawezi na ha hajajibu

    • @user-zr2pn5uv8b
      @user-zr2pn5uv8b 9 місяців тому

      ule mjadala wako na Sheikh Qassim Mafuta ungeupitia tena ujibu yale maswali mbona kama umepiga chenga ya mwili

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 9 місяців тому +2

    Aliulizwa maswali kuhusu uwahabi hajajibu😂,leo anatuletea tena kidevu chake kma andazi,huyu ndo maana aliambiwa na ndugu yake wa twariqa mwenye adabu kua amerudia tena bangi😂,ila masuuuufiii😂😂😂

    • @user-zr2pn5uv8b
      @user-zr2pn5uv8b 9 місяців тому

      kipigo alichopewaga kwenye ule mjadala na Sheikh Qassim bado hajakisahau

  • @allyhabibu3746
    @allyhabibu3746 9 місяців тому

    mashallah ❤❤
    allah amrehm shekh letu shekh muhammad abubakar al burhan
    allah akuhifadh pya shekh abuu eidi

  • @athumankalua501
    @athumankalua501 9 місяців тому +2

    Tunakuombeaa Allah usimame juu ya kuwasambalatishaa mawahabi

    • @MusaMkata
      @MusaMkata 9 місяців тому

      Ubavu huo hana hata kdg mtu wa bidaa hawezi kumtengua mtu wa haqq

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 9 місяців тому +1

    Maulid ni Nini? Je Mtume Muhammad ametuachia maulid?je Maswahaba waliitambua Mawlid?

  • @user-xn3kz4mc4v
    @user-xn3kz4mc4v 9 місяців тому

    Hawajui hao

  • @FarajiAbdallah-yw2wn
    @FarajiAbdallah-yw2wn 9 місяців тому +2

    بورکت یا ابو عید کلام الراٸعة بارک الله فیکم

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 9 місяців тому +2

      یا أبا عید
      wacha kuvamia luga usomakinika nayo !! sema yaa Abaa Eid

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 9 місяців тому

      Kumbe ni يا af kisha ابو 😂😂😂😂
      يا أبا.......

    • @tellackyabdul9312
      @tellackyabdul9312 9 місяців тому

      ​@@ayububakari9942
      بارك الله فيك أخي

  • @bashirusalumbigapsana673
    @bashirusalumbigapsana673 9 місяців тому

    Nakuelewa sana mzee wangu

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 9 місяців тому

    Amekudhuru aliekuhadaa abuu sikukuu

  • @shaabansheehabdallah8770
    @shaabansheehabdallah8770 9 місяців тому

    SubhannAllah umesema kweli sheikh, kumbe mumerithi maulid kwa masheikh na wazee wenu???? Poleni saana matwariqa. Tafuteni elimu kutoka kwa Mtume Muhammad Swallallahu Alleyhi Wassallaam nyie

  • @IbrahMiracle-em4sh
    @IbrahMiracle-em4sh 9 місяців тому

    Mamaa abuu idd baada yakuaibika mda mrefu ety kaamua kuja kupiga porojo tena pole utajibiwa vzr tena uje ujikanyage kama ulivo jikanyaga kama mtt mdogo

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify 9 місяців тому

    Ndio dhehebu lao ni qaala-llaah wa qaala-rrasuul kwa ufahamu wa wema waliotangulia(maswahaba, mataabi'i na mataabi'i taabi'iina) .
    Umesema sawa shekhe wa mnyamani.

  • @MuslimYussuf
    @MuslimYussuf 9 місяців тому +1

    Ww jubu huja nyie makhuraf munajua kuchamba tu lakin hamna elim

  • @salumhamed5074
    @salumhamed5074 9 місяців тому

    Umechelewa sana

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 8 місяців тому

    Msikilize shekh muhammad ayyub Allah amrehem amsamehe
    ua-cam.com/video/bpgl_cLmZKY/v-deo.htmlsi=tx8yrbzeKC8xH0Iv

  • @user-in2lg9oq3h
    @user-in2lg9oq3h 9 місяців тому

    Upo sahihi lakini vipi waislam kua na hospital, university, mahakama ya Kadhi hayo ndy mambo ya msingi coz waislam wengi wanapesa

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 9 місяців тому +2

    Tatizo Lako hukawiii kukimbia,sisi tunataka ubaki na sisi mawaHabi Hadi mwisho

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 9 місяців тому +1

      NYINYI KUNA MWENYE ILMU AKIMBIE MAWAHABI, TUFANYE MJADALA MM NA WW UTAKAPO KWA MADA UTAKAYO

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 9 місяців тому

      Yani mawahabi wanapenda kujikweza .hivi nyinyi mnahoja kweli za kumkimbiza mtu

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 9 місяців тому

      @@abiabi9353 wee kwenye mambo ni mgeni ndugu,huyu Muhammad iddi alikuwa na mjadala na Qassin mafuta,alikimbia huyu Muhammad iddi

    • @SaidKondo-rw8wb
      @SaidKondo-rw8wb 9 місяців тому

      @@Ahmadasshii-raazy8888 mwenye elimu haongei kama wewe,hii sio siasa kwa kusikiliza sana mijadala na wewe Sasa una hoja za kuzungumza,hii ni dini tuliza mihemko hapa tunatafuta kitu chenye thamani kubwa .

  • @daudaathman8229
    @daudaathman8229 9 місяців тому +1

    Omba munaaqasha na Sheikh Mafuta ukipate.

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995 9 місяців тому

    Allah akuhifadhi sheikh elimu nzuri sana umetoa

  • @ishakakhalid
    @ishakakhalid 9 місяців тому

    MITANDAO BADO INAREKODI MASWALI HOJA 19. HAZIJAJIBIWA.. JIBUUUUUU😂😂😂😂😂

  • @jordan.3109
    @jordan.3109 9 місяців тому +1

    Mashia mtapiga kelele sana watu washaelewa Sunnah

  • @HassanJamada-pf4jt
    @HassanJamada-pf4jt 9 місяців тому

    Mzee jibu Yale maswali 10 uliyoulizwa kwanza ndio uingilie kadhia hii
    Ama kweli umekutana na mwamba usiopasuliwa na baruti ukakimbia kimyakimya mpk tukadhani haupo , kumbe upoo!
    JIBU MASWALI 10 ULIYOULIZWA NDIO UJICHANGANYE NA HUKU

  • @MuslimYussuf
    @MuslimYussuf 9 місяців тому +1

    Sasa wachamba aw wajibu huja hatutaki maneno jibu huja

  • @abuuyusra6139
    @abuuyusra6139 9 місяців тому +2

    Tatizo lako mzee auchelewi kukimbia tulizani umekufa kumbe uwahai unaonaje sasa tukaanza pale kwenye maswali ulioulizw ukayajibu kisha ndo mkaanza maadaiii

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 9 місяців тому +1

    Usisahau zile hoja za Mawlidi Bado hujajibu
    Na usije ukakimbia kama ulivyo kimbia mwanzo

  • @rashidimatiwili7585
    @rashidimatiwili7585 9 місяців тому +2

    Uozo mtupu,na sharubu hizo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 9 місяців тому +1

    HUNA UBAVU WA KUMJIBU KASSIM MAFUTA INGALAU WOOTE MMEKUTANA WAPUMBAVU NA WAJINGA😂😂😂

  • @jumaajambiamusa8214
    @jumaajambiamusa8214 9 місяців тому

    maashaaallaaah ndug shekh wangu mola akujaze heri

  • @yusuphsaad4349
    @yusuphsaad4349 9 місяців тому

    Shukran sheikh Abuu idd... Upo sahihi sana

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 9 місяців тому +2

    Ao mawahabi sindo vbaraka wa mayahudi

  • @mwalimuyussuph6469
    @mwalimuyussuph6469 9 місяців тому +1

    WE KUBAKIZA SHARUBU HUO SIO MTASHADIDI?

  • @TheIslam1681_
    @TheIslam1681_ 9 місяців тому

    Mudi idi anza kufuga ndevu kwanza. Makhurafi alama yenu kubwa kunyoa ndevu. Hebu someni kwanza muone Mtume alivyoamrisha kufuga ndevu, wasomeni maswahaba walizishika vp sunna za mtume. Sio mnapenda kula ubwabwa wa maulidi na khitma.

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 9 місяців тому +1

    Sheikh Abu Eid unakaa kimya sana unatukosea sana tunaishi kama wanyonge

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 9 місяців тому

      Sheikh wako amerithi maulid kwa masheikh zake si ibada bali ni mira 😅 msikilize vizuri Sheikh wako Ana hoja zaifu sana

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 9 місяців тому

      Kumswalia mtume si ibada basi ibada nini?

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 9 місяців тому

      @@shabansaid2323 kwanza unajua jinsi ya kumswalia mtume mohammad ( S.A.W ) tuanzie hapo sababu mtume mwenyewe ametoa maelekezo jinsi ya kumswalia na laukama utajua jinsi ya kumswalia mtume huwezi kua mtu wa maulid kwasababu Said jafar barzanji amejichanganya mwenyewe kwenye kitabu chake za barzanji kuna upuuzi wa kila aina ameandika tatizo Africa wengi hawajui kiarabu that's why Said jafar barzanji ametumia uwo mwanya kupotosha umma

    • @husseinsaid8021
      @husseinsaid8021 9 місяців тому

      @@shazyahya4121 Kumswalia Mtume ni bidaa?

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 9 місяців тому

      @@husseinsaid8021 kumswalia mtume ni ibada lakn unamswalia kwa taratibu zipi na kwa maelekezo gani mtume mwenye ameshaelekeza jinsi ya kumswalia

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 9 місяців тому +1

    Kwa kheri

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 9 місяців тому

    Jisufi LOPOLOPO

  • @fatibra7768
    @fatibra7768 9 місяців тому +2

    Shehe aumwa na uharo. Hatuliiii.

    • @malikiwaziri3429
      @malikiwaziri3429 9 місяців тому

      Huku ni kukosa adabu Kwa mashekh zetu,kweli uwahabi umekuja kugawa waislamu Hadi unaandika hv Kwa shekh kama huyu,subhaanallah

    • @mwalimjecha6893
      @mwalimjecha6893 9 місяців тому +1

      Wewe hujijui hujitambui

    • @mwalimjecha6893
      @mwalimjecha6893 9 місяців тому

      Wewe hujijui hujitambui

    • @fatibra7768
      @fatibra7768 9 місяців тому +1

      @@malikiwaziri3429 Ahsanteeeeeeeeeee kijana mweny adabu kwa mashaaikh

    • @mwalimjecha6893
      @mwalimjecha6893 9 місяців тому

      Wewe hujijui hujitambui

  • @AbdulkarimKiza-rn3fh
    @AbdulkarimKiza-rn3fh 9 місяців тому

    Sheikh Muhammed iddi mche ALLAH unasema mawahabi wana shikilia msimamo wao hawataki msimamo wao tu hawataki kauli nyingine, mbona unakosa uadilifu kiasi hicho, sio wewe uliyesema kua mwezi wa kimataifa haupo hauwezekani na hautekelezeki, na ukasema kua wenye msimamo huo ni wapotoshaji, huoni kama wewe ndo mutashaddid?

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban6118 9 місяців тому

    Huyu kaja tena wakati hajajibu maswali alopewa na Shaykh Kassim Mafuta....

  • @user-eb9ch5vt1e
    @user-eb9ch5vt1e 9 місяців тому

    Acha kueneza chuki mzee alafu soma maan ulivokuwa jahili huko nyuma umeweka picha 😭 Allah mustaan

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 9 місяців тому +1

    Hakki hukaa juu wala haikaliwi juu

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp 9 місяців тому +1

    Na makafiri walisema mtume aliwakuta watu ni wamoja ( ktk batili zao) akawagawa, je sawa nisawa kusema ujinga kama huu

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 9 місяців тому +3

    Tena hilo ni kosa kubwa walilolifanya mashekh wa kitwariqa kukaa kmya ilhali mawahabi wanapotosha watu ndio maana sai uwahabi umekua sio kma zamani lau ingekua wanarudiwa maneno yao bc ingekua mpk leo hawajulikani mawahabi kwaio twaomba sai hakuna kulegeza lazima waekwe sawa mawahabi na elimu zao finyu

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 9 місяців тому

      UMESEMA KWELI NDUGU YANGU ALLAH AKUHIFADHI

    • @TheAmadoni
      @TheAmadoni 9 місяців тому +1

      Sio wamekaa kimya, ni majibu hawana... Kama Abu Eid atatoa hii, atajibiwa, kisha atakimbia tena pia yeye awe offline kama alivyo kua

    • @allylassuh4947
      @allylassuh4947 9 місяців тому

      @@TheAmadoni majibu yako tele tena sana kwa wingi ndio maana hata mkiitishwa debate mnakimbia wengine hata kuonekanwa hawataki wanaogopa njiani kuulizwa maswali

  • @aliyabasi2058
    @aliyabasi2058 9 місяців тому

    Abu idd jibu maswali uliyoulizwa na sheikh Qasim mafuta kipindi kile cha kadhia ya mwezi muandamo na kadhia ya uwahabi

    • @user-yr1ig9ub3i
      @user-yr1ig9ub3i 9 місяців тому

      Akadhani tumesahau ajibu kwanza kabla ya kuanza kulalamika

  • @khamisothman1154
    @khamisothman1154 9 місяців тому +2

    UPUUZI MTUPU

  • @Abunajiiharruhaily
    @Abunajiiharruhaily 9 місяців тому

    Shekhe muhammad iddy haya maneno ya shekhe kassim mafuta utayaweka wapi :
    ومذهب الشافعي مناط دروسنا * عليه نأصل المسائل ربما !?
    Fanya bahthi usikurupuke katika mambo ya hukmu

  • @mustafaramadhan5941
    @mustafaramadhan5941 9 місяців тому

    Yaani jamaa ana matatizo yasiyoelezeka hapa duniani hakujibu hoja alizoulizwa na Qassim mafuta ss kaamua kuja na upuuzi mwengine na akibainishiwa usawa anakimbia tena miaka mitano km alivyokimbia kujibu hoja huku nyuma zaidi ya miaka miwili ss
    Shortly tumechoka na ubabaishaji wako muhammad iddy

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 9 місяців тому

    UMEVAA PETE KWENYE VIDOLE VYA MKONO WA KUSHOTO MTUME ALIVAA PETE NI SUNNA KUTOKANA NA UELEWA WAKO MDOGO WA ELIMU HUKUFAHAMU

  • @Mabahdl
    @Mabahdl 9 місяців тому +2

    Akili yako haiko sawa nyie mloacha sunna za mtume ndo mlogawa watu wala siyo watu wa sunna

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 9 місяців тому

      Kuna sunna ya kutukana wanazuoni

  • @swalehejuma6611
    @swalehejuma6611 9 місяців тому

    Dini hailazimishwi, wala hakuna utofauti wa uadui kama unavyodai. Hao mawahabi ni nani nani?! mtutajie, na nini uwahabi? Hao mawahabi wanasimamia nini. Tafadhali tueleze kwanza kuhusu uwahabi na mawahabi ili tuchague wenyewe

  • @AbuFawzaanAlly
    @AbuFawzaanAlly 9 місяців тому

    Umerudi tena ukiwa vile vile
    Sasa ngoja majibu yako kutoka kwa Sheikh... in Shaa ALLAAH

  • @user-zx2yd4bl2x
    @user-zx2yd4bl2x 9 місяців тому

    UISLAMU SI DINI YA MASHEKHE NI QURANI na SUNNA - TATIZO WEWE HUJIELEWI

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 9 місяців тому

      Ww ndo hujielewi Kuna jengine hujalidhihirisha hpo umeweka viwili tu

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 9 місяців тому +1

    Hivi wa bantu wa Tanzania na Afrikaans mtajielewa lini? Hoja za hovyo ndizo mnazokalia

  • @qussayribnommar511
    @qussayribnommar511 8 місяців тому

    Kumbe Mawld Mmerithi Sio Kwamba Yana Dalili Pumbavu Kabisa😂😂😂😂😂

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv2703 9 місяців тому +2

    Sasa ndio hoja hizo mbona unaaibisha umma

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 9 місяців тому

      As salaam alaikum warahmatullahi wabarakatu
      ndugu ili utoe hoja kwnza uwe nazo km hauna na hutk kukubali haqq ndo unakua km huyu mzee allah amuongoze na ampe taufik ykufuata haqq

  • @user-go3bk6wr8u
    @user-go3bk6wr8u 9 місяців тому

    Tatizo la hawa mashekh mpunga(ahlul bida)ni njaa inawasumhua hawana haja ya dini,msingi ni maulidi tuu.

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 9 місяців тому

    😂😂😂😂 Shukrani

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 9 місяців тому

    YAANI SHEIKH ABUU IDD UNAZUNGUMZA KAMA ULOPITA MOYONI MWANGU

    • @DonadiMwapule-he1je
      @DonadiMwapule-he1je 9 місяців тому

      Kwa hiyo umeamua kupiga Ramli eti kuna siku watakuwa na mufti wao.au unataka serikali iwashike? Nimeelewa kwanini Mashekh wengi wanapotea

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 9 місяців тому

      ​@@DonadiMwapule-he1jeWW NI MUISLAMU AMA?

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed 9 місяців тому +1

    Sheikh hapo kuwa wahabi hana nidhamu nakupa100%

  • @OmarAbuumuwiya-kw3ij
    @OmarAbuumuwiya-kw3ij 8 місяців тому

    Maulidi ni sunna ya nani na nani aliamrisha hayo maulidi

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 9 місяців тому +1

    Mbona umefuga masharubu kama mayahudi?

  • @tellackyabdul9312
    @tellackyabdul9312 9 місяців тому

    Yaani yoote hayaaa kumbe wataka kumnusuru sheikh wako, Muhammad bakari???? 😂😂😂😂 allah amghufirie, wazunguka zunguka si useme tu umekuja kumtetea mwalimu wakoo......