Huu Wimbo umekua Wimbo wangu wa kila wakati ninapohitaji uwepo wa Roho Mtakatifu...na kutafakari utakatifu wa Mungu wetu.Esther Mungu akuinue juu sana kwenye utumishi wako.
Nakupenda sana Dada Esther ninakuombea Mungu akutunze na aendelee kukupandisha viwango kwa viwango na Utukufu hadi Utukufu uzidi kumtumikia kwa uaminifu hakika uimbaji wako unanibariki mnoooo.
Huu Wimbo umekua Wimbo wangu wa kila wakati ninapohitaji uwepo wa Roho Mtakatifu...na kutafakari utakatifu wa Mungu wetu.Esther Mungu akuinue juu sana kwenye utumishi wako.
Ooohhh hallelujah Amen 🙏,,,,hakika ni mtakatifu,,,,,and am blessed nakupenda sana Esther ..... Endelea kuwa mwaminifu
Amen dadangu Mungu akubariki sana
Unaimba vizuri saana dada Esther,,,,,hata kwenye kipindi cha sifa ,huwa nabarikiwa saana
dada dada Mungu yu pamoja nawe
Ester Mungu akutumie kila iitwapo leo
🙌🙏
I'm So Blessed with this Song..MUNGU AKUBARIKI Dada Esther.
We still give you glory Yahweh
Nakupenda sana Dada Esther ninakuombea Mungu akutunze na aendelee kukupandisha viwango kwa viwango na Utukufu hadi Utukufu uzidi kumtumikia kwa uaminifu hakika uimbaji wako unanibariki mnoooo.
Nakupenda saanaaa dada Ester naamin one day we wll be together over there...... God keep this favor to her every day
Hii sauti ya huyu dada jaman .....no words...
Mungu ametoa karama kwenu bs itendeeni haki kama hii Leo, mungu awapandishe viwango vingine
Ester Mungu aendelee kukutunzia kipaji ulichonacho