Hakuna mtu hatari kama mtu MNAYEMDHARAU. Angalia magoli ya Guede dhidi ya SIMBA, Mashujaa, nafikiri na Coastal… Walinzi wote hawamchukulii serious Guede. Atawafunga sana mpaka mumchukulie serious!
Mzize kama mchezaji mchanga, amepata mchezaji ambaye anaweza kumsaidia kujiimarisha zaidi na huyo Guede ndiyo anatakiwa kumuiga. Siyo Mayele. Chezaji ya Mayele ni tofauti sana.
Yaan hiki kipindi natamani sana wasiongelee kbs Yanga yetu maana hakuna cha maana wanachotuongelea robo 3 nzima kutuponda tu wehu nyie
Wamongoli katika ubora wao
Hakuna mtu hatari kama mtu MNAYEMDHARAU. Angalia magoli ya Guede dhidi ya SIMBA, Mashujaa, nafikiri na Coastal… Walinzi wote hawamchukulii serious Guede. Atawafunga sana mpaka mumchukulie serious!
Mzize kama mchezaji mchanga, amepata mchezaji ambaye anaweza kumsaidia kujiimarisha zaidi na huyo Guede ndiyo anatakiwa kumuiga. Siyo Mayele. Chezaji ya Mayele ni tofauti sana.
😂😂😂😂😂
Kwahy kwend robo ni simba tu ndio wa kumuangalia yanga akapat wivu acha mamb yak ww
Kama Rasta Geff anaamin Yanga inaweza kufanya vizur mi ni nani nikatae😂😂
Un believable man guede nadou
🫡
sasa hivi naona unafki mmeona utawaua mmeamua kukubali sasa kwamba yangu ni habar nyngine
Hi radio yenu Arusha inapatikana kwenye ngapi?
103.7
@@StoryTellersTZ sante sana
Nahiki kipindi chenu Cha michazo ni Kila siku saa ngapi
Bado hamjasema, mtasema tu
@@robertphilip385 saa tatu Asubuhi mpaka sita mchana
Geita ni ngapi?redio
Wamezidiwa na ubora wa Yanga,wajinga Hawa hawana jinsi