Nay Wa Mitego - Rais Wa Kitaa (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 29 сер 2021
- Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
UA-cam: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2021 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #RaisiWaKitaa
Twende Number 1
Niko hpa rais wtu wa kitaa kwa ilo usijali mbona utafika mda sio mlefu mwambaaa
No 1 now ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Ushafika moja mzee rais wetu
Tozonia kwel
Tushafika tayari
HUU NDIO UZALENDO WA KWELI. KAMA UNAMSAPOTI NEY WA MITEGO GONGA " like "
Yes
Kaka pamoja xna unaujua mziki xna
Kaka pamoja xna unaujua mziki xna
Sanaa
Kweli lakini hawa watu ndio tunawasupport kwa maneno au kwa vitendo? Maana wa bongo maneno mengi akichezewa faulo wote tunakimbia anabaki peke yake. Tujifunze kuiga uzalendo. JPM tuliungana na wazee wa tozo kumtukana...nafsi zetu zinatuhukumu..ulimdharau tukasikiliza kigogo, tukasikiliza kundi la wapigaji ambao sauti zao zilivuja wakimsema. Leo tunalia nini wakati tumepewa tulichokua tukiomba
Kwakweli huyu mama cjui anapendwa nawatu gani. Namchukia sana. Ney Mungu akupe ulinzi mkali wasikufanye chochote kibaya kwakusema ukweli. Nakupenda sana
Ujumbe upo deep axeee kasimama kwaajl ya watanzania wte truxt me
Tanzania tunahitaji watu watakaozungumza bila uoga kama Nay! Respect kwakuwasimamia wanyonge huu ndio UZALENDO WA KWELI.
Km gwajima pia
Na roma pia
Na huo ndio usanii sahihi
Kwa huu ukwel
Ww ndo msanii bora
Amna Mzalendo apo, Nay anatest mitambo, alijaribu huu upuuzi kwa Magu, akageuka kuimba gospel, maan haikua commercial,
Uhuru ukipitiliza haya yanajitokeza, ningekua na mamlaka Ungeshikwa kimya kimya, ungefirwa, ungelala yoo
Tafuta content fikisha katika jamii Wachana na uchochezi, mziki wako bado unahitaji nguvu kufikia watu wengi,
UVUNGU HAUNA SHURUTI
Huu ni wimbo bora wa Hip Hop kwa Mwaka 2021. To the top kabisa. Aliesimama mbele yetu sio mbunge ni msanii! Na umeitendea haki sanaa. Huu sasa ndio ukomavu wa sanaa. Plss naombeni Like zangu kama zote kwa mara ya kwanza
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
True
Wimbo huu hujawalenga watanzania pekee bali ni waafrika wengi wanaoumizwa na waafrika wenzao. Asante sana Mr. Nay kwa kuwasemea wanyonge wa barani Afrika kwa ujumla. Much love from Kigali, Rwanda.
The state of most African 'democracies' summarized. Mr Nay good work giving us music of value. Kudos from 🇰🇪
ok
Nay, nakukubali sana kwa nyimbo zako nzuri za kuelimisha jamii na serikali kwa ujumla wake. Mungu aendelee kukusimamia ili uzidi kufichua yaliyojificha.
Ney hapingiki wasemee rais wakitaa nakuku Bali kinyamayan
sisi wakenya tunasema huu wimbo ni wa east africa, wimbo umebeba East Africa 🔥🔥🔥
Kwanza hii Kenya
yan sisi kwanzia magufuli amekufa daaah tunaumia mnoo
Ayise wew nimusani bora achana nawanao sifia wizi
Safiiiiii
Kweli
Hii ndio tafsiri sahihi ya MSANII NI KIOO CHA JAMII.Naam Naam Salute kwa Ney.
Exactly
Magodolo tumeloweshaaaa
@@sportnewsTz yule anajua mwenyewe anavyo viimba na watu wake
Big up sana bro nikuelewa
Asante jama yangu endelea kupambana kabisa ukweli ndimo unahitajika tu Kutoka Rwanda nakupata vuzuri sana
Asante sana ney wa mitego kwa kutuongerea wananchi mungu akupe ujasili zaidi wa kufichua maovu asante broo hakuna rais kama mgufuli tutamkumbuka daima,,,
Kwa mbaaali namuona Hamza akitabasamu Asante mr. nay
🔥🔥🔥🔥 uzuri wako uogopagi mkuu
umeona
Sana mdg e2
Wewe c Unafanya Hip Hop ya uoga ngoja awaonyeshe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakubri
Ni kwel kabixa
Nimerudia kuitizama Mara 6 imenitoa machozi Ney ww Ni mwanaume Bora umetusemea😭
Dahh Wanangu nimechelewa Sana kuangalia wimbo mkali Kama huu nipeni lake japo 10 TU za true boy
Jamn 😭😭😭😭
Tutapata wapi wasanii wenye kuingolea jamii kama nay?
Like 50 kwa ajili yke jamn.
Roma kakimbia nchi
Yaani Mungu ambariki
Ndio nyimbo tunazozihitaji kipindi,nyimbo za kutusemea..well done Mr Ney
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Kweli nay anaongea ukwel at mm nitakubali niwe mwnafunzi wake kimzk nitafanya Kama yy
Kwakweli uhu ndio Uzalendo MUNGU akutunze Mr ney
Kama wewe ni Msanii, unajiita msanii, una ndoto ya kuwa Msanii halafu Huna kifua, ujasiri, maono wala Nia ya kusemea wananchi wako kwa ukweli kama huu hufai kusogelea Mic a achilia mbali Studio. Tunahitaji Taarifa sahihi ili kufanya maamuzi sahihi na ya HAKI ili kuifanya Tz bora kuliko Leo. Like 100 za uhakika zitasaidia kufikisha huu ujumbe. Big up Nay
Kaza mwanagu ney....
Kilio cha watanzania
Tangu wimbo unaanza mpaka unaisha sijaona aliyevaa chupi humo👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻
Hahaha true kbs
This is revolution 🔥...we need more artists like naywamitego...if you like this thumb up👍
Yeah✌️
Sure
Walete mzee 💪💪
ua-cam.com/video/-H0szcRIjyE/v-deo.html brother k kujinyonga
ua-cam.com/video/-H0szcRIjyE/v-deo.html brother k kujinyonga
Wasanii wote wangekua wanatoa nyimbo zenye akili kama hizi hakika hizi mambo safi, Big up Mr Ney🔥🔥🔥
Hongera sana Ney Nakukubali sana.....hizi ndiyo nyimbo siyo Konde kila wimbo majigambo
Dah really umeamua kujitoa muhanga bila kuogopa chochote lakin ukwel pale pale
Respect sana *RAISI WA KITAA NAY* Ukweli utabaki kiukweli uchumi unapanda kwao sio kwetu wananchi... Bonge moja la ngoma 💪✊🏻✊🏻✊🏻
Semasema Nay wamitego bigp sana mkuu. Wewe kweli ni Rais wa kitaa .
Nimeisikiliza hii ngoma Mara 4 ney kaka umeuwa na kipaji unacho, je utakuwa salama maana nchi yetu aipendi mtu mkweli, lakini Allah akupe nguvu na Imani zaidi amiin🙏❤️❤️❤️
No. 1 on trending for Music 🔥. Halafu ni ujumbe wa kujitoa muhanga maana wengine ni makunguru waoga tu. Sana Mr Ney.🇹🇿✌️
🔥🔥🔥🔥wimbo wa mwaka🔥🔥🔥
Jamaa yupo vizuri .nyimbo zake zinaleta uamsho kwa watanzania unaweza kumfananisha na lucky dube wa afrika ya kusini .wanamuziki kama hawa ndio wanaohitajika kwa taifa
🙅🙅 tusemee tu sisi wanyonge😭😭🥺🥺💯🔥🔥🔥🔥🔥
Uzao wa binadamu aina ya Ney wamitego unatoweka katika uso wa dunia kwa 99% kila iitwapo leo, kulinganisha na wale waliopooza... Hawakemei wala kukosoa wao wap tu. Mungu akutunze Kaka Ney
Labda na Hamza ndio wanaendana Big up kwao
👍👍👍👍👍
Ukweli nei Yuko Vizuri san bigap brother songs mbele mungu huko pamoja nawe inshallah mwenyezi mungu utujalie mwisho mwema
Safi sana goma kali sana limebeba ujumbe mzuri na mzito hujawahi kukosea kbs Ney 💪👊
Dah hii ngoma nimeirudia kuisikiliza zaidi ya mara mia,shukran sana broh kwa kupaza sauti,tuko nyuma yako 🔥🔥🙌🏽
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Yaani ametisha
Mambo ni moto
from Burundi, this guy is a giant musician 💪💪,let push him together my fellow 🇹🇿
Kama mpaka Burundi wanamuelewa Nay wewe nani ubishe
Nakubali Sana ichi kigongo, noma sana
Maneno mazuri, sisi, wanyonge
Ngoma kali sana
Dahhh safi sana nay na Roma mpo vizuri bado roma naye tunamskilizia naye ni balaa nyngnee
Huyu ndo Nay True boy mwenyewe. Na amerundi sasa. 😷🥶🥶🍾💥💥💥💥💯💯💣💣💣💣💣. Tumeupata ujumbe
Mwanzo nipew like zang km zote rais wa kitaaa
Nay wewe ni Next Level Brother. Hii ndio maana ya Msanii kuisemea Jamii. Big up.
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
@@b9media144 big up brooh
Kweli kabsa
Sawa ngoja tuone
Kimeumana
Wambie aoo tutawapoteza wanasababusha vita vya wenyewe kwa nyewe panyaroad shelia moja
Nakubaliiii endelea mwenetu
Safari na muziki......Road to revolution✊✊✊ Amkeni vijana!
Huu jamaa nomaaa nakubali
"MTANIKUMBUKA KWA MAZURI"😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Shikamoo Tozonia😀
Wasanii Wote Wangeitumia Sanaa Kuitetea Jamii Badala ya Kumuimbia Paula wa Kajala, Basi Dunia Ingefika Mbali Sana!
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
😂😂😂
Umeua blaza
🤣🤣🤣🤣
Nimekubal sana kaka hii nyimbo naisikiliza kila wakat yaan dah kaka pongez kwako kakuijua thaman ya chozi letu 🙏🙏🙏🙏
Respect bro Ney umetisha sana nimekuwa narudia rudia kusikiliza huu wimbo hii ni zaidi ya Mara 100 narudia kusikiliza na bado hata sichoki nataman uwe trending hata zaidi ya mwezi Ney umetisha.
Daah huyu mwamba namkubal uwoga hana kabisa salute baba nimeirudia Mara zote ngoma yangu ya week nzima hii.
Hii ndio nyimbo kali toka afariki Legendary Magufuri we miss you our true Leader angalau hii nyimbo itatufariji
Huku covid Gwajima boy pale Too True boy
Zero brain eti Legendary Magufuli huyo ni Magu Fool haya yote yanayotokea TZ ni sababu ya huyo Shetani Magu Fool.
Kenyans we should listen to this, our situation now, 🇰🇪
Hiii ndio Sanaa sio Mnatuimbia magodoro mmeloeka maji xo c tufanyaje ..
Ukweli utakuweka huru japo kwa asilimia 30 lakini kwa asilimia 70 utakutia matatani, ila ni bora ukweli ukutie matatani ila mungu anakutia mahala pema kuliko ounga ukutie mahala, PA juu bila haki na akakutia mahala pabaya, usiogope sema ukweli, hakuna nyimbo nazisikilizaga kama za marapa hata awe wa nchi gani duniani nzima hakuna rapa mpumbavu wa mjinga hata siku moja na haitakaa itokee, marapa wote ni lazima wawe na akili kubwa, nay mitego tutakunaga tu mimi na wewe na tuta piga kolabo za kutosha, mimi, nimekuambia kwenye mashahiri yangu nitayataja maneno, haya kwamba mimi ndiye nilioandikaga, huu ujumbe, na tukikutana nitakueleza vizuri kaka yangu nay wa mitego, sema ukweli, mziki ndio imekupa heshima Tanzania Africa na duniani kote, imba mahadhi ya mziki, nikianza kuimba tutaelewana tu mimi na wewe, big up, 😭❤️👍♥️🇹🇿🙏🙏🌹🌹😭😭❤️🇹🇿👏🌹
ua-cam.com/video/5xq24ZdVCYI/v-deo.html
🇹🇿
Kenya we need someone who can speak on our behalf like this
Kenyan they already the so called King kaka have had the song Wajinga nyinyi☠☠
How about Julian exponential
Mnae mbona Meja🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
soon number one wow!!!
You already have Ruto
Wewe ni shujaa hata ukifa utakufa kishujaa m mungu tupe watoto wa namna hii na mfano wa kinahamza
Ni kweelii siku hazigandi !.... Ni suala tu la mda😭😭😭
Hii ngoma nimeicheki Mara 8, na bado sijaichoka
😄😄me mara 16 bd xjaichoka make nimeiyelewa
Tungepata watano2 kama ney nahisii tungefikaa sehem flani respect to you broo
hivi hii bado hawajailewa tu....kweli mungu Hana mshirika
Broo ney Mungu akupe maisha marefu mana ni wachache sana Kama ww natamani nikuone live mana natamani hata kulia
Ata Kenya tunasema Katiba Mpya ni sasa na Corona ipo!!Kenyans are happy!
Hii ndio usanii in bora utusemee maaana kina ba mdogo wanampotosha
Katiba kwenu nyumbani fala kabisa
Nyinyi ni hypocrites wa handshake kwendeni maisha ningumu uku kitaa
Wee boyaa kweli Kenya hatuitaji katiba
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
Kama unamkubari rais wa kuzidi hata wagombea ubunge gonga like
Tusemehe nay nakupenda sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nipeni like za nay
Noma sana una lenga moja kwamoja ALIESIKIA WABUNGE 15 gonga like
Yani nay mitego mimi ningekutana na wewe tu mambo yangekaa sawa maana mimi nina kipaji kikubwa sana ya mziki naomba unifadhili yani nina mangonma kali sana ya kuichana hii serikali mpaka inakaa chini kaka yangu, Daaaah ila maisha ninayoyaishi ndo changamoto kubwa sana kwenye hii kipaji changu cha mziki, please help me, nakutakia kila la kheri kutoka kwa Allah, ❤️❤️😭😭🇹🇿♥️🙏👏👏😭😭, wanaofanya kazi serikalini sisi ndio tunawalipa inatakiwa watuheshimu, na watujali watuone sisi pia nao ni watu kama wao, 😞😞😞😞😭😭😭, nay mitego tutakunaga mimi na wewe, siku nikianza kuimba, kwenye mashahiri yangu nitataja, maneno haya kwamba mimi ndiye nilioandikaga huuu, ujumbe, all the best of your life and your family my brother, I wish you all the best, I am from in Tanzania Africa manyara, ❤️😭🌹👏🙏🙏🇹🇿♥️👍
The type of music that should be number 1 on trending
Exactly🥂
It's number number on trending
Tunataka ngoma zije zingine Kali Kama hii Mr true boy.
P1 sanaa mzee ney jamaa wanajisahau sanaa wanajiangalia waoo 2
nay wa mitego n mmoja tu tz🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
""wambie hao rais wa kitaa tunakuamini go go go ney"😭
Corona Kumbe ipo
Saut moja kwa ajili ya mamilion ya watu big up zimewafkia 💪💪💪
True boy
Duh hqtqr
Hawezi kukuelewa paka ufee wasani wa tz wanasapoti wadagaji.
Sijawah kusikia msanii yeyote aseme ivi ney tuko nyuma yako baba
Kama unamkubali nay wa mitego gonga like hapa
Mr true boy umewakilisha manung'uniko ya wa Tanzania 90℅ waliokosa pakusemea.tusemee tusemeeeeee president wa kitaa.
Rais wakitaa umesema wamepunguza tonzo kidogo 😀😀😀😀
Huu ni wimbo wa kihistoria aisee. Umepatia mia kwa mia Rais wa Kitaa.
wasaniii wote wangekuwa kama ww tusingenyanyaswa....bigup ney
Hii ndo maana ya msanii lazima uangalie kinacho umiza na kukikemea.
I appreciate you bro big song on time
Nakupenda sana brother huo ndio uzalendo kweli ww ndio kinda halisi la hayati baba etu kipenzi JPM
Hongera kaka nay wamitego natumain wamesikia nakama bado ongeza saut maana mmh
Basata: “Yule Nay tushamzima”...
Nay: “Hold my glass”...🔥🔥🔥🔥
Nguli ua-cam.com/video/jIKtN6WUSe8/v-deo.html💥💥
👍🔥
Roma nae kaachia msumari mwingine, jionee ua-cam.com/video/_vGu4l1MoMw/v-deo.html
basata ni moja ya vibaraka waserekali No wonder my brother hata hii wanaweza kuweka hila
Ce vrai la démocratie
Eeeeeh WANANGU eeeh... Corona kumbe ipooooo🔥🔥🔥🔥🔥😭😭😭
Yeeboooo labda Zambia sio Tanzania 😅
Shiti bro nakukubali sana
@@mzongekibwana838 shiti unafanya nini huku
Mamayao aliamua kuvua white juu mzeewao alificha white hahaa
Ntambiaa nn watu corona ipo mafuta,sukari,tozo,Kodi Bei juuuu tusemeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
#trueboy tusemeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Napenda tu unavyo jiamini brooh hujawah kuogopa pambania taifa letuuu
Nay kwahii Nime ku respect saana Brother umetisha sana Achana na wazee wa kuimbaga Ngono miaka yote 2 Hawajuagi kuwafikishia Ujumbe Serikali
Hizi ndio nyimbo tunataka kusikia.nakukubali sana broo
Bado watajifanya hawasikii.... ngoma kali brother Ney. Mafisadi watatuua mwaka huu... sirikali ya walaji.
Aliewadanganya mkamuuwa magufuli ndie kawateketeza huyo mwanamke anatumikishwa nawazungu
Washa sikiaa nasaivi watatia adbu 2025
tumekamilisha ulichotuomba ney 1m tayari 🙏🙏🙏
Unasemesha ukweli 2 bwana Rais w kitaa 👏👏. Hamza kutoka Rwanda tunakupenda sana kwa hizo nyimbo nzuli .
Ngoma Kali sana ndugu yangu umenifanya nianze kuimba 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️👍👍👍👍👍👍👍
Ww ndy Raisi wetu wanyonge respect Ney, umegusa sehem zt kwny hii nyimbo yk 🔥🔥
Acheni yendelee kunyesha ili muradi tujuwe wapi panavuja kabisa. Ma coach wa baya
Sema kweli ney nakubali sana na shangaa redio aziupig zina nikera
Salute kazi zako ni safi real hiphop Kenya love!!!!!!!
Nimesikiliza hii nyimbo nimelia sana RIP JPM😭😭😭😭😭😭ulisema tutakukumbuka
Wewe nawe unachanganya mambo hahaha
Huyo ndo alitufikisha huku
Wewe ni Kima kweli Magufuli labda umkumbuke wewe usiweke wengine yule atabaki kuwa Rais mbovu kuwahi kutokea Tanzania.
Basata wamenisaidia nikausikiliza huu wimbo. Pini kali sana
Sijawi kuacha kukupenda ney safi sana watanzania tupo gizani
Ney ngoma hii ina unyama sanaa, big up , that's such kind of art we are looking for the current generation.
Heshima kwako laic wa kitaa washa Moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔨💉
Nakukubali sana
Washamoto brooo upo vzr sana zaidi ya sanaaa😭😭😭😭😭dah💪💪💪💪💪
Bro it's reality 100%%% your the real king of music
Asante kwa wimbo mzur kazi kwao watawala kutekeleza ambacho umekisema kwa niaba yetu
Nimekubali mzee baba tusemee tu hakuna namna
*POWERFUL SONG* Huu ndio Usanii kuisemea jamii
Unajua adi umepitiliza brother Excellent sana
Daaah goma kali daaah et imefungiwa isipigwe redion
Rais wa kitaa waambie maana sisi wabongo kwa uoga twaongoza