SIRI YA KIFO - EPISODE 22 | STARRING CHUMVINYINGI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • #chumvinyingi #kifo #series

КОМЕНТАРІ • 308

  • @zakia4169
    @zakia4169 Рік тому +31

    Mashallah nimeipenda hio🎉🎉🎉🎉lkn chunvi mim nkuomba 2 hio kofia isiende popote chunvi plz😢😢😢😢😢😢🎉🎉nipeni liles zngu hapa km filamu ya leo waikubali❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ZawadiHaji-b6j
    @ZawadiHaji-b6j Рік тому +18

    Kiruuuuuuuuuuuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimependa ❤ulivo mshtuwa shem wako kwa binami yako respect 😂😂

  • @kingmtetezi6670
    @kingmtetezi6670 Рік тому +18

    Hili gang la chuvinyingi ni hatari sana 🔥

  • @dani12comedy
    @dani12comedy Рік тому +12

    Nimekua wa 238 naombeni like kama zote❤ love chumvi gang

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Рік тому +20

    Kawia ufike❤ nipo hapa wadau wa chumvinyingi Gang🎉 mko poa💪

  • @zeinabmohammad1073
    @zeinabmohammad1073 Рік тому +29

    Lete mzigo chumvi tupo kwaajili Yako ❤❤

    • @SabraOman-e8t
      @SabraOman-e8t Рік тому +3

      nikikosaga hii kitu Sina furaha kabsa❤❤❤Asanteni sana

    • @zeinabmohammad1073
      @zeinabmohammad1073 Рік тому

      @@SabraOman-e8t kwa sote jmniii chumvi unakonga nyoyo zetu❤️❤️

    • @wa_chera
      @wa_chera Рік тому +1

      Anta mimi

  • @ghostdesign4687
    @ghostdesign4687 Рік тому +22

    Wana nzengo wa chumvinyingi gang naomben hata likes 10

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 Рік тому +11

    Yaan sijalala nilikuwa nausubil love so much chumvi nying❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Babyfaty-m3y
    @Babyfaty-m3y Рік тому +5

    Nakukubali chumv dem uyo kja mwenyew ❤❤❤❤kofia inakuletea madem usiitowe kofia iyo

  • @KifosaKifosa
    @KifosaKifosa Рік тому +5

    Jameniii chendu yuko wap tangu ameenda kufukua mait mpk sasa😀😀😀

  • @sheinmpayo
    @sheinmpayo Рік тому +10

    Daah nlkua naanz kusinzia nlvosikia notification umeish wote tayal kuungan na my gang✊💯💯💯💯💯💥💥💥💥💥💥💥

  • @samsonmsakamba7394
    @samsonmsakamba7394 Рік тому +11

    Kazi nzurii team chumvi nyingi Gang

  • @annamathias4794
    @annamathias4794 Рік тому +19

    😂😂😂😂😂 mwakwanza leo nimewahi jaman naombeni like zang jmn ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂🎉😢

  • @FatmaIssa-zl1pu
    @FatmaIssa-zl1pu Рік тому +3

    Jana nimeisubir sanaaa mpka nikaamua kulala tu jaman chumv nying gang nawapenda sanaa✌️❤️

  • @HazardBoy-vc1tt
    @HazardBoy-vc1tt Рік тому +12

    Hiiii ni hatal na nusu kaka umetixh sanaaaaa❤ unaijua let's go walet baba

  • @jamesmdoe6145
    @jamesmdoe6145 Рік тому +10

    Chumvi nyingi gang ni balaaa lik nyingi kwao❤️❤️

  • @mwashashamohamed6467
    @mwashashamohamed6467 Рік тому +11

    Nmetegea apa next balaa❤❤❤😊😊😊Asante chumvi kwa kuteka akili zetu😅

  • @bakariharry2229
    @bakariharry2229 Рік тому +7

    Eeh eeh eeh jamani kk watisha eeeee hubahatishi kila ikitoka moto n ukiachia unaachia moto uko juu surely inshaallah mola atafikisha mahali pale unataka ua the best 👌 👍 😍 🎉🎉🎉🎉

  • @abdulivale
    @abdulivale Рік тому +1

    Kazi nzuri vip kuusu episode nyinge lini mnatoa

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 Рік тому +3

    Chumvi safali hii ume mkosea sana ustazi jamn hii sene haija mpendeza hata kidogo

  • @ShafiiTwahilu-ws2mo
    @ShafiiTwahilu-ws2mo Рік тому +4

    Unapmbana sana brother mungu azid kukupa ngv

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px Рік тому +7

    Chumviii bwana toa kila siku mbili mbilii ❤❤❤❤❤❤ jamani

  • @ElastoEmma
    @ElastoEmma Рік тому +21

    Wakwanza kama unamkubali chumvi nying nipewe like zangu❤

    • @JamaalAbubakar
      @JamaalAbubakar Рік тому +1

      Nakwanini uwa munapiganiya like inafaida gan kwako

  • @TwahiruIssaShabann-qd7id
    @TwahiruIssaShabann-qd7id Рік тому +8

    Ikabidi asafiri kuelekea kwamwenyekiti nailikuwa malayake ya kwanza kuvua kofia😂😂😂😂😂😂 ila chagama umetisha sana ilafu nimeipenda iyo 💪🤝

  • @arcancadhi1524
    @arcancadhi1524 Рік тому +3

    oya chumvi nyingi muwe mnatoa adi jumapil mnatupa shid sisi mashabiki

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 Рік тому +14

    Wakwaza kabsa leo naomba like jamani sijawai kuomba❤❤❤❤

  • @FaridaAndoleFaridaAndole
    @FaridaAndoleFaridaAndole Рік тому +3

    Kaz nzur nmeipenda sna ❤❤❤

  • @CelinaMartina-c4v
    @CelinaMartina-c4v Рік тому +7

    ❤❤chumv nying fundiiiiii

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 Рік тому +3

    Chumvi nyingi gang kazi nzuri ... Respect kwa wote mnaoshiriki hii season mnaupiga mwingi...

  • @jamalymasanja7011
    @jamalymasanja7011 Рік тому +2

    Naipenda sana kazi hii make Huwa inaniburudisha ila kasoro ipo, nyau kuongea vile hapo amepotea mwambie aongee kawaida kama ilivokuwa katika series ya gizan alikuwa ananogesha na sio sasa

  • @alexwanjala9886
    @alexwanjala9886 Рік тому +11

    Lesgooooo❤❤❤❤ from Kenya 🤣🤣🔥

  • @halimamohemed950
    @halimamohemed950 Рік тому +6

    Nimewahi😂 kaz nzur❤❤❤

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge Рік тому +9

    Chunvi umetisha sana😂😂

  • @philipomussa
    @philipomussa Рік тому +3

    Lete Mizigoo chumvi nyingi 💪🏿🫡tupo pamoja

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px Рік тому +3

    Chumviii nyingi Les gooooo

  • @HhBbh-tn5uh
    @HhBbh-tn5uh Рік тому +2

    😂😂😂😂kzi unayo chumvi naona msaada utakushinda kwachendu❤❤

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Рік тому +2

    Hahahaha😂😂 kaja dem wake mfungo wa pipi 😂😂😂

  • @AyoubMsizolo-wg9in
    @AyoubMsizolo-wg9in Рік тому +3

    Chumvi nyingi unatutesa tumeni ata vitatu vitatu kak

  • @TuyajengeYaishe
    @TuyajengeYaishe Рік тому +5

    Leo wa kwanzaaaa hatal❤❤

  • @selmesaid7405
    @selmesaid7405 Рік тому +4

    Chumvi kama nakuona vile dawa imefungwa kiunoni iyo kwako ni rahisi tu kufunguwa 😂😂😂😂😂

  • @kazunguu49
    @kazunguu49 Рік тому +3

    😂😂😂😂😂 chagama unachekeshaa sanaa na hichoo kihindii chakoo

  • @SolomonKombo-i5m
    @SolomonKombo-i5m Рік тому +3

    Chuvinying gang muko juu kipaji mkona cho heteni Mambo mazuri zaidi

  • @abcosecomartialarts4321
    @abcosecomartialarts4321 Рік тому +4

    Ahahhahaa inamaana Chumvi wakati unamzagamua huyo Dada haukuona Kama amefungwa Dawa Kiunoni au uliona kavaa Shanga

  • @floranceflorance3923
    @floranceflorance3923 Рік тому +6

    Nimetamani kumuona chendu mm jamen Ila nawapenda nyote sina ubaguzi mmmmmhh 😂😂😂 much love chunvyinyingi 😅😊😊

  • @BarosBabaGerry
    @BarosBabaGerry Рік тому +1

    Unyama mwingi 🎉🎉

  • @WitnessMontana
    @WitnessMontana Рік тому +3

    Duuu nitamu mbaka inakela ❤❤❤

  • @hamiduking8041
    @hamiduking8041 Рік тому +2

    Daah😂 uyo mwindi m'bongo anajua kuigiza😂😂😂

  • @simonphanuel1205
    @simonphanuel1205 Рік тому +4

    Chumvi akicheza na mambwende huwa ma enjoy sana

  • @Maryelly-m2q
    @Maryelly-m2q Рік тому +4

    Wa kwnza leo❤❤❤❤❤

  • @asfdfarfe9588
    @asfdfarfe9588 Рік тому +2

    Chuvi una kazi bado daa pia ana dawa kiunoni kazi unayo chuvi❤❤

  • @AishaKibena
    @AishaKibena Рік тому +2

    Daaa tam kinyama

  • @NeemaMushy
    @NeemaMushy Рік тому +4

    Alooh nakubali sanaa ♥️🔥

  • @maulidhamadmaulid8591
    @maulidhamadmaulid8591 Рік тому +1

    Chumvi upo vzri sn ntmni huuu mchezo usiishe ety

  • @TwahiruIssaShabann-qd7id
    @TwahiruIssaShabann-qd7id Рік тому +4

    Tunaipandisha Tena 💪🤝🤝🤝🤝

  • @PapaaMugabo
    @PapaaMugabo Рік тому +1

    Mwenzang kaenda kuwafukua nyie

  • @zakia4169
    @zakia4169 Рік тому +5

    Ety rafiki yangu ameenda wafukua nyiier😂😂😂😂chunvi bwanaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @RenathaCharles-wc6ln
    @RenathaCharles-wc6ln Рік тому +2

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AnetMhaya-xf8ez
    @AnetMhaya-xf8ez Рік тому +2

    Chuvi mutafute mabwende bac munapendezanaga sana

  • @SalumuMohamed745
    @SalumuMohamed745 Рік тому +3

    Pamojw san ❤

  • @SilvanoKipenye-w2m
    @SilvanoKipenye-w2m Рік тому +1

    Kaka kazi nzur sana kaka

  • @MariamAhmadaMwikalo
    @MariamAhmadaMwikalo Рік тому +2

    No 1 only

  • @sumaiyaheliasi6968
    @sumaiyaheliasi6968 Рік тому +2

    Wa kwanza leo like zangu

  • @SeifMussa-ju8hj
    @SeifMussa-ju8hj Рік тому +5

    Wakwanza naomben like zangu

  • @hasankawanje4279
    @hasankawanje4279 Рік тому +2

    Dah tatz unachelewa sana kutupa mwendelezo

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Рік тому +2

    😂😂😂😂nijichekeshechekeahe kama nimetqfuna tunda za bangi 😂😂😂

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Рік тому +6

    ❤❤❤ chumvi

  • @RahmaSaid-l7j
    @RahmaSaid-l7j Рік тому +3

    Dawa kiunoni😂mbn mnampa mitihan chendu😂😂😂😂

  • @bakariharry2229
    @bakariharry2229 Рік тому +8

    Wakwanza kutoka kenya 🇰🇪

  • @iscoohguminho7622
    @iscoohguminho7622 Рік тому +2

    Wa kwanza mie

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw Рік тому +1

    ❤❤❤❤ unabamba saana

  • @OmariTwaha-c3k
    @OmariTwaha-c3k Рік тому +3

    Wa Kwanzaa ❤

  • @antoniadudus7917
    @antoniadudus7917 Рік тому +1

    MashaAllah movie poa ❤❤ nasubiria 23

  • @Joyce-x1v
    @Joyce-x1v 7 місяців тому +1

    Super vidéo

  • @faithndanukombe254
    @faithndanukombe254 Рік тому +10

    😂😂😂😂watu mwajua kurauka kwel 9mnts comnt 53 hongeren San mashabik wenzangu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @AmosElia-kk2jo
      @AmosElia-kk2jo Рік тому +4

      Tuko live mzeee

    • @zakia4169
      @zakia4169 Рік тому +2

      Kwanza mim nipo kwa ajili yko😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

    • @Jackie-z5q
      @Jackie-z5q Рік тому +1

      ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @salumiddy7783
    @salumiddy7783 Рік тому +2

    Chumvi jitahidi basi hata tatu kwa siku maana jinsi unavyoendelea kuachia vipande ndio uhondo unazidi jitahidi basi.

  • @simonphanuel1205
    @simonphanuel1205 Рік тому +2

    Dj huyu jamaa anakesi mbili ya kubaka na kesi ya maliasili

  • @Mummyummymillions
    @Mummyummymillions Рік тому

    Nice 👍nilikwambia utazagamua mifungo ya pipi 🤣asa umezagamua mfu 😂🤣😂🤣 . Nice 👏👏

  • @manenoramadhan1432
    @manenoramadhan1432 Рік тому +1

    Bro chumvi mpunguze chagama hajui

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini Рік тому +2

    Jamani Dokta Ofishoo tunamuhitaji wakuuu

  • @mnyakitz2007
    @mnyakitz2007 Рік тому +3

    Huyuu jasmini fala sana anamkubari jamaa alishamla dadaake anamuacha mwamba.. 😢😢 amenikera sanaa naomba mungu mama akija deal ibumee tuu tukose wote maninaa😅😅😅

    • @rosey4551
      @rosey4551 Рік тому +1

      😂😂😂😂😂mm namini huyu jasmine ni yule bibi ya huyu jamaa sidhani kama alikufa

    • @mnyakitz2007
      @mnyakitz2007 Рік тому

      @@rosey4551 😂😂😂story inasema alikufaa sasa

    • @jamillahngala9087
      @jamillahngala9087 Рік тому

      Lkn akuna jambo lolote baya si ata ndugu waeza Olew na bwana mmoja na kusitokee tatizo lolote

    • @rosey4551
      @rosey4551 Рік тому

      @@mnyakitz2007 badae tutamuona alirudi kijijini🤣🤣🤣🤣

  • @paulpaul380
    @paulpaul380 Рік тому +5

    Sikufanyi lezi gooo😂😂😂😂

  • @swaleheiddrisa7743
    @swaleheiddrisa7743 Рік тому +2

    Weka kila siku chumvi

  • @younggoboss-b7k
    @younggoboss-b7k Рік тому +3

    Chunvi unazagamuwa maiti mpka kapagawa zagamuwa wote mpka shem yko kwa chendu akija vibaya😂😂😂

  • @mohdhassansaleh1322
    @mohdhassansaleh1322 Рік тому +1

    Domo zege chumvi nyingi

  • @Mwanamkasi-c7i
    @Mwanamkasi-c7i Рік тому +2

    Chumvinyingi gang mambo n 🔥🔥🔥🔥

  • @MonaAlmona-c1n
    @MonaAlmona-c1n Рік тому +2

    Khaaa nyie hamlali

  • @sumaiyaheliasi6968
    @sumaiyaheliasi6968 Рік тому +10

    Wa kwanza naombeni like zangu😂😂😂😂😂

  • @maulidhamadmaulid8591
    @maulidhamadmaulid8591 Рік тому +1

    Staling wa mchezo mchezo mzuri sn ila unachelwa kupost etu , mm nachelewa kull kwa ajili y huu mchezo ujue

  • @soudbogah1021
    @soudbogah1021 Рік тому +1

    First

  • @Binti-ev1oc
    @Binti-ev1oc Рік тому +1

    ❤❤❤ good job

  • @juniorclever.official
    @juniorclever.official Рік тому +1

    Chumv anajuaa💥💥💥✌

  • @hamisimkilalu9563
    @hamisimkilalu9563 Рік тому +2

    Wa kwanza mm leo

  • @GamalieliMakimu
    @GamalieliMakimu Рік тому +2

    Chumvi we hatari 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @FiridausRashidi
    @FiridausRashidi Рік тому +3

    Ukweli nafutilia hii mov nzuri sana ila uyo kaka ake nuru sipendi anavyoigiza kama mtu anaye jifunza so ajibadirishe amza kanuni wa nn sasa

  • @adamsiyame2748
    @adamsiyame2748 Рік тому +1

    Uyo jama anaye lialia ananikela mimi 😢😢

  • @JulianaJohn-tb3vh
    @JulianaJohn-tb3vh Рік тому +2

    Mmeuwaaaaaaaaaa

  • @SilvanoKipenye-w2m
    @SilvanoKipenye-w2m Рік тому +2

    Uhakika kaka

  • @sheidiasharon3245
    @sheidiasharon3245 Рік тому +19

    I love this 💕💕from🇰🇪

  • @AmosnikolausBuluchand-d2x
    @AmosnikolausBuluchand-d2x Рік тому +2

    Jitahi uhogez md et babu

  • @AyoubKhan-f6f
    @AyoubKhan-f6f Рік тому +2

    Wakwanza mimi hapa naomba like zangu