Kwa kweli hatuna MUNGU mwingine ila YEYE, God bless you so much Ashley, God bless you MAX AFRICA kazi yenu ni Njema Sana am not a musician expert Kwamba nielelezee kinachoonekana na kusikika lakini mnaproduce kitu kikubwa Sana, MUNGU Azidi kuwawezesha mfanye Zaidi ya hapa kwa utukufu WA MUNGU daima 🔥🔥
Kwa kweli hatuna MUNGU mwingine ila YEYE, God bless you so much Ashley, God bless you MAX AFRICA kazi yenu ni Njema Sana am not a musician expert Kwamba nielelezee kinachoonekana na kusikika lakini mnaproduce kitu kikubwa Sana, MUNGU Azidi kuwawezesha mfanye Zaidi ya hapa kwa utukufu WA MUNGU daima 🔥🔥
Barikiwa Sana
Studio ziko wapi... kazi nzuri sana.
Mungu apokee utukufu 🙏🏾🙌🏾🙏🏾
Hakika Mungu wa mbinguni ana utajiri wa vijana wanaomuadhimisha na kumuinua siku zote, Ashley Ashley Ashley Mungu wa mbinguni asikupungukie
Nyimbo zako huwa zina annointing sana , Ashley nasary🙏👏👏
Kaka unanibariki sna mungu akuinue sna mt.
Nguvu ya uponyaji ipo hapa, roho mtakatifu ametamalaki
Ameeen brother nyimbo Zina upak
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Naitafta boom play siioni huu wimbo
Kaz nzur Ashley mungu azid kuku Linda 2
Ubarikiwe Mteule wa Bwana
Hakika hakuna kama Mungu wa mbinguni, Ubarikiwe Mtumishi Ashley Nasari
Worship until the sky and flood gates of heaven are opened
U guy u keep the 🔥 fire burning
Nice
😢😢😢🙌🙌🙌🙌🙌
Powerful....
🙌🙌
Very smart, and blessings
Powerful worship🔥
Barikiwaa sanaaa
Tangu nilipokuona KKKT Kijitonyama kwaya ya vijana niliona kitu ndani yako ilikuwa 2016 Nov