MBWADUKE: TOBAAH! BALEKE YANGA? REKODI ZAKE LIGI KUU ZINATISHA/ KI, PACOME, MAXI, CHAMA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-copmment na ku-like...

КОМЕНТАРІ • 30

  • @stanleymfikwa9350
    @stanleymfikwa9350 3 місяці тому +7

    Baleke ni mzuri tatizo alikua tim mbovu. Akienda Yanga atakua hatari sana

    • @JuliusKale-b9m
      @JuliusKale-b9m 2 місяці тому

      Simba siyo timu mbovu mbali imekosa uti wa mgongo ila tutegemee mazur kutoka Simba imeshaanza kujijenga

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 3 місяці тому +7

    Karibu yanga baleke

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 3 місяці тому +4

    Baleke is a really striker

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 2 місяці тому

    Baleke is the best hata Bora tumemuacha huyo makirikiriiiii (SOWA)Hamnaaa kituu kabisaa all the way from QATAR 🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦

  • @JanuarySinkamba
    @JanuarySinkamba 3 місяці тому +1

    Atafanya vzr yanga karibu yanga bareke

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 3 місяці тому +1

    Kumbe miaka 23

  • @JuliusKale-b9m
    @JuliusKale-b9m 2 місяці тому

    Yanga tunataka fainali ligi ya mabingwa Afrika

  • @BenjaminiPastiani
    @BenjaminiPastiani 3 місяці тому +3

    Kaka issue dube ime kamilika na pia tugusie kuhusu boka na wengine wapya

  • @elinisafiminja3049
    @elinisafiminja3049 3 місяці тому

    Mwl wa hesabu wa uhakika

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 3 місяці тому

    samahan Mbwaduke hivi mbali ya data hiz za mpira wa miguu una taaluma gani wew maana naona wafaa sana kuwa mwalimu wa hesabu

  • @LawyerKalikumbi
    @LawyerKalikumbi 3 місяці тому +1

    i think Baleke ni mchezaji mzuri tatizo i don't think kama ataweza kuendana na falsafa ya Yanga

  • @ChefasNganda-pl5yj
    @ChefasNganda-pl5yj 3 місяці тому +1

    Gu chuma ngaa

  • @AndrewFilemon
    @AndrewFilemon 3 місяці тому

    Baleke hamn mchezaji hapo, pia kwanini tujaze wachezaj kutoka cmba? Afrik wachezaj wengi san

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 3 місяці тому

    baleke ni mzuri na aje tu
    takwimu zake zinaruhusu

  • @stevenmwambus
    @stevenmwambus 2 місяці тому

    Baleke kalibu jangwan tunakupenda xan

  • @frankmakyao7657
    @frankmakyao7657 3 місяці тому

    Kiwango hakionekani hatabiriki, ana maamuzi binafsi.

  • @chambalafrankdaniel397
    @chambalafrankdaniel397 3 місяці тому

    Msimu uliofata bocco alimloga mno ngoja aje yanga uone atakavofunga mpaka mtamshangaa

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 місяці тому +1

    duuh ni mzuri ila bora guede angebaki kuliko uyu baleke viongozi watani wataendelea kutuita dampo kweli mm huu usajil sijaupenda kiukweli

    • @FrankKwanama-lo6fj
      @FrankKwanama-lo6fj 3 місяці тому

      Huyo gwede anakaba timu ikizidiwa? lete Baleke!

    • @maryammussa2835
      @maryammussa2835 3 місяці тому +1

      Jao dampo lkn litawaliza

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 3 місяці тому

      najua ila bhs wangemuleta sowah na prince dube bhs mm simzarau kua ajui ila mmh 🥱

    • @aziziabeid6052
      @aziziabeid6052 3 місяці тому +1

      Unaogopa kuitwa dampo wakati inawauma? Chama ni bora Baleke ni bora utaitwaje dampo ukaumia?,,, kikubwa ubora kama upo safi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 місяці тому +1

      ​@@malietamalietutampendaa Baleke kuliko Guede Wala usiwe na wc wc

  • @HamadAmour-f3o
    @HamadAmour-f3o 3 місяці тому +1

    Baleke yanga wamepigwa hapo

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 місяці тому +1

      😂😂😂 hat wakat tunamchukua amis tabwe mlibwabwaja kama hivi .... Kiherehere punguza

    • @SifaMasoka-h4e
      @SifaMasoka-h4e 3 місяці тому

      Uyu mpuhuzi pumbavu babisa

    • @SifaMasoka-h4e
      @SifaMasoka-h4e 3 місяці тому

      Hamad pumbafu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 місяці тому

      @@HamadAmour-f3o kama mmeleta wachezaji wa maonyesho ya sherehe za wakulima ya nane nane au mmeleta watalii wa kutembelea vivutio vya wataliii ....

    • @HamadAmour-f3o
      @HamadAmour-f3o 3 місяці тому

      Kusema kweli ni upumbavu ila wako ww ni ujinga kila mtu mawazo yake yathaminiwe