Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Baleke ni mzuri tatizo alikua tim mbovu. Akienda Yanga atakua hatari sana
Simba siyo timu mbovu mbali imekosa uti wa mgongo ila tutegemee mazur kutoka Simba imeshaanza kujijenga
Karibu yanga baleke
Baleke is a really striker
Baleke is the best hata Bora tumemuacha huyo makirikiriiiii (SOWA)Hamnaaa kituu kabisaa all the way from QATAR 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Atafanya vzr yanga karibu yanga bareke
Kumbe miaka 23
Yanga tunataka fainali ligi ya mabingwa Afrika
Kaka issue dube ime kamilika na pia tugusie kuhusu boka na wengine wapya
Mwl wa hesabu wa uhakika
samahan Mbwaduke hivi mbali ya data hiz za mpira wa miguu una taaluma gani wew maana naona wafaa sana kuwa mwalimu wa hesabu
i think Baleke ni mchezaji mzuri tatizo i don't think kama ataweza kuendana na falsafa ya Yanga
Gu chuma ngaa
Baleke hamn mchezaji hapo, pia kwanini tujaze wachezaj kutoka cmba? Afrik wachezaj wengi san
baleke ni mzuri na aje tutakwimu zake zinaruhusu
Baleke kalibu jangwan tunakupenda xan
Kiwango hakionekani hatabiriki, ana maamuzi binafsi.
Msimu uliofata bocco alimloga mno ngoja aje yanga uone atakavofunga mpaka mtamshangaa
duuh ni mzuri ila bora guede angebaki kuliko uyu baleke viongozi watani wataendelea kutuita dampo kweli mm huu usajil sijaupenda kiukweli
Huyo gwede anakaba timu ikizidiwa? lete Baleke!
Jao dampo lkn litawaliza
najua ila bhs wangemuleta sowah na prince dube bhs mm simzarau kua ajui ila mmh 🥱
Unaogopa kuitwa dampo wakati inawauma? Chama ni bora Baleke ni bora utaitwaje dampo ukaumia?,,, kikubwa ubora kama upo safi
@@malietamalietutampendaa Baleke kuliko Guede Wala usiwe na wc wc
Baleke yanga wamepigwa hapo
😂😂😂 hat wakat tunamchukua amis tabwe mlibwabwaja kama hivi .... Kiherehere punguza
Uyu mpuhuzi pumbavu babisa
Hamad pumbafu
@@HamadAmour-f3o kama mmeleta wachezaji wa maonyesho ya sherehe za wakulima ya nane nane au mmeleta watalii wa kutembelea vivutio vya wataliii ....
Kusema kweli ni upumbavu ila wako ww ni ujinga kila mtu mawazo yake yathaminiwe
Baleke ni mzuri tatizo alikua tim mbovu. Akienda Yanga atakua hatari sana
Simba siyo timu mbovu mbali imekosa uti wa mgongo ila tutegemee mazur kutoka Simba imeshaanza kujijenga
Karibu yanga baleke
Baleke is a really striker
Baleke is the best hata Bora tumemuacha huyo makirikiriiiii (SOWA)Hamnaaa kituu kabisaa all the way from QATAR 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Atafanya vzr yanga karibu yanga bareke
Kumbe miaka 23
Yanga tunataka fainali ligi ya mabingwa Afrika
Kaka issue dube ime kamilika na pia tugusie kuhusu boka na wengine wapya
Mwl wa hesabu wa uhakika
samahan Mbwaduke hivi mbali ya data hiz za mpira wa miguu una taaluma gani wew maana naona wafaa sana kuwa mwalimu wa hesabu
i think Baleke ni mchezaji mzuri tatizo i don't think kama ataweza kuendana na falsafa ya Yanga
Gu chuma ngaa
Baleke hamn mchezaji hapo, pia kwanini tujaze wachezaj kutoka cmba? Afrik wachezaj wengi san
baleke ni mzuri na aje tu
takwimu zake zinaruhusu
Baleke kalibu jangwan tunakupenda xan
Kiwango hakionekani hatabiriki, ana maamuzi binafsi.
Msimu uliofata bocco alimloga mno ngoja aje yanga uone atakavofunga mpaka mtamshangaa
duuh ni mzuri ila bora guede angebaki kuliko uyu baleke viongozi watani wataendelea kutuita dampo kweli mm huu usajil sijaupenda kiukweli
Huyo gwede anakaba timu ikizidiwa? lete Baleke!
Jao dampo lkn litawaliza
najua ila bhs wangemuleta sowah na prince dube bhs mm simzarau kua ajui ila mmh 🥱
Unaogopa kuitwa dampo wakati inawauma? Chama ni bora Baleke ni bora utaitwaje dampo ukaumia?,,, kikubwa ubora kama upo safi
@@malietamalietutampendaa Baleke kuliko Guede Wala usiwe na wc wc
Baleke yanga wamepigwa hapo
😂😂😂 hat wakat tunamchukua amis tabwe mlibwabwaja kama hivi .... Kiherehere punguza
Uyu mpuhuzi pumbavu babisa
Hamad pumbafu
@@HamadAmour-f3o kama mmeleta wachezaji wa maonyesho ya sherehe za wakulima ya nane nane au mmeleta watalii wa kutembelea vivutio vya wataliii ....
Kusema kweli ni upumbavu ila wako ww ni ujinga kila mtu mawazo yake yathaminiwe