GUEDE GUMZO IVORY COAST, YANGA KUCHEZA FAINALI AFRICAN FOOTBALL LEAGUE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 18

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 4 місяці тому +3

    Yaan hiki kipindi natamani sana wasiongelee kbs Yanga yetu maana hakuna cha maana wanachotuongelea robo 3 nzima kutuponda tu wehu nyie

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 4 місяці тому +2

    Wamongoli katika ubora wao

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 4 місяці тому

    Hakuna mtu hatari kama mtu MNAYEMDHARAU. Angalia magoli ya Guede dhidi ya SIMBA, Mashujaa, nafikiri na Coastal… Walinzi wote hawamchukulii serious Guede. Atawafunga sana mpaka mumchukulie serious!

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 4 місяці тому +1

    Mzize kama mchezaji mchanga, amepata mchezaji ambaye anaweza kumsaidia kujiimarisha zaidi na huyo Guede ndiyo anatakiwa kumuiga. Siyo Mayele. Chezaji ya Mayele ni tofauti sana.

  • @Taito-brand
    @Taito-brand 4 місяці тому

    Kwahy kwend robo ni simba tu ndio wa kumuangalia yanga akapat wivu acha mamb yak ww

  • @allymchunga480
    @allymchunga480 4 місяці тому

    Kama Rasta Geff anaamin Yanga inaweza kufanya vizur mi ni nani nikatae😂😂

  • @Mussasekambatz
    @Mussasekambatz 4 місяці тому +1

    Un believable man guede nadou

  • @mohanmashine3518
    @mohanmashine3518 4 місяці тому

    sasa hivi naona unafki mmeona utawaua mmeamua kukubali sasa kwamba yangu ni habar nyngine

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 4 місяці тому +2

    Hi radio yenu Arusha inapatikana kwenye ngapi?

  • @EzraNyolobi
    @EzraNyolobi 4 місяці тому +1

    Geita ni ngapi?redio

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 4 місяці тому

    Wamezidiwa na ubora wa Yanga,wajinga Hawa hawana jinsi