Dk Bashiru aibua shangwe Bungeni, amtaja Magufuli akieleza UDSM kilivyotoa viongozi wakubwa Afrika

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Mbunge wa Kuteuliwa, Dk Bashiru Kakurwa ameibua shangwe miongoni mwa wabunge baada ya kueleza jinsi ambavyo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimekuwa na mchango mkubwa kwenye maendeleo ya sekta ya elimu ikiwemo kuzalisha viongozi wakubwa akiwemo Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Hayari Rais John Garang aliyekuwa Rais wa kwanza wa Sudan Kusini na Hayati Dk John Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
    Dk Bashiru ameyasema hayo wakati akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, jijini Dodoma leo Mei 8, 2024.

КОМЕНТАРІ • 51

  • @williummaroseck7366
    @williummaroseck7366 3 місяці тому +1

    Hongera Sana father Dr bashiru watalaam wanamna hiyo ndiyo tunaowahitaji safiiii

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 3 місяці тому +6

    Bashiru Ally kakurwa ni kiongozi mzalendo kwelikweli. Namkubali mnooooo.

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 3 місяці тому

      Hamumjui

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 3 місяці тому

      Mzalendo aliekuwa anatoa roho za watu

    • @geey7893
      @geey7893 3 місяці тому

      Baba yako amemtoa roho akiwa anafanya nn​@@kellyngogo3319

  • @jrkaluli5638
    @jrkaluli5638 2 місяці тому

    Mara nyingi Taifa letu liko nyuma ya wakati. Kuanzia kauli mbiu hadi vitendo. Tunahitaji dira na mikakati sahihi zaidi

  • @daudinyanda2499
    @daudinyanda2499 3 місяці тому +1

    Huyu jamaa ni Genious sanaa kama hujaenda shule kumuelewa ni ngumu sana.

  • @MedardMushobozi
    @MedardMushobozi 3 місяці тому +4

    MUNGU akupe Maisha marefu sana Dk

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 3 місяці тому +1

    Hapo ndipo unapoona shule ipoje, Yani unapandishwa cheo hafu mshahara uleule wa zamani

  • @Jal210
    @Jal210 3 місяці тому +9

    Mama SAMIA uliufyata wapambe huyu ni Jembe ambaye angeweka Mambo mazuri kwenye chama na serikali

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 3 місяці тому +1

    Hiyo sheria ya utumishi ibadilishwe haraka sana inaua taasisi za umma zinazojitegemea, utumishi wanaharibu hizi taasisi kwa kuchelewesha mipango yao na pia kuajiri kwa niaba ya hizi taasisi wafanyakazi wa hovyo kwa maslahi yao binafsi. Hatua ichukuliwe sasa kuwa poka hayo mamlaka haraka sana

  • @neddon5822
    @neddon5822 3 місяці тому +7

    Dr Bashiru umeongea point muhimu. Unao uzoefu mkubwa sana

  • @PauloJhon-qv8cx
    @PauloJhon-qv8cx 3 місяці тому +6

    Hongera sana bashiru

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 3 місяці тому +7

    Kuna mpango mzuri unakuja naona magwiji sasa wanaongea

  • @dr.philpojohn4800
    @dr.philpojohn4800 3 місяці тому +5

    Huu mchango mzuri sana.Dkt.Bashiru umeongea vema sana!

  • @billyrique
    @billyrique 3 місяці тому +1

    Hili ni tatizo kwa kada mbalimbali serikalini. Wananapanda cheo kilichopaswa mfanyakazi kuwa nacho miaka 7 iliopita. Hakika hili ni tatizo. Hope watabadili hizi sheria ili iwanufaishe watu wote hasa wafanyakazi wa vyuo vyoote vya serikali.

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 3 місяці тому +1

    Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akipewa media kuongea Baada ya kupewa mrija wake kufyonza asari ya taifa ubongo akaushusha tumboni akawa mtu wa kejeri na kutukuza utawala wa kibabe na kidikiteta ndo mana anataja hadi majina ya madikiteta waliosoma Udsm akina m7 na mtetezi wa wanyonge ni sifa za chuo chetu ni muhumini mtiifu wa tawala za kiimla.

  • @user-mg7jj1hm2t
    @user-mg7jj1hm2t 3 місяці тому

    Dr.Bashir ni KADA MAHILI NA JEMBE WA C.C.M (HONGERA)

  • @user-ey2oe8zx6z
    @user-ey2oe8zx6z 3 місяці тому

    Muhuza ndizi wa zaman na msomi aliyebobea anatema cheche zake

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 3 місяці тому

    Hatari

  • @JUMAOMARI-pp8fe
    @JUMAOMARI-pp8fe 3 місяці тому

    Facts one🤝🏻🤝🏻

  • @Kajunakabyemela
    @Kajunakabyemela 27 днів тому

    kakuru, ogambe bike ensi yaitu eina olwango

  • @edwarddaniel7459
    @edwarddaniel7459 3 місяці тому +2

    Critical. Thinker wanaongea

  • @EdiphonceNdibarema
    @EdiphonceNdibarema 3 місяці тому +2

    Wewe ni raisi ujae makonda ni waziri mkuu ajae

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 3 місяці тому

    Mbunge baada ya kuzunguzia jamii anazungumziati

  • @lweganwatilubuzya8183
    @lweganwatilubuzya8183 3 місяці тому

    Huyu mwamba namkubali sana

  • @AndreaAmbros-kw2he
    @AndreaAmbros-kw2he 3 місяці тому +1

    Hatutaki historia ya mtu leta hoja zinazomnufaisha watanzania

    • @samkitwima7933
      @samkitwima7933 3 місяці тому

      Wajinga pekee ndio hawathamini wala kujifunza kutokana na yaliyopita. Kama hujui unapotoka utajuaje unapokwenda?? Kuna mda ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha uwaki ulionao.

  • @wazirishipula5040
    @wazirishipula5040 3 місяці тому

  • @geey7893
    @geey7893 3 місяці тому

    Watu wenye akili wakiongea nchi inatulia

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 3 місяці тому

    Jembe.

  • @nurumligo4862
    @nurumligo4862 3 місяці тому

    Mwanga hauzibiki

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 3 місяці тому +3

    Bunge la kupiga makofi tu hawana lolote.

    • @LovelyBrain-wz7si
      @LovelyBrain-wz7si 3 місяці тому +4

      Anaongea mwana taaluma makofi lazima wewe ubaki na roho mbaya tu

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 3 місяці тому

    Afadhali umemutaja jpm

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 3 місяці тому

    😢

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si 3 місяці тому +1

    H
    Kongole kwako omwana wo omuka

  • @user-mi3bi3fj3s
    @user-mi3bi3fj3s 3 місяці тому +2

    Tunamis saut hizo na maneno yenye mwelekeo ya uzalendo

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 3 місяці тому

    Sasa mchango gani kama sio kunukuu tuuu basi

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 3 місяці тому +3

    JPM mzalendo alitamani atuvushe

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 3 місяці тому

    Mbona mijinga inapiga makofi bila hata kujua mtu ataongea Nini !. Naona Kama Bunge limejaa mijinga

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 3 місяці тому

    Ningeshangaa amalize hotuba bila kumtaja

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 місяці тому +1

    HIVI MUSEVEN NAYE KASOMA CHUO KIKUU?

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 3 місяці тому

    Nchii inaelekea Pazuri huoni huko Kusini gari haziendi Barabara zimesombwa na Maji

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 місяці тому

      Ni janga na majanga ya mvua hakuna nchi duniani inayoweza zuia mvua.