Huyu amekuja kuharibu dini amekuja kufanya ili dini ya kikriso ionekane mbaya na mm ni mwislamu hlo nishaliona jamni wakristo fanyeni kitu hyu mtu anawaaribia dini anaharibu CV zenu
Huyu mtu ana wazimu msiumize vichwa! Mungu hawezi kumuacha hivihivi lazima mwisho wake atalipia! Kipindi cha sheria alitakiwa apigwe mawe hadharani mpaka afe sababu analazimisha kiki lakini sikuhizi neema imezidi kuwapa watu uhuru wa kulinajisi jina la Bwana! Hatakiwi kuishi kabisa sema wakristo ni wapole sana sikuhizi hawana tena uchungu na wivu juu ya Mungu wao kama zamani
Aliisha kubali hadharani kua yeye titto alikua anapenda kuingiliwa na wanaume wenzake. Hapo anajaribu kuwashauri watu walewe na wasiogope kupata ukimwi ili wampalamie. Laana ya Mungu yamshukie
Baba yetu wa mbinguni ni mwema sana, amempa Tito karama ya Uhuru wa kuchagua wema au ubaya, kumwabudu au kumkataa. Hivyo ndivyo Tito alivyoamua kuitumia karama yake. Tumweshimu na tuheshimu uamuzi wake, tusichore msitari maana hata hivyo sisi sote ni wadhambi na tuko katika hatari ya kuasi na huenda kutenda zaidi ya Tito.
Siku ya mwisho utakutana na huyo unayemtukana, bila yeye huwezi kuipenya mbingu, Upinzani ndani ya Yesu Kristo ni mkubwa, kwa sababu shetani anachafua kusudi wachache waweze kupenya.clip ya zmn lkn nimeona niandike.
Kweli lakini,Tatizo ktk moja ya shelia za Tz zinaruhusu mtu kuamini na kuabudu kile anacho amini bila ya kubuguziwa,hivyo kutiwa hatiani ni ngumu kidogo.
255765360430 Nabii Tito inaonekana alijipanga tokea muda mrefu sanaa Ndg zangu tuunganeni kukemea watu wanaovunja maadili ya kizazi kipya kama upotoshaji huu
Mungu Akusamehe bure .kwa mamlaka ya jina la Yesu pepo likutoke sasa.
Tito unafurahisha sana ila muogope mwenyezi mungu japo najawa na vicheko mungu anisamehe
Ndugu wakigombana shika jembe ukalime,wakipatana nenda kavune.
Nabii Tito kama siyo chizi basi ni mpelelezi
We umenena
Ushindwe kwa jina la yesu....Mungu adhihakiwi...acha kufuru
Piga huyoooooooooo
Kumbe nabii tito alikuwa mweusi
😄😄😄
Hahahaha yalitabiliwa haya
Huyu amekuja kuharibu dini amekuja kufanya ili dini ya kikriso ionekane mbaya na mm ni mwislamu hlo nishaliona jamni wakristo fanyeni kitu hyu mtu anawaaribia dini anaharibu CV zenu
Kabisaa mm sio mkristu lakini anacho kifanya huyu jamaa sio poa
Yesu twakuomba urudi
instaBlaster.
Arejeshwe milembe jmn anaharibu dini ya wakristo
Farao misili mpaka leo bdo mbichi anatoa damu kwa Moyo mgumu kama farao utapgwa pigo moja tu linakutosha mungu hushindani nae
Jamaa fala sana
Daaaah,yupo wapi?
Shikamoo nabii titoo
Mwezi mchanga huyo tito
Chiz karogwa tena 😂😂😂 đoz iko ítaly tanzania hakuna dawa yke
Mungu akusukue too
Waelimishe waonje utam wapombe bombe tam bwana
Huyu jamaa, inabidi aombewe😕😕😕
Kazi manayoa na dini zenu
Tito unayembipu akipiga utajuta maisha yako yote,nakuombea tu Akureheme maana huenda hujui utendalo
Nacheka sana leo
Cheese fresh mpeni kichapo uyo mwamchelewesha watanzania 🔥🔥🔥
Tiba ni pombe hallelujah
Mungu kasema unywe pombe,hii mbona hatari.
Uyo chiz
Nlikua nkiwaza.sana.hao manabii Wa uongo watatokea vipi , kumbe mithili ya hawa
Hahaaaaa ndio wametokea manabiii
Wakristo mtajijuwa. Sisi tuna anfalia tu
Huyu mtu ana wazimu msiumize vichwa! Mungu hawezi kumuacha hivihivi lazima mwisho wake atalipia! Kipindi cha sheria alitakiwa apigwe mawe hadharani mpaka afe sababu analazimisha kiki lakini sikuhizi neema imezidi kuwapa watu uhuru wa kulinajisi jina la Bwana! Hatakiwi kuishi kabisa sema wakristo ni wapole sana sikuhizi hawana tena uchungu na wivu juu ya Mungu wao kama zamani
Ukome
Mm huyuu ckupata bahat ya kukutana nae ila nahisi ningemharibu sana anii angejuta
Mm sio mkristu lakini sipendi huyu jamaa anavyo zalilisha dini
FATMA RASHID na kiristu sio dini
Pumzika
Yesu aligonga sn pombe
Mmemchelewesha kwann msimpigee huyoo mbwaa jamn kwann mnamuachia wananchii naumia mm jamnii
Hii video ina miaka9! Mmmh
Mungu haziakiwi
One day atavuna tu anachokipanda
Akuna mzima waivi jmni
Kweli kabisa
Huyu anaweza kuleta machafuko💔😭🙄
virus vimempanda kichwani
Kwan kumpiga hata kofi la macho ni vibaya eti?
Vizuri ili apate akili mpya mana mshenzi sana
Aliisha kubali hadharani kua yeye titto alikua anapenda kuingiliwa na wanaume wenzake. Hapo anajaribu kuwashauri watu walewe na wasiogope kupata ukimwi ili wampalamie.
Laana ya Mungu yamshukie
wakilisto apa megonga mwamba
Ningekuwepo happy angekula ngumi jiwe,yenye
Mungu ndani,angejuta kunifahamu,yesu hapendi ujinga.
Yan uyuu sijui kwann wanamuwacha yani uyu ni wa kupigaa sana mbak ajikute yuko muhimbili ,,,kasha laaniwa uyu jamn
nashukulu mungu kuzaliwa muislam
@@aminakingaru5609 kabisa
Eti waumini sindo nyie mmesimama..hahaaaaa
Watu wanabishana na kichaa
Ninabii wamaluusu sio makatazo kweli huyu amepotka heli nisie nadin
Titooo noumaaa
Huyo jamaa anaerecord na sim yakufunua kanikumbusha mbaliiii
Video ya mwaka 2010
mgonjwa huyu jamani
Uwo n uchawi na kama cyo uchawi n firimason
Huyu dishi, limeyumba.
hahahaaa so funny
hahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahaha mbavuzangu mie hahahahahahahahahahahaha nakufamie eti pombe nidawa
ukristo ni vituko
pungwani
Unachanganyikiwa ww
Mh. Nauyo alochapish hayo maandish MUNGU anakuona
Baba yetu wa mbinguni ni mwema sana, amempa Tito karama ya Uhuru wa kuchagua wema au ubaya, kumwabudu au kumkataa. Hivyo ndivyo Tito alivyoamua kuitumia karama yake. Tumweshimu na tuheshimu uamuzi wake, tusichore msitari maana hata hivyo sisi sote ni wadhambi na tuko katika hatari ya kuasi na huenda kutenda zaidi ya Tito.
Kwel mpz
Jamaa hazmtoshi
yesu alikuwa mlevi kwel wambiye nabii tito atakama watakasrka alaf alikuwa muhun balaa yesu
Siku ya mwisho utakutana na huyo unayemtukana, bila yeye huwezi kuipenya mbingu, Upinzani ndani ya Yesu Kristo ni mkubwa, kwa sababu shetani anachafua kusudi wachache waweze kupenya.clip ya zmn lkn nimeona niandike.
Apelekwe milembe Dodoma haraka jamani
Madaktari was milembe wafanye kazi yao jamani siyo kwa uchizi huu!
Huyu jamaa kituko sana
Msenge baridi
kwanza hata hao walioko pembeni wakiwa wanauliza maswali nao hawana akili vilevile
Kweli kaka✔
Hahahaha waaaah
Hii ni hatari
Huyu ni chizi.
Dahhhhh huyu ni kichaa kasoro anavaa vzuli
huyo wakumpiga mnamuangalia wa nn chiz huyoo
kweli huyu mirembe,watu kama hawa ndo huleta mapenzi ya jinsia moja
Kumbu huyu kaanza mbalii haya mambo loooh innalillah
Duuuuu
Angekua anatangaza dini ya kiislam kama hiv angepigwa risasi au mapanga
Waislam sio majasusi km mnavyoona kwny mitandao
Nani kasema ni majasusi?
WENGI WATAKUJA KWA JINA LANGU,,,ndi haya tunayo yaona
Acha kumziaki mungu wako bure dungu.. Utakuja kujuta siku zijazo
Kupitia tukio hili LA nabii wa uongo huyu tena jizi natamani hata hii simu niiuze ninunue nokio ndogo sioni faida ya hizi simu zaidi upotoshaji tuuu
mh dunia simama nishuke
inawezekana ni usalama wa taifa
Lbda
USALA WA TAIFA HUYO!! YUKO KAZINI SHAULI YENU
Kwani mvinyo nipombe au?
Jameni tuzidi kumuombea TITO apone tatizo ya akili inayo mkabili.
duuuh hii kwel escape from milembe
Jaman hamjamtambua kuwa hana ata akili timamu
Ujinga huo siufanyagi
@@getrudapoul385 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio pombe ilikuponya. Ni Imani yako ilikuponya
Duuh toka pepo
Huyuuu ni wakupigwa pingu na kufyekwa ndani shenzz huyuu anaepotosha generation mshenzzz huyuu anadhalilisha dini na upotofu wakeee
Kweli lakini,Tatizo ktk moja ya shelia za Tz zinaruhusu mtu kuamini na kuabudu kile anacho amini bila ya kubuguziwa,hivyo kutiwa hatiani ni ngumu kidogo.
Linajua maandiko hila wameliloga🤣🤣🤣🤣
arudishwe milembe. 😰😰😰
Watz wana mambo sana 😂😂😂
Wewe mkenya ama tumelogewa huyu mtu😂🤣🤣🤣🤣
kumbe ameanza siku nyingi huyu ahahahahahaha
Noma hapo tumbo la mimba ya mapepo hata mi nashangaa 😂
Hata mie nilidhani ndiyo kaanza. Kumbea kaanza zamani. Pia alikuwa mweusi🤣🤣🤣
Huyo ni chizi kabisa et kunywen pombe kama umeokoka daa kama umeisikia hii gonga like
uyumtu akilianazo ukilisito unaonewasana kamaanaweza aziaki kuruani aone kitakacho mkuta
Mwisho wa dunia ndo hu
Wewe ndo nabii wa ukweli upo sawa m2 mzima
Wew na yeye wote zaidi ya pepoo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa mnabishana na chizi mtaonekana na nyinyi machiz😂😂😂
ingetakiwa wakristo wamchape vibaya
Dah huy jmaa akili timam aixee
255765360430
Nabii Tito inaonekana alijipanga tokea muda mrefu sanaa
Ndg zangu tuunganeni kukemea watu wanaovunja maadili ya kizazi kipya kama upotoshaji huu
Ni kweli kabsa hyu jamaa mm namkumbuka nimeshawah kukutana nae maeneo tofaut tofaut kwenye mabaa na alikuwa anagawa vpeperushi kila meza
Mmmh gonga peke yako
huyu mnacheka nae kamata chapa viboko vya makalio akili ikae sawa huyu arudishwa lutindi.
Hahaha duuu huyu jamaa ana niacha hoi
Huyu sio chizi Ila ni kichaa
Huyo muacheni tu c kakimbia milembe
kweli inamupasa kuomba msamaha hata mwanamke alie kubali kuolewa nae
Shoga huyo
Huyo si chizi ni mgonjwa
Na hao wanaomsaidia kuchapisha hizo karatasi wana dhambi mile mile pamoja naye
Yesu anasema kama mlivosia kuwa mpinga kristo yuaja, hata sasa amekwishkuwepo, asomae na atambue.
Huyu anaitaji maombi akili yake aiko sawa hata baba yake kasema akili yake aiko vzr ni mpumbavu
Afu waandishi wa habari ni kisomo chenu bado mnamuoji oji nn kamata peleka kanisani akatolewe mapepo
Pumbavuuuuuu' hamnamo akili humo
Chizi uyo Tu
Hassan Bilali juu
Hassan Bilali juu