Wallahi nyimbo nzuri Sana...ila naomba niwaambie mnaoponda na kusema Inna lillahi mnakaje Sasa zipigwe nyimbo za kina diamond au nyimbo gani maana dada zetu wanajitahid kuimba nyimbo za kuburudisha mmekazana Inna lillahi...wekeni hizi comments pia zikitoka nyimbo za wasanii wa bongo fleva maana waislam wanaoimba bongo fleva pia wengi...tumewachoka kiukweli mmezidi mnakatisha watu tamaa
Wanaoimba bongo fleva inna lillah na hawa pia inna lillah wala hatukatishi tamaa ila kidini hili nikosa hatuna budi kusema inna lillah wainna ilaihi raajiun
Jamani msiolewe watto wadogo wakajiendeleze kusoma. Waume wa zanzubari hawajui mapenzi rangi gani nyekundu au nyeupe. Utaweka ndani kupika. Hsyo sio maisha. Maisha wote wawili wafanye kazi sio kumtegemea mume ndio ndows hazikai unguja.
Anhaa sawa kwahyo wewe unayajua maisha kuliko mungu na mtume???Allah alowabebesha wanaume jukum la utafutaji kisha akambebesha mwanamke jukum la ulezi hajui wewe ndo unajua?haya wote tokeni acheni watoto wenu majumbani wakichinjwa na kulawitiwa na wafanyakazi
Kila mtu anajikuna anapojipata bora ufanye kazi upeleke maisha mbele kuliko kulala ndani " Naikubali sana Aqaz Mungu ajalie izidi kugaara mufike mpaka New York kupafome kaswida zenu.
Mimi mwenyewe najiuliza sana kwan siku hzi nasra ameenda wapi maana tangia ameolewa Arafa nasra aonekani kwenye kaswida zaidi y ile aliyoma subra baada ya hpo ayupo tena
Wallahi nyimbo nzuri Sana...ila naomba niwaambie mnaoponda na kusema Inna lillahi mnakaje Sasa zipigwe nyimbo za kina diamond au nyimbo gani maana dada zetu wanajitahid kuimba nyimbo za kuburudisha mmekazana Inna lillahi...wekeni hizi comments pia zikitoka nyimbo za wasanii wa bongo fleva maana waislam wanaoimba bongo fleva pia wengi...tumewachoka kiukweli mmezidi mnakatisha watu tamaa
Kweli kabisa
Wanaoimba bongo fleva inna lillah na hawa pia inna lillah wala hatukatishi tamaa ila kidini hili nikosa hatuna budi kusema inna lillah wainna ilaihi raajiun
Jamani msiolewe watto wadogo wakajiendeleze kusoma. Waume wa zanzubari hawajui mapenzi rangi gani nyekundu au nyeupe. Utaweka ndani kupika. Hsyo sio maisha. Maisha wote wawili wafanye kazi sio kumtegemea mume ndio ndows hazikai unguja.
Tutafunga ndoa unguja ukuu😅
Ww unaumwa nn
Anhaa sawa kwahyo wewe unayajua maisha kuliko mungu na mtume???Allah alowabebesha wanaume jukum la utafutaji kisha akambebesha mwanamke jukum la ulezi hajui wewe ndo unajua?haya wote tokeni acheni watoto wenu majumbani wakichinjwa na kulawitiwa na wafanyakazi
Wallah nimeona jina moja umeniripuka nikasema ngoja nisikilize sauti lailhaillah saut yangu kabisaa nimefurahii MASHALLAH ♥️
2:22 😊
Wooooow!!! ukhtiy nmeipenda hiyo mashaallah sauti umejaaliw Allah azid kukuruzuku hko kipaji pae zaid
Naomba uniunge kwenye group
Mashallah msalimie ukhty adila
Wako wapii wale pale, wanataka kucheza wanaona hayaaaaaa, 💖💖💖
Yaani hii qaswida kama nyimbo yawasomali mashaallah nakpnd bure
Maashaallah qaswida nzuri ❤
Mashallah ukhty riziki kichunna imekukubali kazi nzuriii sana. Karibuni wapendwa ktk UA-cam channel yetu kaswida muruwa mashallah kazi nzuri sana
Qaswida nzr maashaallah✨❤️
Mashallah jazakanllahu khaira my size ❤❤❤❤❤❤💯🙏💞💕
Bi haruc naye sihaba maashallah amependeza
Mashallh dad yang mung akuzidishie
Mashallah ❤️ waambie 😘 wapone my dada 💕👌
Maashallah kaswida pambe hadi raha jaman,,,,jazakumu llahu khayr
Naomba kuuliza kdg kwan huyu hana kaswida nyengine tofaut na hiyo kaiganda kama kaitunga yeye
Masha Allah Unanikumbusha Mbali Masha Allah
Hawajai vikombeni sembuse kwenye sahani mwaaaaaaaaa♥️♥️
Mashallh jaman nikiolew biidhin allh nutakufta
Dada unajitaidi sana kuimba Allah akuzidishie kipaji
Subhanallah
Wanataka kutunzaaaa wanaona hayaaaaa
7:38 😅😅
Kwani hamjui sanaa maana yake Nini!!!
Mashaallah kaswida nzur
Maashallah naipenda Sana kwa kwel
Masha allah qaswida nzuri❤
Nyimbo tamu sana wallah
Mashallah nzuri sana
Mashaallah nimeipenda san pongez kwa muimbaji
Nimependa sana
Mashallah Nakupenda Dada
Mashallah daah hadi rahaaa
Shekh hafidh qaswida ya 2020
Mashallah mzur sana
Mashalahh samahani eti mko maene gani naombeni no yenu
natafta mke hapo jamn kati yenu inshaalah
Riziki ilo jina nalipenda maan ni jina la mom wangu
Mashallah bi harusi ila poda kajazwa
Naipend sana
Mashallahhhhhh😍😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Masha Allah nimependa hii qaswida
Dada ungemuimbia mumeo ingekuwa vizuri mn unasauti tamuu hatari hatotoka njee
Mashaallah wamepeza
Ukhuty riiii nime kukubali Ile Ile yan
Mashallah jmn verry nice
Mashaallah riziki na kichuna chako datuu
Na wewe pia mzuri sister masha Allah
Wallah mmenikosha"
God bless you🙏
Kwakwer mpo vizur
Mashallah Tamu sana
Mashallah jmn💞
mashallah bi harusi kapendez
Mashaallah bi haruc kapendeza
riziki ww unajuwa mashallah nimependa ❤️❤️❤️😘
Hata kidogo imepoa japo Bibi harus kapendeza Sana
Mashaka allah🌹🌹🌹
Hlf hjaipatia hii nyimbo , muachie mwnywe alieimba coz yy aliemba kaitokea asaa ww huna kazi mhhhh😀😀
Sisi tunasonga mbele maneno yako hayatuvunji moyo👌🏻👌🏻👌🏻👌🏻🤭
@@mamuhb4521 baadhi ya nyimbo zenu munaiga lkn munachafuaa
Aaaah mbona kaisoma vizur wacha wivu
Kila mtu anajikuna anapojipata bora ufanye kazi upeleke maisha mbele kuliko kulala ndani "
Naikubali sana Aqaz Mungu ajalie izidi kugaara mufike mpaka New York kupafome kaswida zenu.
@@ashirafhamad813 Asant tunakukubali pia
Mashallah Mashallah
Naipenda kweli unapatikana wapi
Amani zanzibar
So pw ukht RIZIKI
Masha Allah kichunna hayahaya
Hamuwez kuimba live nyinyi kazi kuimba nyimbo za watuuu imbeni live kama watoto wabajomba nyinyi
Mashaallha ❤❤❤❤
Mashaallah❤
Mashallah ❤❤
Jamani nasra yupo wapii cku hizi mbon hawajakamilika ,🙊🙊🙊🙊
Mimi mwenyewe najiuliza sana kwan siku hzi nasra ameenda wapi maana tangia ameolewa Arafa nasra aonekani kwenye kaswida zaidi y ile aliyoma subra baada ya hpo ayupo tena
@@rehemabakali494 cjui ata kwann jaman Ila namkubali sanh nasra
@@chymaally3309 tangia alipoolewa arafa nasra ndyo amepotea akaja akasoma ile kaswida y subra basi adi leo ayupo tena
Jamani MashaAllah Ayyaayyaaaaaa
Good Mashallah
𝐍𝐢𝐜𝐞 𝐪𝐚𝐬𝐰𝐢𝐝𝐚🎉
Jamani hakuna kazi mkafanya kila mtu kasida katafuteni kazi mufanye. Sauti ya mmke kutoka nje haramu.
Na wamejipura na nyusi wametinda
Nyinyi huku mwafanyaje si mngeenda kujificha
Nakubali sana hiii
Mzuriiiii mashallah
Mashalllh
Tami xana
Masha'Allah 😘 😘
Watende tuwa
Ukhty Riziki uko Zanzibar au?
Ndio
mashalah
Ni nzuri
Mashallah
Mashallah🥳🥳🥳
Asante kipenz
penda sana paswida
Maa shaa Allah
MashaAllah qaswida nzuri
poa pai
dj afro
manju anatambaa
Maasha llah
Masha Allah 🙏🇧🇭✌️🥰
Nice
Mashaallah nice
Mano vp
Masha Allah
toa namb zk dada kaz tumeipend
Bi harusi pmbee
Hzi taarabu holin
Umeona eee
Na mm n kichuna hhhhhhhh
Kichunaa
Hv nyinyi munaoimba hamna waume wa ndoa??
Nimtihan kwakweli
❤
Mwimbaj kachangamka kdg
Sanaaa
Mamu pink sija msikiya hapo
Hahahahahaha
Weeeee
M