Wewe yote fanya lakini mwambieni mzee magoli wajipange kwelikweli maana mwaka huuu kuna hatari, pia mgunda yuko wapi mnamuweka matola hivi nyie viongozi na wazee wote mlogwa na nini na huyo matola jamani hebu zindukeni mlikolala tuongee ruga ipi mtueleweee,?
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza nashangaa kuona mtandaoni kuwa simba taalifa yakucheza mechi ya kirafiki misiri na matokeo 6 2. Nikashidwa kuelewa hii ikoje? Maana mitandaoni kuna watu wajinga saana
Wewe chawa wa simba. That's for real
Hata akina Jobe walisema quality ilikuwa juu sana.
Kama ni suala la mistakes,Manula ndo anaongoza Kwa mistakes kuliko Ayoub
Mo na Magoli mchukueni Mayele kwani mnafeli wapi jaman
Wewe yote fanya lakini mwambieni mzee magoli wajipange kwelikweli maana mwaka huuu kuna hatari, pia mgunda yuko wapi mnamuweka matola hivi nyie viongozi na wazee wote mlogwa na nini na huyo matola jamani hebu zindukeni mlikolala tuongee ruga ipi mtueleweee,?
Bado tu una ndoto na Manula tu bro?
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza nashangaa kuona mtandaoni kuwa simba taalifa yakucheza mechi ya kirafiki misiri na matokeo 6 2. Nikashidwa kuelewa hii ikoje? Maana mitandaoni kuna watu wajinga saana
Kama ni suala la mistakes,Manula ndo anaongoza Kwa mistakes kuliko Ayoub