Alhmdulilah allaah akuifadhi zaidi shekhe abu idi kazi unayo fanya nikubwa twapaswa kukupongeza na kukuombeya saidi kwa allaah akuifadhi. unafanya hivyo kunusuru watu wasipotezwe nikazi kubwa sana allaah atakulipa. mimi ni mjukuku wa shekhe muhammad ayubu nimefundishwa kutoka kwa mwanafunzi aliye soma kwa shekhe muhammad ayubu.lazima nikupongeze na kukuombeya kwa allaah akuifadhi saidi.kazi unayo fanya nikubwa.allaah akuifadhi.na kila shari zote.
Shekh Muhammad idi usikae kimya muda mrefu . Tuna kupenda sana mwenyezi mungu akulipe, au refushe uhai wako katika kheri, akulipe na atulipe pepo ya juu aaamiin
@@abiabi9353 we labda ndio umenunuliwa smart phone juzi tafuta mijadala kuhusu mwezi muandamo akijadiliana na Sheikh abulfadhli qaasim mafuta Allah amuhifadhi uone alivyokimbia AKIDAI AMEKATAZWA NA WAZEE WAKE !!
Asante sana sheikh wetu kazi yako ni nzuri sana yakupambana na mawahabi.kwa kweli wamemwaga damu za waislamu kuwagawanya waislamu na kuwaingiza katika shirki ya kuabudu miungu mitatu wakishikiana na mayahudi na waengeza.
Jamaa ananifurahisha sana, eti mawahabi walivyojipanga ipo siku watakuwa na muft wao na sikukuu yao. Maa shaAllah Hii inaonyesha ni namna gani haqi inavyo eleweka na inavyo kuwa juu na hii yote ni tawfiq ya Allah baada ya waislam kushajihishwa kusoma dini yao.
Allah akujalie uendelee kujibu kwasababu watu wengi wasiojua sunna na bidaa wata bainikiwa na mambo mengi yalio zushwa ktk dini, na mawahabi nao wakibainisha basi sisi wanafunzi ambao tunajifunza dini yetu huwa tuna pata faida kwasababu yanaletwa majibu yenye nguvu kwadalili kutoka ktk Quran na sunna na ndicho tunacho kitaka
UNGENIVUTA KWENYE MAULID KAMA UNGESEMA WATAKA KUYAFUTA MAULID MAWAHABI TULIOACHIWA NA MTUME (S A W)LAKINI WASEMA TUMEACHIWA NA BABU ZETU NA MASHEIKH WETU INA MAANA MTUME HAKUFANYA ZIRO HAPO
Lakini masufi mnatatiza Sana wafuasi wenu amejibiwa Shekhe lenu Alburhaaan mnalia kwamba "ooh anajibiwa hadi alie kufa" kwani nyinyi mkimsema vibaya ibn taimiyya mmesahau kua na yeye amekufa! Mizani yenu inapima vipi mbona hamna uadilifu,,,,, ndo mana mtaendelea kuwakosa vijana wengi ktk huo usufi wenu kwasababu watu welevu wanataka hoja na dalili sio porojo na michezo
Aliulizwa maswali kuhusu uwahabi hajajibu😂,leo anatuletea tena kidevu chake kma andazi,huyu ndo maana aliambiwa na ndugu yake wa twariqa mwenye adabu kua amerudia tena bangi😂,ila masuuuufiii😂😂😂
Kwa hiyo Tofauti za ki FIQHI ni kuwagawa waislaamu? Yaani ulitaka watu wafuatane hata kwenye makosa kwa hiyo baba angu akiwa mtu wa Mawlid lazima na mimi niwe mtu wa Mawlid? Sasa ndo hoja gani hizo? Unaacha kuwabainisha ma Shia wanawatusi maswahaba kila kukicha, unakuja kuwazungumzia Salafiyuun? Harakati zako hazina afya ni kupoteza muda tu bora ukae darsa usomeshe hao unaowaita mawahabi wako busy kusomesha watu dini katika maraakiz zao ndio maana huoni UA-cam wakiwasha Cameras kuongea ongea bila issue maalum acha ushekhe wa matukio.
Kwani nyie mawahabi ikiwa kama kweli mpo sahihi sini sawa kama mtazungumzia kuusu hao maswahaba kutukanwa na watu watwarika kuzumzia maulid kuli kuwatusi wanachuoni na kuwaita makafiri.
SubhannAllah umesema kweli sheikh, kumbe mumerithi maulid kwa masheikh na wazee wenu???? Poleni saana matwariqa. Tafuteni elimu kutoka kwa Mtume Muhammad Swallallahu Alleyhi Wassallaam nyie
HII NI MUHIMU SANA MUHAMMAD IDI AMKIMBIA SHEKH KASIMU MAFUTA SIKILIZA HII HAPA ILI UPATE FAIDA ZAIDI NA UJUE KILICHO MKIMBIZA MUHAMMAD IDI ua-cam.com/video/NxsrfgsvPXw/v-deo.htmlsi=-Q-lTcDHz8rFok8H
@@Ahmadasshii-raazy8888 mwenye elimu haongei kama wewe,hii sio siasa kwa kusikiliza sana mijadala na wewe Sasa una hoja za kuzungumza,hii ni dini tuliza mihemko hapa tunatafuta kitu chenye thamani kubwa .
@@shabansaid2323 kwanza unajua jinsi ya kumswalia mtume mohammad ( S.A.W ) tuanzie hapo sababu mtume mwenyewe ametoa maelekezo jinsi ya kumswalia na laukama utajua jinsi ya kumswalia mtume huwezi kua mtu wa maulid kwasababu Said jafar barzanji amejichanganya mwenyewe kwenye kitabu chake za barzanji kuna upuuzi wa kila aina ameandika tatizo Africa wengi hawajui kiarabu that's why Said jafar barzanji ametumia uwo mwanya kupotosha umma
Ndio dhehebu lao ni qaala-llaah wa qaala-rrasuul kwa ufahamu wa wema waliotangulia(maswahaba, mataabi'i na mataabi'i taabi'iina) . Umesema sawa shekhe wa mnyamani.
Mamaa abuu idd baada yakuaibika mda mrefu ety kaamua kuja kupiga porojo tena pole utajibiwa vzr tena uje ujikanyage kama ulivo jikanyaga kama mtt mdogo
Yaani jamaa ana matatizo yasiyoelezeka hapa duniani hakujibu hoja alizoulizwa na Qassim mafuta ss kaamua kuja na upuuzi mwengine na akibainishiwa usawa anakimbia tena miaka mitano km alivyokimbia kujibu hoja huku nyuma zaidi ya miaka miwili ss Shortly tumechoka na ubabaishaji wako muhammad iddy
Mzee jibu Yale maswali 10 uliyoulizwa kwanza ndio uingilie kadhia hii Ama kweli umekutana na mwamba usiopasuliwa na baruti ukakimbia kimyakimya mpk tukadhani haupo , kumbe upoo! JIBU MASWALI 10 ULIYOULIZWA NDIO UJICHANGANYE NA HUKU
Tena hilo ni kosa kubwa walilolifanya mashekh wa kitwariqa kukaa kmya ilhali mawahabi wanapotosha watu ndio maana sai uwahabi umekua sio kma zamani lau ingekua wanarudiwa maneno yao bc ingekua mpk leo hawajulikani mawahabi kwaio twaomba sai hakuna kulegeza lazima waekwe sawa mawahabi na elimu zao finyu
@@TheAmadoni majibu yako tele tena sana kwa wingi ndio maana hata mkiitishwa debate mnakimbia wengine hata kuonekanwa hawataki wanaogopa njiani kuulizwa maswali
Hata hiyo kubadilisha Quran mshajaribu,Kama mmetoa katika Quran Majid mkafanya fatiha kuwa na Aya Saba bila kuongeza Bismillahi,ati Aya ya Saba Ina anzia ghairil maghdhubi alayhim waladhwalin
Umetumia nusu saa bila kuongea la maana. Kwa hii sehemu ya kwanza ingekuwa ni Insha ya shuleni ungepata 0% lakini kwa vile umetumia muda mwingi hadi ukalowa majasho tungekupa alama 1% kwa kujitahidi.
Hujaelewa pia kuwa hii ni sehemu ya kwanza inakuwa kama maelezo ya UTANGULIZI??? Basi wewe ndio upewe uwalimu hata hujaelewa kama hapo upo utangulizi????
Mche allah muogope allah unatafuta uwongozi kwa nguvu muda mrefu ila allah hajataka upate uwongozi unaoutaka umefanya fitna baina ya waisilamu zimekurudia mwenyewe ninamuomba allah kama unakusudia ubaya kwa yoyote bc ubaya huo ukurudie mwenyewe.
Sasa unafiki uko wapi nawakati ametuhumiwa wazi kuwa anahitaji uwongozi na akishindwa hoja anaingia kwenye maisha binafsi ya watu alete hoja mimi bado nakubali maulidi ila huwa sipendi hoja za upande mmoja na huwa sipendi mlinganiaji anae panic maana upoingia kwenye maisha ya watu na kuonyesha kama maadui hiyo siyo sawa
Uislam Unapitia mafunzo kutoka kwa Quran na hadith za mtume maswahaba, maimamu na wanavioni, hakuna dhehebu la maswahaba wala la maimam, dhehebu ni la mtume s.a.w.
Lopo Lopo amiesha funguliwa tena, jamaa halina hoja hata kidogo, hata mtume wetu Muhammad allayh sallam alipowakataza watu waachane na shiriki, aliambiwa anawagawa waislamu, nilijisheikh jinga halina elimu yoyote
Dini hailazimishwi, wala hakuna utofauti wa uadui kama unavyodai. Hao mawahabi ni nani nani?! mtutajie, na nini uwahabi? Hao mawahabi wanasimamia nini. Tafadhali tueleze kwanza kuhusu uwahabi na mawahabi ili tuchague wenyewe
Hao mnao waita mawahabi, niwale ambao wanaisimamisha tauheed na kupinga bida'a Allah atujaalie tuendelee hio njia hadi Kufa. Na hilo jina la mawahabi mnalitunga tu ili kuchafuwa Allah awaongoze
Sheikh Muhammed iddi mche ALLAH unasema mawahabi wana shikilia msimamo wao hawataki msimamo wao tu hawataki kauli nyingine, mbona unakosa uadilifu kiasi hicho, sio wewe uliyesema kua mwezi wa kimataifa haupo hauwezekani na hautekelezeki, na ukasema kua wenye msimamo huo ni wapotoshaji, huoni kama wewe ndo mutashaddid?
Shiekh letu Nakupenda Kupitiliza ,much love from Kenya ,Warekebishe mawahabi waache kupotosha umma .Allah Akuhifadhii na vitimbi vyiao in shaa Allah
Alhmdulilah allaah akuifadhi zaidi shekhe abu idi kazi unayo fanya nikubwa twapaswa kukupongeza na kukuombeya saidi kwa allaah akuifadhi. unafanya hivyo kunusuru watu wasipotezwe nikazi kubwa sana allaah atakulipa. mimi ni mjukuku wa shekhe muhammad ayubu nimefundishwa kutoka kwa mwanafunzi aliye soma kwa shekhe muhammad ayubu.lazima nikupongeze na kukuombeya kwa allaah akuifadhi saidi.kazi unayo fanya nikubwa.allaah akuifadhi.na kila shari zote.
Shekh Muhammad idi usikae kimya muda mrefu . Tuna kupenda sana mwenyezi mungu akulipe, au refushe uhai wako katika kheri, akulipe na atulipe pepo ya juu aaamiin
hawezi atakimbia mda si mrefu...
@@ayububakari9942akimbizwe na nani? Yani mawahabi mnajidanganya sana
Huyu ni asome kwanza ndipo aingie kwa ruduud
@@SugowFarah-up3db mawahabi ndo mkasome hamna mnachojua
@@abiabi9353 we labda ndio umenunuliwa smart phone juzi tafuta mijadala kuhusu mwezi muandamo akijadiliana na Sheikh abulfadhli qaasim mafuta Allah amuhifadhi uone alivyokimbia AKIDAI AMEKATAZWA NA WAZEE WAKE !!
Asante sana sheikh letu kwa mawaidha mazuri. Mungu akupe kauli thabiti na akuondoshee adhabu ya kaburi.
شكرا لك وجزاك الله خيرا
شيخنا الكريم
Asante sana sheikh wetu kazi yako ni nzuri sana yakupambana na mawahabi.kwa kweli wamemwaga damu za waislamu kuwagawanya waislamu na kuwaingiza katika shirki ya kuabudu miungu mitatu wakishikiana na mayahudi na waengeza.
Jamaa ananifurahisha sana, eti mawahabi walivyojipanga ipo siku watakuwa na muft wao na sikukuu yao.
Maa shaAllah Hii inaonyesha ni namna gani haqi inavyo eleweka na inavyo kuwa juu na hii yote ni tawfiq ya Allah baada ya waislam kushajihishwa kusoma dini yao.
Mwenyezi Mungu akupe Umri Mrefu Sheykh Muhammad Iddi
Aaamiin
Jazakallah
Kutoka ndani ya moyo wangu
Nampenda sana sheikh Muhammad abuu Idd
kutoka moyoni simpendi kwa ajili "Allah"
احبك الله الذي احببته فيه
@@ayububakari9942Sasa usipompenda wewe panya mmoja wakiwahabi ndiyo nini?
@@ayububakari9942
KICHAAA WEWE
Maashaallhh
Mungu akulinde nakula baya
ALLAH AKUBAARIQ SANA ... MWLM UMEKAA KIMYA SANA KIASI KWAMBA MAWAHABI WAJIGAMBA UMESHINDWA
Allah akujalie uendelee kujibu kwasababu watu wengi wasiojua sunna na bidaa wata bainikiwa na mambo mengi yalio zushwa ktk dini, na mawahabi nao wakibainisha basi sisi wanafunzi ambao tunajifunza dini yetu huwa tuna pata faida kwasababu yanaletwa majibu yenye nguvu kwadalili kutoka ktk Quran na sunna na ndicho tunacho kitaka
إنا لله وإنا إليه راجعون
Wallahi nashukuru sana Allaaha, Huyu SHEKH WA kibid'a amezikubali jitihada za masafi
Hata ibilis ana jitihada
mashallah ❤❤
allah amrehm shekh letu shekh muhammad abubakar al burhan
allah akuhifadh pya shekh abuu eidi
Hzo hoja alijibiwa,anarudia tena,mwenzio sheikh sameer anatweta hukoo😂
Anapumulia mipira acha kabisaaa
Mimi sijaona kiongozi tanzania hii. Ambaye nikiongozi mkuu wawaisilamu anawaunganisha waisilamu au kuwatetea waisilamu .
ila suudia yupo
Mwendelezo ßhekh
Jazaaka llahu shekh
ASANTE SHEIKH WATU WAMESOMA KWA MASHEIKH ZETU WAO WAMEKUA NA ILMU
HAMNA CHA KUJIBU KWENYE MITANDAO NA NYIE SIO WATU WA KUITUMIKIA DINI.
لا يؤمن احدكم حتى يكون هواه تبعا لما جاء ت به
UNGENIVUTA KWENYE MAULID KAMA UNGESEMA WATAKA KUYAFUTA MAULID MAWAHABI TULIOACHIWA NA MTUME (S A W)LAKINI WASEMA TUMEACHIWA NA BABU ZETU NA MASHEIKH WETU INA MAANA MTUME HAKUFANYA ZIRO HAPO
Allah akuzidishie sheikh letu
Lakini masufi mnatatiza Sana wafuasi wenu amejibiwa Shekhe lenu Alburhaaan mnalia kwamba "ooh anajibiwa hadi alie kufa" kwani nyinyi mkimsema vibaya ibn taimiyya mmesahau kua na yeye amekufa! Mizani yenu inapima vipi mbona hamna uadilifu,,,,, ndo mana mtaendelea kuwakosa vijana wengi ktk huo usufi wenu kwasababu watu welevu wanataka hoja na dalili sio porojo na michezo
Naaaam wajinga hawaa wakisufi
Allah akubarik sana shekhe na Allah akulipe kwa jitihada hii
Nakukubali sana
Sababu za kujibu hoja zao umezibainisha vizuri sana Sheikh.
Umeongea maneno chukuchuku bila Dalili...Elimu yako Ndogo Muhammad Eid
ماشاء الله تبارك الله. الله يعطيك العافيه
SHEKHE ungeanzia asiliyao tangia kipindi cha mtume (saw) mtume aliwatabiri vipi na happy najidi alipotokea muanzilishi wao abdul wahab
utalishwa matangopori mpaka lini
Hhh jamaa atapatapa
بورکت یا ابو عید کلام الراٸعة بارک الله فیکم
یا أبا عید
wacha kuvamia luga usomakinika nayo !! sema yaa Abaa Eid
Kumbe ni يا af kisha ابو 😂😂😂😂
يا أبا.......
@@ayububakari9942
بارك الله فيك أخي
KAZI UNAYO - LKN SUNA IKO PALE PALE
KARIBUNI GROUND
Aliulizwa maswali kuhusu uwahabi hajajibu😂,leo anatuletea tena kidevu chake kma andazi,huyu ndo maana aliambiwa na ndugu yake wa twariqa mwenye adabu kua amerudia tena bangi😂,ila masuuuufiii😂😂😂
kipigo alichopewaga kwenye ule mjadala na Sheikh Qassim bado hajakisahau
Shukran sheikh,
Kweli kabisa shekhe wetu Allah atupe afya njema na nguvu ya kujibu hoja zao hatua kwa hatua.
Mshauri imara asiwe anarudi mambo aliyoshindwa kuyajibu
Uko ulishindwa Iddy?
mdanganyeni tu kwani alishakimbia hapo karudi sababu ya ushabiki wenu !!!
@@DonadiMwapule-he1jetupe mfano wa mambo aliyoshindwa.mawahabi kazi yao ni uongo tu
@@ayububakari9942alikimbia wapi.hivi nyinyi mawahabi mnahoja za kumkimbiza mtu kweli.nyinyi ndo mna historia ya kujikojolea mkisha banwa
Kwa hiyo Tofauti za ki FIQHI ni kuwagawa waislaamu? Yaani ulitaka watu wafuatane hata kwenye makosa kwa hiyo baba angu akiwa mtu wa Mawlid lazima na mimi niwe mtu wa Mawlid? Sasa ndo hoja gani hizo? Unaacha kuwabainisha ma Shia wanawatusi maswahaba kila kukicha, unakuja kuwazungumzia Salafiyuun? Harakati zako hazina afya ni kupoteza muda tu bora ukae darsa usomeshe hao unaowaita mawahabi wako busy kusomesha watu dini katika maraakiz zao ndio maana huoni UA-cam wakiwasha Cameras kuongea ongea bila issue maalum acha ushekhe wa matukio.
SHEIKH WA MCHONGO HUYO HHH
@@abuumaisarah6595 Ana feli sana. Halafu kuna ma jahl wengi wanamsifia kwenye comments.
Kwani nyie mawahabi ikiwa kama kweli mpo sahihi sini sawa kama mtazungumzia kuusu hao maswahaba kutukanwa na watu watwarika kuzumzia maulid kuli kuwatusi wanachuoni na kuwaita makafiri.
@@KhamisiOmar-v3h Mwanazuoni gani kaitwa Kaafiri?
@@KhamisiOmar-v3h Na wewe unavyotuita ma Wahabi unajua unaponda kumbe unatukweza "Al-Wahhab" ni katika majina ya ALLAH.
Umerudi tena ukiwa vile vile
Sasa ngoja majibu yako kutoka kwa Sheikh... in Shaa ALLAAH
Hahaha
Sina shaka akijibiwa majlis moja tuuuuu anakimbia
amna kitu mawahabi so watu wa maaana kabixa wanajionyesha sana
huyu kichwa ngumu sana kujibu maswali hawezi na ha hajajibu
ule mjadala wako na Sheikh Qassim Mafuta ungeupitia tena ujibu yale maswali mbona kama umepiga chenga ya mwili
Muhammad iddi kaka ,maulid yapo madhehebu Gani? Kama mawaHabi hawana madhehebu,
Hata kiongozi wenu kafiri ibn taymiyah pia anayakubali maulidi
@@abiabi9353 weee jamaaa hiii dini,sio mpira usifanye hivo,usiseme hivo ,kama hujui kitu nyamaza,umekosea kaka ,usimkufurishe mtu.ni jambo kubwa,hiii dini ni taaluma ,
Alafu sheikh ukizungumzia uislamu toa uraia wako, uislamu hauna mipaka ya kiichi za kitwaut
SubhannAllah umesema kweli sheikh, kumbe mumerithi maulid kwa masheikh na wazee wenu???? Poleni saana matwariqa. Tafuteni elimu kutoka kwa Mtume Muhammad Swallallahu Alleyhi Wassallaam nyie
Jisufi LOPOLOPO
HII NI MUHIMU SANA MUHAMMAD IDI AMKIMBIA SHEKH KASIMU MAFUTA
SIKILIZA HII HAPA ILI UPATE FAIDA ZAIDI NA UJUE KILICHO MKIMBIZA MUHAMMAD IDI
ua-cam.com/video/NxsrfgsvPXw/v-deo.htmlsi=-Q-lTcDHz8rFok8H
HUYU SHEKH AKIKOSAGA MASLAHI BAKWATA HUWA ANAWASHAMBULIA SI KAWAIDA..
Uislamu hauna dhehebu, dhehebu la muislamu ni kufuata mtume s.a.w.
ulimuona mtume ? au umeyapata mafunzo wapi ya dini bila kupitia wema na kwawatu ndio mdhehebu mamepatikana shika faida hiyo.
Nakuelewa sana mzee wangu
Ao mawahabi sindo vbaraka wa mayahudi
Umechelewa sana
Tatizo Lako hukawiii kukimbia,sisi tunataka ubaki na sisi mawaHabi Hadi mwisho
NYINYI KUNA MWENYE ILMU AKIMBIE MAWAHABI, TUFANYE MJADALA MM NA WW UTAKAPO KWA MADA UTAKAYO
Yani mawahabi wanapenda kujikweza .hivi nyinyi mnahoja kweli za kumkimbiza mtu
@@abiabi9353 wee kwenye mambo ni mgeni ndugu,huyu Muhammad iddi alikuwa na mjadala na Qassin mafuta,alikimbia huyu Muhammad iddi
@@Ahmadasshii-raazy8888 mwenye elimu haongei kama wewe,hii sio siasa kwa kusikiliza sana mijadala na wewe Sasa una hoja za kuzungumza,hii ni dini tuliza mihemko hapa tunatafuta kitu chenye thamani kubwa .
MITANDAO BADO INAREKODI MASWALI HOJA 19. HAZIJAJIBIWA.. JIBUUUUUU😂😂😂😂😂
Sheikh Abu Eid unakaa kimya sana unatukosea sana tunaishi kama wanyonge
Sheikh wako amerithi maulid kwa masheikh zake si ibada bali ni mira 😅 msikilize vizuri Sheikh wako Ana hoja zaifu sana
Kumswalia mtume si ibada basi ibada nini?
@@shabansaid2323 kwanza unajua jinsi ya kumswalia mtume mohammad ( S.A.W ) tuanzie hapo sababu mtume mwenyewe ametoa maelekezo jinsi ya kumswalia na laukama utajua jinsi ya kumswalia mtume huwezi kua mtu wa maulid kwasababu Said jafar barzanji amejichanganya mwenyewe kwenye kitabu chake za barzanji kuna upuuzi wa kila aina ameandika tatizo Africa wengi hawajui kiarabu that's why Said jafar barzanji ametumia uwo mwanya kupotosha umma
@@shazyahya4121 Kumswalia Mtume ni bidaa?
@@husseinsaid8021 kumswalia mtume ni ibada lakn unamswalia kwa taratibu zipi na kwa maelekezo gani mtume mwenye ameshaelekeza jinsi ya kumswalia
Tunakuombeaa Allah usimame juu ya kuwasambalatishaa mawahabi
Ubavu huo hana hata kdg mtu wa bidaa hawezi kumtengua mtu wa haqq
Uko sahihi sana Muhammad iddi
Amekudhuru aliekuhadaa abuu sikukuu
😂😂😂abuu man???😂
Mashia mtapiga kelele sana watu washaelewa Sunnah
Yup shia guns elim hujui hata kutofatish
Yup shia guns elim hujui hata kutofatish
Ungejibu kwanza majibu uloulizwa, sasa naona umekuja kwa stayl nyingen
Ndo namshangaa...
Ndio dhehebu lao ni qaala-llaah wa qaala-rrasuul kwa ufahamu wa wema waliotangulia(maswahaba, mataabi'i na mataabi'i taabi'iina) .
Umesema sawa shekhe wa mnyamani.
Mamaa abuu idd baada yakuaibika mda mrefu ety kaamua kuja kupiga porojo tena pole utajibiwa vzr tena uje ujikanyage kama ulivo jikanyaga kama mtt mdogo
HOJA MFU KABISA HIZO KUSEMA MAWAHABI WANA MASHKH ZAO WKT SHKH WENU WA KISUFI KIDAWA JUZI KAVIKATAA VITABU VYA MASHEKH ETI NI BIDAA KUVISOMA...
😂😂😂😂 Shukrani
Hawajui hao
Allah akuhifadhi sheikh elimu nzuri sana umetoa
Shehe aumwa na uharo. Hatuliiii.
Huku ni kukosa adabu Kwa mashekh zetu,kweli uwahabi umekuja kugawa waislamu Hadi unaandika hv Kwa shekh kama huyu,subhaanallah
Wewe hujijui hujitambui
Wewe hujijui hujitambui
@@malikiwaziri3429 Ahsanteeeeeeeeeee kijana mweny adabu kwa mashaaikh
Wewe hujijui hujitambui
HUNA UBAVU WA KUMJIBU KASSIM MAFUTA INGALAU WOOTE MMEKUTANA WAPUMBAVU NA WAJINGA😂😂😂
Msikilize shekh muhammad ayyub Allah amrehem amsamehe
ua-cam.com/video/bpgl_cLmZKY/v-deo.htmlsi=tx8yrbzeKC8xH0Iv
Yaani jamaa ana matatizo yasiyoelezeka hapa duniani hakujibu hoja alizoulizwa na Qassim mafuta ss kaamua kuja na upuuzi mwengine na akibainishiwa usawa anakimbia tena miaka mitano km alivyokimbia kujibu hoja huku nyuma zaidi ya miaka miwili ss
Shortly tumechoka na ubabaishaji wako muhammad iddy
Shekhe miaka hiyo uliyoitaja kulikuwako mashekhe wengi waliopiga vita maulidi akiwemo Sheikh Abdallah Salah Farisy na Nasor Bachu Allah awarehemu wote
Huyu bwana hawezi kujibu hoja wallah anatapatapa TU
Yaan kwakuhama madam huyu hajamb
Mzee jibu Yale maswali 10 uliyoulizwa kwanza ndio uingilie kadhia hii
Ama kweli umekutana na mwamba usiopasuliwa na baruti ukakimbia kimyakimya mpk tukadhani haupo , kumbe upoo!
JIBU MASWALI 10 ULIYOULIZWA NDIO UJICHANGANYE NA HUKU
maashaaallaaah ndug shekh wangu mola akujaze heri
Upo sahihi lakini vipi waislam kua na hospital, university, mahakama ya Kadhi hayo ndy mambo ya msingi coz waislam wengi wanapesa
Usisahau zile hoja za Mawlidi Bado hujajibu
Na usije ukakimbia kama ulivyo kimbia mwanzo
Hakki hukaa juu wala haikaliwi juu
UISLAMU SI DINI YA MASHEKHE NI QURANI na SUNNA - TATIZO WEWE HUJIELEWI
Ww ndo hujielewi Kuna jengine hujalidhihirisha hpo umeweka viwili tu
Uislamu hauna madhehebu, but muislamu dhehebu lake ni kufuata mitume wetu mohd s.a.w ndio dhehebu la muislamu.
Andika jina la Mtume wetu kwa heshima sio "mohd" ni MUHAMMAD SWALA ALLAHU ALAIH WASALAM
Kasome we Bado Mjinga hujui ata dhehebu ni nini ? ivyo vitabu Vya fiqhi vyote Uwe unasoma muqaddimah ujue kua Kuna madh habi
Tena hilo ni kosa kubwa walilolifanya mashekh wa kitwariqa kukaa kmya ilhali mawahabi wanapotosha watu ndio maana sai uwahabi umekua sio kma zamani lau ingekua wanarudiwa maneno yao bc ingekua mpk leo hawajulikani mawahabi kwaio twaomba sai hakuna kulegeza lazima waekwe sawa mawahabi na elimu zao finyu
UMESEMA KWELI NDUGU YANGU ALLAH AKUHIFADHI
Sio wamekaa kimya, ni majibu hawana... Kama Abu Eid atatoa hii, atajibiwa, kisha atakimbia tena pia yeye awe offline kama alivyo kua
@@TheAmadoni majibu yako tele tena sana kwa wingi ndio maana hata mkiitishwa debate mnakimbia wengine hata kuonekanwa hawataki wanaogopa njiani kuulizwa maswali
Tatizo lako mzee auchelewi kukimbia tulizani umekufa kumbe uwahai unaonaje sasa tukaanza pale kwenye maswali ulioulizw ukayajibu kisha ndo mkaanza maadaiii
Maulid ni Nini? Je Mtume Muhammad ametuachia maulid?je Maswahaba waliitambua Mawlid?
Ati mawahabi wakiachwa watafuta maulid, mimi nilidhani watafuta Quran.
Hata hiyo kubadilisha Quran mshajaribu,Kama mmetoa katika Quran Majid mkafanya fatiha kuwa na Aya Saba bila kuongeza Bismillahi,ati Aya ya Saba Ina anzia ghairil maghdhubi alayhim waladhwalin
@@zeitunMohammed...Kweli wamejaribu ....Maulidi tutayasoma mpaka Kiama walijue hilo!!
Kazi wanayo!
Mpaka leo unanyoa ndevu style ya O'' vipi unaweza kuongea haki watu wakakuelewa.. Allah akufaamishe haki uweze kuifata
Mudi idi anza kufuga ndevu kwanza. Makhurafi alama yenu kubwa kunyoa ndevu. Hebu someni kwanza muone Mtume alivyoamrisha kufuga ndevu, wasomeni maswahaba walizishika vp sunna za mtume. Sio mnapenda kula ubwabwa wa maulidi na khitma.
Umetumia nusu saa bila kuongea la maana. Kwa hii sehemu ya kwanza ingekuwa ni Insha ya shuleni ungepata 0% lakini kwa vile umetumia muda mwingi hadi ukalowa majasho tungekupa alama 1% kwa kujitahidi.
KAMA WW HUFAI HATA KUMSAHIHISHA ST 1
Kama akili yako mbovu utamuelewaje shekhe
Hujaelewa pia kuwa hii ni sehemu ya kwanza inakuwa kama maelezo ya UTANGULIZI??? Basi wewe ndio upewe uwalimu hata hujaelewa kama hapo upo utangulizi????
Acha kueneza chuki mzee alafu soma maan ulivokuwa jahili huko nyuma umeweka picha 😭 Allah mustaan
WE KUBAKIZA SHARUBU HUO SIO MTASHADIDI?
Shukran sheikh Abuu idd... Upo sahihi sana
Mche allah muogope allah unatafuta uwongozi kwa nguvu muda mrefu ila allah hajataka upate uwongozi unaoutaka umefanya fitna baina ya waisilamu zimekurudia mwenyewe ninamuomba allah kama unakusudia ubaya kwa yoyote bc ubaya huo ukurudie mwenyewe.
Ndugu unadanganya waisilamu wewe nimnafiki
Hoja zako za hivyo una roho ndogo nenda ukasome
Sasa unafiki uko wapi nawakati ametuhumiwa wazi kuwa anahitaji uwongozi na akishindwa hoja anaingia kwenye maisha binafsi ya watu alete hoja mimi bado nakubali maulidi ila huwa sipendi hoja za upande mmoja na huwa sipendi mlinganiaji anae panic maana upoingia kwenye maisha ya watu na kuonyesha kama maadui hiyo siyo sawa
BID'A ZA MAULIDI ZITAFUTIKA NA ATAKAYE ENDA MPAKA SASA ANAJUA KUWA NI TARATIBU ZA KUYAHUDI NA KINASWALA.
Mbona mlipopewa nafasi ya kueleza hoja zenu Mombasa mlishindwa mkaishia kujikojolea tu
Uislam Unapitia mafunzo kutoka kwa Quran na hadith za mtume maswahaba, maimamu na wanavioni, hakuna dhehebu la maswahaba wala la maimam, dhehebu ni la mtume s.a.w.
YAANI SHEIKH ABUU IDD UNAZUNGUMZA KAMA ULOPITA MOYONI MWANGU
Kwa hiyo umeamua kupiga Ramli eti kuna siku watakuwa na mufti wao.au unataka serikali iwashike? Nimeelewa kwanini Mashekh wengi wanapotea
@@DonadiMwapule-he1jeWW NI MUISLAMU AMA?
Na makafiri walisema mtume aliwakuta watu ni wamoja ( ktk batili zao) akawagawa, je sawa nisawa kusema ujinga kama huu
Abu idd jibu maswali uliyoulizwa na sheikh Qasim mafuta kipindi kile cha kadhia ya mwezi muandamo na kadhia ya uwahabi
Akadhani tumesahau ajibu kwanza kabla ya kuanza kulalamika
Kumbe Mawld Mmerithi Sio Kwamba Yana Dalili Pumbavu Kabisa😂😂😂😂😂
Lopo Lopo amiesha funguliwa tena, jamaa halina hoja hata kidogo, hata mtume wetu Muhammad allayh sallam alipowakataza watu waachane na shiriki, aliambiwa anawagawa waislamu, nilijisheikh jinga halina elimu yoyote
Dini hailazimishwi, wala hakuna utofauti wa uadui kama unavyodai. Hao mawahabi ni nani nani?! mtutajie, na nini uwahabi? Hao mawahabi wanasimamia nini. Tafadhali tueleze kwanza kuhusu uwahabi na mawahabi ili tuchague wenyewe
Hao mnao waita mawahabi, niwale ambao wanaisimamisha tauheed na kupinga bida'a Allah atujaalie tuendelee hio njia hadi Kufa. Na hilo jina la mawahabi mnalitunga tu ili kuchafuwa Allah awaongoze
Mmekuwa kama nyani haoni kundule...
Sheikh Muhammed iddi mche ALLAH unasema mawahabi wana shikilia msimamo wao hawataki msimamo wao tu hawataki kauli nyingine, mbona unakosa uadilifu kiasi hicho, sio wewe uliyesema kua mwezi wa kimataifa haupo hauwezekani na hautekelezeki, na ukasema kua wenye msimamo huo ni wapotoshaji, huoni kama wewe ndo mutashaddid?
Hadi raha maana anazungumza kwa adabu na tahadhali na kujihami kwa sana.
Sheikh tuko pamoja nawe, inshaallah hawatofanikiwa