UCHAGUZI WA CHADEMA NI KESHO, HUYU HAJATUFIKISHA KWENYE DOLA TUTAFUTE MWINGINE | TUFANYE MABADILIKO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 17

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 11 днів тому +2

    Mbowe team rushwa

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 11 днів тому

    Ee Baba mwenyezi MUNGU twakuomba ukisimamie chama chetu kiendelee kuwa imara na hatari Zaidi, kawapatie ushikamano na upendo, na utulivu Katika uchaguzi wao, ww wajuwae mapungufu yetu, twakuomba ukawashike mkono wajumbe wetu watulete kiongozi mahiri na mwenye mapenzi yakweri, mwenye kutenda haki na ukweri..,.

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 11 днів тому +1

    We need changes

  • @JuliethNyoni
    @JuliethNyoni 12 днів тому +3

    Iisu oyeee

  • @YohanaSanga-t8d
    @YohanaSanga-t8d 12 днів тому +2

    Mabadiriko hoyeee

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 11 днів тому +1

    Mbowe ameikataa heshima mwenyewe, angekubali mapema haya yote wa ngeyabeba vijana na wangerushiana vijana yeye angetulia na kuwarekebisha mambo yaende mbele

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 11 днів тому +1

    Mugabe hahitaji tena kubembelezwa sasahivi mwendo wa mawe tu

  • @HamimMbango
    @HamimMbango 12 днів тому +1

    Msemaji ngoja tu nikuweke sawa,chadema siyo chama cha upizani nichama cha kisiasa tu chadema kinapinga nini sasa?

  • @MichaelMgudula
    @MichaelMgudula 11 днів тому

    Tunataka lisuawe mwenyekit

  • @AgnessKissinga
    @AgnessKissinga 11 днів тому

    Mwandishi tunaomba uweke picha ya mbowe na list tufanye uchaguzi wa waz wa wananchi ndani ya masaa kadhaa tuone nan mshindi wa wanachi. Kesho tuwaachie wao.

  • @KhalfanAbdalla-x7u
    @KhalfanAbdalla-x7u 12 днів тому +1

    Ni kweli hio ndio siasa chadema ni chama kilicho pevuka naomba mtoke mkiwa pamoja

  • @MuhereMuhere
    @MuhereMuhere 12 днів тому +1

    Kweri kabisa siyo ccm wanaojifungia na kutoka na mtu mmoja

  • @HamimMbango
    @HamimMbango 12 днів тому +1

    Nivitugani ivo?

  • @CHRISTOPHERNKELEBE
    @CHRISTOPHERNKELEBE 12 днів тому

    wachaga😅😅😅😅

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 11 днів тому

    Mbowe tumbocrats

  • @SamwelMdamanyi
    @SamwelMdamanyi 12 днів тому

    Ili mbowe aondoe dhana ya ukabila apishe wengine

  • @EdmundGewe
    @EdmundGewe 12 днів тому

    Tunataka mabadiliko